Jamani mnatushtuwa cc wengine mioyo imechoka kwa mitihani ya dunia,, MUNGU AWAREHEMU MAITI ZETU NA WAISLAMU WOTE...NA CC TULIOKO HAI MUNGU ATUPE AFYA NA AFUWA NA UMRI WENYE TWAÀ NA HUSNIL KHAATIMA WAQT WAKUFA KWETU...AAMIIIN AAMIIIN...
Uongo kwenye vichwa vya habari ni mambo ya wasanii hayo kutafuta wafuasi wapate tuzo youtube sasa na huku kwenye mambo ya Dini pia watu sasa hivi wanaharibu Sana ibada zao watatoka patupu kwa sifa
Habari tumeiona ila dhambi ya uongo wa ulichokiandika ktk kichwa cha habari unayo . Na kama hukubadilisha basi dhambi hii unayo kwa kila uliemvuta kwa njia ya uongo kufungua video hii
@@uthmaanally418 shirki kubwa ni ile mliomgawa Mungu sehemu Tatu kwa Kusingizia ni tawheed ambapo hakufunza Mtume saw wala maswahaba wake. Mumeipata katika sunna gani tawheed 3?. NYIE mnakalia Mavi halafu hamuyaoni mnawaambia wenzenu wasikalie mavi😂. Kweli nyie majuha. Nani alosema kuwa picha ni shirki? Lete dalili na hoja na uache upumbavu wa kutoa hukumu za uongo
@@hilalkhalfan1452 Kama Mungu Wako Anaitwa Tawheed Basi Kagawanywa Mafungu matatu... Kama Sio Hivyo Basi Endelea Kubaki Na Ujinga Wako Ulioupokea Kwenye Kitabu Cha Mashia Kilichochapishwa Na Al Itra Foundation Dar Es Salaam Na Kusambazwa Na Wao Na Watu Wasiojielewa Na Mfano wako Kuchukulia Ndio Hoja.
@@uthmaanally418 Masufi Wana Maajabu Sana Wallah. Ila Alhamdulillah Kikubwa Elimu Ndio Dawa ya Ujinga Kwa Watu Hawa Hasa Wale ‘Awaamul Muslimiyn Wanaowala Pesa Zao.
Someone with their right sense is saying "alikuwa dariiqa". What is this nonsense called dariiqa??? Mfuate mtume s.a.w sio vikundi na mabid'a Cha kila aina
@@muddymtoro3929 anajielewa huyu fauz jibaba ni kweli anachokisema masufi wanaabudu makaburi na kuwafanya masharifu ni watu wasio na makosa na kuwaomba na hili ni shirk shirk Allah atukinge na watu hawa
Sufi ni watu wa twariqa ni watu wa dhirk za kukohoa pia watu wanaowatukuza masharif pia sufi watu wanaoadhimisha maulid pia ni watu wanao omba dua zao na kutaka msaada kwa watu waliokufa ila si watu wote ni watu wao maalum wanaowaita masharifu hao ndo masufi sijui na ww umo ktk twariqa hii ya kisufii pia wanasifa nyingi zaidi ya hizo hao masufi kiufupi masufi ni watu walioikataa njia ya mtume na masahaba zake wakajizulia njia zao za bidaa ktk dini hii hao ndo masufi uliokuwa unataka uambiwe ✍️✍️ wallahulmustaan
Mashaallah Allah amjaliye umri mrefu ya kuukuza jina lake Allah s.w na pia wote wengine wanao fanya hiyo kazi
MaashaaAllah. Allah amng'arishiye kaburi lake Sayyid...
MaashaAllah Allah awakutanishe tena na sie pia twaomba tupate zao mabwana wakubwa Kama Hawa🙏🙏🙏🙏
MashaAllah mapenzi ya hali yajuu Allah awahifadhi walimu wety na awarahamu maiti wety wrote kwa jumla allahumma ameen yaarab
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html guza
Mashaallah! Allah atuzidishie mahaba na Mashekh wetu
czcams.com/video/4Ir9IA1dxOc/video.html
allahu akbaru mungu awahidi maana mmepotea wazi wazi
Mashaallah nimefurahi sana hayo mapenzi ya kuwaenzi wanazuoni wetu . Sheikh Khatim m mungu akuweke
czcams.com/video/4Ir9IA1dxOc/video.html
Masha Allah masha Allah shekh ana thamani kweli na huko ndo kumtukuza
Jamani mnatushtuwa cc wengine mioyo imechoka kwa mitihani ya dunia,, MUNGU AWAREHEMU MAITI ZETU NA WAISLAMU WOTE...NA CC TULIOKO HAI MUNGU ATUPE AFYA NA AFUWA NA UMRI WENYE TWAÀ NA HUSNIL KHAATIMA WAQT WAKUFA KWETU...AAMIIIN AAMIIIN...
Amin
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html
Masharifu ukwaju
Allah atuongoze kwa namna tunavo ichukulia dini kama bongo fleva
Wanaojiita mashekh wanataka kutred kama wasani
Ah nawe usianze tn
Wallaah hii ndio sababu ya shirki kuingia duniani
dah ndo hapo ndugu watu waona mambo haya sahali sana
Mbona kichwa cha Habari hakiendani na Habari yenyew
Bwanaweee
MashaAllah MashaAllah
Masha Allah
Nimeshtuka ma Shaa Allah sheikh
Mashallh na mimi ni hatimi
Mashaallah Allah awazidishie kupendana Kwa ajili ya Allah
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html
Allah atujaalie mapenzi ya kweli katika nyoyo zetu
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html guza
Maa Shaa Allah 😧
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html guza link ukhty
Hizo zumari sio katika uislamu
Nampenda Sana badawi na
hatmi
Sasa sauti ya kivoto niyanini
Kwahiyo kubandika picha ukutani yafaa? Hamuwezi kufata Sunnah za Mtume, munaenda kinyume na Mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم.
Kichwa chahabar kimenishtua
Huu ndio uongo na ujinga wa baadhi ya warusha khabari
jamani dini yetu imetuharamisha kubandika mapicha ukutani waislamu tumcheni mwenyezimungu
Sisi wengine presha zetu zipo juu kwa iyo munapo andika vichwa vya habari musitumie maneno yenye kustusha kwa hicho mulichoandika
Nimeshtuka kichwa cha khabari mwenzenu
Uongo kwenye vichwa vya habari ni mambo ya wasanii hayo kutafuta wafuasi wapate tuzo youtube sasa na huku kwenye mambo ya Dini pia watu sasa hivi wanaharibu Sana ibada zao watatoka patupu kwa sifa
Unwani inapotosha na si katika sifa za kiislamu mtu kuwapotosha watu Kwa niya yoyote ile,hata kama ni views tunatafuta jamani.
Mashaallah
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html guzaa link
Mambo ya upuzi tuu
Nyinyi mnajua maana ya Usufi? Mnajua ni nani Sufi?
Mcheni Allah! munabandika mapicha katika kuta za nyumba hivi hamjui kama jambo hili limekatazwa
Hakika kharam kabisaa
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html
Kwahio picha haifai lakini muko youtube munatizama videos.🤣🤣
Wee pia unaetizama video na mapicha fec hayafai
Kam hazifai nyie mbona mnamapicha kwny sim zenu na mnaangalia youtube na kupost...mnafanya din ionekane ngumu mpk wasiokuwa waislam wanakimbia
Hio ndio raha ya sufi🙏
Sufi ni watu dhikri yan dhikri tusema maka kukohowa vile ndio sufi wanao umiz vifua
Sufi ni watu wale wanao umiza zijua vyao kwa kukorota saut zao na kucheza hao ndio sufi wanaitwa ahlu sufi wenyewao wanaita dhikri wanaimba na kucheza
@@talhamohamed5606 kwaio kinacho kuuma nini?
@@talhamohamed5606 Alhamdulillah asante mm nilikuwa sijui nini maana ya Sufi na ni ipi maana ya salafi maana nasikiaga tu
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html guza tu link
Habari tumeiona ila dhambi ya uongo wa ulichokiandika ktk kichwa cha habari unayo . Na kama hukubadilisha basi dhambi hii unayo kwa kila uliemvuta kwa njia ya uongo kufungua video hii
Hahaaaa Hebu ianze tena hiii videos utagundua hili Sufi lilitaka kubusu mkono wa Maalim apo lkini hlikupta limepokonywa mkono. Hahaaa
Masufi watabaki kuwa masufi tu Allah awaongeze watu hawa waache usufi wafuate sunna
امين يرب العالمين
Aso Sufi pepo hana
Nahitaj kaswida inayoimbwa nyuma ya video
Masufi ni watu wengine mujuwe sio watu wa kuchezea
Twarika twarika itaendelea
Tembelea Kule kumbea pole na sio sababu ya shariff mwenye acha aga.
Mtume Swala Llahu Alayhi Wasalim amesema hawaingi malaika wa rehma ndani ya nyumba iliowekwa picha.
Kama malaika hawaingii nyumba yenye picha bc jaribu uone kama malakul maut hatokuja kukutowa roho
Album lako zunguka nalo kila mahali kisha ndio utajuwa vzr 😂😂😂
@@hussainahmad7833 hhhhhhhhhh......what a reply?
@@hussainahmad7833 😂😂😂😂
@@hussainahmad7833 😜😜😂😂Hatar sana
ipo fursa na watu wengine kuwa nayo hio picha???
Ndugu yangu fanya juhudi usome dini yako unaitaka picha ikusaidie nn huelewi hayo mambo ya picha ndo mwanzo wa shirki.....
@@uthmaanally418 shirki kubwa ni ile mliomgawa Mungu sehemu Tatu kwa Kusingizia ni tawheed ambapo hakufunza Mtume saw wala maswahaba wake. Mumeipata katika sunna gani tawheed 3?. NYIE mnakalia Mavi halafu hamuyaoni mnawaambia wenzenu wasikalie mavi😂. Kweli nyie majuha. Nani alosema kuwa picha ni shirki? Lete dalili na hoja na uache upumbavu wa kutoa hukumu za uongo
@@hilalkhalfan1452
Mungu Wako anaitwa Tawheed?
@@hilalkhalfan1452
Kama Mungu Wako Anaitwa Tawheed Basi Kagawanywa Mafungu matatu... Kama Sio Hivyo Basi Endelea Kubaki Na Ujinga Wako Ulioupokea Kwenye Kitabu Cha Mashia Kilichochapishwa Na Al Itra Foundation Dar Es Salaam Na Kusambazwa Na Wao Na Watu Wasiojielewa Na Mfano wako Kuchukulia Ndio Hoja.
@@uthmaanally418
Masufi Wana Maajabu Sana Wallah. Ila Alhamdulillah Kikubwa Elimu Ndio Dawa ya Ujinga Kwa Watu Hawa Hasa Wale ‘Awaamul Muslimiyn Wanaowala Pesa Zao.
Someone with their right sense is saying "alikuwa dariiqa". What is this nonsense called dariiqa??? Mfuate mtume s.a.w sio vikundi na mabid'a Cha kila aina
Ndio yanavyo anza mwisho mtamuabudu kama mnavyo abudu makaburi ya masharifu wa mambrui
hujielewi wew mwanamke mungu akusameh!..🙏🙏🙏
@@muddymtoro3929 anajielewa huyu fauz jibaba ni kweli anachokisema masufi wanaabudu makaburi na kuwafanya masharifu ni watu wasio na makosa na kuwaomba na hili ni shirk shirk Allah atukinge na watu hawa
@@alikhamis6326 kwani maxufi ni wa2 gani..?
Sufi ni watu wa twariqa ni watu wa dhirk za kukohoa pia watu wanaowatukuza masharif pia sufi watu wanaoadhimisha maulid pia ni watu wanao omba dua zao na kutaka msaada kwa watu waliokufa ila si watu wote ni watu wao maalum wanaowaita masharifu hao ndo masufi sijui na ww umo ktk twariqa hii ya kisufii pia wanasifa nyingi zaidi ya hizo hao masufi kiufupi masufi ni watu walioikataa njia ya mtume na masahaba zake wakajizulia njia zao za bidaa ktk dini hii hao ndo masufi uliokuwa unataka uambiwe ✍️✍️ wallahulmustaan
@@alikhamis6326 mbon huwa wanaomba dua kutoka kwa mungu xio kwa masharif ndug ang..
Masha Allah czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html
☝️☝️ Ndio kheir sote
Masha Allah
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html