FAYVANNY AMLIPUA PAULA KAJALA / ANAMTAKA RAYVANNY / HAPENDWI NAPENDWA MIMI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • MCHUMBA WA RAYVANNY FAYVANNY KWA MARA YA KWANZA AMEFUNGUKA CHANZO CHA UGOMVI WAKE NA PAULA KAJALA KUMBE CHANZO ALIKUWA RAYVANNY TAZAMA FULL ENTRVIEW HAPA
    #manaratv #rayvanny #fayvanny #diamondplatnumz #harmonize

Komentáře • 297

  • @user-pw2bl4qd8w
    @user-pw2bl4qd8w Před 6 měsíci +3

    Nakupenda mamy umewajibu vzuri ❤❤❤

  • @user-ih6ng6sf6o
    @user-ih6ng6sf6o Před 10 dny

    Nakupenda mno dada❤

  • @GermaineMaggy
    @GermaineMaggy Před měsícem +1

    Fahma umewajibu vizuri sana

  • @neemasimion8712
    @neemasimion8712 Před 10 měsíci +36

    Nilijua kwenye huba ndo anajisheua kumbe hata kwenye interview Ila anaonekana anajiskia sana😂

  • @Bitendomba-x2o
    @Bitendomba-x2o Před 2 měsíci +1

    Fahma we mzuri sana ringa tu mama ucjali mchawi yeyote,CFA ya mwanamke kuringa

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 10 měsíci +3

    Fahymah your the best 👌

  • @JOSEPHNYANDA-rg5ml
    @JOSEPHNYANDA-rg5ml Před 10 měsíci +12

    Aliyesanuka fayma anakisembeeee Kam mm achia like apo😂😂

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Před 10 měsíci

      Kwani kunashida gani jamani kuliko kuwa bubu kabisa ni mafundi ya Mungu #kama mimi

  • @hadijamohammed1868
    @hadijamohammed1868 Před 10 měsíci +43

    Mi nakuombea mungu akufungue angalau akili ya kuweza kujistiri huo mwili wako, ni mzuri fahma sjui unahangaika na nn mpaka unakua uchi, inaumiza😢

    • @zainabman2964
      @zainabman2964 Před 10 měsíci +8

      Huyu dada ni mzuri lkn Hana nyotaa ya kupendwa na watu famous ,rayvanny hampendi huyu dada bac tuu

    • @milcahchacha2911
      @milcahchacha2911 Před 10 měsíci +1

      Yan mhmhm

    • @eshasozy69
      @eshasozy69 Před 10 měsíci +4

      Mm simpendi mtu anae mpenda mwanaume arf mwanaume Ampendi bari anamtumia2

    • @user-cs8pd9md6j
      @user-cs8pd9md6j Před 10 měsíci +1

      Umeongea kwel

  • @zuhuraakida5932
    @zuhuraakida5932 Před 10 měsíci +20

    When someone run away from the past...bado haja heal🥺😔

  • @ellykiswaga
    @ellykiswaga Před 10 měsíci +18

    Waandishi hawana maswali ya maanaa hata kidogo yanii ni upuuziii2

  • @mayrose9772
    @mayrose9772 Před 10 měsíci +10

    Nmekupenda unavowajibu kuhusu Paula na rayvan 🌹🌹

  • @scolarchelangat4750
    @scolarchelangat4750 Před měsícem

    So cute❤❤

  • @touristmorgan4090
    @touristmorgan4090 Před 10 měsíci +9

    Samahani mic. zinaziba ninapo angalia jameni😂😂

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 10 měsíci +11

    Jamn nini hicho umevaa kwa watu wengi hovyo??tumrudie mungu kwa kweli.

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj Před 10 měsíci +10

    Inna lilah wainna ilayh rajiuun mtt wakiisilam upo uchi ikiwa mwanamke mwili wote niuchi kasoro viganja vyamikono nauso Leo kifua mhh

  • @user-ml2yz7ox9o
    @user-ml2yz7ox9o Před 8 měsíci +1

    Ataivo mbaya sana amshukuru rayvavvy kwa kumsitili

  • @uwaseMiracle-nr9oi
    @uwaseMiracle-nr9oi Před 3 měsíci +2

    Fayma Ray vanny anapenda Paul sanaa 😂😂😂

  • @user-tm7ij7di3c
    @user-tm7ij7di3c Před 9 měsíci +3

    Acha maringa..karibu kenya...na iyo kiburi ya maringo tutakutengezea memes hutajua hujui

  • @user-rm8xr9cv7l
    @user-rm8xr9cv7l Před 10 měsíci +7

    Kama kuvaa uchi ndio uselebu dunia simama nishuke 😂😂

  • @zenahmugo1974
    @zenahmugo1974 Před 10 měsíci +10

    Napenda anavyowajibu 😂😂😂😂😂😂😂,sasa wenye macomment yao ya chuki

    • @salmamakweta1198
      @salmamakweta1198 Před 10 měsíci +2

      Ahsante shoga yangu, maana tunazaririka wanawake, we mke wa mtu ndy nn kukaa hivyo

  • @cottamanywele1396
    @cottamanywele1396 Před 10 měsíci +6

    Serekar kemeeni huu upuuzi wa hawa wadada wanao udhakilisha utanzania itungwe sheria ya kuvaa uchi hawa madanguro wanaojiita wasanii, eti ndo kioo cha jamii duuuuh ina lilaah wa inailaaih rajuuni

  • @leminnana5729
    @leminnana5729 Před 10 měsíci +28

    Maringo niya nini mama 😢 ongea na watu vizuri na utapendeza

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 Před 3 měsíci +2

    Maringo ya nn 😏we mwenyewe haumfikii hata nusu paula kwa uzur❤

  • @sadnagoso-yn6iz
    @sadnagoso-yn6iz Před 3 měsíci

    Nice hair style

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g Před 10 měsíci +6

    Hujawah kuumizwa eeh??ngoja ulipuliwe Tena uje utuandikie walaka wa mtume Paulo kwa wakorintho😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 Před 10 měsíci +2

    Sema mwanamme wake

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Před 10 měsíci +3

    Paula ni chawote ty😢😂fayma❤❤❤❤

    • @tabiangonyani3526
      @tabiangonyani3526 Před 10 měsíci +2

      Cha wote ni yule anaeanika maziwa yake wazi ili kila mtu ayatake. Lakini wap😅😅😅

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 10 měsíci

      ​@@tabiangonyani3526Paula ni Cha wote na huyo mamake

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před 10 měsíci +22

    Kwanza huyu dada IQ ndogo pia uzuri wa kawaida sana hamuingii hata Abigail Chams

  • @user-mg2mp1fp5o
    @user-mg2mp1fp5o Před 4 měsíci

    ❤❤❤🎉🎉fey

  • @lengai3993
    @lengai3993 Před 10 měsíci +4

    Wewe ni mrembo sana inshaallah ila jaribu kujistiri

    • @teshaabaraka8397
      @teshaabaraka8397 Před 10 měsíci +1

      Kwanini uvae nguo yakukupa shida Kila saa unaivuta inaacha kifua nnje ulivyovaa ulikuwa huoni wanaokuambia umependeza waongo ingefunika uko powa

  • @mariamnjama3963
    @mariamnjama3963 Před 10 měsíci +12

    Ataka kujifanya nandy ila inakataa sauti😅😅msibshane rudn mwatch tena😅

  • @user-ti5uf2yl4o
    @user-ti5uf2yl4o Před 10 měsíci +2

    Dada mashauzi huyuu😢😂😂😂😂

  • @user-ig1ft7ec7h
    @user-ig1ft7ec7h Před 7 měsíci

    Fayivani jitahidi kujistir tunakupenda❤😂😅

  • @degutchgaya
    @degutchgaya Před 9 měsíci

    Yeaah mmmh😏

  • @hidayahamisi3383
    @hidayahamisi3383 Před 9 měsíci +3

    Mashauzi😂 dada 😅😅

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n Před 10 měsíci +5

    Ravnnnyn faiyma ❤❤

  • @faridaalshabibi9226
    @faridaalshabibi9226 Před 10 měsíci +1

    Jamani maziwa nje eee

  • @tatuhussein8634
    @tatuhussein8634 Před 10 měsíci +6

    Yan ww Dada mm skupend umenifany mpaka naichukia hub Kwa making yak

  • @user-oy6zc3vh3h
    @user-oy6zc3vh3h Před 4 měsíci

    Mnaposha inch kwa uigizaji mwingi usiokua nampango mnaiga sana

  • @TwariqJamilu-jf4bd
    @TwariqJamilu-jf4bd Před 10 měsíci +1

    Ishaallah Allah akuongoz kwasabab nihatar

  • @Esendi564
    @Esendi564 Před 9 měsíci +1

    😢😢😢😢😢wasani wengi ni ngono na wengi awa watoi ama bibi ni mapenzi tu hiyo dio wanatsfuta

  • @SarahWilliam-ik2nc
    @SarahWilliam-ik2nc Před 4 měsíci

    Amuache Paula au anamuonea wivu TU.❤

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před 10 měsíci +27

    Hivi wasanii wa Tz hawana story zingine zaidi Mapenzi na Ngono ???!!!!

  • @khadijamwinyihaji907
    @khadijamwinyihaji907 Před 10 měsíci +7

    Eti Mungu hapendi watu wajipondoe lakin watembea bobs nje kwìyooo😊

  • @LovenessIkanda
    @LovenessIkanda Před 3 měsíci

    Rayvany ampenda Paul sanaaa duuuh 🤣🤣🤣

  • @tryphaenapeter8384
    @tryphaenapeter8384 Před 4 měsíci

    Hizo mike😂znavyoenda na znavyorud kwa fayma znachekesha😅

  • @asiasimon8278
    @asiasimon8278 Před měsícem

    xanaa mama 1:14

  • @MwanadieJinango-fu6tr
    @MwanadieJinango-fu6tr Před 10 měsíci +4

    Etii ni mtoto wa kislamu hyo

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 10 měsíci +10

    Hapo umenifurahisha umejibu vizuri ulipo ulizwa kuhusu Paula hukutaka kumsema mwenzio vibaya huo ndo uzungu nimependa ukiwa hvyo na chengine punguza pozi na maringo mpenzi Kwa ukiwa hivyo wateja wko ni washabiki maneno mabaya pia ya zarau punguza

  • @user-tw6yb9lo8d
    @user-tw6yb9lo8d Před 10 měsíci +2

    Tunyonyo twa rayvany kkkk.. bado tumesimama.

  • @TinahBennypaul-ms2jg
    @TinahBennypaul-ms2jg Před 10 měsíci +8

    But mimi kitu inanikera ni hivo anavofanya mdomo khaa chefuuu

  • @gladysnice2828
    @gladysnice2828 Před 3 měsíci

    Fahma your wise don't tell this media boys

  • @ZaiMwarab
    @ZaiMwarab Před 2 měsíci

    Kwn jaman hajisitil huy dad😂

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před 10 měsíci +9

    Ila waandishi wamemwita kuchungulia hivyo vititi tu maana hana masuali ya kuulizwa kwa ufupi

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Před 10 měsíci

      😂😂aibu tu

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Před 10 měsíci

      @@mariamkibindo1741 Anahisi aibu huyo hehehe mshipa wa aibu ashautoa huyo ndio maana anakwenda uchi ,mpaka hawara au mzinifu mwenziwe anamwita mume wake tena bila kigugumizi

    • @user-es3lh2dm9p
      @user-es3lh2dm9p Před 2 měsíci

      🎉hhhhhhh

  • @milcahNanjala-to9gq
    @milcahNanjala-to9gq Před 6 měsíci

    ❤❤❤

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 4 měsíci

    Huyo ndio mkaa uchi nyadundo 😂😂😂

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 7 měsíci

    Kwa Paula uzur unaingia mama 100nk,na Hiko kichwa km pas😂😂😂

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před 10 měsíci +12

    Nimefungua hii video ili nione hivyo vititi tu vya Bidhaa inayotembea vizuri 😋

  • @Deelissah
    @Deelissah Před 10 měsíci +4

    Ananiuz anavyoongea kama hana meno

    • @user-gc4km8oc5t
      @user-gc4km8oc5t Před 10 měsíci +1

      vimeno vyake ni vidogo vidogo kama vya panya mchunguze uone kwenye clip zake anazocheka

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Před 10 měsíci +15

    Ina Lilah waina ilaihi rajiun sasa mwaname rijal unaweza kuvumilaa hapo😭

    • @nellymtambo8432
      @nellymtambo8432 Před 10 měsíci +2

      Nani kafa kwani ...... Shenzi kabisaaa hiyo mineno ya mtu kufa yanahusiana nini hapo mwanamke ni maua na maua yenyewe ndio hayo lazima mwanamke atamanishe mwanaume upoooo hapo mfyuuu kwendraaaa

    • @user-hn3xt2us6u
      @user-hn3xt2us6u Před 10 měsíci

      Daaa kweli kabisa inalilahi wainaihi rajuun

    • @Munshid_Rajab
      @Munshid_Rajab Před 10 měsíci

      ​@@nellymtambo8432mmmmmm....mnh

    • @farashuusharifu1504
      @farashuusharifu1504 Před 10 měsíci +1

      Allah Allah atusamehe

    • @farashuusharifu1504
      @farashuusharifu1504 Před 10 měsíci

      @@nellymtambo8432 Maana yake ni mswiba unatumia hayo maneno Kwa mtu anaeenda kinyume na maadili Kwa husikariri maisha

  • @neemajoseph6204
    @neemajoseph6204 Před 10 měsíci

    Waoooooh fayma

  • @mujurivicky3238
    @mujurivicky3238 Před 10 měsíci +3

    🇰🇪she is so delulu😂😂😂rayvanny anaimbanga lini eti "si rangi kama ya fyma,have never heard😂😂😂anywho delulu is the solulu😂

  • @arafaramadan6234
    @arafaramadan6234 Před 10 měsíci +2

    Had wanamsitiri n maiki😢😢😢wanamficha duuu😮

    • @NaomiChristopher-mt2yh
      @NaomiChristopher-mt2yh Před 10 měsíci

      Watangazaji wanafk sana ety suti imekaa mahara pake😂😂😂😂😂😂

    • @semmybugi7371
      @semmybugi7371 Před 10 měsíci

      ​​@@NaomiChristopher-mt2yh😂😂😂😂hku wanachungulia vititi kiaina daah

  • @louangebahirwe8556
    @louangebahirwe8556 Před 10 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni Před 3 měsíci

    Kwa.hawa wawili.yaani rayvan anampenda paula fayvan anampenda rayvan mario anampenda.paula kikubwa paula anapendwa. Kote kote raha kwa paula tu

  • @KazumarYusufu
    @KazumarYusufu Před 10 měsíci +3

    Yote kwa yote ila huyu dem mzuur😂

  • @PhabianiJacobMakaya-sc6jj
    @PhabianiJacobMakaya-sc6jj Před 10 měsíci

    Halafu ndugu nikufahamishe jambo moja ukishauriwa kuhusu kujisitiri usiite ni ushamba eti sababu wewe huwez kujisitiri muhim kumuomba Mwenyezi mungu akuepushie mabalaa ya aina zote.mf kuacha maziwa waz,kichwa waz na mengineyo.

  • @user-fr6ns1dh4p
    @user-fr6ns1dh4p Před 8 dny

    Paula anasumbuliwa na umalaya 2 si kitu chengine rayvanny naye n huyohuyo .wanamke wako uko nae lakini huridhiki nahuyo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 10 měsíci +4

    Malaya ni malaya tu hawezi kujistiri hata awe dini gani

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Před 10 měsíci

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥

  • @Dorcaskiwale-ir6ec
    @Dorcaskiwale-ir6ec Před 10 měsíci +1

    Mbona nyoyo ipo njee

  • @giftbachibone8105
    @giftbachibone8105 Před 10 měsíci +3

    Ushaanza muhuga Nandy

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Před 10 měsíci

    Wewe fahima hauko sawa sasa kweli unatoka mbele za watu mziwa nje au imesahaw kuvaa nguo ndani ya kote
    Ou bado mshamba hujuwi mambo ya kuvaa

  • @matthewmseti3736
    @matthewmseti3736 Před 4 měsíci

    Nimshamba sana huyu demu. Ananyodo sana

  • @connydeone-jv6cs
    @connydeone-jv6cs Před 10 měsíci +4

    I used to love this girl bt maringo yake is a NO

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m Před 7 měsíci

    Uyu dada mungu kamjaalia lakini akili zake finyu yani yupo uchi mnamkasirisha mwenye zimungu mungu amfungue akili ajielewi

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 10 měsíci +1

    Masikini roho yko we dada maziwa hayo wape waandishi

  • @user-ug8yc6yf8u
    @user-ug8yc6yf8u Před 9 měsíci

    Jmn mamy unawakeraaaaaa but wambye wafany yao ya kwako ayawahusu

  • @HasanZuber-sp1vj
    @HasanZuber-sp1vj Před 3 měsíci

    Kaka naona mapenzi yapo mbele ya vote itakua by hassani handeni

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas Před 10 měsíci +2

    She is in pain. That hair style though beautiful it's looking like a headache 😫 😢

  • @jinaothman4816
    @jinaothman4816 Před 9 měsíci

    Kila mtembeza uchi ni Sawa na mnyama...imeisha iyoo.!

  • @myTanzanianplate
    @myTanzanianplate Před 10 měsíci

    Hivi ni maswalii gani hayoo.....emb waandishi jitathminini bwana khaaaaa

  • @user-rm8xr9cv7l
    @user-rm8xr9cv7l Před 10 měsíci

    Na mkue tu mkionge kiswahili please course hiyo English ya hatuielewi ss

  • @Kathystar2459
    @Kathystar2459 Před 10 měsíci +1

    Huyu akona kiburi😅😅😅na anaongea kiswahili aende afunzwe English😅😅😅😅kiburi Kenya huwa twasema iabatane na English😅😅😅😅

  • @HusseinMawika-nl9hh
    @HusseinMawika-nl9hh Před 9 měsíci +1

    Muoneshen picha ya paula na rayvan aatakumbuka

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Před 9 měsíci

    Mashauzi👻

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Před 7 měsíci

    Hata wewe unayesema moto hata wewe unakuaubiri unajihesabia haki wewe Mungu

  • @user-oy6zc3vh3h
    @user-oy6zc3vh3h Před 4 měsíci

    Group la mashoga

  • @jocelynebella6943
    @jocelynebella6943 Před 9 měsíci

    Na anajibu maswali na madharau mingi jamani 😂😂😂..... Kila kitu alichokifanya anapinga heee bana

  • @WinfridaZakayo-mj7co
    @WinfridaZakayo-mj7co Před 9 měsíci

    Huyu kuma kweli

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Před 10 měsíci +10

    Ipo siku utajutia hayo maneno yako wanaume hujawajua bado

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 10 měsíci

      Akijutia ni yeye wew utaathirikaje hapo😅😅

  • @user-bt5im8dv2q
    @user-bt5im8dv2q Před 6 měsíci

    Sisi ma shabiki wa vanny tunasubiri ndowa

  • @lovenessfrank95
    @lovenessfrank95 Před 9 měsíci

    huyu dada anajiaribia cv yake

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 10 měsíci

    Kuwa pic na watu

  • @MaryamSoud-bt7me
    @MaryamSoud-bt7me Před 2 měsíci

    Utampata wapiiiii Paula weweee

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 10 měsíci

    Post lkn usiseme maneno ya kuonyesha kumzarau mtu Ambae hafanyiwi au hapati Kuna watu wanamaisha magumu ukianza kuwaonyesha sifa za pesa Kisha ukasema maneno yasiyo mazuri ya mafumbo watu lazima watachukia huo km ushauri jitahidi kuwa pic

  • @clasclass
    @clasclass Před 9 měsíci +1

    No wonder watu wengi wanapenda Paula kumliko she's too much of herself, na bado atawachwa😂

  • @user-pt5we2gu4l
    @user-pt5we2gu4l Před 9 měsíci

    Nandiy rangi yake hamisa kabst

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Před 7 měsíci

    Afanya mdono au ndivyo alivyo wivu tu

  • @user-ml1tb4ij4m
    @user-ml1tb4ij4m Před 6 měsíci

    huo mdomo una nini au ni maringo