KHUTBAH YA MWENYE BABA KATIKA MAZISHI YA SAYYID HUSSEIN BADAWY JAMALULEIL | MASJID RIYA, LAMU KENYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 02. 2021

Komentáře • 9

  • @twalaataib9297
    @twalaataib9297 Před 3 lety +1

    Mashallah very nice khutuba Jazakallah khery

  • @wabongoughaibunimediaprodu4471

    Innalillah wainna illah raj uun

  • @cesarustadh6280
    @cesarustadh6280 Před 3 lety +1

    Haya yanayojiri hapa hakulazimishwa mtu kuchangia hapa au kuliunga mkono hili,sijui kwa nini watu wengine damu zao zimezoea mizozo na uhasidi?ikiwa wewe ni hodari au umeona kasoro weka darasa lako hukooo kwa wenzio sio hapa,haukulazimishwa kuyasikia au kuyaona haya

  • @sayyidhassanabdallah9746

    Tushikane ahlu twariqa

  • @bahamadiali5049
    @bahamadiali5049 Před 3 lety

    Kabla ya habib saleh hapa kua na watu riadha?

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op Před 3 lety +1

    WACHA UBAGUZI, RIYADHA NI YA WAISLAMU WOTE

  • @adeshmohsheikhsaid6472
    @adeshmohsheikhsaid6472 Před 3 lety +1

    Nashanga watu WA lamu waabudu masayyids

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 3 lety

      Vp yan?

    • @cesarustadh6280
      @cesarustadh6280 Před 3 lety +4

      Hivyo ndivyo mawahabi na mahasidi walivyowafundisha? Sisi tuko Amu na hao masayyid ndio walimu zetu na takriban waisilamu wote dini huko Africa ya mashariki bila shaka wao ndio wamechangia pakubwa kusomesha na kueneza dini isipokuwa hasidi hili Halioni!ebu tuambie hiyo ibada ya kuwaabudu masayyid huwa yafanywa msikiti gani Amu au eneo gani?sisi miaka yote tuko Amu toka kusoma mpaka sasa Alhamdulilah twasomesha lakini uzushi wako huu ulofundishwa na mawahabi na mahasidi eti watu wa Amu wanaabudu masayyid hatujauona mche mola wako wacha uhasidi