BAADHI YA WANA CCM MBEYA WAMJIBU Mhe. SUGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 111

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +4

    Kweli hii ni point sans mambo yamebadilika sana ingawa mwazo magumu yaani RAISI ALIPOINGIA MADALAKANI ALIAZA KUSAFISHA KWAZA UCHAFU BAADHI KWA KWELI KIFUPI KUAZA MSINGI NI KUGUMU SANA YAANI KUKITENGENEZA CHAMA CHA CCM UPYAA💪💪💪💪MIMI AAMINA BAADA YA MDA MFUPI MAMBO YATAJIPA TUU HII ADHAA NI YA MDA TUU

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 Před 6 lety +2

    Ccm + Poliss = ubunge ila ccm vs Chadema = yanga vs Arsenal

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu4457 Před 3 lety

    Sugu uchaguzihuu siyowaplopaganda kuwampolesugu mwakahuumeshikwa pakunyeasugu

  • @elizabethmpigauzi4506
    @elizabethmpigauzi4506 Před 6 lety +1

    Ccm Ndio wapinzani mbeya chadema Ndio Jimbo lao ila mwaka 2020 kuitoa labda muibe lakini kwa Kawaida ngumu sana na kukubali wananchi ngumu mwakipesile kaendeshe harusi siasa waachie wengine

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +4

    Kwa mpela mpela wa MAGU NIMEAMINI CCM IMEJITAMBUA KWA KWELI

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 Před 6 lety +6

    Kwa utawala wa magufuli wapinzani wote watarudi kujenga inchi

  • @KASOLEKA
    @KASOLEKA Před 6 lety +7

    Katika halmashauri ya jiji la Mbeya Chadema sio wapinzani. CCM ndio chama pinzani!

  • @godfreysevere7593
    @godfreysevere7593 Před rokem

    Mbereko hyo, uchaguzi gani ulifanyika Tanzania hii nyie, Mbereko hakuna Tena nyie, tutakutana 2025!!

  • @hassanlikaba9813
    @hassanlikaba9813 Před 6 lety +3

    Watapata tabu sana 2020

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 Před 2 lety

    Mmechukua jimbo rakini jiji lenyewe chafu halina barabara bado ccm ni wala rushwa hapo hakuna stend yamaana mnashindwa hata njombe madiwa mmelala wewe unae ongena na miwani mikubwa ni mchumia tumbo tu

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 Před 6 lety

    i rl like this man and is rl my bro. na nnavokujua toka zaman ww huwa hushindwi ukiamua kufanya jambo. Big up bro Aman

  • @danielnjau372
    @danielnjau372 Před 5 lety +1

    Ccm ya magufuli inafilisi WA Fanya biashara ccm imekufa Jimbo LA mbeya ni LA sugu

  • @japhetnzunda99
    @japhetnzunda99 Před měsícem

    Jalibu kuchukua mawazo yawanainchi wanataka nini usiende namawazo yako wanainchi watakukimbia

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 Před 2 měsíci

    Kweli..wanekula..nchi..wanenepa..sisi..masikini..tunakua..mchungoko,😭😭😭😭😭😭🙏

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 Před 2 měsíci

      Umeona vyama. Viongozi karibu wote ccm wamenona kihivyo, wanakula na kusaza, Nina hakika😢 huko kuna neema ndio mana kila mtafutaji hukimbilia huko. Huyu na wengine na ngoni siku zote huvutia kwake.

  • @hamismbungo1087
    @hamismbungo1087 Před 6 lety

    muongo uyo mnafik anawatia ujinga wana mbeya sugu ni gud brother sio mbunge wa kulala bungen

  • @KASOLEKA
    @KASOLEKA Před 6 lety +3

    Mwakipesile unaongea kutoka moyoni au! Mwogope Mungu brother. Jimbo hamwezi kulichukua. Mlijaribu 2015 mkashindwa. CCM msahau jimbo la Mbeya hamwezi kulichukua. Mtaniambia!

    • @greensky9607
      @greensky9607 Před 6 lety

      Alexander Msuha lakini ndio wanaokufanyieni maendeleo kila kukicha kwa kuisimamia ipasavyo Serikali kupitia mkuu wenu wa mkoa, amka.

  • @nchiyangutv2157
    @nchiyangutv2157 Před 6 lety +1

    Ccm mnanipa raha eti mnatekeleza lipi mlilotekeleza mafisadi nyie majimbo yenu ayana maendeleo bora na bora na wapinzani mnaongea tu kuwasababishia watu ugumu wamaisha mtaisoma namba mbeya ni SUGU maendeleo yapo

  • @fredytarimo1936
    @fredytarimo1936 Před 6 lety

    We unadhani wakibaki wapizani 5 bungeni ndo ccm mtaleta maendeleo,mwanamke huwa anaita mwanamke panapokua na wanaume,ccm mtakuaje na thamani bila kuwa na upinzani?hizo mnafanya mbio za sakafuni tu.sawa mtashinda kwa kishindo2020 lakini mkae mkijua maisha ndo yatakua magumu zaidi,kazi yoyote ambayo haina mpinzani huwa haifanyi vizuri kamwe.mifano ipo mingi sana,

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +3

    Mimi sina chama ila kwa uongozi wa ngosha niko tayali kuchukua cad

  • @sinaimabena8278
    @sinaimabena8278 Před 5 lety

    Hamuwezii ss mbeya mjinii tunamtakaa sugu kama kutuuaa mutuuee2 tupo tayariii 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 Před 6 lety +1

    2020 watu watalia sana kwa kweli maaana mmmmh tutakufa ila ukiangalia sehem zenye maendeleo ni za upixan 2020 ccm itatutumianguvu na dam watamwaga kama chaguz za sasa

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo9427 Před 3 lety

    Ccm ujanja ujanja tyuuu

  • @jobmwabukusi6189
    @jobmwabukusi6189 Před 6 lety +1

    sema ccm mmejipanga kunyang'anya kwa mitutut co kwa kura za wananchi

  • @JMONELINETV3089
    @JMONELINETV3089 Před 5 lety

    Nyie ccm siwakubali hata kidogo

  • @angelinnamkingi7106
    @angelinnamkingi7106 Před 6 lety +7

    CCM nambari one,

    • @lucky9285
      @lucky9285 Před 6 lety

      Angelinna Mking'i
      Kweli kabisa uchumi umekua na ajira za kumwaga 😀😀😀😀

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před 10 dny

    Tutao,na.kuiba

  • @sinaimabena8278
    @sinaimabena8278 Před 5 lety

    Musitake matatizo nawananchi wa mbeya kama mtatumiaa mabavu sawaa mtabebaa ila kama mtafata sheria zanchi hamuwezii kubeba mbeyaa

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 Před 6 lety +3

    Yangu mcho

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 6 lety

    Mwakipesile unacho ongea kinatoka moyoni kweli, Chadema mby ipo juu. Mlishindwa mbona huko nyuma. Mwaki acha uongo

  • @rashidkassim7523
    @rashidkassim7523 Před 6 lety +1

    mtashinda kwaajili dola

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 Před 6 lety

    hao ni vilaza wa ccm siri ni moja tu kununua viongozi kutishiwa maisha ccm ya ya sasa ni ya kidikteta kidemokrasia eee kwa nguvu ya kidikteta uelewa wenu mdogo hakuna nnchi iliyo endelea bila kupingwa

  • @japhetnzunda5421
    @japhetnzunda5421 Před 6 lety

    Mjitahidi maneno so kazi mbilinyi ndo mpango mzima kaka

  • @fredytarimo1936
    @fredytarimo1936 Před 6 lety

    Leo mnathaminika ndani ya ccm sababu kuna upinzani.upinzani ukifa hata nyie thamani yetu itakufa ndani ya ccm. Maana mtakua wengi sana na nafasi zitakua za kunhimbania sana maana hakuna pakwenda pengine.liangalieni hilo.

  • @ostenmwakasita4647
    @ostenmwakasita4647 Před 5 lety

    Wambie mwakipesile wanambeya wengi walipofoka mbeya ya jpm nivigumu msanii kuchukua jumbo a see imbwele ndukama

  • @fikirimwaweza1875
    @fikirimwaweza1875 Před 6 lety +2

    ww unajitekenya mwenyewe unacheka ibigi IPO mkoa gani? mlipigwa hii ni mbeya.

  • @mako331
    @mako331 Před 6 lety +4

    Safi hakuna kulala hapa

  • @yohanashombe916
    @yohanashombe916 Před 6 lety

    Yaan nyie mafala wote mnamuandama mtu mmoja na hamlali kisa sugu daa kwel sugu kichwa hahhahaa wanaitaka mbeyaa

  • @meckymwandambo3977
    @meckymwandambo3977 Před 6 lety

    Mbilinyi kumbe amechaguliwa ubunge ili alale na kuota 2020 atalala jumla

  • @loycewenseslous9168
    @loycewenseslous9168 Před 6 lety +1

    bila polisi hamuwez

  • @stewardheaven8382
    @stewardheaven8382 Před 6 lety

    nyauuuuuu,hiiii ni ccm ya ujambazi na uporaji wa kura na pyuu pyuuu

  • @hassanidrissa8124
    @hassanidrissa8124 Před 6 lety

    ccm kweli kayumba ila kama ndio kwakupotezana kwa pyupyu inawezekana

  • @mariamfredy2211
    @mariamfredy2211 Před 5 lety

    Ccm safiiii

  • @allyflavour8005
    @allyflavour8005 Před 6 lety

    Misaada ni serikali kodi zetu ndio kigezo

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 Před 6 lety

    Wingi wa kura ndo ushindi.au ushindi ni goli la mkono?

  • @wisdomkeen3914
    @wisdomkeen3914 Před 6 lety +1

    Nasoma comments za wanambeya

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 Před 6 lety

    kwa hiyo chadema wanatumikia mbuzi acheni ujinga nyie waachieni wana mbeya waamue

  • @fredreckmwakalinga3475

    maneno mengi vitendo ziro hakuna jipya

  • @jimsonndingwi7328
    @jimsonndingwi7328 Před 6 lety

    ccm mafisadi tangu uhuru mmeshindwa kuleta maendeleo ovyooo.

  • @uyanjojambi6894
    @uyanjojambi6894 Před 6 lety +1

    mnaota tu

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 Před 6 lety

    atujutii ccm tumewachoka kulichukua

  • @abdallahazizi3367
    @abdallahazizi3367 Před 6 lety

    cdm oyee

  • @marblebaswige614
    @marblebaswige614 Před 6 lety +1

    Kwa hali hii CCM musahau kabisa ila sababu kura zenu ziko police mtashinda wananchi tuna mlo moja watoto wetu wa mekosa ajira viwanda hutuvioni walimu taluma hakuna ajira manesi madacktari hakuna ajira mpo busy kununua wanasiasa hongera kwa maendeleo yenu

    • @frank_mwalongo
      @frank_mwalongo Před 6 lety

      Aseee nasikia hasira sana kwa maneno haya sio kuchukua jimbo ishu maendeleo kwani majimbo mangapi mliwaahidi ya kwenu bado hamjatimiza jamani siasa zenu Mwogopeni na mungu jamani eeee

    • @hassanmirambo5671
      @hassanmirambo5671 Před 6 lety

      Marble Baswige Trump marekani anahangaika na suala la ajira kwa wananchi wake wewe unaongelea mambo ya ajira TZ jiajiri ndio mpango mzima wewe wa dunia gani?

    • @evodmagidanga7730
      @evodmagidanga7730 Před 6 lety

      Marble Baswige unataka serikali ikununulie chakula au?

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 6 lety

      Ukiisubiri serikali utasubiri mpk uzeeke,kwenye vitabu vya dini vyenyewe imeandikwa asiyefanya kazi naasile.sasa wewe endelea kuisubiri ukuletee chakula

  • @wilbroddaffi66
    @wilbroddaffi66 Před 5 lety

    Labda kura zenu za nyongeza polisi wakae pembeni watuachie 2020 alafu mtajua nani yuko sahihi

  • @adelinakomba285
    @adelinakomba285 Před 6 lety

    siasa si ishu tumuachie mungu

  • @alexnjela4988
    @alexnjela4988 Před 5 lety

    Haya mwaipopo nimekuelewa

  • @bainakyusa7317
    @bainakyusa7317 Před 5 lety

    Umechoka ccm sio marudio

  • @lazarusmwaweza7604
    @lazarusmwaweza7604 Před 6 lety

    2020 mbeya ni mali ya CCM

  • @sinaimabena8278
    @sinaimabena8278 Před 5 lety

    Suguu ndo rais wa mbeyaa mujidanganye2

  • @shukranimwalingo6275
    @shukranimwalingo6275 Před 6 lety

    kwani hela za chama cha mapinduzi anazotengenezea miundo mbinu

  • @rashidkassim7523
    @rashidkassim7523 Před 6 lety

    ccm mnayo sema mtashinda kwaajili ya polis

  • @jimjam3242
    @jimjam3242 Před 6 lety +1

    AUMUELEWEKI ccm pengine mtumiye ukora chadema oiye

  • @sulymansaada642
    @sulymansaada642 Před 6 lety

    chadema juuuuuu

  • @saidwilson6529
    @saidwilson6529 Před 6 lety

    Sasa huyu anaongea nini anasema kama wanapasport wakachukue misaada kwa ajili ya kujengea miundo mbinu kwani kazi ya kujenga mindombinu nikazi ya mbuge au chama cha chadema kozi anaongea pumba

  • @saidishomari1194
    @saidishomari1194 Před 6 lety

    hata mkaroge hakuna atakaewachagua labda muibe wa tz wako makin na tumamu.

  • @antonymapunda2379
    @antonymapunda2379 Před 6 lety

    mtapata tabu sana

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 Před 6 lety +1

    mtashinda kwa nguvu ya kidikteta polsi ccm

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 Před 6 lety

    hamna jipya imara kwabao lamkono

  • @sulymansaada642
    @sulymansaada642 Před 6 lety

    hawatuwezi

  • @edsonmwambokela2865
    @edsonmwambokela2865 Před 6 lety

    ccm akuna lolote wakati wao walicho Fanya mbeya

    • @daimonipatrick1853
      @daimonipatrick1853 Před 6 lety

      Edson Mwambokela Mbeya mjini kama xugu atanguka xiji ludi mbeya home ntakunywa sugu

  • @mussaissa7763
    @mussaissa7763 Před 6 lety +1

    ayo maneno tuu sio kwa mby hii

    • @hawahaizuru6265
      @hawahaizuru6265 Před 6 lety

      msahau kushika jimbo la mbeya mjin ,mlishindwa nini kuwa tumikia miaka yote mnaangaika .

    • @zamanasimkwai4868
      @zamanasimkwai4868 Před 6 lety

      acheni kumtegemea rais

    • @anitangao3135
      @anitangao3135 Před 6 lety

      huna lolote unatafuta kiki chadema oyeeeee ccmizi zzzzzzzzzz hakuna ccm imara wezi wakubwa labda muibe kula wewe huoni mbeya tunaona sugu oyeeeeeeeeeeeee

  • @sammwasomolamwasomola6292

    Kama hoja sio kura nyingi bali ni ushindi Sasa Kama sio kura nyingi huo ushindi unaupataje!?

    • @nikoniko7609
      @nikoniko7609 Před 4 lety

      wasenge kweri maanayake nimpango unapangwa

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph3251 Před 6 lety

    Wezi tu mtaiba
    Tunajua punda afe mzigo ufike,kwani dada lazima abebwe afike safari yake aliyopangiwa

  • @bainakyusa7317
    @bainakyusa7317 Před 5 lety

    Mezoea vya bure

  • @dicksonlusinde2830
    @dicksonlusinde2830 Před 6 lety

    Mapito tu tawara zibapita

  • @rashidkassim7523
    @rashidkassim7523 Před 6 lety

    bila polisi hamuwezi

  • @lamecklema487
    @lamecklema487 Před 6 lety +2

    wewe sugu jembe hilo

  • @nelwensnelwens5537
    @nelwensnelwens5537 Před 6 lety +1

    moo arguments less talking, ongeeni kisomi na ongeeni yenu sio yao.

  • @saidwilson6529
    @saidwilson6529 Před 6 lety

    Sisi hapa mbeya ni ukawa ukawa tuuuu nyoooooo simmetutenga kwa sababu ya wapinzani ndio wanao ongoza mbeya........

  • @samsonnyawaje5606
    @samsonnyawaje5606 Před 6 lety

    Sisi wananchi tunataka maendereo hatutaki polojo zenu hizo mara ccm mara chadema tunataka maendereo tu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 6 lety

    Labda watumie polisi.

    • @nawaberno888
      @nawaberno888 Před 6 lety

      Sugu ni kichaa tu aliye ongota jimbo kwa sababu ya hali ya kisiasa tu

    • @marylucas9021
      @marylucas9021 Před 6 lety

      mbona povuuu sana na kama vile kampeni mapema?? msiwalishe maneno

    • @amanimapunda6845
      @amanimapunda6845 Před 6 lety

      Ras Rick tumeuingia choo cha like kilichobaki tuombe Mungu atatuonyesha njia yakupita