Kadri muda unavyoendelea watakuelewaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hili jamaa linaongea facts sana 🎉🎉
Mchome nakukubali sana.kweki we var
Nakubari sana broo🎉🎉🎉
Waambie
Ndiyo mchome waambie
Mchome iko hivii,,hata masihi aliulizwa na pilato kuwa kweli ni nini?kweli haipendwi.
Heshima mbele kwanza mchome shikamoo unajua bori😂
Mchome wewe ninoma wahambie watakuelewa tu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mchome kusema ukweli mimi sijui level ya elimu yako (Elimu Dunia) lakini inaonekana kwenye sekta ya mpira una maarifa mengi mnooo.
Huyo siyo mshabiki wa Simba SC. Ni comedian tu
Mimi nahisi kama mchome ni heloooo uwezi kukaa kujadili simba kama mwana mke alie achwa
Acha wivu anaongea pwent ndo utakazwa. ...😂
Yani wewe ni utopolo mzuri sana sana tunakujua fika wewe ni sawa na mwizi anayetundika nguo zake kisha anajiibia au chizi anayejitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe.,
Ninyi siku zote sauti hamna vp?
Mchome nakukubali nakufatilia nikiwa dubai wewe msema kweli upo OK
Wewe ni shoga nini
Anejua mpila atakuelewa chama angebak cmba endapo cmba ingekuwa sawa
😂😂😂😂🙌🙌
Xavi and
Du mchome wewe
SIZITAKI MBICHI HIZI
Acha ushogs bas mwanaume haongei sana kama muimba taarabu
ACHA ujinga wewe wewe tunakujua Ni yanga iyo jezi nibosheni TU endeles na ujinga wako
Upewe mke wa MO ukamtombe
Unatafuta wakukukaza mtandaoni nenda zanzibar yupo jamaa anaitwa kilingo akakushugulikie naona unawashwa
Waeleze hao saiz hawatakuelewa itafika cku watakuelewa unachoelewa