Dalili ya mtu mwenye marohani...ustadh Ali Alhaidary

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 45

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 Před rokem +2

    Allah atuepushe na mtihani wa dunia na atuongoze kwa njia iliyonyooka na atuzidishie tawhid, aqidah so we may not go against Islam. Allah atume ilmu nzuri na ufahamu na atuhifadhi na fitnaa za shaitani.

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před 19 dny

    Sijaota ata siku mmoja

  • @cayenestorm7942
    @cayenestorm7942 Před 2 lety +5

    Niliambiwa kuwa kuna namna yaku karibisha ruhani, je ni kweli

  • @noorischmutisch5321
    @noorischmutisch5321 Před 2 lety +1

    Assalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh,Ustadh maneno yako nikama umezungumzia kunihusu mm,,niko hivo na nilikuwa nikitabiri kuhusu masomo yangu,mitihani ya shule,,na mambo mengine mengi..Shukran.

  • @husnamohammed8374
    @husnamohammed8374 Před 2 lety +1

    Ustadh unayosema ni kweli tupu wallah yni yote ulioyasema

  • @twahamwela2158
    @twahamwela2158 Před 2 lety +2

    Mada yako mzuri Sana sheikh baraka llahu fiyka

  • @angle3600
    @angle3600 Před rokem

    Asante sheik mimi naona nirohanii,mungu tuepushe na shari

  • @isiyakaramadhani4550
    @isiyakaramadhani4550 Před 2 lety +2

    Kweli kabisaaa ata ujakosea lakini mbona wengine wanataka kutibu ni ruksa kwa Allah

  • @husnamohammed8374
    @husnamohammed8374 Před 2 lety +1

    Jazakallahu kheir mungu akuwezeshe uzidi kutupa elimu

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před rokem

    NI DARASA MUHIMU SANA KWANGU MWENYEZI MUNGU AKULIPE KHERI NYINGI

  • @zuwenanurdeen8902
    @zuwenanurdeen8902 Před 2 lety +2

    Swadakta100parcent

  • @saumuathman901
    @saumuathman901 Před 2 lety

    Shukran Jazzilah kwa elmu hii

  • @ashaajimtu2536
    @ashaajimtu2536 Před 2 lety

    Aa shukran jazillah mie huota sana natokewa na wazee wenye asili ya kiarabu,kihindi ama kisomali wamevaa kanzu,na madevu,sana huwa tupo kwenye visomo ama juu ya mlima

  • @swaumumakunga2469
    @swaumumakunga2469 Před rokem

    Masha Allah

  • @zuhurajuma8853
    @zuhurajuma8853 Před rokem +1

    Asalam aleykum shekh je wale wanaoagiza pete marashi kitambaa na anataka uswali

  • @atwiyamuhamed7733
    @atwiyamuhamed7733 Před rokem

    Asalm alekum mm n kweli nmeota niko n mtume twaenda kuswali

    • @ramadhanimaneno
      @ramadhanimaneno Před rokem

      Mtume Muhammad (s w )alisema hakika atakae niota ndotoni basi ni kweri ameniona maana shetwani hawezi kumjia mtu kwa sura yangu

    • @dkakram2562
      @dkakram2562 Před rokem

      Alikwambia kua yeye ni mtume sw au ulihisi ww tu

    • @awaahassan936
      @awaahassan936 Před 10 měsíci

      Mimi nilimuona akapitishwa na hewani amekalia kiti kila ubavu wake kuna malaika

  • @milley7185
    @milley7185 Před 2 lety +1

    Je wale wanaomba vitu kama zawqdi sijui vitambaa au Pete ni wa aina gani

  • @kadirijuma2618
    @kadirijuma2618 Před 8 měsíci

    Asalam aleykum,tuna shkuru kwa elimu hii,shekhe mm pia kuna dalili huwa zina nitokea baazi ya seven za mwili huwa zina cheza, nayo ni maruhani

  • @salimali9957
    @salimali9957 Před rokem

    Maalim,kuna point umekosea hao ni viumbe usiseme ni watu

  • @faridaarafat1571
    @faridaarafat1571 Před rokem

    Asalaam aleykum, sheikh nitajuaje kama nina rohani

  • @alialhaidary3123
    @alialhaidary3123  Před 2 lety +1

    Assalam aleikum.... Afwan ilikuwa sijaziona communits zenu na maswali yenu.... Lakini sasa nimeziona nitajaribu kuzijibu...kulingana na community standards

    • @aminaibrahim7175
      @aminaibrahim7175 Před 2 lety

      @Ali Alhaidary Assalam Aleikum Shekh, Samahani naomba kuuliza, Utifauti kati ya Ruhani na Jinn, Je Ruhani anaweza kupandisha?Na Wakiongea kuhusu kuhimiza kufanya mema Na Kumcha Allah je ni Ruhani na Sio jinn?Na Je Katika swala unaweza kuswali Na Ruhani?Kam ni mwema nao wanaswali na we we si wanakua ndnai yako?Smaahani sna naomba Kunielewesha Shekh...

    • @user-pc6io7wt5l
      @user-pc6io7wt5l Před 8 měsíci

      Sheikh naomba unijibu pia nami pale ndoto izo zinapotoeka ikawa mtu haoti tena inakua ishara gani

    • @user-kw5zb8lx3f
      @user-kw5zb8lx3f Před 7 měsíci

      Shekh sisi wengne hatuoni tena ayo n mwanz tulikuwa tunaona

  • @kadirijuma2618
    @kadirijuma2618 Před 8 měsíci

    Na pia huwa sipendi makundi na pia sinaga kijiwe chochote, pia huwa yapanda pindi kunapo kuwa na mtu mbya, nahuwa napenda sana zikri ila
    na udi nikifika kuna uzwa dawa za asili nina tamani nilale humohumo,ila inapo simwa kuruani machozi unitoka sana tatizo nini hapo ni wa zurri aw ni wabaya?

  • @mariammhango6135
    @mariammhango6135 Před 2 lety +1

    Me wanasem nin ruhan lakn ruhan hawa wakion sehm kam kun mamb y shirik wanapanda nakusem hii sehm hawtak nikae n wananiimiz swal n kutoa sadak san n ikisom quruan wanafurah san sem najiulz unasem maruhan huw hawapand ovyo il mbn haw wanapand nakuwasisitz wat wanaonizunguk waswal??je majin am ??

  • @khadiaally9192
    @khadiaally9192 Před 2 lety

    Je lohani hupada kichwani ua hawapadi

  • @gistemeke8979
    @gistemeke8979 Před 2 lety

    Shukran sana maalim nahitaj namba yako nina mazungumzo mengi .

  • @user-pc6io7wt5l
    @user-pc6io7wt5l Před 8 měsíci

    Sheikh sasa nilitaka nikuulize inaonesha Ishara ipi izo ndoto pale mtu aliezoea kuota halafu zikaja kukata kabisa.

  • @kifubayusuph8741
    @kifubayusuph8741 Před rokem

    mn kwaka 2010 nirikuwa kira jambo baya rinarotaka kutokea naota usiku nanikifanya biasha ra naambia chakufanya usiku tea kwa kutaja jina sasa siswari na na mambo yameaharibika naishi na jini mahaba mana nimekuwa mzinifu mp3nda mahasi hatari mpaka naria je uyu arie kuwa ananiambia kira jambo usiku ninani na amekwenda wapi

  • @salimkarama9354
    @salimkarama9354 Před 2 lety +2

    Hahahaha rohani ukwaju 🤣🤣🤣🤣 ati wapandwa na marohani kisha wazugumza nae Majini kweli wako but hayo ya marohani upuuzi mtu ushirikina tuu 😡

    • @JannatTahmid
      @JannatTahmid Před 11 měsíci

      Si upuuzi inaweza kuwa haujalifikia katika kutafuta elimu na si ushirikina uo

  • @ahmedibrahim2127
    @ahmedibrahim2127 Před rokem

    Mafuta ya
    Yasmin je

  • @cayenestorm7942
    @cayenestorm7942 Před 2 lety +2

    Na mkristo akiwa na ruhani atafanya nini

    • @alialhaidary3123
      @alialhaidary3123  Před 2 lety +1

      Nivigumu sana mkristo kuwa na rohani...maana marohani wanafuata maadili kuhusu mavazi,ibada na mapenzi ya Mungu pamoja na roho safi....
      Ikiwa mkristo atakuwa na rohani basi kwenye moyo wake kuna chembe ya imani ndio wale marohani wakamfata...mtu huyo kama kwamba kuna vitu katika dini yake haviamini na anakaa kama kwamba anaona kuna vitu vyengine ni vya uzushi ....na kupitia hivyo inaeza mpelekea kuslimu kwa moyo wake mwema... Uliowafanya hadi marohani kumpenda

    • @binthatv2794
      @binthatv2794 Před 2 lety +2

      Mimi nilizaliwa mukristo Ila nimekuwa na marohani mwonzo nikiwa mudogo Léo nimesilim nikiwa namyaka 7leo nimekuwa n'a myaka 30niko Mwenye dini sana na kuwasiliminsha wengine Léo hi n'a elimu kubwa nilisomeshwa nikilala coran nimefundishwa dini Na coran na marohani hadi Léo napewa Elim Alihamdulillah

    • @sulekhaosman8357
      @sulekhaosman8357 Před rokem

      @@alialhaidary3123 Asalamu Aleykum warahmatullahi wabakatuh kweli elimu Ni bahari shukran sana ALLAH Akulipe Kila La kheri