Big up noorah brother wengine wakitoka kwenye music wanatumbukia kwenye madawa lakin kaka ujaingia kwenye lile balaa mungu akulinde maisha ndo yale yale tuu
Ebhana uyu big chawa anafanya kitu tofauti sanaaaaaaaaaaa yani anawafichua watu ambao hata hatujui wako wapi ni kitu bora sanaaaaaaaaaaa na tofauti sanaaaa
Hawa ndo wamehangaikia mziki wa bongo flavour siwezi laumu kwa nini haujawapa mafanikio makubwa maana nyakati zao platforms zilikuwa chache lkn pia technology haikuwa juu kama sasa enzi hizo ilibidi utoe album ili watu wakuelewe maana walitumia cassette(kanda)..sasa hv kuna ma-CZcams na mazaga kibao
Noorah True BF Legendary. Although now a Business man. He can still made a dash back some days. Hail Noorah My Son. Happy to know you are alive and well!
Penda sana huyu jamaa ngoma zake zote nitatupa simu,nitauza,itaibiwa, lakini muziki wake haukosi kwa simu yangu. wasanii wote wa enzi nzetu hawanaga mikogo kama yakina naniiii???💪💪🙏🙏
"Tikisa tena, katikakatika, maa umeng'aa ulivyo jidabikadabika, na usione soo kuwa nami usiulize wapi wakati uuunavyocheza unanidatisha datishaa." This is THE best part of the whole track
Bro @bigchawa salute mingi Sana asee nimejikuta nafrai mpaka machozi asee maana Street wananiitaga baba style ety tumefanana Sana hata hvyo 2008 pale monduli teachers college/vipaimara Kule moshi niliperfom ngoma zake.....bro nafkr ulipatwa na stress ming uki compare baadhi ya Wana chamber wako mbele ya haki.... Mungu awalaze Mahalo Pema pepon Albert|Mezb......game bado inakudai #noorah nafkr kwa sasa inalipa Zaid maana malipo mengi ya takuja straight to ur hands..... #weloveibro #shytownbaby #zai #nani #vijimambo #hanitaki #mapenzisinema #ukurasawapili #tulianzishe #icecream #kaziraha #imbanami #hustler #tumefika #chambervernment
@@bigchawa942 japo kitaa kinabana yeeaah kaza buti Wajinga kila siku wa naongea ongea uzushi Aaagh Chana nao ukiona uongo bora ushoot (ngwair) Ucjali bado nipo mbali nao hawanikuti hawajui tulipotoka wanatuskia tu kwa radio Hits baada hits japo tunaandikia studio Kwenye beat kama hili la Pancho (R.I.P) uuuuhhaaa ndo Playlist napita nayo kwa sasa Noorah ft Mangwair prod by Pancho Latino
Nilimpenda sana adi watu waliniitaga noorah 🤔🤔🤔 Nnachompongeza na maaamuz yake ya kuacha kumuimbia sheitwan na kurud ktk ibad kwa ajil ya maisha yake ya baadae 😢😢
Vijimambo tu, sijui kwanini hukutoaga nyimbo nyingiii saaana halafu saiv ndio uendelee na biashara zako. Maana ulituonjeshaga radha tofaut kidogo tu kwa style ile ukatuacha hewani. Uwe unarudi hata na moja moja basi kama FA. Ila nyimbo yako ya icecream niliwahi kupatiaga demu kishuleshule.
@@bahatidaddy1 hahahahaa. Anasema mvua hainyeshi? Hajasikia mpaka mwisho mazungumzo yao wanzungumzia mvua. Na ukitizama kabisa mvua inanyesha. Huyu jamaa vipi
Big up noorah brother wengine wakitoka kwenye music wanatumbukia kwenye madawa lakin kaka ujaingia kwenye lile balaa mungu akulinde maisha ndo yale yale tuu
Ebhana uyu big chawa anafanya kitu tofauti sanaaaaaaaaaaa yani anawafichua watu ambao hata hatujui wako wapi ni kitu bora sanaaaaaaaaaaa na tofauti sanaaaa
Drama Chatta kabisaaaaaaaaaaaaa
Aaaa thanks alot Drama
Hakika
Hawa ndo wamehangaikia mziki wa bongo flavour siwezi laumu kwa nini haujawapa mafanikio makubwa maana nyakati zao platforms zilikuwa chache lkn pia technology haikuwa juu kama sasa enzi hizo ilibidi utoe album ili watu wakuelewe maana walitumia cassette(kanda)..sasa hv kuna ma-CZcams na mazaga kibao
Legendary Kama legendary kitambo Sanaaa broo noorah 👊🇹🇿
Umetuwakilisha vizuri sana SHY TOWN kwenye Music...Much Respect Bro
Noorah is my favorite artist of all time from Tanzania. Please, mwambie tunahitaji nyimbo.
Big Chawa umetisha sana. Asante sana na nimependa maisha ya uhalisia ya Noorah
Yani sijawahi kuchoka kuskiza nyimbo zako....haswa "ice cream " i still have it in my playlist👌🏾👌🏾big up sana
Best rap wangu baba star
Noorah True BF Legendary. Although now a Business man. He can still made a dash back some days. Hail Noorah My Son. Happy to know you are alive and well!
Mimi ni miongoni mwa watu walioadhirika kwa kukosa hits zako kwa muda mrefu natamani urudi kwa game kaka!!!
Penda sana huyu jamaa ngoma zake zote nitatupa simu,nitauza,itaibiwa, lakini muziki wake haukosi kwa simu yangu. wasanii wote wa enzi nzetu hawanaga mikogo kama yakina naniiii???💪💪🙏🙏
Ukikaa na huyu bro utapata MADINI SANA.💪
"Tikisa tena, katikakatika, maa umeng'aa ulivyo jidabikadabika, na usione soo kuwa nami usiulize wapi wakati uuunavyocheza unanidatisha datishaa." This is THE best part of the whole track
Noorah kitambo sana
#One the Incredible
Arudi kwenye game bana kumedoda tunataka wasanii wetu wazamani warudi wote
Shakila Hasani yaan tunawamiss sana maana saiz mzik unamapengo meng xn
Tupo tulio umiss muziki O.G
Tupo wengi tulio umiss muziki O.G
Kweli. Dada
Tulioangalia nywele za noora tujuane😀😀😀😀😀😀😀😀
Anafanana na Mengi was Ipp
Baba staz yooh daah bro mmoja hiv ambaye alkuwa mbele ya muda sana #G.O.A.T
Huyu broo fundi sana
Noorah you were awesome.🤛🏽
Jamaa flow yake ilikuwa special sana, ngoma kali kutoka kwake ni Icecream na Babastyles
noorah msanii nliependa flow zake back in the days
Waasisi wa bongo music much respect all legends
Dada ake tulikua nae nyamanoro mwanza na tulikua tukimuona Sana tu
Top artist love the song u did with kiba
Huyu mchizi namkubali sana kitambo hiko hapa gwea huku Juma mchopang a.k.a J mo ilikua shida wakikutana jukwaa moja wapi Mchizi mox
Mimi na huyu jamaa ndio wenye pua nzuri za kijanja tz.
Gonga like nyingi sasa
hahahaha
😂😂😂😂MNatumalizia hewa
Kweli chawa nimekukubar umenitafutia huyu mtu dah nilikua napenda Aina yamziki wake
✋ thanks
Original Talent. Much lov from alcapaino
Nimefurahi kumuona Nura....
Be bless brother
Bro @bigchawa salute mingi Sana asee nimejikuta nafrai mpaka machozi asee maana Street wananiitaga baba style ety tumefanana Sana hata hvyo 2008 pale monduli teachers college/vipaimara Kule moshi niliperfom ngoma zake.....bro nafkr ulipatwa na stress ming uki compare baadhi ya Wana chamber wako mbele ya haki.... Mungu awalaze Mahalo Pema pepon Albert|Mezb......game bado inakudai #noorah nafkr kwa sasa inalipa Zaid maana malipo mengi ya takuja straight to ur hands..... #weloveibro #shytownbaby #zai #nani #vijimambo #hanitaki #mapenzisinema #ukurasawapili #tulianzishe #icecream #kaziraha #imbanami #hustler #tumefika #chambervernment
Aaa get blessed Daniel...life
@@bigchawa942 japo kitaa kinabana yeeaah kaza buti
Wajinga kila siku wa naongea ongea uzushi
Aaagh Chana nao ukiona uongo bora ushoot (ngwair)
Ucjali bado nipo mbali nao hawanikuti hawajui tulipotoka wanatuskia tu kwa radio
Hits baada hits japo tunaandikia studio
Kwenye beat kama hili la Pancho (R.I.P) uuuuhhaaa ndo Playlist napita nayo kwa sasa Noorah ft Mangwair prod by Pancho Latino
Msaanii msanii tuu dah..yaani hapo umeshachanganya mambo tayari
Big Chawa umetibu kiu yangu,nimekuwa nikitafuta sana interview ya huyu mwamba.
Appreciate Twaibu...thanks
Kumbe tuko wengi asee nimejikuta nalia maana kipnd hyo nili nunua Kanda ya huyu jamaa
Daaa nilipenda miziki yake hatari
Duh nimeshangaa San kumbe yupo dah hongera sna
Nimeiona This is simba kwa mbaaliii
Big chawa leo ndio nime sab scrib sababu unajali sana god bless you
AMEN
Noorah is my brother from another mother. Please, game inamuhitaji
Nimependa interview zako big chawa maana unawafata walipo
Noorah umekuwa mdingi kinoma yaani...sema nyie ndo malegend wa Bongo flava mliipaisha sana...Nice to see you again bro✌🏽
jiran yangu
Ludi kwenye gem mzee baba wewe unaweza sana
Ice cream bonge la ngoma....noorah mnamwezi enzi hizo...
Ilo. Puwa. Duuu
Ulikomtoa noora daaa mungu anakuona, Unanitega
Noorah na kumbuka vujimambu
Nimependa hii
Jamaa amechana kinoma
Miaka mia noorah
Baba styles be blessed bro ##
Heshima tu Noorah the King
Napenda sana noorah aka baba!?OK napenda
Noorah kumbe umri umeenda
Ulisemaga hautakuja kunenepa wewe na mwanafa ila saiv mmh kweli usimtukane mamba. Hakuna mwembamba duniani. Umejengeka utadhan umekula ciment
smart and wise nigga nakukubali sana respect bro
Nilimpenda sana adi watu waliniitaga noorah 🤔🤔🤔
Nnachompongeza na maaamuz yake ya kuacha kumuimbia sheitwan na kurud ktk ibad kwa ajil ya maisha yake ya baadae 😢😢
Hoya Nurah ludi kwenye game groh
We jamaa unajua sana Nuraa rudi kwa game broo
Mkali Noorah, safi sana complex product
Umefanana na mzee
Mengi
Plz plz plz noorah mbn bado uko vzur kwenye game? Unakwama wapi brooooo????
SO SERIOUZ KWAKWEL I LVE IT
Lugha gongana
Baba styles da jamaa mkali sana
Dah,kakua noora jamani daa
Uishi miaka mingi yeye baraka tele
Mwana umepotea sana
Poor management hahahahaha hahahahaha kama rungu la kipepe
Man! I like this😊
iko pw iyooo
Kila lakheri Noorah, akili nyingi
Baba styles respect bro
Daah mwana chemba
Nliskitika kuskia mez b alkufa yani waltoa dude kali
Homeboi baba stars
Baba styleee
Huyuu jamaa anajua kinoouma yn
team kaziii gusa like apa...
Norah amechangamuka sana
Lugha gongana..
uyo mnyamwezi arudi ktk game uku wanazingua
Bg chawa mtafte kali p tujue yuko wapi
Alishafariki
@@newtonelly6019 😂😂😂
Mzee wa vijimambo
Jamani natamani zamani ijirenew tena
Noma
Mtangazaji unazingua!! Sijui una haraka za nini kweny kuuliza mtu hajamaliza swali umemkatisha !! Au memory ya camera ilikua inajaa!???? 🤣🤣😬😬😬
Mtangazaji anawenge Norah anajielewa sana ila credit kwa mtangazaji idea nzuri kufanya interview yakihenga
2022
A very sincere interview.
Noorah
Nakumbuka Lugha gongana
Jamaa hivi ule ugonjwa wa kusahau umemuisha
Ice cream mbari sana broo
Nakubal
Nomaaaaaaa
Vijimambo tu, sijui kwanini hukutoaga nyimbo nyingiii saaana halafu saiv ndio uendelee na biashara zako. Maana ulituonjeshaga radha tofaut kidogo tu kwa style ile ukatuacha hewani. Uwe unarudi hata na moja moja basi kama FA. Ila nyimbo yako ya icecream niliwahi kupatiaga demu kishuleshule.
Misss u noooh
5 NOORAH
Namkubali sana
Daaah jamaa kama bado tatizo lake la kupoteza kumbukumbu bado lipo kwa mbali
Dah kitambo
Mbona pana kelele sana na hapanyeshi mvua
Mvua inanyesha hapo
Aisee, tupa hicho kimeo unachotumia kuangalizia
@@bahatidaddy1 hahahahaa. Anasema mvua hainyeshi? Hajasikia mpaka mwisho mazungumzo yao wanzungumzia mvua. Na ukitizama kabisa mvua inanyesha. Huyu jamaa vipi
Hahahaaa mvua inanyesha mzee