BIG CHAWA FT KALI P MAISHA YAKE MAPYA, HATAKI TENA MUZIKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • KALI P RAPA MBUNIFU KIPAJI KIKUBWA ALIAMUA KUACHA MUZUKI NA KIINGIA KWENYE DINI BIG CHAWA AMEMFUATA NYUMBANI KWAKE

Komentáře • 129

  • @magrethelia1085
    @magrethelia1085 Před 3 lety +32

    HUYU Jamaa Amemuoa Mwalimu Alinifundisha History Secondary.... Kiukweli Ameshika Dini Sanaaa

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Před 3 lety +22

    Daaah zamani ni mbali sana😂😂😂😂
    Kali P leo Ustadh
    Mungu ni Mkubwa Sana

  • @khafidhsalum1107
    @khafidhsalum1107 Před 3 lety +24

    DAAA JAMAA NOMA SANA MUNGU UMUONGOZE KWAKWELI.

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 Před 3 lety +11

    Daaah watoto wa ciku hiz hawatoelewa kbs

  • @ramadhanimrisho356
    @ramadhanimrisho356 Před 6 měsíci +5

    Hiyo ndio fikra ya Tabligh then baadhi ya wahabi wanapinga Tabligh wanasema kundi la bidaa.Big br tupo pamoja amili wangu one day tutaonana malkaz mchikichini in shallah

  • @West-side-lt9nb
    @West-side-lt9nb Před 3 lety +25

    Allah atuongoe na sisi Amiin

  • @jamalmakishe4850
    @jamalmakishe4850 Před 3 lety +13

    masha Allah kumbe si Saigon peke yake

  • @chamosiommy8132
    @chamosiommy8132 Před rokem +3

    Daaar kaka inshallah Allah akuongozee nimejikuta natoka machozi duuh
    Allah Akbar

  • @hamimhamis9616
    @hamimhamis9616 Před 2 lety +6

    Allah akuongoze miraji. uko sahihi kbs 100%

  • @allyfleva9507
    @allyfleva9507 Před 2 lety +21

    Mashallah kaka upo kumbe tumipotezana kitambo sana tabata Leo nimifurahi sana kuona upo na umisimama na Dini mie mdogo wako pia nimiacha muziki nimisimama kwenye Dini kwa sasa nipo Zanzibar

  • @daudfatak4818
    @daudfatak4818 Před 2 lety +5

    Alhah akuhifadhi broo fil dunia na akhera

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Před 8 měsíci +2

    Inshaallah mwenyezimungu akusimamie udumu kwenye imani

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem +2

    Aisee M/Mungu akupe mwishomwema ukovizuli sana hongera sana kwamaamuziyako

  • @philipraphael3676
    @philipraphael3676 Před 11 měsíci +2

    Sijui kesho nitaamka mapema, kuanzia leo mimi sio police tena😂😂
    Lakini bado nawafagilia ..hebu fagilia kiafande, aisee wewe aisee wewe

  • @mariamuhady6257
    @mariamuhady6257 Před 2 lety +7

    Tena nyimbo yako iliyoitoa ya imekaa vibaya mule umemtaja mama kibonge ni shangazi yangu alikuwa anauza gongo pale Vingunguti kidarajani

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Před 2 lety +5

    Mashaallaah Allah akuongoze wew na sis pia kwenye njia ilinyooka na atupe mwisho mwema inshaallah

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 Před 2 lety +2

    Allah akbar, Maa Shaa Allah Allah azid kukuongoza na atuongoze sote

  • @bilalikassim5799
    @bilalikassim5799 Před 3 lety +3

    Mashaallah maahallah jamb la kher allah akuwekee kilalal kher

  • @giftelia5535
    @giftelia5535 Před 2 lety +3

    Kali p aliburudisha na kuokoa jamii
    Misimamo mikali imetuulia nyota huyu!
    Nimemis sana sanaa yake

    • @Until835
      @Until835 Před rokem +2

      Haijamuua , hapo ndo njia sahihi aliyopo sasa usitake mtu aishi katika maisha yako unayoyataka wewe iyoo haipo kabisaaa ndugu yangu

  • @LadaSaidi
    @LadaSaidi Před rokem +2

    Mwenyezi mungu akuongozee Sana

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před rokem +2

    Mungu akusamehe dhambi zako akuongoze ww na sisi pia %

  • @allangodi3041
    @allangodi3041 Před 3 lety +12

    big up !!! kwa kumpata kali p. kama umempata huyu then kuna uwezekano ya kumpata zay b na o-ten. watafute pliz,

  • @HUSSEINHUSSEIN-yd4jt
    @HUSSEINHUSSEIN-yd4jt Před 2 lety +2

    Allah atuongoze na sie njia ilionyooka atujaalie mwisho mwema(

  • @rajabutangale1402
    @rajabutangale1402 Před 3 lety +7

    Allah s.w akupe mwisho mwema kali p

  • @samuelmwaipopo1302
    @samuelmwaipopo1302 Před 3 lety +8

    God bless you Kali P. Uendelee na kheri 🙏🙏

  • @hassankisabya4916
    @hassankisabya4916 Před rokem +1

    Masha Allah, Mola amjalie zaidi Ndugu yetu Kali P(Abdul)

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 Před 3 měsíci

    Mungu akubariki sana bwana abdully call.P

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Před rokem +1

    Allah akujaalie mwisho mwema 🙏

  • @jacksonmpagazi9392
    @jacksonmpagazi9392 Před 3 lety +6

    Mwenyez Mungu azidi kumtia iman

  • @nassorosinde6945
    @nassorosinde6945 Před rokem +1

    Mdogowangu Abdul congratulations for your decision

  • @jumahaji2938
    @jumahaji2938 Před 3 lety +8

    Captain Kali P Mungu hakupe maisha marefu sanaa 😀😃🤣

  • @sanimoclassic1917
    @sanimoclassic1917 Před 3 lety +6

    Daah nmeipenda hiyo jamani

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 Před rokem +1

    Dah aiseeee nakumbuka Imekaa vibaya

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 Před 3 lety +5

    Duh safi sana mkuu

  • @thomasmkandawile8390
    @thomasmkandawile8390 Před 3 lety +5

    Kali p wanangu wanakutazama

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Před rokem +2

    Allah, mtume,na Dini ya uislam ndio mpango mzima

  • @maalimseifk-gumuadui123
    @maalimseifk-gumuadui123 Před 2 lety +8

    Ma sha Allah......M/Mungu aniongoze katika njia hii 🙏

  • @kibwetere8147
    @kibwetere8147 Před 3 lety +5

    Mashaallah my brother

  • @samidquiz6316
    @samidquiz6316 Před měsícem

    ALLAH AKBAR

  • @mariamuhady6257
    @mariamuhady6257 Před 2 lety +1

    Mumtaaaaaz kaka kali p ulikuwa unakuja xna Vingungut home kwetu

  • @uswazicomix
    @uswazicomix Před 3 lety +6

    Mimi nimepata faida Big Chawa.

  • @fatumamrema1033
    @fatumamrema1033 Před rokem

    Safi sanaa ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AFYA NJEMA NA HUSUNUL KHATMA AAMIN

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 lety +4

    MASHANLLAH, cousin 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @Budgernista1994
    @Budgernista1994 Před 8 měsíci +1

    allah atupe mwisho mwema

  • @mohammedabdallah9692
    @mohammedabdallah9692 Před 5 měsíci +1

    Takbir....

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Před rokem +1

    Ana bonge la imani

  • @jaybajay9973
    @jaybajay9973 Před 3 lety +4

    Mashallah

  • @ernestoemiliotomas8830
    @ernestoemiliotomas8830 Před 2 lety +1

    Yani kalipi anaonyesha kujutia kabisa music

  • @gambagumu368
    @gambagumu368 Před 2 lety +1

    ALAH AKUONGOZE SANA SHEKHE

  • @expert5898
    @expert5898 Před 2 lety +2

    Kwani alikuwa anaimba nyimbo mbaya hadi aseme ni dhambi?

  • @siasasaid6350
    @siasasaid6350 Před 3 lety +4

    Big up sn shekh wetu kali p

  • @saadysaidzahaze5980
    @saadysaidzahaze5980 Před rokem

    Maashaallah sheikh Allah akuhifadhi ❤umechagua njia sahihi Maashaallah

  • @hamimuadisababa5471
    @hamimuadisababa5471 Před rokem +1

    Alhamdulilah, hii itatuinua inshaallah

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před rokem

    Subhallah allahuakbar allah akuongoze katika njia yahaki

  • @Opmedia8517
    @Opmedia8517 Před rokem

    Inshallah sisi sote Allah atupe mwisho mwema inshallah

  • @fatumamrema1033
    @fatumamrema1033 Před 3 lety +7

    Mashaallah 💖

  • @talazain1017
    @talazain1017 Před 3 lety +6

    MashAllalh

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 Před 3 lety +4

    Imekaa vibaya.

  • @mirajimfinanga5425
    @mirajimfinanga5425 Před 3 lety +4

    Mungu ni mwema

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 Před 3 lety +3

    Masha Allah,Allah akuongoze akupe mwisho mwema ktk hii dunia

  • @husseinabdul7948
    @husseinabdul7948 Před 2 lety

    Karibu Kagera turete jamati pls utakua sababu y watu kuogoka InshaAllah pls

  • @MohaMmed-hb6zt
    @MohaMmed-hb6zt Před rokem

    Kk hallah akuongoze usirudi tena kwaibiris

  • @ratifahassan6501
    @ratifahassan6501 Před 3 lety +5

    Mashaallah

  • @BOB17_OJO
    @BOB17_OJO Před rokem

    Allah hummah ahdinaa fiiman hadaita

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Před rokem

    DAAAAH TUKAJAZWA KWENYE KASERO KADOOOOOOGO

  • @ibrahimmatola1529
    @ibrahimmatola1529 Před rokem

    Allahu akbar Allah anipe pia nuru kama hiyo amirsap

  • @boraimanijumamahenge7554
    @boraimanijumamahenge7554 Před 3 lety +4

    Mashaallah..

  • @salimkibwana4699
    @salimkibwana4699 Před 2 lety +3

    Huyu ndio mume

  • @ramadhanitingatinga605
    @ramadhanitingatinga605 Před 2 lety +2

    Maasha llah

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 Před 3 měsíci

    Daaah! MUNGU.

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před 2 lety +3

    Kazi kweli kweli... hata middle east wale wa misimamo mikali walikuwa vichwa sana na walikuja na gunduzi nyingi sana za kisayansi na Maths kama Algebra etc.... ila walivyomezeshwa sumu kwamba Mungu wao hapendi kufuatiliwa tu wameacha.... na ndio kushnei

    • @Until835
      @Until835 Před rokem +1

      Usitake watu waishi katika unayoyaamini wewe iyoo haipo ndugu yangu.. haupaswi kudiss misimamo ya mtu ya kidini kumbuka wewe haujajiumba mwenyewe balii umeumbwa na kuna siku utarejea kwa mola wako mlezi .. sisi kama binadamu hii dunia tunapita tu hivo tunapaswa kujiandaa na kesho yetu

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před rokem

      @@Until835 Ndugu hayo tumeaminishwa tu ndio maana hatuna ushahidi wa dhati. Kitendo pekee cha kuamini kinachukulia poa suala la understanding. Ukweli ni kwamba duniani hatupiti bali sisi ni sehemu ya dunia. We are made up na stuff ambazo ni sehemu ya dunia na tunapokufa tunarudisha tulivyotumia na hivyo kuweka balance. Kila element ipo kwenye cycle... utaiconsume jana, leo au kesho... lakini hiyo element ni lazime uiridishe katika mzungumko wake ili maisha mapya yatokee. Sisi binadamu tunadhani ni special kutokana na strength of our brains. Lakin tukumbuke kuna viumbe wengine ambao nao wako special katika other faculties na kinachotutofautisha sisi na wao ni capacity of brains ya kutafakari mambo but we are all consuming same stuff kutoka kwenye tunavyokula.... kama tunafikir baada ya kufa tunaend kwenye special place lazima tufikirie hao viumbe wengine nao pia wana maisha na hawajawahi kuwa confused.

  • @mbarakamlawa7249
    @mbarakamlawa7249 Před 3 lety +4

    MashaAllah

  • @hajiojuma
    @hajiojuma Před 3 lety +2

    Mashaallh

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 2 lety +2

    Maashallah 👏

  • @mrishoyusuph3411
    @mrishoyusuph3411 Před 9 měsíci

    Mashaallah tabaraka llah

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 Před 3 lety +5

    Huyu mzee ndomwanamziki!

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Před rokem

    Kali P ustaadh

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy3923 Před 2 lety +1

    Zaman mbali sana

  • @farajiliviga1758
    @farajiliviga1758 Před 6 měsíci

    MaashaAllah

  • @swazimwenga8310
    @swazimwenga8310 Před 2 lety +1

    Daah

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 2 lety +2

    Big chawa ulilost what happen

  • @jamalibella9707
    @jamalibella9707 Před 9 měsíci

    ماشاءالله❤

  • @mteamtea1091
    @mteamtea1091 Před rokem

    Allah akbar

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před rokem +1

    Wakifulia wanajidai kumrudia Mungu Lol

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před rokem

    Kari p

  • @hassanissa4145
    @hassanissa4145 Před 2 lety +1

    Big Chawa imenibidi ni kuSubscribe hapo hapo

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 Před 3 lety +2

    sawa kali p. umeruka mwiba ukakanyaga msumari. allah ndio nani

    • @mohamedrajabu8375
      @mohamedrajabu8375 Před 2 lety +1

      Acha ushoga umjui Allah inavyo onekana we mwenyewe ujijui usimkejeli Mungu ndezi ww

    • @jolinkimaro9939
      @jolinkimaro9939 Před 2 lety

      @@mohamedrajabu8375 acha jaziba ungenieleza allah ni nani shekh.

    • @faisalyusuf8986
      @faisalyusuf8986 Před 2 lety +3

      Jolin Allah/ Allahuma ni jina la Mwenyezimungu kwa kiarabu, Yahwe/ Ellah/ Ellohim kwa kiyahudi.. The Almighty God

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 Před 2 lety

      we nikiazi tena mbatata kabisa

    • @luiceadam385
      @luiceadam385 Před rokem

      Utafaam siku moja ndug yangu katika imani punz inakudanganya

  • @yohananyonyoma1289
    @yohananyonyoma1289 Před 3 lety +2

    Mh

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 Před 2 lety

    Ni mattzo ya akili.

  • @geofreynjanga6794
    @geofreynjanga6794 Před 3 lety +2

    Anazinguaa

  • @mwahamedychilungu8981
    @mwahamedychilungu8981 Před 3 lety +2

    dishi limesheki jamaa inaonyesha

    • @nasibuabasi4701
      @nasibuabasi4701 Před 3 lety +5

      Kama humjui mtu usimjaji kwa muonekano wake muogope mungu

    • @husseinkatumpula6129
      @husseinkatumpula6129 Před 3 lety +4

      @@nasibuabasi4701 hawezi kumuelewa wakati kipindi hicho alikuwa kindaaa

    • @georgeigogo9259
      @georgeigogo9259 Před 3 lety +7

      Kwaiyo yy kuacha ujinga unaopenda ww ndo dishi liyumbe? Mwogope mungu kwa maneno yako

    • @kingkongmadiba3174
      @kingkongmadiba3174 Před 2 lety +4

      Mwahamedy Chilungu: Wewe ni Mpumbavu sana . Kiu kweli huna akili…. 👎👎👎👎👎

    • @aliyahyaissaissa7423
      @aliyahyaissaissa7423 Před 2 lety

      Hujui ktu ww

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před rokem +1

    Mashaallh

  • @allyhusseinally2461
    @allyhusseinally2461 Před 2 lety +1

    Mashallah

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 2 lety

    Mashaallah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 Před 2 lety +1

    Masha"Allah

  • @hatimosefosefo5268
    @hatimosefosefo5268 Před rokem

    Mashallah