Hiki ndicho kilicho kichwani mwangu ndiyo maana nimekua mnafk mpaka kwa maisha yangu kwa uwoga wa kua mkweli na ninachoamni kama kila kitu uwongo tumepigwa ila naamini miaka 50 ijayo uislam na ukristo utarudi kwao asante sana
@wachokonozi mngeongezea izo photocopy mashine na printer zinatoka ulaya ,kwaiyo vitabu vya dini na vya shule vyote vimeletw kibiashara ziuzw kalataz,mekapen,pen,printer, photography mashine na kuanzisha mtahala ili watu walipie ambao wao ndo waandish na walim wa izo taaluma , mkopw sana wajomba
@@wachokonozi_ huo udhubu wala siyo shida, lkn hiyo hekima imenyoka machoni pako mwenyewe tu, kwakuwa KUTUKANA na kuto eshimu watu siyo udhubutu ni uzaifu
Haya ndo madhara ya kuwa na wasomi wasio na ajila wataishije lazima wajiongeze na wanapo jiongeza ndo wanajikuta wanamkufuru aliye waumba jamani ajila haziwezi kuwaenea watanzania ni kweli wachokonozi mnaitaji kula ila kazi mliyo ichagua siyo itawagharimu kalimeni ata mchicha mtaishi tu.
Hiki ndicho kilicho kichwani mwangu ndiyo maana nimekua mnafk mpaka kwa maisha yangu kwa uwoga wa kua mkweli na ninachoamni kama kila kitu uwongo tumepigwa ila naamini miaka 50 ijayo uislam na ukristo utarudi kwao asante sana
Bro ongera sana❤❤
Hawajamaa manenono yao yashakuwa kama chakula kila day lazma niwaangalie na kuwaskiliza video zao💥💥
Hata mimi
Huwa nawaelewa sana nyie ndugu
Kwenye silaha ambazo Mzungu amezitumia ni dini
Ukweli ndo huo wanao bisha sawaaaa
Kwa wenye akili na fikra pana tunawaelewa ila wale wenye elimu pasi na akiri yakufikili na kuelewa hua wanapingana sana nahuu uhalisia
Hahahaa,.....😂😂😂 hapo huwezi iba hata tsh 50
Africa ni curruption kila kona afu wanadai viapo
Nikija ARUSHA lazma niwatafute 💪💪💯💯🌍
😂😂😂😂big thinking
Hahaha mnajidanganya
Akili Mingi Tuko Pamoja..🙏🙏🙏
@wachokonozi mngeongezea izo photocopy mashine na printer zinatoka ulaya ,kwaiyo vitabu vya dini na vya shule vyote vimeletw kibiashara ziuzw kalataz,mekapen,pen,printer, photography mashine na kuanzisha mtahala ili watu walipie ambao wao ndo waandish na walim wa izo taaluma , mkopw sana wajomba
I salute you
Fact bro hebu tuangalie china
Kiukweli sahihi kabisa Africa tumekwama akili. Hatuna akili kabisa
Sijawai wapinga kwel mnacho ongea
Wapo waliokuwa wanatumia akili zao kama nyinyi Na walikwama
kweli aisee tungeapa kwa damu na udongo ingekuwa poa
Hawa jamaa wana akili sana
Natamani muongee sana kuhusu mambo ya spiritual...mkitukana dini naski rahaa😂😂😂
😅😅
Mna akili kama zangu
Yaani nyie jamaa mnafaa kuwa ndugu zangu IQ zenu ziko juuu kabisa
Munaupeo wa juu ila hamueshim, imani na dini za watu, ila munatamani mueshimiwe
Sio hatuheshimu, sema Tunauthubutu na ujasiri wa kuongea mambo unayoyaogopa.
Huyu Akili ndogo Sana ,,,mtumwa wa fikra mvivu kufikiri wachokonozi ninawakubari 💯 💯,,,,🎉🎉🎉🎉
@@wachokonozi_ huo udhubu wala siyo shida, lkn hiyo hekima imenyoka machoni pako mwenyewe tu, kwakuwa KUTUKANA na kuto eshimu watu siyo udhubutu ni uzaifu
❤❤❤❤
🤝
waapishwe kwenye asili wakati wanajua matokeo?
Natamani lile somo la spirituality mlirudie kwa mapana mana mligusia kidogo Sana
P1
😂😂😂😂
IQ kubwa 7.6
Haya ndo madhara ya kuwa na wasomi wasio na ajila wataishije lazima wajiongeze na wanapo jiongeza ndo wanajikuta wanamkufuru aliye waumba jamani ajila haziwezi kuwaenea watanzania ni kweli wachokonozi mnaitaji kula ila kazi mliyo ichagua siyo itawagharimu kalimeni ata mchicha mtaishi tu.
Uwekezaji tulionao ndani na nje ya nchi we huna.
Wewe hujui
@@wachokonozi_ nawaelewa sana jaman asiyeelewa akalale
@@wachokonozi_😂😂😂
Nchi hawezi kwenda kwa hisia na tamaduni za uoga ndugu @pastorzakariatv1786 umeongea pumba sana kwanza wachokonozi hawajakwambia wanahitaji ajira.