Hiyo ndio fikra ya Tabligh then baadhi ya wahabi wanapinga Tabligh wanasema kundi la bidaa.Big br tupo pamoja amili wangu one day tutaonana malkaz mchikichini in shallah
Mashallah kaka upo kumbe tumipotezana kitambo sana tabata Leo nimifurahi sana kuona upo na umisimama na Dini mie mdogo wako pia nimiacha muziki nimisimama kwenye Dini kwa sasa nipo Zanzibar
Kazi kweli kweli... hata middle east wale wa misimamo mikali walikuwa vichwa sana na walikuja na gunduzi nyingi sana za kisayansi na Maths kama Algebra etc.... ila walivyomezeshwa sumu kwamba Mungu wao hapendi kufuatiliwa tu wameacha.... na ndio kushnei
Usitake watu waishi katika unayoyaamini wewe iyoo haipo ndugu yangu.. haupaswi kudiss misimamo ya mtu ya kidini kumbuka wewe haujajiumba mwenyewe balii umeumbwa na kuna siku utarejea kwa mola wako mlezi .. sisi kama binadamu hii dunia tunapita tu hivo tunapaswa kujiandaa na kesho yetu
@@Until835 Ndugu hayo tumeaminishwa tu ndio maana hatuna ushahidi wa dhati. Kitendo pekee cha kuamini kinachukulia poa suala la understanding. Ukweli ni kwamba duniani hatupiti bali sisi ni sehemu ya dunia. We are made up na stuff ambazo ni sehemu ya dunia na tunapokufa tunarudisha tulivyotumia na hivyo kuweka balance. Kila element ipo kwenye cycle... utaiconsume jana, leo au kesho... lakini hiyo element ni lazime uiridishe katika mzungumko wake ili maisha mapya yatokee. Sisi binadamu tunadhani ni special kutokana na strength of our brains. Lakin tukumbuke kuna viumbe wengine ambao nao wako special katika other faculties na kinachotutofautisha sisi na wao ni capacity of brains ya kutafakari mambo but we are all consuming same stuff kutoka kwenye tunavyokula.... kama tunafikir baada ya kufa tunaend kwenye special place lazima tufikirie hao viumbe wengine nao pia wana maisha na hawajawahi kuwa confused.
HUYU Jamaa Amemuoa Mwalimu Alinifundisha History Secondary.... Kiukweli Ameshika Dini Sanaaa
Acha kutoa taarifa za watu ujaambiwa useme Kaoa Nani acha umbeya mbwa wewe
Mashaallah
Daaah zamani ni mbali sana😂😂😂😂
Kali P leo Ustadh
Mungu ni Mkubwa Sana
DAAA JAMAA NOMA SANA MUNGU UMUONGOZE KWAKWELI.
Daaah watoto wa ciku hiz hawatoelewa kbs
Hiyo ndio fikra ya Tabligh then baadhi ya wahabi wanapinga Tabligh wanasema kundi la bidaa.Big br tupo pamoja amili wangu one day tutaonana malkaz mchikichini in shallah
Allah atuongoe na sisi Amiin
Inshallh
Mash ALLAH
masha Allah kumbe si Saigon peke yake
Daaar kaka inshallah Allah akuongozee nimejikuta natoka machozi duuh
Allah Akbar
Allah akuongoze miraji. uko sahihi kbs 100%
Mashallah kaka upo kumbe tumipotezana kitambo sana tabata Leo nimifurahi sana kuona upo na umisimama na Dini mie mdogo wako pia nimiacha muziki nimisimama kwenye Dini kwa sasa nipo Zanzibar
mashaallah
Alhah akuhifadhi broo fil dunia na akhera
Inshaallah mwenyezimungu akusimamie udumu kwenye imani
Aisee M/Mungu akupe mwishomwema ukovizuli sana hongera sana kwamaamuziyako
Sijui kesho nitaamka mapema, kuanzia leo mimi sio police tena😂😂
Lakini bado nawafagilia ..hebu fagilia kiafande, aisee wewe aisee wewe
Tena nyimbo yako iliyoitoa ya imekaa vibaya mule umemtaja mama kibonge ni shangazi yangu alikuwa anauza gongo pale Vingunguti kidarajani
Mashaallaah Allah akuongoze wew na sis pia kwenye njia ilinyooka na atupe mwisho mwema inshaallah
Allah akbar, Maa Shaa Allah Allah azid kukuongoza na atuongoze sote
Mashaallah maahallah jamb la kher allah akuwekee kilalal kher
Kali p aliburudisha na kuokoa jamii
Misimamo mikali imetuulia nyota huyu!
Nimemis sana sanaa yake
Haijamuua , hapo ndo njia sahihi aliyopo sasa usitake mtu aishi katika maisha yako unayoyataka wewe iyoo haipo kabisaaa ndugu yangu
Mwenyezi mungu akuongozee Sana
Mungu akusamehe dhambi zako akuongoze ww na sisi pia %
big up !!! kwa kumpata kali p. kama umempata huyu then kuna uwezekano ya kumpata zay b na o-ten. watafute pliz,
O ten ni Boda boda yupo pale mafiga Moro town
Allah atuongoze na sie njia ilionyooka atujaalie mwisho mwema(
Allah s.w akupe mwisho mwema kali p
God bless you Kali P. Uendelee na kheri 🙏🙏
Masha Allah, Mola amjalie zaidi Ndugu yetu Kali P(Abdul)
Mungu akubariki sana bwana abdully call.P
Allah akujaalie mwisho mwema 🙏
Mwenyez Mungu azidi kumtia iman
Mdogowangu Abdul congratulations for your decision
Captain Kali P Mungu hakupe maisha marefu sanaa 😀😃🤣
Jamaa ana akili sana Allah azidi kumpa Imani imara zaidi
Daah nmeipenda hiyo jamani
Dah aiseeee nakumbuka Imekaa vibaya
Duh safi sana mkuu
Kali p wanangu wanakutazama
Allah, mtume,na Dini ya uislam ndio mpango mzima
Ma sha Allah......M/Mungu aniongoze katika njia hii 🙏
Mashaallah my brother
ALLAH AKBAR
Mumtaaaaaz kaka kali p ulikuwa unakuja xna Vingungut home kwetu
Mimi nimepata faida Big Chawa.
Safi sanaa ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AFYA NJEMA NA HUSUNUL KHATMA AAMIN
MASHANLLAH, cousin 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
allah atupe mwisho mwema
Takbir....
Ana bonge la imani
Mashallah
Yani kalipi anaonyesha kujutia kabisa music
ALAH AKUONGOZE SANA SHEKHE
Kwani alikuwa anaimba nyimbo mbaya hadi aseme ni dhambi?
Big up sn shekh wetu kali p
Maashaallah sheikh Allah akuhifadhi ❤umechagua njia sahihi Maashaallah
Alhamdulilah, hii itatuinua inshaallah
Subhallah allahuakbar allah akuongoze katika njia yahaki
Inshallah sisi sote Allah atupe mwisho mwema inshallah
Mashaallah 💖
MashAllalh
Imekaa vibaya.
Hii bdo haijatulia😝
Mungu ni mwema
Masha Allah,Allah akuongoze akupe mwisho mwema ktk hii dunia
Karibu Kagera turete jamati pls utakua sababu y watu kuogoka InshaAllah pls
Kk hallah akuongoze usirudi tena kwaibiris
Mashaallah
Allah hummah ahdinaa fiiman hadaita
DAAAAH TUKAJAZWA KWENYE KASERO KADOOOOOOGO
Allahu akbar Allah anipe pia nuru kama hiyo amirsap
Mashaallah..
Huyu ndio mume
Maasha llah
Daaah! MUNGU.
Kazi kweli kweli... hata middle east wale wa misimamo mikali walikuwa vichwa sana na walikuja na gunduzi nyingi sana za kisayansi na Maths kama Algebra etc.... ila walivyomezeshwa sumu kwamba Mungu wao hapendi kufuatiliwa tu wameacha.... na ndio kushnei
Usitake watu waishi katika unayoyaamini wewe iyoo haipo ndugu yangu.. haupaswi kudiss misimamo ya mtu ya kidini kumbuka wewe haujajiumba mwenyewe balii umeumbwa na kuna siku utarejea kwa mola wako mlezi .. sisi kama binadamu hii dunia tunapita tu hivo tunapaswa kujiandaa na kesho yetu
@@Until835 Ndugu hayo tumeaminishwa tu ndio maana hatuna ushahidi wa dhati. Kitendo pekee cha kuamini kinachukulia poa suala la understanding. Ukweli ni kwamba duniani hatupiti bali sisi ni sehemu ya dunia. We are made up na stuff ambazo ni sehemu ya dunia na tunapokufa tunarudisha tulivyotumia na hivyo kuweka balance. Kila element ipo kwenye cycle... utaiconsume jana, leo au kesho... lakini hiyo element ni lazime uiridishe katika mzungumko wake ili maisha mapya yatokee. Sisi binadamu tunadhani ni special kutokana na strength of our brains. Lakin tukumbuke kuna viumbe wengine ambao nao wako special katika other faculties na kinachotutofautisha sisi na wao ni capacity of brains ya kutafakari mambo but we are all consuming same stuff kutoka kwenye tunavyokula.... kama tunafikir baada ya kufa tunaend kwenye special place lazima tufikirie hao viumbe wengine nao pia wana maisha na hawajawahi kuwa confused.
MashaAllah
Mashaallh
Maashallah 👏
Mashaallah tabaraka llah
Huyu mzee ndomwanamziki!
Umezaliwa 2004 huwez kumjua
Kali P ustaadh
Zaman mbali sana
MaashaAllah
Daah
Big chawa ulilost what happen
ماشاءالله❤
Allah akbar
Wakifulia wanajidai kumrudia Mungu Lol
Heri waona wanaomrudia Allah
Kari p
Big Chawa imenibidi ni kuSubscribe hapo hapo
sawa kali p. umeruka mwiba ukakanyaga msumari. allah ndio nani
Acha ushoga umjui Allah inavyo onekana we mwenyewe ujijui usimkejeli Mungu ndezi ww
@@mohamedrajabu8375 acha jaziba ungenieleza allah ni nani shekh.
Jolin Allah/ Allahuma ni jina la Mwenyezimungu kwa kiarabu, Yahwe/ Ellah/ Ellohim kwa kiyahudi.. The Almighty God
we nikiazi tena mbatata kabisa
Utafaam siku moja ndug yangu katika imani punz inakudanganya
Mh
Ni mattzo ya akili.
Anazinguaa
dishi limesheki jamaa inaonyesha
Kama humjui mtu usimjaji kwa muonekano wake muogope mungu
@@nasibuabasi4701 hawezi kumuelewa wakati kipindi hicho alikuwa kindaaa
Kwaiyo yy kuacha ujinga unaopenda ww ndo dishi liyumbe? Mwogope mungu kwa maneno yako
Mwahamedy Chilungu: Wewe ni Mpumbavu sana . Kiu kweli huna akili…. 👎👎👎👎👎
Hujui ktu ww
Mashaallh
Mashallah
Mashaallah
Masha"Allah
Mashallah