Watu wa aina hii ndio wanaohitajika ktk. Soka la Tanzania. Mimi ni Yanga lakini huyu anafaa sio TU uenyekiti wa Simba bali hata kuwa Rais wa TFF kuliko Karia . Bravo mchungaji.
Mchungaji wewe ni mtu msema kweli Mungu akusimamie. Wengine wameamua kuiuwa timu kwa kuwa machawa. Mbaya zaidi huyo mfadhili ndiye kaamua kuiua timu kwa kuibinafisisha kwa wahuni. Mgunda hana uwezo wakufundisha simba yenye ndoto za kuwa mabingwa wa afrika.
Watu wa aina hii ndio wanaohitajika ktk. Soka la Tanzania. Mimi ni Yanga lakini huyu anafaa sio TU uenyekiti wa Simba bali hata kuwa Rais wa TFF kuliko Karia . Bravo mchungaji.
Ni furaha kwetu madunduka mkiteseka
Safi sana mchungaji tunahitaji watu wenye maono. Viongozi waliopo ni mamluki wa Mo.
Unaongea vizuri sana hongera
Mgunda mleteeni wachezaji muone
Ni mchungaji wa.ng'ombe au binadamu?unafa kuwa msemaji wa simba yenu ni nafasi ya 3 lakini upimwe akili
Naomba uwe kiongozi wa simba ao wengine watoke hawajui mpira wanatafuta ela tu
WACHEZAJI WA SIMBA WANAUBINAFSI HAWAPEANI PASI HASA ENEO LA UMALIZIAJI. KILA MCHEZAJI ANATAKA AFUNGE.
Njaaaa mbayaaa bwanaaa
Huyu naye anatafuta followers bwana
Kipaumbele chamgombea kisiwe kumfunga yanga nje ndani
Mchungaji amesema ukweli sana.
Mchungaji wewe ni mtu msema kweli Mungu akusimamie. Wengine wameamua kuiuwa timu kwa kuwa machawa.
Mbaya zaidi huyo mfadhili ndiye kaamua kuiua timu kwa kuibinafisisha kwa wahuni.
Mgunda hana uwezo wakufundisha simba yenye ndoto za kuwa mabingwa wa afrika.
Naonge nini wewe mwacheni mgunda
Mchaga hawezi kuwa mchungaji wa kweli?
Kama huyu ni muchungaji mungu aingilie Kati anagombea uongozi Simba
Njaa tu hakuna mchungaji hapo
Aahahahahaahhaah manake kwa ncheke
Huyu n mchungaji wa wapi ulikuwa wapi kbla mzunguko wa pili hukuyajua haya ama n kick za wachungaji wahongo ?
Viongozi awasikii wale
Hiyu. Ni. Mchungaji. Au. Mwizi. Tu. Mitaani? We. Mwenyewe. Hapo. Ulipo. Unaongozwa. Na. Mkeo. Halafu. Uongoze. Simba. Leo. Mnamukumbuka. Hans. Pope
We Mikidada Utopolo.