VIAPO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • #wachokonozi

Komentáře • 50

  • @ShamimSaad-v6m
    @ShamimSaad-v6m Před 29 dny +2

    Hiki ndicho kilicho kichwani mwangu ndiyo maana nimekua mnafk mpaka kwa maisha yangu kwa uwoga wa kua mkweli na ninachoamni kama kila kitu uwongo tumepigwa ila naamini miaka 50 ijayo uislam na ukristo utarudi kwao asante sana

  • @Kakule-v2x
    @Kakule-v2x Před 2 dny

    Bro ongera sana❤❤

  • @GameChumaTz
    @GameChumaTz Před 22 dny +3

    Hawajamaa manenono yao yashakuwa kama chakula kila day lazma niwaangalie na kuwaskiliza video zao💥💥

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Před 3 měsíci +5

    Huwa nawaelewa sana nyie ndugu

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 2 měsíci +5

    Kwenye silaha ambazo Mzungu amezitumia ni dini

  • @PatrickIssafungameza
    @PatrickIssafungameza Před 24 dny

    Ukweli ndo huo wanao bisha sawaaaa

  • @NelsonPeter-bs4tf
    @NelsonPeter-bs4tf Před měsícem +3

    Kwa wenye akili na fikra pana tunawaelewa ila wale wenye elimu pasi na akiri yakufikili na kuelewa hua wanapingana sana nahuu uhalisia

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 Před 2 dny

    Hahahaa,.....😂😂😂 hapo huwezi iba hata tsh 50

  • @PatrickIssafungameza
    @PatrickIssafungameza Před 24 dny

    Africa ni curruption kila kona afu wanadai viapo

  • @EliaKaspaly
    @EliaKaspaly Před 3 měsíci +2

    Nikija ARUSHA lazma niwatafute 💪💪💯💯🌍

  • @elgringo8592
    @elgringo8592 Před 3 měsíci +3

    😂😂😂😂big thinking

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 Před měsícem +1

    Hahaha mnajidanganya

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Před 3 měsíci +2

    Akili Mingi Tuko Pamoja..🙏🙏🙏

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 Před měsícem +1

    @wachokonozi mngeongezea izo photocopy mashine na printer zinatoka ulaya ,kwaiyo vitabu vya dini na vya shule vyote vimeletw kibiashara ziuzw kalataz,mekapen,pen,printer, photography mashine na kuanzisha mtahala ili watu walipie ambao wao ndo waandish na walim wa izo taaluma , mkopw sana wajomba

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 Před 3 měsíci +2

    I salute you

  • @ramaboy2390
    @ramaboy2390 Před 3 měsíci +1

    Fact bro hebu tuangalie china

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 Před 3 měsíci +1

    Kiukweli sahihi kabisa Africa tumekwama akili. Hatuna akili kabisa

  • @iddymwambene8733
    @iddymwambene8733 Před 3 měsíci +2

    Sijawai wapinga kwel mnacho ongea

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 Před měsícem +1

    Wapo waliokuwa wanatumia akili zao kama nyinyi Na walikwama

  • @asentertainmenttz3128
    @asentertainmenttz3128 Před 3 měsíci +1

    kweli aisee tungeapa kwa damu na udongo ingekuwa poa

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 Před 3 měsíci +1

    Hawa jamaa wana akili sana

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa2790 Před 3 měsíci +2

    Natamani muongee sana kuhusu mambo ya spiritual...mkitukana dini naski rahaa😂😂😂

  • @sirbaraka
    @sirbaraka Před 3 měsíci +1

    Mna akili kama zangu

  • @antonyiyona5937
    @antonyiyona5937 Před měsícem +3

    Yaani nyie jamaa mnafaa kuwa ndugu zangu IQ zenu ziko juuu kabisa

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před 3 měsíci +2

    Munaupeo wa juu ila hamueshim, imani na dini za watu, ila munatamani mueshimiwe

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  Před 3 měsíci +1

      Sio hatuheshimu, sema Tunauthubutu na ujasiri wa kuongea mambo unayoyaogopa.

    • @farajansekela5763
      @farajansekela5763 Před 3 měsíci +1

      Huyu Akili ndogo Sana ,,,mtumwa wa fikra mvivu kufikiri wachokonozi ninawakubari 💯 💯,,,,🎉🎉🎉🎉

    • @mj.tv.forpeople992
      @mj.tv.forpeople992 Před 3 měsíci

      @@wachokonozi_ huo udhubu wala siyo shida, lkn hiyo hekima imenyoka machoni pako mwenyewe tu, kwakuwa KUTUKANA na kuto eshimu watu siyo udhubutu ni uzaifu

  • @angelousfrank6945
    @angelousfrank6945 Před 3 měsíci +1

    ❤❤❤❤

  • @livingevarest7352
    @livingevarest7352 Před 3 měsíci +1

    🤝

  • @georgemovieproduction1842
    @georgemovieproduction1842 Před měsícem +1

    waapishwe kwenye asili wakati wanajua matokeo?

  • @iamk2me
    @iamk2me Před 3 měsíci

    Natamani lile somo la spirituality mlirudie kwa mapana mana mligusia kidogo Sana

  • @TevenKisaila
    @TevenKisaila Před 3 měsíci +1

    P1

  • @user-fi6po6wm8p
    @user-fi6po6wm8p Před 3 měsíci

    😂😂😂😂

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 3 měsíci

    IQ kubwa 7.6

  • @pastorzakariatv1786
    @pastorzakariatv1786 Před 3 měsíci +1

    Haya ndo madhara ya kuwa na wasomi wasio na ajila wataishije lazima wajiongeze na wanapo jiongeza ndo wanajikuta wanamkufuru aliye waumba jamani ajila haziwezi kuwaenea watanzania ni kweli wachokonozi mnaitaji kula ila kazi mliyo ichagua siyo itawagharimu kalimeni ata mchicha mtaishi tu.

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  Před 3 měsíci +3

      Uwekezaji tulionao ndani na nje ya nchi we huna.

    • @SaluMaige-sc8bm
      @SaluMaige-sc8bm Před 3 měsíci

      Wewe hujui

    • @SaluMaige-sc8bm
      @SaluMaige-sc8bm Před 3 měsíci

      @@wachokonozi_ nawaelewa sana jaman asiyeelewa akalale

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e Před 3 měsíci

      ​@@wachokonozi_😂😂😂

    • @Commentsplus
      @Commentsplus Před 3 měsíci +1

      Nchi hawezi kwenda kwa hisia na tamaduni za uoga ndugu @pastorzakariatv1786 umeongea pumba sana kwanza wachokonozi hawajakwambia wanahitaji ajira.