Kweli hii ni point sans mambo yamebadilika sana ingawa mwazo magumu yaani RAISI ALIPOINGIA MADALAKANI ALIAZA KUSAFISHA KWAZA UCHAFU BAADHI KWA KWELI KIFUPI KUAZA MSINGI NI KUGUMU SANA YAANI KUKITENGENEZA CHAMA CHA CCM UPYAA💪💪💪💪MIMI AAMINA BAADA YA MDA MFUPI MAMBO YATAJIPA TUU HII ADHAA NI YA MDA TUU
Ccm Ndio wapinzani mbeya chadema Ndio Jimbo lao ila mwaka 2020 kuitoa labda muibe lakini kwa Kawaida ngumu sana na kukubali wananchi ngumu mwakipesile kaendeshe harusi siasa waachie wengine
Mmechukua jimbo rakini jiji lenyewe chafu halina barabara bado ccm ni wala rushwa hapo hakuna stend yamaana mnashindwa hata njombe madiwa mmelala wewe unae ongena na miwani mikubwa ni mchumia tumbo tu
Umeona vyama. Viongozi karibu wote ccm wamenona kihivyo, wanakula na kusaza, Nina hakika😢 huko kuna neema ndio mana kila mtafutaji hukimbilia huko. Huyu na wengine na ngoni siku zote huvutia kwake.
Mwakipesile unaongea kutoka moyoni au! Mwogope Mungu brother. Jimbo hamwezi kulichukua. Mlijaribu 2015 mkashindwa. CCM msahau jimbo la Mbeya hamwezi kulichukua. Mtaniambia!
Ccm mnanipa raha eti mnatekeleza lipi mlilotekeleza mafisadi nyie majimbo yenu ayana maendeleo bora na bora na wapinzani mnaongea tu kuwasababishia watu ugumu wamaisha mtaisoma namba mbeya ni SUGU maendeleo yapo
We unadhani wakibaki wapizani 5 bungeni ndo ccm mtaleta maendeleo,mwanamke huwa anaita mwanamke panapokua na wanaume,ccm mtakuaje na thamani bila kuwa na upinzani?hizo mnafanya mbio za sakafuni tu.sawa mtashinda kwa kishindo2020 lakini mkae mkijua maisha ndo yatakua magumu zaidi,kazi yoyote ambayo haina mpinzani huwa haifanyi vizuri kamwe.mifano ipo mingi sana,
2020 watu watalia sana kwa kweli maaana mmmmh tutakufa ila ukiangalia sehem zenye maendeleo ni za upixan 2020 ccm itatutumianguvu na dam watamwaga kama chaguz za sasa
hao ni vilaza wa ccm siri ni moja tu kununua viongozi kutishiwa maisha ccm ya ya sasa ni ya kidikteta kidemokrasia eee kwa nguvu ya kidikteta uelewa wenu mdogo hakuna nnchi iliyo endelea bila kupingwa
Leo mnathaminika ndani ya ccm sababu kuna upinzani.upinzani ukifa hata nyie thamani yetu itakufa ndani ya ccm. Maana mtakua wengi sana na nafasi zitakua za kunhimbania sana maana hakuna pakwenda pengine.liangalieni hilo.
Kwa hali hii CCM musahau kabisa ila sababu kura zenu ziko police mtashinda wananchi tuna mlo moja watoto wetu wa mekosa ajira viwanda hutuvioni walimu taluma hakuna ajira manesi madacktari hakuna ajira mpo busy kununua wanasiasa hongera kwa maendeleo yenu
Aseee nasikia hasira sana kwa maneno haya sio kuchukua jimbo ishu maendeleo kwani majimbo mangapi mliwaahidi ya kwenu bado hamjatimiza jamani siasa zenu Mwogopeni na mungu jamani eeee
Marble Baswige Trump marekani anahangaika na suala la ajira kwa wananchi wake wewe unaongelea mambo ya ajira TZ jiajiri ndio mpango mzima wewe wa dunia gani?
Ukiisubiri serikali utasubiri mpk uzeeke,kwenye vitabu vya dini vyenyewe imeandikwa asiyefanya kazi naasile.sasa wewe endelea kuisubiri ukuletee chakula
Sasa huyu anaongea nini anasema kama wanapasport wakachukue misaada kwa ajili ya kujengea miundo mbinu kwani kazi ya kujenga mindombinu nikazi ya mbuge au chama cha chadema kozi anaongea pumba
Kweli hii ni point sans mambo yamebadilika sana ingawa mwazo magumu yaani RAISI ALIPOINGIA MADALAKANI ALIAZA KUSAFISHA KWAZA UCHAFU BAADHI KWA KWELI KIFUPI KUAZA MSINGI NI KUGUMU SANA YAANI KUKITENGENEZA CHAMA CHA CCM UPYAA💪💪💪💪MIMI AAMINA BAADA YA MDA MFUPI MAMBO YATAJIPA TUU HII ADHAA NI YA MDA TUU
Ccm + Poliss = ubunge ila ccm vs Chadema = yanga vs Arsenal
Sugu uchaguzihuu siyowaplopaganda kuwampolesugu mwakahuumeshikwa pakunyeasugu
Ccm Ndio wapinzani mbeya chadema Ndio Jimbo lao ila mwaka 2020 kuitoa labda muibe lakini kwa Kawaida ngumu sana na kukubali wananchi ngumu mwakipesile kaendeshe harusi siasa waachie wengine
Unaishikwakukalili
Kwa mpela mpela wa MAGU NIMEAMINI CCM IMEJITAMBUA KWA KWELI
Kwa utawala wa magufuli wapinzani wote watarudi kujenga inchi
Katika halmashauri ya jiji la Mbeya Chadema sio wapinzani. CCM ndio chama pinzani!
Alexander Msuha hahahahahahahaja
Mbereko hyo, uchaguzi gani ulifanyika Tanzania hii nyie, Mbereko hakuna Tena nyie, tutakutana 2025!!
Watapata tabu sana 2020
Mmechukua jimbo rakini jiji lenyewe chafu halina barabara bado ccm ni wala rushwa hapo hakuna stend yamaana mnashindwa hata njombe madiwa mmelala wewe unae ongena na miwani mikubwa ni mchumia tumbo tu
i rl like this man and is rl my bro. na nnavokujua toka zaman ww huwa hushindwi ukiamua kufanya jambo. Big up bro Aman
Ccm ya magufuli inafilisi WA Fanya biashara ccm imekufa Jimbo LA mbeya ni LA sugu
Sugu ajiandae kutoka.
Jalibu kuchukua mawazo yawanainchi wanataka nini usiende namawazo yako wanainchi watakukimbia
Kweli..wanekula..nchi..wanenepa..sisi..masikini..tunakua..mchungoko,😭😭😭😭😭😭🙏
Umeona vyama. Viongozi karibu wote ccm wamenona kihivyo, wanakula na kusaza, Nina hakika😢 huko kuna neema ndio mana kila mtafutaji hukimbilia huko. Huyu na wengine na ngoni siku zote huvutia kwake.
muongo uyo mnafik anawatia ujinga wana mbeya sugu ni gud brother sio mbunge wa kulala bungen
Mwakipesile unaongea kutoka moyoni au! Mwogope Mungu brother. Jimbo hamwezi kulichukua. Mlijaribu 2015 mkashindwa. CCM msahau jimbo la Mbeya hamwezi kulichukua. Mtaniambia!
Alexander Msuha lakini ndio wanaokufanyieni maendeleo kila kukicha kwa kuisimamia ipasavyo Serikali kupitia mkuu wenu wa mkoa, amka.
Ccm mnanipa raha eti mnatekeleza lipi mlilotekeleza mafisadi nyie majimbo yenu ayana maendeleo bora na bora na wapinzani mnaongea tu kuwasababishia watu ugumu wamaisha mtaisoma namba mbeya ni SUGU maendeleo yapo
We unadhani wakibaki wapizani 5 bungeni ndo ccm mtaleta maendeleo,mwanamke huwa anaita mwanamke panapokua na wanaume,ccm mtakuaje na thamani bila kuwa na upinzani?hizo mnafanya mbio za sakafuni tu.sawa mtashinda kwa kishindo2020 lakini mkae mkijua maisha ndo yatakua magumu zaidi,kazi yoyote ambayo haina mpinzani huwa haifanyi vizuri kamwe.mifano ipo mingi sana,
Mimi sina chama ila kwa uongozi wa ngosha niko tayali kuchukua cad
Hamuwezii ss mbeya mjinii tunamtakaa sugu kama kutuuaa mutuuee2 tupo tayariii 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2020 watu watalia sana kwa kweli maaana mmmmh tutakufa ila ukiangalia sehem zenye maendeleo ni za upixan 2020 ccm itatutumianguvu na dam watamwaga kama chaguz za sasa
No no no no no no no
No no no no no no no
Ccm ujanja ujanja tyuuu
sema ccm mmejipanga kunyang'anya kwa mitutut co kwa kura za wananchi
Nyie ccm siwakubali hata kidogo
Hata mi siikubari cdm
CCM nambari one,
Angelinna Mking'i
Kweli kabisa uchumi umekua na ajira za kumwaga 😀😀😀😀
Tutao,na.kuiba
Musitake matatizo nawananchi wa mbeya kama mtatumiaa mabavu sawaa mtabebaa ila kama mtafata sheria zanchi hamuwezii kubeba mbeyaa
Yangu mcho
Mwakipesile unacho ongea kinatoka moyoni kweli, Chadema mby ipo juu. Mlishindwa mbona huko nyuma. Mwaki acha uongo
mtashinda kwaajili dola
hao ni vilaza wa ccm siri ni moja tu kununua viongozi kutishiwa maisha ccm ya ya sasa ni ya kidikteta kidemokrasia eee kwa nguvu ya kidikteta uelewa wenu mdogo hakuna nnchi iliyo endelea bila kupingwa
Mjitahidi maneno so kazi mbilinyi ndo mpango mzima kaka
Leo mnathaminika ndani ya ccm sababu kuna upinzani.upinzani ukifa hata nyie thamani yetu itakufa ndani ya ccm. Maana mtakua wengi sana na nafasi zitakua za kunhimbania sana maana hakuna pakwenda pengine.liangalieni hilo.
Wambie mwakipesile wanambeya wengi walipofoka mbeya ya jpm nivigumu msanii kuchukua jumbo a see imbwele ndukama
ww unajitekenya mwenyewe unacheka ibigi IPO mkoa gani? mlipigwa hii ni mbeya.
Safi hakuna kulala hapa
Yaan nyie mafala wote mnamuandama mtu mmoja na hamlali kisa sugu daa kwel sugu kichwa hahhahaa wanaitaka mbeyaa
Mbilinyi kumbe amechaguliwa ubunge ili alale na kuota 2020 atalala jumla
bila polisi hamuwez
nyauuuuuu,hiiii ni ccm ya ujambazi na uporaji wa kura na pyuu pyuuu
ccm kweli kayumba ila kama ndio kwakupotezana kwa pyupyu inawezekana
Ccm safiiii
Misaada ni serikali kodi zetu ndio kigezo
Wingi wa kura ndo ushindi.au ushindi ni goli la mkono?
Nasoma comments za wanambeya
kwa hiyo chadema wanatumikia mbuzi acheni ujinga nyie waachieni wana mbeya waamue
maneno mengi vitendo ziro hakuna jipya
ccm mafisadi tangu uhuru mmeshindwa kuleta maendeleo ovyooo.
mnaota tu
atujutii ccm tumewachoka kulichukua
cdm oyee
Kwa hali hii CCM musahau kabisa ila sababu kura zenu ziko police mtashinda wananchi tuna mlo moja watoto wetu wa mekosa ajira viwanda hutuvioni walimu taluma hakuna ajira manesi madacktari hakuna ajira mpo busy kununua wanasiasa hongera kwa maendeleo yenu
Aseee nasikia hasira sana kwa maneno haya sio kuchukua jimbo ishu maendeleo kwani majimbo mangapi mliwaahidi ya kwenu bado hamjatimiza jamani siasa zenu Mwogopeni na mungu jamani eeee
Marble Baswige Trump marekani anahangaika na suala la ajira kwa wananchi wake wewe unaongelea mambo ya ajira TZ jiajiri ndio mpango mzima wewe wa dunia gani?
Marble Baswige unataka serikali ikununulie chakula au?
Ukiisubiri serikali utasubiri mpk uzeeke,kwenye vitabu vya dini vyenyewe imeandikwa asiyefanya kazi naasile.sasa wewe endelea kuisubiri ukuletee chakula
Labda kura zenu za nyongeza polisi wakae pembeni watuachie 2020 alafu mtajua nani yuko sahihi
siasa si ishu tumuachie mungu
Haya mwaipopo nimekuelewa
Umechoka ccm sio marudio
2020 mbeya ni mali ya CCM
Suguu ndo rais wa mbeyaa mujidanganye2
kwani hela za chama cha mapinduzi anazotengenezea miundo mbinu
ccm mnayo sema mtashinda kwaajili ya polis
AUMUELEWEKI ccm pengine mtumiye ukora chadema oiye
c c m mpango mzima
chadema juuuuuu
Sasa huyu anaongea nini anasema kama wanapasport wakachukue misaada kwa ajili ya kujengea miundo mbinu kwani kazi ya kujenga mindombinu nikazi ya mbuge au chama cha chadema kozi anaongea pumba
hata mkaroge hakuna atakaewachagua labda muibe wa tz wako makin na tumamu.
mtapata tabu sana
mtashinda kwa nguvu ya kidikteta polsi ccm
hamna jipya imara kwabao lamkono
hawatuwezi
ccm akuna lolote wakati wao walicho Fanya mbeya
Edson Mwambokela Mbeya mjini kama xugu atanguka xiji ludi mbeya home ntakunywa sugu
ayo maneno tuu sio kwa mby hii
msahau kushika jimbo la mbeya mjin ,mlishindwa nini kuwa tumikia miaka yote mnaangaika .
acheni kumtegemea rais
huna lolote unatafuta kiki chadema oyeeeee ccmizi zzzzzzzzzz hakuna ccm imara wezi wakubwa labda muibe kula wewe huoni mbeya tunaona sugu oyeeeeeeeeeeeee
Kama hoja sio kura nyingi bali ni ushindi Sasa Kama sio kura nyingi huo ushindi unaupataje!?
wasenge kweri maanayake nimpango unapangwa
Wezi tu mtaiba
Tunajua punda afe mzigo ufike,kwani dada lazima abebwe afike safari yake aliyopangiwa
Mezoea vya bure
Mapito tu tawara zibapita
bila polisi hamuwezi
wewe sugu jembe hilo
moo arguments less talking, ongeeni kisomi na ongeeni yenu sio yao.
Dramatic
Sisi hapa mbeya ni ukawa ukawa tuuuu nyoooooo simmetutenga kwa sababu ya wapinzani ndio wanao ongoza mbeya........
Sisi wananchi tunataka maendereo hatutaki polojo zenu hizo mara ccm mara chadema tunataka maendereo tu
mambo
Yangu macho
Ccm ndo nn
Samson Nyawaje sawa
Labda watumie polisi.
Sugu ni kichaa tu aliye ongota jimbo kwa sababu ya hali ya kisiasa tu
mbona povuuu sana na kama vile kampeni mapema?? msiwalishe maneno
Ras Rick tumeuingia choo cha like kilichobaki tuombe Mungu atatuonyesha njia yakupita