KUFIKIA SEPTEMBER 2024 UMEME UWE UMEFIKA KAMBIKATOTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 07. 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera amewata Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha umeme unawafika wananchi wa Kambikatoto pamoja na maeneo mengine yote ikiwepo Shule ya Sekondari Kambikatoto.
    Pamoja na Mambo mengine Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Homera amezindua rasmi shule hiyo

Komentáře •