CHEKECHE || Mkutano wa 78 wa Umoja wa Mataifa || Urusi, Afrika "gumzo kuu"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Viongozi wa nchi mbalimbali duniani wamekutana kwenye mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa nchini Marekani huku vita vya Urusi na Ukraine vikichukua nafasi ya mjadala sambamba na viongozi wa Afrika kupaza sauti kuhusu mwenendo wa hali ya mambo ikiwemo "ukoloni mamboleo".
    Ungana na Raymond Nyamwihula akiwa na Ibrahim Rahbi kwenye CHEKECHE.

Komentáře • 47

  • @user-jg7zh1ck3u
    @user-jg7zh1ck3u Před 11 měsíci +2

    Kuusu Congo umoja wa mataifa wanatakiwa kuondoka Mimi ni muzaliwa wa mahali ambapo hizo tatizo zipo, na vikosi vingi vya wa asi vinaundwa na umoja wa mataifa monisco sisi wakaaji wa uvira Goma tunajuwa muzuri sana kazi ya umoja wa mataifa monisco kwamba haikuja kuleta Amani inchini Congo ,..

    • @malikdogo5009
      @malikdogo5009 Před 11 měsíci

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @HamisiGatuso
    @HamisiGatuso Před 2 měsíci +1

    Upo sawa unajua sana

  • @massoudsultan8484
    @massoudsultan8484 Před 11 měsíci +4

    😀Libya Gaddafi alingia kwa mapinduzi na nchi ikaendelea

  • @user-wi9et9yl1v
    @user-wi9et9yl1v Před 11 měsíci +2

    Namuelewa sana bwana lab mchaz balaa nataman kumsikia

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 11 měsíci

    Rab naww mtangazaji nawapenda sn ila tuache unafki na sabit mlangi nduguyenu pia nampenda yamkini mwenyezimngu awazidishie umri mlefu

  • @MauaLucas-st6be
    @MauaLucas-st6be Před 6 měsíci +1

    Chiseked anataka kusain mkataba wakijeshi na urus

  • @user-ni9gx1ho6c
    @user-ni9gx1ho6c Před 11 měsíci

    Bg up Azam tv + Rabi u are giniac

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 11 měsíci

    Nawapenda wew naibraimu Rabi ilove

  • @reubenhizza
    @reubenhizza Před 2 měsíci +1

    Libya ya Muamar Gadaf haikuendelea!? Na walisema inatawaliwa ki ducteta

  • @alhajjwaupe4593
    @alhajjwaupe4593 Před 11 měsíci +3

    Africa ss tukiona rais nikibaraka wa marekani na ulaya nikumpindua tu ndio democrosia yetu

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 Před 11 měsíci

    Naona kharkive na Odesa zitwaliwe hili Mambo yakae sawa.

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Před 11 měsíci

    Muheshimiwa Rahbi umepotea siku nyingi hatuoni uchambuzi wako mollah akupe afya njema

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 Před 11 měsíci

    Lazima kwanza ulegezwe ndio ukubali kuzungumza nchi nyingi baada yaa vita na maadhara ndio zikakubali kuongea

  • @OmarOmar-vf9dv
    @OmarOmar-vf9dv Před 11 měsíci

    Asanteen tumehabarika vyakutoshaa

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před 11 měsíci

    mchambuzi nae kachagua Urusi

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 Před 11 měsíci

    Hatutaki democracy haisaidii kitu Africa

  • @Amirmgunya-pt2zm
    @Amirmgunya-pt2zm Před 11 měsíci

    Pamoja sana

  • @kingdavid3708
    @kingdavid3708 Před 11 měsíci

    Nime kupinga saanaa mwana abari kwaiyo neni kusema atiii wawo wasingekua uko mambo yangekua hatari !!!!?. Mwana abari waho ndo wanaho sapoti wa hasi kitu inayo fanya wanainji wa fanye mahandamano ili wanajeshi wao waki magaribi watoke nii mambo mingi saana kama kuna siku wali shika gari la wale majeshi wa magaribi wakipekekea wale wahasi mipanga na silaha zingine na majanga yawale mahasikari ni mengi saanaaaa

  • @alhajjwaupe4593
    @alhajjwaupe4593 Před 11 měsíci +1

    Marekani ndio wanaendeeza hik vita marekani na umoja wa ulaya ndio hawataki mazungumzo

  • @jumatophili
    @jumatophili Před 11 měsíci

    Nakukubal mchambuzi

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Před 11 měsíci

    Mchambuz unajuwa Munisco kweli!

  • @user-wu2ns5zq7q
    @user-wu2ns5zq7q Před 10 měsíci

    Abo bajama habahdu takiye amani

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před 11 měsíci

    Mchambuzi saa mbovu ila siku sio nyingi itaanza kusema kweli muda tu

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 2 měsíci

    Kama kunawachambuzi wasisa huyu niwakwanza kusema ukweli

  • @ibrahimmbilizi1726
    @ibrahimmbilizi1726 Před 11 měsíci

    Ivi uyu mchambuzi anajielewa ama

  • @user-pi4et2cc7s
    @user-pi4et2cc7s Před 3 měsíci

    MBONA MAREKANI WANAWAKANDAMIZA NA KUWA KALIA KIMABAVU WAPALESTINA JE HILO NI HALALA???

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před 11 měsíci +2

    Sisi watanzania kwenye umoja wa mataifa nani anatuwekea Kinga

  • @omariathumanchigwe5776
    @omariathumanchigwe5776 Před 11 měsíci

    Walinda amanindio waporaji wannchizetu naulizahivi miaka25 amani imepatikana Congo naombajibu kamahaijapatikana walinzihao wanafaidagani?

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Před 11 měsíci +1

    Demoklasia imefeli africa😢

  • @mashirimathias6006
    @mashirimathias6006 Před 11 měsíci

    Mpumbavu hapo ni Huyo popo bawa wa Marekani

  • @user-wh9ml5vc7x
    @user-wh9ml5vc7x Před 11 měsíci

    kaka haya mombo mpe sabit

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Před 11 měsíci +2

    Tupo pamoja, Mrusi bado hajatangaza vita zidi ya Ukraine

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 měsíci

      Atangaze ipitena wakati anapigana urusi alichobakiza nikutumia nyuklia tu kwenye vita vyakawaida imeshakua ngumu

    • @godfreydavid6267
      @godfreydavid6267 Před 10 měsíci

      duh kwa nini?

    • @godfreydavid6267
      @godfreydavid6267 Před 10 měsíci

      @@robertphilip385 mzee unajua saaana...Urusi kabakiza nyuklia tu....unajielewa saaaaaaaana

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 10 měsíci

      @@godfreydavid6267 najua huwezi amini lkn ndoukweli

    • @hassansingano1150
      @hassansingano1150 Před 10 měsíci

      Nyuklia ni silaha za kimkakati tuu pindi unapo pambana na adui mwenye nazo

  • @babakalunde4949
    @babakalunde4949 Před 11 měsíci

    Anaongea ukweli mtupu

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 11 měsíci

    Mtangazaji kiamkweli je? Nihalali urusi kuchukua arthi ya inchi ingine? Acheni ujinga semeni ukweli

    • @ibrahimabdullah1887
      @ibrahimabdullah1887 Před 11 měsíci

      Kajambe huko

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 měsíci

      @@ibrahimabdullah1887 wapi huko?

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 Před 10 měsíci

      Ukraine ilikua mkoa wa Urus.. baadae wakaomba iwe nchi.. ila kuna mashart wakakubaliana.. kwamba wote hawatojiunga nato