RAYVANNY : ALICHOFANYA HARMONIZE SIO SAWA/ FAMILIA INATUKANWA / ANGALIA MAUZO YAKE / ZUCHU
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 13. 04. 2021
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Our hero artist we appreciate you go ahead in the industry of music
Rayvanyy iz good walimchokozaa wakamuanikaa mbelee za watuu na yy aka do like wisee kamaa unaaminii rayvay is the top wekaa comment
Rayvananny una busara saaana big up young boss ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ you are the best
Oza likolo
Tika ba biloko nayo ya pamba pamba
Vannny boy you just a star well done ;your humbleness is on another level
Yaani nime vutiwa sana tena sana na Interview yako,ni kweli kabisa tukifuata wasia wako Tanzania we are so reach in Music and.....if we can come together and knowing this is us Wow!!!hakuna matata.
Your so brief dear๐ค
Rayvanny trรจs bien ๐๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉkitoko makasi
We are so proud of you guys Zuchu woyooo nampenda sana
kaka mungu azidi kubaliki kazi ya mikono yako coz unabusara na ujua nini unachokifanya be blessed brother
Nakupenda sana sana vany boy mtu na busar zake acha tu nikupend bure kwa kweli chukua mikumi tena kwa mond acha tu niseme nawapenda wasaf wote ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Rayvanny๐ฅ๐ฅ
Courage rayvanny
Vanny boy ๐ฆuko smart na akili nzuri sana twakupenda sana ๐. Kasura kako nitakuomba one day
wasafi mnapenda majungu sana
Kizazi sana big bro๐๐จ๐ฉ๐๐ผ
Njembe Yangu Am proud of you
Ila mtu anamjua mungu awezi kumlaumu harmonize ni mtu anapambana kivyake wivu wa wcb ni kuwa harmonize hayuko kuwaletea pesa harmonize mungu amzidishie
Exactly Vanny. I wish if you could focus and stay calm. Success make haters midomo ng'waaaaaaaaaaaaaaaaa๐ฒ๐ฒ๐ฒ
From Uk ๐ฌ๐ง๐ฌ๐ง๐ฌ๐ง๐ฌ๐ง Rayvan mitano tena โโ
Nakukubali vanny boy piga kazi achana na majungu ya watu
u are the best of the best even diamond knows that
Interview kaaali,,, Van๐ฅ๐ฅ๐ฅ
I don't think Harmonize is a bad person, he just did bad things. Hopefully he gets the mentorship and direction he needs to succeed. I wish all success, health and most importantly, God in your hearts.
Tunashukuru kwa kutuheshimisha wana mbeya๐
Much love brw kenya tunakupenda Sana keep it up brw
Pamoja sana
mtu wa kuonyesha unyenyekevu kwenye interview,hapendi kiki,pongezi ๐
Vanny boy๐ฏ
All the best in (Next Level Music)
โI am the best than youโ Rayvanny ongea kiswahili kama kizungu ni shida.
You say โBetter than you sio Best than youโ
Kuna good better na best lakin
Ndio kujifunza kwenyewe
umenichesha bwanaaa
Merci frรจre
Mm kama dolnato nampa hongera zake
Ma body guard wa nin ndan ya studio!! Wanazuia sound waves nn๐๐๐๐
๐๐๐
One Way TANZANIA Makes Money,,,#HomeofAfricanMusic
Ve vanny boy nakubaliii sanaa broo
Hao mabodigadi mbona wengi hivyo jmn...๐ณ kama ma-dancers ๐... by the way Rayvanny unajua sana muziki... big up bro ๐
The way he look dark though, I dkn if is the camera or?
Asaweza kuwa Harmonize hakufanya poa.Lakini kwa sheria za nchi Janga linamuangukia ALIYEVUJISHA HAYA MAMBO.....NI WEWE VANNY NA PAULA.
Rayvanny you are very smart upstairs
So nice
Lilyommy uwezi kwepa maswali yake ..He comes with all directions till he get satisfied with it
UKI SEMA UNA TAKA KUWA NUMBER ONE UTAFUTWA KAZI BRO
Wasafi headline tu inauza sabb mmeandika jina la jeshi HARMONIZE babake ๐๐๐
Alf mnawek upuuzi tu wa huyo Vanny boy shoga....
Mwanaume unampost dudu la mwenzako we mwehu kwel
For kenya nipe like
Rayvanny ๐๐๐๐ท๐ผ๐ท๐ผ๐ท๐ผ
Grand merci ร vous vanny boy mbote ya kitoko ku peleka music mbali sana tuna kupenda san kutoka dr congo
Ok mumuache masikini wetu
Wabongo mnapenda kiki na masinema lini mtaishi kama ndugu wa mama mmoja lakini baba tofauti
Nakubali mnyama chui
That's my boy
Cjawah kujutia kuwa shabiki ykooo vvann boy
Ki upande Wang wcb naipenda sana
Asante
๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Great
Ushauri wako mzuri sana but ungeanza na wewe ili uwe mfano ingeleta maana,but sioni hiyo kauli imetoka deep of your heart maana haifanani na matendo ni vile tu uko mbele ya kamera.
Rayvanny is good but what he did is not good he is more than that๐๐๐respect is the best thing
what things which is not good
@@georgemaiko5752 wym???respect is the best thing is that so hard to understand??
Hata mm mwenyewe sikuelewi kabisa maana umesha kuwa na vimaneno Sana Kama mwanamke
Nomaaa
Ravnyn kasha kuja Chuiii โคโค
Mko kiyo ca Tanzania na Afrika yote kwa ujumla, mliona Ethiopia na Burkina Faso, they don't speak swahili but wanawafuatiliya 100%, sรฅ the medias ao wabaya wenu wanaweza kutumiya the medias kuwa destroyed sรฅ be carefull kwenye interviews, your privat life....
NB: YOU ARE VERY YOUNG WASAFITV, SOMENI, TAKE SAME COURSES, IMPROUVE YOUR KNOWLEGESโค๏ธ
Nextilevo misic Chuiii
Baba ni baba jamn ๐๐๐๐โค
Harmo axhakuwa kama maji bila kuoga utayanywa anawasumbua sana du yan sasa iv interviewie za wasafi bila kumtaj tembo hawaend
Wasafi shirika la uongo na unafiki.
Usijar chui mungu atakusaidia2
nakubal xana rayvany mr big name chui
Nice
Pamj mdogo wang pga kaz
kweli kabisa sasa munjomba chumari yeye bila shuki nafitna zake atakwenda kweli
Good
Toka wasafi bro
Aende wap
Saf sana van
Nakupenda vany boy
Fanyeni kazi acheni chuki na hasadi na wivu wote ni watanzania mnaitakiwa mfanye kazi ili muitangaze nchi yetu acheni mambo ya kike
Nyie ndo wapumbavu ..napenda Mziki wenu Ila kwa hill mpekurupuka..kama kafanya harmonize kwann upost maan hiyo haikuhusu wewe..arafu bad enough unamzaririsha mwanaume kiss dem..shame on u...yani dem ambaye kesho yupo Kqa mwingine mbona we sio mgeni wawanawake...usiharibu uwanaume wako wewe..wapotezee Fanya mziki wako...ndo man harmo kamsema dem hajagomban namtu...na baba levo kafanya Kitu cha kis..GE sana dah..mmetia aibu mmekirupuka... Mnatuangusha wanaume wote yani.
๐ง๐ง๐บ๐
vanny ๐ฏ๐ฏ
Hayo maneno Rayvan ungeenda kumwambia Babako mondy
Sahih
Background music is too loud
Nakupenda sana nakukubal VANNY BOY
Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii NEXTl LEVO MISIC RAVNNYN Chuiii NEXTl LEVO MISIC
Next level to di world ๐๐คฃ
Qwn ulikuwa unamtaka...unaumia chini kwa chini๐๐
Kuhusu Alikiba ๐
Strategies tu tunaanza taratibu wapenz fans๐ฅ๐ฅ
Ray uko poa mnyoshe uyo mshambaa
Ww waongea kama nani jinga sana
@@mymunamymuna4807 hahaha come on ๐
Vanny bwoy ๐ฅ๐ฅ
Uko sahihi Sana Vany, yaan jamaa kazingua Sana unajua walimpenda kutokana na nyimbo zake maana alitanguliza Kuwa ni mtu mwenye upendo, anajua kulipa fadhira pia ni mtu anaemtanguliza Mungu, kumbe amna chochote, kupitiar wimbo wake wa vibaya ndo nimepata picha nzima kumbe alimcha mzungu kwa tamaa zake, kumbe ata kutoka WCB Nitamaa tu, Kama angekuwa ni mtu anajua kulipa fadhira asingetoka WCB na hasinge muacha Mzungu wakati yote ni mikono iliyo msaidia, Daaah jamaa uyu sijui kawaje tu tulipenda Sana tukijua atakuwa mtu mwenye busara Sana lakin Dunia imemchanganya kwa pesa kidogo aliyoipata Kabadilika kutoka kwenye Utu Daaaah!!!
Mfadhili mamaako kwaza
@@fatmamamlo7882Ooooh Vizuri Sana unaonekana unakipaji Cha kutukana kaza Sana inaweza pia ikawa njia ya mafanikio yako๐ค
@@sponsorboyofficialtz1191 kwani mtu kufadhili mamaak matusi kumbe hujatukanwa weye
@@fatmamamlo7882 Sasa ww nani aliekwambia Mama yangu anataka kufadhiriwa, unamjua Mama yangu ni nan hapa Tz, usione upo mtandaoni ukajua chochote unaweza kuongea kwa kujifurahisha kwako be careful my Friend
@@sponsorboyofficialtz1191 hata kama awe nani haijarishi ungekaa kando na mitandao wala usinge yaketi mwana kulitafuta
Mkn buro NLM macvoce piga kasi NLM RAVNNYN piga kasi pambana buro NLM piga kasi lebo niyako pambana buro NLM
Kwahio harmo kutukanwa ipo sawa manina mkuki kwanguruwe
Kiba amezimika sana uwezi kumfananisha na wasafi asogei ata nusu
Ray vany ni fala sii kidogo
Vanny bwaaay
Kuna bodgad mmoja apo sio profeshno mana anakatika katika tuuuh mmh
Vanboy bwege kapisaa
Nimependa maneno yako
Nimependa bora hujataja hayo majina ya hao wasanii
Love is the keyโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ
Kumbe mnasafiria jina la Harmonize
Ray,
You are wonderfull, maneno maneno hayana maana, chuki chuki haina maana kwa sababu kile Mungu alokupangia, no one can change it.
Believe and trust God, work hard, be humble.
WasafiTV, your Boss is young but he is full of wisdom, look at him like your rollmodel mtafika mbali.
We respect you, msijushushe kwa ku ingiya kwenye mbambo yasokuwa na faida, hata mtuu akiwatukana, don't ever respond.
Wa faransa wanasema eti : on repond les imbeciles par le silence.
Chuiiii ๐ uko na busara Sana japo Kuna mbwa Zina uelewa mdogo ndio zitakuponda
UNAJIKOSHA
Mi huwa namuelewaga sana huyu homeboy v vannyboy chuiiiii