Mayele ni mchezaji wa timu zote. Siyo lazima Yanga tu. Shangaa unamkaribisha Tz anatokea mlango mwingine wa Msimbazi. Utamchukia?? Mwacheni dogo afanye kazi yake vizuri
Sisi wanayanga na Tanzania kwa ujumla tunakuombea mafanikio na binafsi mimi ingawa sio mwanamichezo najifunza vingi toka kwako...una nidhamu na malengo thabiti kwa vitendo na maneno... keep it up bro
Kumbe mwamba anapiga hesabu ya mbali sio ya karibu kama Fei toto 😂😂 Yaani ameiona mamelodi ni team waweza enda lkn kupata namba ni mtihani kidogo,pia hawana Cha kujifunza kwakuwa ni team kubwa. Kaona piramidy ni team kubwa kifedha lkn kimafanikio anaweza kupata ubingwa akiwepo yeye na akawa ktk historia ya team hiyo na hawezi kusahaulika kama ilivyo kwa yanga hawezi kusahaulika kwa kucheza finally ya shirikisho asee king mayele una akili kubwa sana
Mayele kiujumla.watanzania au wanayanga tunakupenda sana ipambanie timuyako ifanye ikukumbue miaka yt hakuna majini wala uchawi hata kwawachazaji wezako pia huwa wanalogana so pambana uku ukimuomba mungu nec
The KING Mayele💚💛💚💛💚💚💚Wananchiiiiiii ganga like hapa kama unamkubali.
Nami ni ganga like mzey kama ulivo sema
@@reiphan9894😅😅😅😅 et na mm ganga like 😅😅😅😅
🎉😮
0
Fiston kalala Mayele, mzee wa kutetema. Hongera sn broo ni kweli hauchez rough, Mungu akusaidie sn kwenye maisha yko ya mpira
Ndugu umefanya uamuzi wa hekima Sana, not just money lakini umereason vya kutosha, keep the spirit up!
King mayele bado tunakukumbuka sana insha Allah allah akufanyie wepes kweny kazi yako
Mayele wewe ni mtu na nusu. Yanga tunakupenda. God bless you.
Wakwenu au wa pyramids. Mna manatizo sana nyie nyuma mwiko😅😅
MAYELE COME BACK TO YOUNG AFRICAAAA WE STILL NEED YOU
You are still in wananchi hearts, God bless you our brother Fiston K M
Mayele hongera sana Mungu azidi kukupa uwezo
Mayele wetu ss wanayanga tunakuombea dua sana MUNGU akulinde na uendelee na kipaji chako🙏
Mayele ni mchezaji wa timu zote. Siyo lazima Yanga tu. Shangaa unamkaribisha Tz anatokea mlango mwingine wa Msimbazi. Utamchukia?? Mwacheni dogo afanye kazi yake vizuri
Sisi wanayanga na Tanzania kwa ujumla tunakuombea mafanikio na binafsi mimi ingawa sio mwanamichezo najifunza vingi toka kwako...una nidhamu na malengo thabiti kwa vitendo na maneno... keep it up bro
King mayele unajua sana kuieleza
Jitahidi sana kumuomba Mungu kaka, utafanikiwa tu, Wala usivunjike moyo Mayeleeeee!!!
😭 ALWAYS IN OUR 💛💚 KEEP IT UP OUR BROTHER
namkubari mwamba japo mimi simba lakn the king uwakika
Umebet vzr mayele..daah sisi simba tunajuta kwann tulimpeleka miquisone Al ahly..ww umejitahdi kuangalia mambo mengi sana big up bro..
Mungu akubarik sana kaka bado tunakupenda yanga ukaribieee tena zaid na zaid tunakuombea sana
Hongera sana MAYELE TULIFURAHI SANA KUKUONA MUBASHARA
Fiston kalala Mayele Dieu est plus grand que Dieu tabenusse
Mayele, una heshima sana
Mayeleeee tunakumis sanaaa nnjoo tuteme bwanaa huku weshakuwa na jeuri huku
Congo boy unakichapa sana
mungu akusaidie ktk maisha yako
Hongera sana hizo ni baraka kutoka kwa wananchi tulikupenda na bado TUnaendelea kukupenda. 💚💛🧡🙏
The pridator mayele the king of judgle
Mungu akubariki , hutafunga sana
uko sawa mungu akupambanie
Hongera mayele kwakutokupata kadiyanjano na hongerasana kwa hekma na busara nakwakujitahidi mungu akubariki
Mungu akubaliki😊
Safii sanaa kwa akili kubwa
Ni mwamba kweli kweli💪👊🙏
M/Mungu Akuwezeshe Amiiin.
Nimependa sana kwamba hujawahi kupata kadi ya njano na hautamani kupata kadi. Huchezi rafu na humfati refa kulalamika.
Shima yako sana.
😂😂😂😂 et hilo alikwepek n sehemu ya mpira hata akpata n sawa tu maana hakuna atakayeshangaa
ALWAYS WE ARE LOVE YOU AND MISS YOU. WELCOME AGAIN. WANANCHIIIIIIIIIIIIIIII.
Dada anahoji vizr cyo mizengwe
I'm sure you will still be a king Mr.mayele
Wetu huyoooooo mumemuona💚💛💚💛💚💛
huyo mtoto mimi ndiye ananikosha kumsikia na kumuona plz tag her
Very humble
The king FESTON mayele
Mayele mtaje huyo kiongozi turuke nae😂😂😂mwamba ana nidhamu sana kuna yule mshambuliaji wa upande wa pili ana kadi nyingi za njano kuliko kiungo😂😂😂🙌🙌
Endelea kupambana bro ukipenda rudi bado heshima yako ipo
Mwananchi huyooooo
Huwa unakuwa mtulivu Sana asee kwenye interview mayere the king
❤❤my G for life
Mi wa simba rakini mayere anaakil sana
Bado tunakuhitaji wananchi , we miss u
Shida hamna hela
Feston oyeeeeeeeeee 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💛💚💚💚💚💚💚💚💚👏 karibu 🤝
Mayeleeeeeee
Mayele nimchezaji mwenye akili sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 we ni balaa man
Mayele yupo kimkakati, safi sana.
Karibu unyamani
❤
Ungenda al ahaly wangekuuwa kiwango usinge cheza maisha
Wana Yanga Tutakukumbuka zaid ulchofanya Kwenye Ngao za Jamii 2 mfululizo superb performance
Mayele number one ☝️ king 👑
Aaaaaah!!!! FISTO KALALA weeeee!!!! hongera sana
Safi interview nzuri
mwaba king
Mtangazaji katuangusha sana kama hajajipanga na maswali yake badala APIGE exclusive interview la hatar anajiumauma tu
Kumbe mwamba anapiga hesabu ya mbali sio ya karibu kama Fei toto 😂😂
Yaani ameiona mamelodi ni team waweza enda lkn kupata namba ni mtihani kidogo,pia hawana Cha kujifunza kwakuwa ni team kubwa.
Kaona piramidy ni team kubwa kifedha lkn kimafanikio anaweza kupata ubingwa akiwepo yeye na akawa ktk historia ya team hiyo na hawezi kusahaulika kama ilivyo kwa yanga hawezi kusahaulika kwa kucheza finally ya shirikisho asee king mayele una akili kubwa sana
5:53 Point kubwa ya interview iko hapa big brain capacity kwako
Mungu aendelee kukupigania
❤❤❤❤ mungu akujalie na kipaji chako
❤❤❤❤
8:58
Mama ali tetema
Ligi ya kwanza n morroco
We jamaa ni mtu sana
Ah tumekumiss Sana jamn na style yak ya tetm
Duh nataman kulia aiseeee how I love you my best player
All the best brother mayele❤❤❤❤
Lakin Mayele umesahau siku ya Ngao Ya Jamii tarehe 13/08/2022. Furaha ilizidi mno!
Dah ongera sn kwa kugundua kwamba ligi ya tanzania n ya kupanga matokeo
King mayeleee
Unauwezo wa kuchezea izo tim
Jembe letu Hilo💚💚💚💛💛💛💛💛
Mdomo mwingi ila ni mchezaji mzuri
Mchiz anachap kiswahili Kama kazaliwa bongo
❤❤❤❤
Safi sana King mayele
nakukubali san kaka wakikuzingua tu ludi nyumbn tumekumic kutetema mwamba
Acha uwongo wew unakataa al ahal unaenda timu isiyo na mashabiki
Tumekusi sana tunakutakia mafAnikio mema mungu akusaidie
Daah bint ulitoka
Mayere❤❤
Huyu mnafiki sana anatamani kurudi Tz halafi anasema anajuta kucheza Tz
💚💛💚💛
We missed you
Fatilia Al ahali utupe mbinu zao sisi yanga
Ongela kwakuchaguwa timu vinginevyo ungefeli akili nyingi vema
Ndio maana tunakupenda bado wananyanga
Ndio❤
Ulijisikia uko Congo au Tanzania ..kwani TZ ndo kwenu
Ila wanachi tutazidi kukuombea sana yanga sc
Sema kule mlienda ajili yasimba
King@-♥︎♥︎♥︎♥︎♥︎♥︎√
Yes! Mayeleee! Faru dume la kutetema
Feston oyeeeeeeeeee💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
nice for good xomeback predator max is there for you mama na manara wanakumiss sana aalaf na Rais wa wanaanchiiii
Mayele kiujumla.watanzania au wanayanga tunakupenda sana ipambanie timuyako ifanye ikukumbue miaka yt hakuna majini wala uchawi hata kwawachazaji wezako pia huwa wanalogana so pambana uku ukimuomba mungu nec