KWANINI TUNAKOHOA KATIKA DHIKRI?| ELIMU INAPOTEA, MAARIFA YANAPANUKA - SHARIF AHMAD ALWI BADAWIY

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 154

  • @Ashrafumohamed-gv5cj
    @Ashrafumohamed-gv5cj Před 4 měsíci +1

    mimi naamini kama mtu kapita madrasa hawezi kutukana wala kukejeli wewe unaotukana unavitbu gani ulivyo soma mbna mwajichumia madhambi zilzomijaa nichuki tuacheni na kumtaja kwetu alla na kumsifu mtume wetuﷺ

  • @bakarsalimu6418
    @bakarsalimu6418 Před rokem +2

    Hawo wanao kutukana shekhe waachie mungu hawana hekima haoo mashaallh shekhe

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před 2 lety +3

    Allah atujaliye kheir na baraka

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 Před 2 lety +4

    Shekhe umesema kweli zama izi elmu inapotea maalifa ndo yanakuja juuu wallah naapa shaidi allah mpk siku yakiama sasaivi elmu inapotea kwanz wanazuoni wasasa wanaojiita chipukizi awana hekma wala busara na allah amesema mweny hekm ndy anakher zote dunianii wasasa wamekosa nawanachosoma nimabishano nakuwaingiza watu moton haliyakuwa wote wapo dunianii ndy maana elmu zao zimekuwa azina kalama tuliziona kalama na maajabu kwa mashekh wetu wakaon bado wanaita walikuwa wachawi kwakel tutaja kuulizwa naallah

  • @ummymagula-qw7kf
    @ummymagula-qw7kf Před rokem

    Shukran sheikh Allah akupe umri mref wente barakaa

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k Před 2 lety +1

    Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 Před 2 lety +1

      Huyu sio sufi wala pamba,ni sheikh Al allama al mujahidulqabir

    • @saidchina8552
      @saidchina8552 Před rokem

      Mashallahu mawahabi wanaumia san hawana elim ndo maana wanateseka

    • @alwymohammed2460
      @alwymohammed2460 Před rokem

      اللهم انفعنا بعلومه . واطال الله عمره

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 Před 2 lety +3

    We mzee hebu rudi ktk sunna sio muda utarudi kwa mola wako, Muogope Allah we mzee wangu utasimamishwa mbele ya Allah na utaenda kuulizwa ktk haya ulosema na mengineyo.

    • @aljahuur
      @aljahuur Před 2 lety

      Acha uyahudi wewe

    • @husseinthabiti311
      @husseinthabiti311 Před 2 lety

      Humjui huyo jaribu kutafuta kwenye you tube Kisha utamjua Ni Nani huyo

    • @tatatabdi9999
      @tatatabdi9999 Před 2 lety

      @@husseinthabiti311 ni miongoni mwa maswahaba wa mtume au ?

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 Před 2 lety

      @@tatatabdi9999 hahahaha

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      Hata ww utarudi kwa mola wako tena omba mungu qkusamehe kutusi walimu yy ametupa yake hupendi na ww toa darsa lako tukuskize

  • @bimsoud8762
    @bimsoud8762 Před 2 lety +3

    Mashallah jadhaka wallah lkheir ya shekh,umepita katika elmu kubwa sanaa,wambie wale jaamaa zetu wanayopinga haya,na wanapinga kwa uchoyo tu kwavile tunapata dhawabu alhamdulillah 😊

    • @ramadhanisulemani9016
      @ramadhanisulemani9016 Před 2 lety

      Hhhhhhhh mche allah thawabu ipi waipata kwa kukohoa wewe....huoni hata ametumia hadithi ya uongo. Emb kaa uchunguze

    • @aboubilal3926
      @aboubilal3926 Před 2 lety

      Ndiyo maana ulamaa wanasema kuwa bidaa inapendeza zaidi kwa ibilisi kuliko maasi.
      Anayefanya maasi kama vile pombe zina, kamari nk anajua kuwa yale anayofanya ni maasi akitubia anatubia kwa maasi anayofanya wakati mtu wa bidaa atatumia kwa jambo yeye analiona kuwa ni ibadah?
      Tafakari

    • @athmanbabusa8020
      @athmanbabusa8020 Před rokem

      @@aboubilal3926 Unamaanisha kutia Nia kwenye swala inapendeza zaidi kushinda zinaa?

  • @DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc
    @DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc Před 11 měsíci

    Shukrani Al habiib

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 2 lety +2

    MashaAllah al habib ustadh Ahmad

  • @binbaya923
    @binbaya923 Před 2 lety +1

    Maa shaa Allah. Shukran yaa Sheikh kwa kutufundisha

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 Před 2 lety +2

    Masha’Allah elimu kubwa sanaah hiyo imetolewa na Sharifu

  • @muhammadmjara6776
    @muhammadmjara6776 Před 2 lety

    khurafi jijisufu ujinga mkubo sana allahu akuongoze rejea kwa allahu mjijisufi achani kiburj

  • @barjah1184
    @barjah1184 Před 11 měsíci

    وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ

  • @ramadhanisulemani9016
    @ramadhanisulemani9016 Před 2 lety +2

    Nawashangaa sana wanao kusifia ktk hili ambalo unawapoteza kwalo...kwann usiwafundishe watu ukwel Muogope Allah.
    Kutokana na uchache wa maarifa yako ya kujua hadithi ipi sahihi na ipi dhaifu Unadanganya watu kwa hadithi dhaifu, ضعف الطالب والمطلوب

    • @MohamedAli-rl8cl
      @MohamedAli-rl8cl Před 2 lety +1

      Yule aliekuambia wewe una maarifa ni nani? Ukamilifu ni wake M/Mungu.

  • @kamaluissackkalonkano1348

    Shukran saanaaa sheikh wetu Kwa elim

  • @nyumbayatibanadua737
    @nyumbayatibanadua737 Před 2 lety

    Ma shall aah, ma shall aah, Allah akulipe kula Kheri. Zidi kutumpa elimu wapuuze majahili yenye kupinga pinga tu, Ila nimekuelewa Sana.

  • @MwamvuaJafari-fq4ku
    @MwamvuaJafari-fq4ku Před 10 měsíci

    Mashallah.

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 Před 2 lety +2

    Masha’Allah Masha’Allah

  • @muftishaban.a.musamombasak6577

    Shukuran Sana sheikh sharif

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 Před 2 lety +2

    Kama unaona hajui na wew tupe unachojuwa kukwambia mzee kama huyu tena ni shariffu. Acheni kumkosoa kila mtu aamini anachojuwa ukiona halikufai nenda pembeni tuwachie dhikri yetu

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 Před 2 lety

      Kwani Sharifu ni nani ee

    • @iddydaruwesh8650
      @iddydaruwesh8650 Před 2 lety

      @@hamadfaki2503 pole sana ndugu hujui shariffu ni nani labda una imani ya nyengine. Ukiona jambo kwako halikufai waachie wenye jambo lao. Dini yetu ni pana sana

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 Před 2 lety

      Qur'an imetaja walii ni wacha mungu ila nyinyi muna mawalii wenu wa kisufi mnao wajua nyinyi,wkt hata ww unaweza kuwa walii au ndie kabisa,acheni kuwatukuza watu kupita mipaka baadae wanapofariki mnaenda kwenye makaburi yao mnaomba,mnaleta شرك أكبر

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Před 2 lety +1

    eti aaah aaah ahhh. dini mpya hii

    • @aljahuur
      @aljahuur Před 2 lety

      Allah kawaziba ufahamu mawahabi mayahudi wamepewa ufahamu wa kufuga ndevu na kuvaa kofia zao za kiyahudi za vitobo zile za kipadri tu

  • @allyabdallah4679
    @allyabdallah4679 Před 2 lety

    Subhanallah hakika umma unaupotosha turudini katika haki hamna dini kama hio

  • @quranrecitations7267
    @quranrecitations7267 Před 2 lety

    Ndoooooo kazi ipo hapo

  • @fatumaomary6110
    @fatumaomary6110 Před rokem +2

    Tuachane tuzikri tuende motoni shida nn

  • @sittacharlesmaendeleo778

    Nenda kasome ww acha upuuz usipoteze umma mpuuz mmoja

    • @SeifAlliy
      @SeifAlliy Před rokem

      Jitoto la zinaa lazima litoe kauli mbovu kwa waja wema.

    • @sittacharlesmaendeleo778
      @sittacharlesmaendeleo778 Před rokem

      Kwa mja mwema Gani...achen kutukuza nafsi zenu Allah anamjua

  • @farmah9685
    @farmah9685 Před 2 lety +1

    Mwatafuta pilau Tu hamna lolote wacheni kupoteza watu

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Před 2 lety +2

    Hawi mtu suufi asubuhi ispokua jioni utamkuta chizi,imaamu shaafii

    • @ismailmursal1933
      @ismailmursal1933 Před 2 lety

      Hhhh Maa SHAA Allah barakallahu fyika Akhy FYI manhaji ssalafyi

  • @abdallahmohd8544
    @abdallahmohd8544 Před 2 lety +1

    Adabu zao ndogo sana hao wanaomkosoa Sheikh na elimu yao wanafundishwa ya kubishana na ndomana barka hawana kabisa na Allah alivyokua mkubwa basi masheikh aina hii wengi huwa wanapata shahada wanapokufa sasa sijui jaahil nani na wao shahada huwa wanaisikia kwenye bomba😄 ya Rabbi waongoze ndugu zangu uwaoneshe hakika ya mambo

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 2 lety

      Tafuta Hadith ya kujikohoza hata kala shetani utowe hapa iwe ww au hao mashekhe wako wa kujikohoza na lau ungekuwepo ushahidi wake tungeona dunia nzima wanakohoa sawa sawa ila kila mtu anakohoa aina yake fuatilia hilo, tuna taka hadithi sio mbwembwe

    • @abdallahmohd8544
      @abdallahmohd8544 Před 2 lety

      Sio kujikohoza mbona unabadilisha ni kumtaja Allah kule au hujamsikia sheikh vzr

    • @aljahuur
      @aljahuur Před 2 lety

      Hakuna wahabi ata mmoja alokufa akatamka kalima ufe yahudi utamke kalima wap subutuu kazi yahudi kazi yake ni kupatana katika dini kama biashara ili ataka hili hataki ndo tabia zao mayahudi tangu wakat wa mtume muhammad

  • @barawampaayi
    @barawampaayi Před 5 měsíci

    Katika watu wa lamu sheikhi wa kisawaswa ni sheikh Ahmad Msallam

    • @barawampaayi
      @barawampaayi Před 5 měsíci

      czcams.com/video/vcL5mTCPQXI/video.html&si=zS36dSb89CGwrDi5

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051 Před 2 lety

    Masha Allah

  • @tatatabdi9999
    @tatatabdi9999 Před 2 lety +1

    Mzee ninakukumbusha kwa aya hii.
    (فَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلَّذِینَ أُرۡسِلَ إِلَیۡهِمۡ وَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلۡمُرۡسَلِینَ)
    [Surah Al-A'raf 6]
    Sasa endelea kupotosha watu.

    • @FatherofRabbits13
      @FatherofRabbits13 Před 2 lety +1

      Kabsa ndugu yangu. Misufi wana taabu Sana.
      Subhanallah

    • @sokotvonline8845
      @sokotvonline8845 Před 2 lety

      Hivi Huyo Mtu Munamjua Vzur Kwanza Kabla Hamjasema Lolote...Munamfaham Huyoo

    • @FatherofRabbits13
      @FatherofRabbits13 Před 2 lety +1

      @@sokotvonline8845 sheik mm hasa Sina haja ya kumjua jitu kma hlo lenye kupotosha watu ovyo.
      Ikiwa aqwaal Za maulamaa zinachukuliwa zikiwa ni sahihi na zinarudishwa kma sio sahihi. Ni Nani Uyo aongee hvo askizwe??
      Hzo ni takataka anayoongea kutoka kinywani mwake.

    • @sokotvonline8845
      @sokotvonline8845 Před 2 lety

      @@FatherofRabbits13 Sawa

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 Před 2 lety

      Asante akhy umetukumbusha

  • @muhidinally3753
    @muhidinally3753 Před 2 lety +2

    Huyusheikh sioni kwa nini hiki kitv kinampa nafasi ni mpotoshaji sana.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety

    Nafikiri Riyadh Al Janna iliyozungumzwa katika Hadeeth hiyo ni Majlis Al Ilm!!

    • @aninanichasi422
      @aninanichasi422 Před rokem

      Unajuwa kuliko sharifu? hata allaah akupe umri wakuishi miaka 500 huwezi kuifikiliya elimu yahuyo sharifu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@aninanichasi422 hahahaha,,,,, mjuzi na mwenye elimu asiyepitwa ni Allah Tu, hata nabiy ul llah Musa alikuwa na dhana hiyo kuwa ni yeye pekee alikuwa na elimu kubwa kuliko wote, Allah akamuonyesha Al kidhir mtu mdoogo sana asiyekuwa na jina ili amuonyeshe kuwa yeye Musa hajui kila kitu,,,,,,,kwahiyo sishangai hayo uyasemayo!

  • @sittacharlesmaendeleo778

    Jinga sana hili

  • @muryd6999
    @muryd6999 Před 2 lety

    Maa Shaa Allah ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @foxnineteen5679
    @foxnineteen5679 Před 2 lety

    Pumba unatumwagia

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před 2 lety +4

    Mie elimu yangu ndogo nauliza katika majina 99 ya Allah mbona AAA silioni?

    • @selemohd9060
      @selemohd9060 Před 2 lety

      Utaiona wapi na elimu yako ni ndogo?

    • @mamlomamlo9064
      @mamlomamlo9064 Před 2 lety +1

      @@selemohd9060 ungenielimisha

    • @mahershadhil2493
      @mahershadhil2493 Před 2 lety

      😅😅😅🤣🤣

    • @ismailmursal1933
      @ismailmursal1933 Před 2 lety

      Hili swali hukuna Sufi yeyoto aweza kutujibu kabisaaaa حتى يشيب الغراب

    • @AlawiKahema
      @AlawiKahema Před 9 dny

      Kipo kitabu yapo majina 1000 yote ya Allaah endelea kujifunza

  • @trucking2298
    @trucking2298 Před rokem

    Mumeokoka kama wakristo!!! Ulitoa wapi uhakika wa kusamehewa?

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      Maskini huwelewi mungu akusamehe insha Allah siku yakiyama utamjibu mola wako kufananisha muisilamu na mkiristo

  • @digital_jungle2
    @digital_jungle2 Před 5 měsíci

    wacha kudanganya hadithi ni maudhur kuhusu aninu al maridh

  • @abdullahijma2073
    @abdullahijma2073 Před rokem

    Upotoshaji huo..tufuate sunnah ya Mtume SAW tuache huu upuzi.

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Před rokem

    Kuna Chanel hazifai hata kufungua kama hii mnatueekea upumbavu kama huu

    • @AlawiKahema
      @AlawiKahema Před 9 dny

      Pole sana masikini wewe huna jipya acha kubishana na wanaojua ww ni mtu ulionyimwa BUSARA na ALLAAH,Pole sana

  • @muhammedsuleiman2137
    @muhammedsuleiman2137 Před 2 lety

    Hiyo ni kwa uelewa wako shekhe a ha a ..ahlutwarika..naona unapigia debe ahlutwarika

  • @athumaniamiri3764
    @athumaniamiri3764 Před 2 lety

    Mi nimtu wa dhikri lkn sijaona mashiko ya matetezi ya huku kukohoa anyway Alkamaalulillah.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 2 lety

      ndugu yangu, fahamu mtu yoyote huongea kulingana na mzingira husika, hapo hapakuwa na haja ya kuongea hivyo unavyotaka wewe kwa sababu waliokusanyika wote hapo hakuna anayepinga hilo swala hata mmoja, wote wanalikubali, laiti sheikh angekuwa ktk majadiliano ya kielimu na wanayoyapinga maswala hayo wala asingezungumza kwa lugha hiyo kabisa... zingeshuka nondo hapo mpaka angekimbia mtu.

  • @ismailmursal1933
    @ismailmursal1933 Před 2 lety

    Duuh Allahu l musta'an nashangaa herufi Inakuwa nikatika majina ya Allah ?hii nibalaa vipi herufi Inakuwa ni katika majina ya Allah? Sisi ELIMU yetu ni ndogo katika hadithi imekuja kuwa Allah anamajina 99 Sasa hili la AAa mbona hatujaliona limetukea wapi! Allah atudhibitishe katika Sunnah wallah لأن هذا من البلوا

  • @sabihamakami3720
    @sabihamakami3720 Před 2 lety +2

    Shekhe unajitahid kutetea ila sio dhikri hio yakukohoa adhkar zilizo sahihi nikesema subhannallah allahuakbar lailahailallah n,k lkn hizo nyengine wanavyo kaa kwenye vikundi nakukohoa sio sahihi vyovyote mujipambiavyo

  • @alhidaaya5288
    @alhidaaya5288 Před 2 lety

    Ibada ya Dhikri ilikuwepo Tangu kipindi cha Mtume na Maswahaba na Waliofuatia Baada ya Hapo.Lakini Mfumo huu wa kufanya Dhikri uliobuniwa na hawa Haupo katika Dini Mtume Hakufundisha hivi na wala Maswahaba Hawakufanya Aina hii ya Dhikri na wao ni wachamungu zaidi na wenye Elimu zaidi kuliko sisi .Hivyo mfumo huu wa Dhikr ni jambo La Bidaa na hauna Malipo na ipo Hadith Marfuu Swahaba Abdillah ibn Masoud aliwaona watu msikitini Wakikaa vikundi kufanya Dhikri za Pamoja na vijiwe aliwakemea na kuwafukuza Msikitini

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 Před 2 lety +2

    Hakuna anaepinga DHIKRI,Bali tunapinga huku kujikohoza kohoza na kujamba Jamba ktk hiyo DHIKRI

  • @farmah9685
    @farmah9685 Před 2 lety +7

    Wacha uongo muogope Allah mtaenda kuchomwa na bidaa zenu

    • @swedibr3218
      @swedibr3218 Před rokem +1

      Mawahabi tu ndo mtaenda peponi

    • @aninanichasi422
      @aninanichasi422 Před rokem

      utajuaje wakati hujui kusoma?

    • @barawampaayi
      @barawampaayi Před 5 měsíci

      @@swedibr3218umesema ukweli kwa sababu mwahabi ndio wako juu ya haki kuliko watu wa tariqa

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 Před 2 lety

    Wenye Elimu zao vichwa vinawaka moto

  • @zanzibaronlytv3470
    @zanzibaronlytv3470 Před 2 lety +1

    sasa dhikri hiyo kaifanya mtume

  • @albassammusaalbassam7487

    Majina yote ya Allah Yana maana tupe maana yake we mzushi

    • @hamisimwempozo6103
      @hamisimwempozo6103 Před 2 lety

      Wewe jinalako linamaanagn mpaka umuite shekh nimzushi

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Před 2 lety +2

      @@hamisimwempozo6103 we ndo chenga kabisa unadhan dini ni ushabiki?? Kuwa shabiki wa haki acha kukurupuka kaa darasan utajua haki kuliko kusikiliza haki ipo kwenye vitabu waongeaji wengi wanachunga maslahi , kwahyo tunaposema alete maana ya Aa Aa Aa unadhan labda tumekurupuka siyo majina ya Allah yote Yana maana na sifa za Allah ndo Mana tunaomba kupitia majina yake kutokana na shida nilionayo km nimsamaha yeye ni ghafuru km nirizq yeye ni Al razaq km hvyo hvyo majina mengine Yana sifa ulitaka nusra au msaada kuna jina Lina sifa hiyo

  • @faisalmohamed2746
    @faisalmohamed2746 Před 2 lety +1

    Unathubutu kumwita huyu sheikh muongo au jahil muogope Allah

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 Před 2 lety

    Hamna kitu hapo mpotoshaji jahiri bobezi katka bidaa

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Před rokem

      Sihaba kwamba umekubali kabobeya asante kwa hilo

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 Před 2 lety +1

    hadeeth iyo ni maudhui (fabricated hadeeth) acha uongo mjinga ww

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 Před 2 lety +1

    Sisi watu wasaivi wengi niwajinga mfateni mwenyew mumueleze kama anasema uwongo mumekaa kama mambumbumbu kama hamujuw hamujuwi tu mafufu matupu kichwani

    • @slaeem7515
      @slaeem7515 Před 2 lety

      usitukane watu astaghfirullah

    • @mohdmbarouk8465
      @mohdmbarouk8465 Před 2 lety

      Mtafute ukweli ya hizo elimi alafu muite Watu waongo tunakosea Sana ndio maana mijadala imekuwa miiingi na makundi haiwi mtu kama shekh unamuita muongo wakati Elimu ya alichokisomea wewe haukijui

    • @kibavumrisho3495
      @kibavumrisho3495 Před rokem

      Mashallah elimu emeenda sheikh mungu akujaaalie akupe umri mrefu haki umesema kila utoalo haki maarifa ya ujinga ndio yanapanuka akhlaq hikma pia hawapo ndio maana watu wanaweza kutukana wanazuoni basi watawatukana hata wazazi wao

  • @sheikhabdillahmassawe5302

    Nadhani wangekunywa dawa ya kukohoa kwanza ingekuwa afadhali

  • @user-vx5pm1dk7s
    @user-vx5pm1dk7s Před 2 lety +1

    Hebu kuweni wakweli mbona hamuogopi falsafa za hovyo ambazo hazina dalili za Latisha.

  • @jibriilaboubakar2514
    @jibriilaboubakar2514 Před 2 lety +3

    Lijinga limoja lasema maasha allah majitu majinga kweli

  • @OMAR-se6rb
    @OMAR-se6rb Před rokem

    😂😂😂😂😂😂sheikh muingo ww

  • @aboubilal3926
    @aboubilal3926 Před 2 lety

    Hakuna hadithi yoyote kuhusiana na adhkari inayotaja dhikri kwa jina la Allah peke yake achilia mbali A a a.
    Wakati wote utaona jina la Allah Kwanza halafu neno jingine mfano Allah Akbar, Allah Al Mustaan n.k
    Au linaanza neno halafu jina la Allah mfano subhaana Allah, Astaghfiru Allah n.k
    Sheikh kachemka hapo.

  • @abuushakiraddausiy8666

    Achauongoo bhna huo ujaahilii.....nani katafsiri hivyoo katika wema walio kutangulia....

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 Před 2 lety

      Jamaa jongo kichizi yani..

    • @binmiraji2168
      @binmiraji2168 Před 2 lety +2

      Kasome tafsiri ya ibn kathiri jinsi alivyoitafsiri aya isemayo" إن إبراهيم لاءواه حليم" ukishasoma rudi hapa tuzungumze

    • @abdulshariff00
      @abdulshariff00 Před 2 lety +2

      @@binmiraji2168 akifanya hivyo nafunga siku tatu. Kaishia kujaza comment za kumuita sheikh muongo tu na hilo linaonyesha level ya ilmu yake

    • @jibriilaboubakar2514
      @jibriilaboubakar2514 Před 2 lety

      Mwajazana ujinga pumbavu. Nyie

    • @nasoros.mgungo5502
      @nasoros.mgungo5502 Před 2 lety

      @@binmiraji2168 lisikushangaze matusi kwa Mawahabi.

  • @hamzaomar790
    @hamzaomar790 Před rokem

    Nenda kasome juha wewe

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Před 2 lety

    wazushi nyinyi. moto matao ya wazushi. ivi huo upuuz mtume saw kwann asitufunze yy. abambanya hoja wafikie malengo

  • @abuushakiraddausiy8666

    Hujasema isoku umenena urongoo...

    • @abdulshariff00
      @abdulshariff00 Před 2 lety

      Hebu tufafanulie urongo aliosema sheikh

    • @jibriilaboubakar2514
      @jibriilaboubakar2514 Před 2 lety

      Hahahhahaha mashekh uchwara hawa haaah ety jina la allah watu wanachekesha nyie dah wanajua kiarabu kuwashinda waarabu wenyewe

    • @slaeem7515
      @slaeem7515 Před 2 lety

      Huna elimu bado wewe elimu yako ni ndogo sana nenda ukasome kwanza ndo uje hapa

    • @jibriilaboubakar2514
      @jibriilaboubakar2514 Před 2 lety

      @@slaeem7515 wewe nipe moja ktk hayo alonena usikimbilie nenda kasome hata wewe kasome elimu nipana

    • @saidiisimbula428
      @saidiisimbula428 Před 2 lety

      hizi ni dalili za kiyama

  • @abuushakiraddausiy8666

    Hahahahahahaha...acha uongoo ewe jina langapii???

    • @abdulshariff00
      @abdulshariff00 Před 2 lety +2

      Hicho kicheko chako ni kejeli ama wamuona sheikh ameongea pumba? Mungu akufanyie wepesi na akuongoze uwache kuwadhihaki masheikh

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k Před 2 lety +3

    Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee

  • @abubakarmwasumilwe7070

    Ujinga mtupu..
    Allah akuongoze