SHEIKH ALHATIMY WA KENYA APIGWA FAINI DOLA MILIONI SABABU YA PICHA YA SAYID HUSSEIN BADAWIY

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 112

  • @lil_mo_salah_966
    @lil_mo_salah_966 Před 3 lety +4

    Mashaallah Allah amjaliye umri mrefu ya kuukuza jina lake Allah s.w na pia wote wengine wanao fanya hiyo kazi

  • @AllyHilal
    @AllyHilal Před 3 lety +6

    MaashaaAllah. Allah amng'arishiye kaburi lake Sayyid...

  • @abalqaassim5372
    @abalqaassim5372 Před 3 lety +6

    MaashaAllah Allah awakutanishe tena na sie pia twaomba tupate zao mabwana wakubwa Kama Hawa🙏🙏🙏🙏

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Před 3 lety +4

    MashaAllah mapenzi ya hali yajuu Allah awahifadhi walimu wety na awarahamu maiti wety wrote kwa jumla allahumma ameen yaarab

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 Před 3 lety +3

    Mashaallah! Allah atuzidishie mahaba na Mashekh wetu

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3g Před 11 měsíci

    allahu akbaru mungu awahidi maana mmepotea wazi wazi

  • @rahakesho5550
    @rahakesho5550 Před 3 lety +4

    Mashaallah nimefurahi sana hayo mapenzi ya kuwaenzi wanazuoni wetu . Sheikh Khatim m mungu akuweke

  • @awesuzazan3080
    @awesuzazan3080 Před 3 lety +1

    Masha Allah masha Allah shekh ana thamani kweli na huko ndo kumtukuza

  • @nuruali9608
    @nuruali9608 Před 3 lety +5

    Jamani mnatushtuwa cc wengine mioyo imechoka kwa mitihani ya dunia,, MUNGU AWAREHEMU MAITI ZETU NA WAISLAMU WOTE...NA CC TULIOKO HAI MUNGU ATUPE AFYA NA AFUWA NA UMRI WENYE TWAÀ NA HUSNIL KHAATIMA WAQT WAKUFA KWETU...AAMIIIN AAMIIIN...

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah001 Před rokem

    Masharifu ukwaju

  • @sadamyusuf2834
    @sadamyusuf2834 Před 3 lety +1

    Allah atuongoze kwa namna tunavo ichukulia dini kama bongo fleva
    Wanaojiita mashekh wanataka kutred kama wasani

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 Před rokem

    Wallaah hii ndio sababu ya shirki kuingia duniani

    • @user-yu9gy6dg3g
      @user-yu9gy6dg3g Před 11 měsíci

      dah ndo hapo ndugu watu waona mambo haya sahali sana

  • @salimgachu6765
    @salimgachu6765 Před 3 lety +2

    Mbona kichwa cha Habari hakiendani na Habari yenyew

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 Před 3 lety

    MashaAllah MashaAllah

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 Před 3 lety +2

    Masha Allah

  • @raziaidd2392
    @raziaidd2392 Před 3 lety

    Nimeshtuka ma Shaa Allah sheikh

  • @abumuhidin6842
    @abumuhidin6842 Před 2 lety

    Mashallh na mimi ni hatimi

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 3 lety

    Mashaallah Allah awazidishie kupendana Kwa ajili ya Allah

  • @fatmaismaili.mashaaallah4992

    Allah atujaalie mapenzi ya kweli katika nyoyo zetu

  • @salhakhalfan8696
    @salhakhalfan8696 Před 3 lety +1

    Maa Shaa Allah 😧

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před rokem

    Hizo zumari sio katika uislamu

  • @doctarmasenga3995
    @doctarmasenga3995 Před 2 lety

    Nampenda Sana badawi na
    hatmi

  • @sheengazi4245
    @sheengazi4245 Před 2 lety +1

    Sasa sauti ya kivoto niyanini

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 Před rokem +1

    Kwahiyo kubandika picha ukutani yafaa? Hamuwezi kufata Sunnah za Mtume, munaenda kinyume na Mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před 3 lety +5

    Kichwa chahabar kimenishtua

    • @salummalolo4496
      @salummalolo4496 Před 2 lety

      Huu ndio uongo na ujinga wa baadhi ya warusha khabari

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3g Před 11 měsíci

    jamani dini yetu imetuharamisha kubandika mapicha ukutani waislamu tumcheni mwenyezimungu

  • @khalefhamad4810
    @khalefhamad4810 Před 3 lety +1

    Sisi wengine presha zetu zipo juu kwa iyo munapo andika vichwa vya habari musitumie maneno yenye kustusha kwa hicho mulichoandika

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 Před 3 lety +5

    Nimeshtuka kichwa cha khabari mwenzenu

    • @abdullhamidnanga1267
      @abdullhamidnanga1267 Před 3 lety +2

      Uongo kwenye vichwa vya habari ni mambo ya wasanii hayo kutafuta wafuasi wapate tuzo youtube sasa na huku kwenye mambo ya Dini pia watu sasa hivi wanaharibu Sana ibada zao watatoka patupu kwa sifa

  • @muhibbualii4580
    @muhibbualii4580 Před 2 lety +1

    Unwani inapotosha na si katika sifa za kiislamu mtu kuwapotosha watu Kwa niya yoyote ile,hata kama ni views tunatafuta jamani.

  • @asia1124
    @asia1124 Před 3 lety

    Mashaallah

  • @mbarakali1873
    @mbarakali1873 Před rokem

    Mambo ya upuzi tuu

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 Před 3 lety +2

    Nyinyi mnajua maana ya Usufi? Mnajua ni nani Sufi?

  • @abuuirfan9523
    @abuuirfan9523 Před 3 lety +2

    Mcheni Allah! munabandika mapicha katika kuta za nyumba hivi hamjui kama jambo hili limekatazwa

    • @talhamohamed5606
      @talhamohamed5606 Před 3 lety

      Hakika kharam kabisaa

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 Před 3 lety

      czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html

    • @abushahir2556
      @abushahir2556 Před 2 lety

      Kwahio picha haifai lakini muko youtube munatizama videos.🤣🤣

    • @dulaseif5001
      @dulaseif5001 Před rokem

      Wee pia unaetizama video na mapicha fec hayafai

    • @WaziriMseli
      @WaziriMseli Před rokem

      Kam hazifai nyie mbona mnamapicha kwny sim zenu na mnaangalia youtube na kupost...mnafanya din ionekane ngumu mpk wasiokuwa waislam wanakimbia

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před 3 lety +1

    Hio ndio raha ya sufi🙏

    • @talhamohamed5606
      @talhamohamed5606 Před 3 lety

      Sufi ni watu dhikri yan dhikri tusema maka kukohowa vile ndio sufi wanao umiz vifua

    • @talhamohamed5606
      @talhamohamed5606 Před 3 lety

      Sufi ni watu wale wanao umiza zijua vyao kwa kukorota saut zao na kucheza hao ndio sufi wanaitwa ahlu sufi wenyewao wanaita dhikri wanaimba na kucheza

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 3 lety

      @@talhamohamed5606 kwaio kinacho kuuma nini?

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 Před 3 lety

      @@talhamohamed5606 Alhamdulillah asante mm nilikuwa sijui nini maana ya Sufi na ni ipi maana ya salafi maana nasikiaga tu

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 Před 3 lety

      czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html guza tu link

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 Před rokem

    Habari tumeiona ila dhambi ya uongo wa ulichokiandika ktk kichwa cha habari unayo . Na kama hukubadilisha basi dhambi hii unayo kwa kila uliemvuta kwa njia ya uongo kufungua video hii

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Před rokem

    Hahaaaa Hebu ianze tena hiii videos utagundua hili Sufi lilitaka kubusu mkono wa Maalim apo lkini hlikupta limepokonywa mkono. Hahaaa

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 Před 3 lety +4

    Masufi watabaki kuwa masufi tu Allah awaongeze watu hawa waache usufi wafuate sunna

  • @amouris-haka6045
    @amouris-haka6045 Před 3 lety

    Nahitaj kaswida inayoimbwa nyuma ya video

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 Před 3 lety

    Masufi ni watu wengine mujuwe sio watu wa kuchezea

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 3 lety

    Twarika twarika itaendelea

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 3 lety

    Tembelea Kule kumbea pole na sio sababu ya shariff mwenye acha aga.

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 Před 3 lety

    Mtume Swala Llahu Alayhi Wasalim amesema hawaingi malaika wa rehma ndani ya nyumba iliowekwa picha.

    • @hussainahmad7833
      @hussainahmad7833 Před 3 lety +2

      Kama malaika hawaingii nyumba yenye picha bc jaribu uone kama malakul maut hatokuja kukutowa roho

    • @hussainahmad7833
      @hussainahmad7833 Před 3 lety +1

      Album lako zunguka nalo kila mahali kisha ndio utajuwa vzr 😂😂😂

    • @dktabbaimran2002
      @dktabbaimran2002 Před 3 lety

      @@hussainahmad7833 hhhhhhhhhh......what a reply?

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g Před 2 lety

      @@hussainahmad7833 😂😂😂😂

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g Před 2 lety

      @@hussainahmad7833 😜😜😂😂Hatar sana

  • @yunusyusuf4614
    @yunusyusuf4614 Před 3 lety +1

    ipo fursa na watu wengine kuwa nayo hio picha???

    • @uthmaanally418
      @uthmaanally418 Před 3 lety +1

      Ndugu yangu fanya juhudi usome dini yako unaitaka picha ikusaidie nn huelewi hayo mambo ya picha ndo mwanzo wa shirki.....

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 3 lety +1

      @@uthmaanally418 shirki kubwa ni ile mliomgawa Mungu sehemu Tatu kwa Kusingizia ni tawheed ambapo hakufunza Mtume saw wala maswahaba wake. Mumeipata katika sunna gani tawheed 3?. NYIE mnakalia Mavi halafu hamuyaoni mnawaambia wenzenu wasikalie mavi😂. Kweli nyie majuha. Nani alosema kuwa picha ni shirki? Lete dalili na hoja na uache upumbavu wa kutoa hukumu za uongo

    • @ummuayaan6257
      @ummuayaan6257 Před 3 lety

      @@hilalkhalfan1452
      Mungu Wako anaitwa Tawheed?

    • @ummuayaan6257
      @ummuayaan6257 Před 3 lety

      @@hilalkhalfan1452
      Kama Mungu Wako Anaitwa Tawheed Basi Kagawanywa Mafungu matatu... Kama Sio Hivyo Basi Endelea Kubaki Na Ujinga Wako Ulioupokea Kwenye Kitabu Cha Mashia Kilichochapishwa Na Al Itra Foundation Dar Es Salaam Na Kusambazwa Na Wao Na Watu Wasiojielewa Na Mfano wako Kuchukulia Ndio Hoja.

    • @ummuayaan6257
      @ummuayaan6257 Před 3 lety

      @@uthmaanally418
      Masufi Wana Maajabu Sana Wallah. Ila Alhamdulillah Kikubwa Elimu Ndio Dawa ya Ujinga Kwa Watu Hawa Hasa Wale ‘Awaamul Muslimiyn Wanaowala Pesa Zao.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 3 lety

    Someone with their right sense is saying "alikuwa dariiqa". What is this nonsense called dariiqa??? Mfuate mtume s.a.w sio vikundi na mabid'a Cha kila aina

  • @fauzjibaba5956
    @fauzjibaba5956 Před 3 lety +1

    Ndio yanavyo anza mwisho mtamuabudu kama mnavyo abudu makaburi ya masharifu wa mambrui

    • @muddymtoro3929
      @muddymtoro3929 Před 3 lety

      hujielewi wew mwanamke mungu akusameh!..🙏🙏🙏

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 Před 3 lety

      @@muddymtoro3929 anajielewa huyu fauz jibaba ni kweli anachokisema masufi wanaabudu makaburi na kuwafanya masharifu ni watu wasio na makosa na kuwaomba na hili ni shirk shirk Allah atukinge na watu hawa

    • @muddymtoro3929
      @muddymtoro3929 Před 3 lety

      @@alikhamis6326 kwani maxufi ni wa2 gani..?

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 Před 3 lety

      Sufi ni watu wa twariqa ni watu wa dhirk za kukohoa pia watu wanaowatukuza masharif pia sufi watu wanaoadhimisha maulid pia ni watu wanao omba dua zao na kutaka msaada kwa watu waliokufa ila si watu wote ni watu wao maalum wanaowaita masharifu hao ndo masufi sijui na ww umo ktk twariqa hii ya kisufii pia wanasifa nyingi zaidi ya hizo hao masufi kiufupi masufi ni watu walioikataa njia ya mtume na masahaba zake wakajizulia njia zao za bidaa ktk dini hii hao ndo masufi uliokuwa unataka uambiwe ✍️✍️ wallahulmustaan

    • @muddymtoro3929
      @muddymtoro3929 Před 3 lety +1

      @@alikhamis6326 mbon huwa wanaomba dua kutoka kwa mungu xio kwa masharif ndug ang..

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 Před 3 lety

    Masha Allah czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html
    ☝️☝️ Ndio kheir sote

  • @allyhamadi9205
    @allyhamadi9205 Před 3 lety

    Masha Allah