BIG CHAWA FT NOORAH HUYU HAPA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 168

  • @omarykitololi447
    @omarykitololi447 Před 2 lety +3

    Big up noorah brother wengine wakitoka kwenye music wanatumbukia kwenye madawa lakin kaka ujaingia kwenye lile balaa mungu akulinde maisha ndo yale yale tuu

  • @dramachatta3851
    @dramachatta3851 Před 4 lety +51

    Ebhana uyu big chawa anafanya kitu tofauti sanaaaaaaaaaaa yani anawafichua watu ambao hata hatujui wako wapi ni kitu bora sanaaaaaaaaaaa na tofauti sanaaaa

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 Před 4 lety +39

    Hawa ndo wamehangaikia mziki wa bongo flavour siwezi laumu kwa nini haujawapa mafanikio makubwa maana nyakati zao platforms zilikuwa chache lkn pia technology haikuwa juu kama sasa enzi hizo ilibidi utoe album ili watu wakuelewe maana walitumia cassette(kanda)..sasa hv kuna ma-CZcams na mazaga kibao

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 Před 2 lety +3

    Legendary Kama legendary kitambo Sanaaa broo noorah 👊🇹🇿

  • @kiun08
    @kiun08 Před 2 lety +2

    Umetuwakilisha vizuri sana SHY TOWN kwenye Music...Much Respect Bro

  • @toonblastplayer1042
    @toonblastplayer1042 Před 3 lety +2

    Noorah is my favorite artist of all time from Tanzania. Please, mwambie tunahitaji nyimbo.

  • @ditrickdamyen4012
    @ditrickdamyen4012 Před 4 lety +2

    Big Chawa umetisha sana. Asante sana na nimependa maisha ya uhalisia ya Noorah

  • @Remmy_Remmah
    @Remmy_Remmah Před 4 lety +17

    Yani sijawahi kuchoka kuskiza nyimbo zako....haswa "ice cream " i still have it in my playlist👌🏾👌🏾big up sana

  • @doullateljabii6264
    @doullateljabii6264 Před rokem +2

    Best rap wangu baba star

  • @jacobmasyaga1293
    @jacobmasyaga1293 Před 4 lety +12

    Noorah True BF Legendary. Although now a Business man. He can still made a dash back some days. Hail Noorah My Son. Happy to know you are alive and well!

  • @benlaizer9936
    @benlaizer9936 Před 4 lety +3

    Mimi ni miongoni mwa watu walioadhirika kwa kukosa hits zako kwa muda mrefu natamani urudi kwa game kaka!!!

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon4554 Před 4 lety +5

    Penda sana huyu jamaa ngoma zake zote nitatupa simu,nitauza,itaibiwa, lakini muziki wake haukosi kwa simu yangu. wasanii wote wa enzi nzetu hawanaga mikogo kama yakina naniiii???💪💪🙏🙏

  • @sontrillthereal8186
    @sontrillthereal8186 Před 4 lety +10

    Ukikaa na huyu bro utapata MADINI SANA.💪

  • @Kimbururu
    @Kimbururu Před 2 lety +1

    "Tikisa tena, katikakatika, maa umeng'aa ulivyo jidabikadabika, na usione soo kuwa nami usiulize wapi wakati uuunavyocheza unanidatisha datishaa." This is THE best part of the whole track

  • @muhdmimu8857
    @muhdmimu8857 Před 3 lety +1

    Noorah kitambo sana
    #One the Incredible

  • @shakilahasani2790
    @shakilahasani2790 Před 4 lety +27

    Arudi kwenye game bana kumedoda tunataka wasanii wetu wazamani warudi wote

  • @amosmaiko5523
    @amosmaiko5523 Před 4 lety +1

    Tulioangalia nywele za noora tujuane😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @chalreschungu5066
    @chalreschungu5066 Před 4 lety +6

    Anafanana na Mengi was Ipp

  • @tumainifuraha199
    @tumainifuraha199 Před 4 lety +5

    Baba staz yooh daah bro mmoja hiv ambaye alkuwa mbele ya muda sana #G.O.A.T

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo2432 Před 3 lety

    Huyu broo fundi sana

  • @thebeautycafewithdrnyorita

    Noorah you were awesome.🤛🏽

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 Před 4 lety +10

    Jamaa flow yake ilikuwa special sana, ngoma kali kutoka kwake ni Icecream na Babastyles

  • @maulidrehani
    @maulidrehani Před 4 lety +5

    noorah msanii nliependa flow zake back in the days

  • @josephmwafumu7701
    @josephmwafumu7701 Před 3 lety

    Waasisi wa bongo music much respect all legends

  • @marryemmanuel4254
    @marryemmanuel4254 Před 2 lety

    Dada ake tulikua nae nyamanoro mwanza na tulikua tukimuona Sana tu

  • @chrispinelux6765
    @chrispinelux6765 Před 8 měsíci

    Top artist love the song u did with kiba

  • @tolekabungi3168
    @tolekabungi3168 Před 4 lety +5

    Huyu mchizi namkubali sana kitambo hiko hapa gwea huku Juma mchopang a.k.a J mo ilikua shida wakikutana jukwaa moja wapi Mchizi mox

  • @milelestudios1050
    @milelestudios1050 Před 4 lety +10

    Mimi na huyu jamaa ndio wenye pua nzuri za kijanja tz.
    Gonga like nyingi sasa

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 Před 4 lety +16

    Kweli chawa nimekukubar umenitafutia huyu mtu dah nilikua napenda Aina yamziki wake

  • @deepconcept2020
    @deepconcept2020 Před 4 lety +4

    Original Talent. Much lov from alcapaino

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 Před 4 lety +4

    Nimefurahi kumuona Nura....
    Be bless brother

  • @danielsama1576
    @danielsama1576 Před 4 lety +2

    Bro @bigchawa salute mingi Sana asee nimejikuta nafrai mpaka machozi asee maana Street wananiitaga baba style ety tumefanana Sana hata hvyo 2008 pale monduli teachers college/vipaimara Kule moshi niliperfom ngoma zake.....bro nafkr ulipatwa na stress ming uki compare baadhi ya Wana chamber wako mbele ya haki.... Mungu awalaze Mahalo Pema pepon Albert|Mezb......game bado inakudai #noorah nafkr kwa sasa inalipa Zaid maana malipo mengi ya takuja straight to ur hands..... #weloveibro #shytownbaby #zai #nani #vijimambo #hanitaki #mapenzisinema #ukurasawapili #tulianzishe #icecream #kaziraha #imbanami #hustler #tumefika #chambervernment

    • @bigchawa942
      @bigchawa942  Před 4 lety +1

      Aaa get blessed Daniel...life

    • @danielsama1576
      @danielsama1576 Před 4 lety

      @@bigchawa942 japo kitaa kinabana yeeaah kaza buti
      Wajinga kila siku wa naongea ongea uzushi
      Aaagh Chana nao ukiona uongo bora ushoot (ngwair)
      Ucjali bado nipo mbali nao hawanikuti hawajui tulipotoka wanatuskia tu kwa radio
      Hits baada hits japo tunaandikia studio
      Kwenye beat kama hili la Pancho (R.I.P) uuuuhhaaa ndo Playlist napita nayo kwa sasa Noorah ft Mangwair prod by Pancho Latino

  • @atikombogolo2356
    @atikombogolo2356 Před 4 lety

    Msaanii msanii tuu dah..yaani hapo umeshachanganya mambo tayari

  • @twaibumkoba4315
    @twaibumkoba4315 Před 4 lety +7

    Big Chawa umetibu kiu yangu,nimekuwa nikitafuta sana interview ya huyu mwamba.

    • @bigchawa942
      @bigchawa942  Před 4 lety +1

      Appreciate Twaibu...thanks

    • @danielsama1576
      @danielsama1576 Před 4 lety +1

      Kumbe tuko wengi asee nimejikuta nalia maana kipnd hyo nili nunua Kanda ya huyu jamaa

  • @jenipherkamugisha3706
    @jenipherkamugisha3706 Před 4 lety +1

    Daaa nilipenda miziki yake hatari

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 Před 4 lety +1

    Duh nimeshangaa San kumbe yupo dah hongera sna

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 Před 4 lety +9

    Nimeiona This is simba kwa mbaaliii

  • @jamesmodesty2851
    @jamesmodesty2851 Před 4 lety +4

    Big chawa leo ndio nime sab scrib sababu unajali sana god bless you

  • @toonblastplayer1042
    @toonblastplayer1042 Před 3 lety

    Noorah is my brother from another mother. Please, game inamuhitaji

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Před 4 lety +3

    Nimependa interview zako big chawa maana unawafata walipo

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 Před 4 lety

    Noorah umekuwa mdingi kinoma yaani...sema nyie ndo malegend wa Bongo flava mliipaisha sana...Nice to see you again bro✌🏽

  • @georgengakuka3420
    @georgengakuka3420 Před 4 lety +8

    Ludi kwenye gem mzee baba wewe unaweza sana

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 4 lety +6

    Ice cream bonge la ngoma....noorah mnamwezi enzi hizo...

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 Před 4 lety

    Ulikomtoa noora daaa mungu anakuona, Unanitega

  • @madaisaide6971
    @madaisaide6971 Před 4 lety

    Noorah na kumbuka vujimambu

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Před 4 lety +7

    Nimependa hii

  • @mapoghamapogha4100
    @mapoghamapogha4100 Před 4 lety

    Jamaa amechana kinoma

  • @mohamedimustafa6326
    @mohamedimustafa6326 Před 4 lety +1

    Miaka mia noorah

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 Před 4 lety +1

    Baba styles be blessed bro ##

  • @mufasa2079
    @mufasa2079 Před 4 lety

    Heshima tu Noorah the King

  • @barick
    @barick Před 4 lety

    Napenda sana noorah aka baba!?OK napenda

  • @barnabasanga7552
    @barnabasanga7552 Před 3 lety

    Noorah kumbe umri umeenda

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Před 4 lety +5

    Ulisemaga hautakuja kunenepa wewe na mwanafa ila saiv mmh kweli usimtukane mamba. Hakuna mwembamba duniani. Umejengeka utadhan umekula ciment

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Před 4 lety +1

    smart and wise nigga nakukubali sana respect bro

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 Před 4 lety +3

    Nilimpenda sana adi watu waliniitaga noorah 🤔🤔🤔
    Nnachompongeza na maaamuz yake ya kuacha kumuimbia sheitwan na kurud ktk ibad kwa ajil ya maisha yake ya baadae 😢😢

  • @jobbup0lly700
    @jobbup0lly700 Před 4 lety

    Hoya Nurah ludi kwenye game groh

  • @officialt-starboy9343
    @officialt-starboy9343 Před 4 lety

    We jamaa unajua sana Nuraa rudi kwa game broo

  • @mongelimahene5384
    @mongelimahene5384 Před 4 lety +4

    Mkali Noorah, safi sana complex product

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 3 lety

    Umefanana na mzee
    Mengi

  • @fredricjames774
    @fredricjames774 Před 4 lety +3

    Plz plz plz noorah mbn bado uko vzur kwenye game? Unakwama wapi brooooo????

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +2

    SO SERIOUZ KWAKWEL I LVE IT

  • @msafiribakari5941
    @msafiribakari5941 Před 4 lety

    Lugha gongana

  • @joycewijsman1014
    @joycewijsman1014 Před 4 lety

    Baba styles da jamaa mkali sana

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Před 4 lety

    Dah,kakua noora jamani daa

  • @lakimdiu2547
    @lakimdiu2547 Před 4 lety

    Uishi miaka mingi yeye baraka tele

  • @mtembezikipara8623
    @mtembezikipara8623 Před 4 lety

    Mwana umepotea sana

  • @mtedewede22
    @mtedewede22 Před 4 lety +3

    Poor management hahahahaha hahahahaha kama rungu la kipepe

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 4 lety +2

    Man! I like this😊

  • @NelisonHenry
    @NelisonHenry Před 10 měsíci

    iko pw iyooo

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před rokem

    Kila lakheri Noorah, akili nyingi

  • @dach_addiction9557
    @dach_addiction9557 Před 4 lety +2

    Baba styles respect bro

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 Před 2 lety

    Daah mwana chemba

  • @mchovu4761
    @mchovu4761 Před 4 lety +2

    Nliskitika kuskia mez b alkufa yani waltoa dude kali

  • @zindunadeson1675
    @zindunadeson1675 Před 4 lety +3

    Homeboi baba stars

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 4 lety +2

    Baba styleee

  • @barakalunyungu8454
    @barakalunyungu8454 Před 4 lety +1

    Huyuu jamaa anajua kinoouma yn

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před 4 lety +2

    team kaziii gusa like apa...

  • @ponsiankahesi3458
    @ponsiankahesi3458 Před 4 lety

    Norah amechangamuka sana

  • @islamkarata9655
    @islamkarata9655 Před 4 lety

    Lugha gongana..

  • @richardmasenga2737
    @richardmasenga2737 Před 4 lety

    uyo mnyamwezi arudi ktk game uku wanazingua

  • @mussajacob8346
    @mussajacob8346 Před 4 lety +3

    Bg chawa mtafte kali p tujue yuko wapi

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Před 4 lety +1

    Mzee wa vijimambo

  • @khadjasalum8610
    @khadjasalum8610 Před 4 lety

    Jamani natamani zamani ijirenew tena

  • @directorjp5783
    @directorjp5783 Před 4 lety +4

    Mtangazaji unazingua!! Sijui una haraka za nini kweny kuuliza mtu hajamaliza swali umemkatisha !! Au memory ya camera ilikua inajaa!???? 🤣🤣😬😬😬

    • @geeva99
      @geeva99 Před 4 lety

      Mtangazaji anawenge Norah anajielewa sana ila credit kwa mtangazaji idea nzuri kufanya interview yakihenga

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Před rokem

    2022

  • @jumabukko7283
    @jumabukko7283 Před 4 lety +3

    A very sincere interview.

  • @johnsonfrodianus6237
    @johnsonfrodianus6237 Před 4 lety +2

    Noorah

  • @DonKhalifah
    @DonKhalifah Před 4 lety

    Nakumbuka Lugha gongana

  • @salummohamed3199
    @salummohamed3199 Před 4 lety +4

    Jamaa hivi ule ugonjwa wa kusahau umemuisha

  • @jasminetesha8225
    @jasminetesha8225 Před 4 lety +1

    Ice cream mbari sana broo

  • @joeboythefuture8135
    @joeboythefuture8135 Před 4 lety

    Nakubal

  • @khalifajuma5569
    @khalifajuma5569 Před 4 lety

    Nomaaaaaaa

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Před 4 lety +2

    Vijimambo tu, sijui kwanini hukutoaga nyimbo nyingiii saaana halafu saiv ndio uendelee na biashara zako. Maana ulituonjeshaga radha tofaut kidogo tu kwa style ile ukatuacha hewani. Uwe unarudi hata na moja moja basi kama FA. Ila nyimbo yako ya icecream niliwahi kupatiaga demu kishuleshule.

  • @richardkazungu9462
    @richardkazungu9462 Před 4 lety

    Misss u noooh

  • @nassorsuleiman5427
    @nassorsuleiman5427 Před 4 lety

    5 NOORAH

  • @Mamsocom
    @Mamsocom Před 4 lety

    Namkubali sana

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 Před 4 lety +2

    Daaah jamaa kama bado tatizo lake la kupoteza kumbukumbu bado lipo kwa mbali

  • @francisnyaji5000
    @francisnyaji5000 Před 4 lety +1

    Dah kitambo

  • @famitonawanda4831
    @famitonawanda4831 Před 4 lety +1

    Mbona pana kelele sana na hapanyeshi mvua

    • @asma2464
      @asma2464 Před 4 lety

      Mvua inanyesha hapo

    • @bahatidaddy1
      @bahatidaddy1 Před 4 lety

      Aisee, tupa hicho kimeo unachotumia kuangalizia

    • @asma2464
      @asma2464 Před 4 lety +1

      @@bahatidaddy1 hahahahaa. Anasema mvua hainyeshi? Hajasikia mpaka mwisho mazungumzo yao wanzungumzia mvua. Na ukitizama kabisa mvua inanyesha. Huyu jamaa vipi

    • @wazirisukari5178
      @wazirisukari5178 Před 4 lety

      Hahahaaa mvua inanyesha mzee