EXCLUSIVE: AUNTY EZEKIEL aelezea kuumizwa kwake na Moze Iyobo kuomba hela wanawake wengine/nimemzidi
Vložit
- čas přidán 23. 11. 2019
- Aunty Ezekiel amefunguka mengi kuhusiana na Maisha yake binafsi ya ndani pamoja na Baba Mtoto wake ambae ni Dancer maarufu wa Diamond Platnums Moze Iyobo ambae hapa katikati waliachana na sasa wamerudiana tena, lakini pia ameelezea mengi kuhusiana na maisha yake mengine, sababu za kurudiana, tofauti yao ya kipato, bila kusahau mwanaume aliekuwa nae alivyoachana na Moze
copyright of ZamaradiTV
Produced by Zamaradi Mketema - Zábava
Nampenda aunty Ezekiel jamani ni mwanamke muelewa na yupo straight I like her
Penda sana huyu mdada
Kweli kabisa she's very wise I love her. Ana moyo mzuri pia.
Na anajitambua sana alafu hana dharau kama wengine
Me too
Pendaa sana aunt
IN TANZANIA I LIKE ZAMA SHE SO WELL COMPOSED AND VERY PROFESSIONAL AND THE WAY SHE ASKS QUESTIONS ..so naturally
I agree 99.9%.…she is very good at what he does ❤️
Dada zamarandi niite na mm niongea watanzanie wanielewe
Thumbs up for zamaradi n Auntie I love you guys
Napenda interview ya hivi sio mtu kila anachoulizwa jibu NO COMMENT 🙄 Asante aunt kwa kufunguka na pia Asante zama kwa maswali konki 👌👌
Haswaa
Latriciah01 Augustino nakupend mama kuki😘😘😘😘😘
Latriciah01 Augustino Sister Zamaradi Nakupendah Mnoo😘😍
True
Naampenda sana zama
All the way from Kenya gonga likes,love Aunt and Wema so much
Love you too Sarah
Aksante.sana.dada.aunti.kwahukweli.wako.sikila.mwanamke.ambaye.anayepata.hujasiri.kamahuo.hubarikiwe.pia.bila.kumsahahu.dada.mtangazaji
Zamaradi ! Unaonekana una Hekima na akili nyingi sana dah! Napenda sana interview zako. Zamaradi (wewe ni Mpole sana)
Gaudencia mallya mtangazaji mkali sana
Sana na interview zake zimetulia mpaka raha
Aunty you are my type💪💪.....I can't mix my kids with different fathers.......mama cookie you are very smart in your mind......
Nampnda aunt jmn dah, saut yake murua and she is cute
Hizi ndio interview sasa ......!! Achana na kina muna mambo ya kubuni na kina no comment ...nimeipenda interview hata yeye mwenyewe na ngozi yake natural 😘😘💞Zamaradi upo vizuri
Kweli
Exellentlly
Ange kuwa Irene uwoya leo tunge koma na No comment hongera sana Aunty pia hongera sana Zamaradi Tv tume enjoy kwa maswali na majibu
Hahaha kweli
Ahaa wewe
Ahahah
Aunt amefunguka sana
Anty nimukweli
I love this woman (Aunty Ezekiel) She's real
Mama moze ni bibi mwenye hekima Mungu ambariki sana.
I love zamaradi💓😍 she’s so beautiful independent, responsible and an orphan like me. I can relate to her so much. She has an amazing character.
Auntie is very matured and honest... Yani hizi ndo interview za kuangalia sio unamuuliza mtu kitu au swali anakujibu no comments...
Zamaradi wewe ni zaidi ya iyo professional uliyonayo unaakili nyingi yani ni sawa unaangalia mpira wa ulaya mchezaji akiwa na mpira kabla ajatoa pasi unatamn ule mpira upelekwe wapi na ukafika ulipotaka ufike very intelligence
Napenda hiki kipindi ila naomba ufikirie kutafuta kameza kadogo kwa mahitaj kama maji na tissue sababu mahojiano yako yanampeleka mtu awe na wakati tofaut anachangamka na kuumiaa, huzuni , furaha , mda mwingine tuliona machozi kwa irene na muna ! Wawekee meza maji kidg na tissue zamaradi itapendeza zaidi !! All i all the show is very nice!❤❤
Gud idea
Kabisa dear
Kweli
@@lydiakangongole6783 kbx jmn
Naunga mkono hoja halafu hii hoja imeletwa na watu wengiiii mda mwingiii
Big up aunt..hiyo ndo heshima ya mwanamke..hata mwanaume pia anapaswa kujifunza kumuongelea vzr mwenzako...domo ajifunze hapa
czcams.com/video/KyfBbv_uxGU/video.html
Aunty umenifundisha kitu
Ur xso xso intelligent
Lil
Cok jamani eti yule anco Ana sura mbaya🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️👌🏿
Nakukubali sana Ant katika watu waliofurahi kurudiana na mose nahisi hakuna kama Mimi nakupenda sana ant
Mwanaume akikupenda anahukudumia baby. Mnao amini mlike hapa
Like za zamaradi mtu asokosea mwenye secta ii
🤪🤪😂😂
@@ilovejesus9303 🏃
Zamaradi unajua kuwatekenya Hao celebrities paka wakatekenyeka yani mtuanafunguka yauvinguni yoteeee bila stress hogera sna zama💪💪💪💪👏👏👏❤️❤️💕
Kuwa ___te __kenya 😂😂
@@mariamhassan1723 bona wacheka au Nimekosea Jamon
ila huyu kaamua kufunguka tu mbona muna love alikua kila kitu yuasema no comnt tuu japo zamaradi yuko sawa pia
Kweli zama ana tekenya sio uwongo
Haswaaaa,hahahahahah
Nampendaa aunty Sana,she is a bright woman!
Hongera Sana Aunt nimekuelewa ni bongela mwanamke,Mbele ya Moze, Mungu azidi kuwapa upendo nakupenda.😘
true she is, I have also learned that
@@ezgardfungo4671 anajielewa!
@@halmamudy1 sikufikiria yupo hivi, mara kibao huwa namuona pale the luxy then naona ndo walewale
@@ezgardfungo4671 anaakili Sana yakujituma na amekomaa kiakili,ingekuwa ni mdada mwingine asingengemrudia Baba mtoto wake,lakini Aunty kwaza mbali na future ya mwanae. Pia nje kumejaa😂😂
Auntie u are very intelligent lady zama u are the most professional woman I know in Tz , wee ndio mfano wa young upcoming girls in TZ big love 💗 from 🇨🇭🇨🇭🇨🇭
Nimejifunza mengi sana kupitia hii interview, big up aunt, much love ❤️
Well done aunt, yaani umefanya vizuri kurudiana na baba mtoto wako. Kwenye relationship siku zote mkiachana anayeumia ni mtoto kuliko wazazi.
Interview poa sana
Auntie is very smart!! Sikuwahi fikiria kama yuko hivi!
Me too
Zama ktk wote uliwahoji Aunty yupo smart sana
Kwel Nancy pia alitisha
Hongera Zamaradi kwa interview nzuri na Aunty Ezekiel, Imependeza na amejibu vilivyo. Asanteni Sana!
I love this lady aunty Ezekiel you are just Real much love from 254
Nampenda sana Anti sababu hajisikii kama mastaa wengine
Mume ni kujua majukumu yake kulingana na kipato chake mshike sana mume wako aunt Ezekiel
Aunty upo vzr maana unakua kwenye uhalisia mkweli thanks kwa kumjali mumeo kaza moyo usitazame ulipodondoka tazama uliposimama now
Aunt uko real mpaka mpaka baaas
This is very emotional. ..it's touch my heart. .. Nimependa jinsi zamarad alivyoweka maswali kauliza kinidhamu zaid
Thanx Zama🙏....Aunty umenigusa, MUNGU TUPE NGUVU SINGLE MOTHERS 😔 Alhamdulilah 🙏
She is beautiful inside out with a beautiful soul. I don't think money matters, there is many husbands who earn less than their wives, but what matter most is the love between the 2 and nothing else. Love conquers all. Love you aunt Ezekiel.
she is very open sana i love her, zamaradi big up
This lady is so matured 😍😍 i love you girl May your family never break forever ❤❤
Nje kumejaaaa nawapenda nyie watu mko vizuri sana wamama wa nguvu
Zamaradi, you rock! Your interviews are so professional! I love you 💕🌹 Well done Mama Cookie, you are a home-maker 💕🌹
Zama I salute your interview techniques .kwa level ya motivational interviewing kuwa performed Tanzania kwa kiwango Cha juu ivyoo wow your doing a great job .
nakupenda mnooo auntezekiel una roho nzuri sana ...😍😍😍
Hongera sana sana Aunty. Nimependa umeonesha ukomavu sana katika mapenzi na ndoa. Nimependa ulivyosema hupo kuacha tena( you'r not going to quit)
Watu wote wakiwa wazi kama Aunty ni vizuri.acha wakina Irène no comment.
Za Irene huwa sifungui akiulizwa kitu no koment yaani anabowa.
Ana maringo ya kijinga huyo Irene..eti No comment, na ata hajui maana yake!
bidii yako 😁😁😁😁😁
Nakupenda sn aunt fanya mfunge ndoa jamani nawaelewa sn
Ananikelaga mimi
Zama u got a talent Allah has blessing u...
I really like u
Ila aunty Ezekiel unampenda Sana moze iyobooo Mpakaaa Rahaaaaa jaaaaaman 😍😍😍 MUNGU AWALINDE❤
I never commented but I love aunty ekeziel so much......much love from somalia❤❤❤🥰
DIAMOND PLATNUMZ welcome sir in tz...that our best actor anti Ezekiel
she is beautiful and very open...hope to see your upcoming movies#auntyezekielinzamaraditv
Aunt yuko smart sana kwenye maswali kajibu yote 👏👏
Shes kind mature and straight forward. I love her mind set
Nzuri
I just love her she so beautiful and mature may God protect her union. Zama that was good interview!!!
Truth be told
Tukubali tukatae WATOTO wameokoa/ na wataendelea kuokoa ndoa/mahusiano mengi
Hapa duniani, I swear isingekua ni watoto NDOA nyiiingi zaidi ya tuzionazo ZINGEKUA CHALIIII
tuwaulize hata mama zetu , ni vile tu hawawezi kusema openly
Lv u Dr Aunt kwa kuwa comfortable kujibu maswali yote straight Bila zile no comment😚
Hi
Hongera sana Aunt kwa maamuzi mazuri
Kama unesikia Wanaume zako gonga like. Supper interview.
Dah,nimechelewa kuiangalia hii interview but nilichojifunza kutoka kwa mamdogo wangu Unty Ezekiel ni kwamba Kwanza Unty anajitqmbua anachokifanya katika maisha ake pia nimuuelewa kwa kweli.Big up Unty.
Have never watched an interview to the last drop ...but with this one replayed severally ,good job bby Zara
Ģggģģgfģģ
you cant regret watching this girl, she is a star of her own style
Nampenda sana huyu dada( Aunty Ezekiel)tangu enzi za marehemu kanumba... from Kenya 🇰🇪
Safi Sanaa mama kuki kuludiana na baba kuki 👏👏👏👏👏
I've loved the story kwa kweli very touching. Kuna mahali nimeguswa sana
Niwe tu mkweli Aunty nakupenda mnoo serious.nakupenda mnoo for everything.mungu yunawe kila kona..
Aunt Ezekiel is so real i love her n zamaradi i like ur professionalism 💯
Huyu Zamaradi yuko makini na maswali yani kila penye jibu nae anapata swali lengine🤣🤣🤣🤣🤣
Ndo kazi yake
Nimekupenda sana hata mimi naomba Mungu nilipata mume na wish nijekuwa na family ya watoto wa baba mmoja .inshallah Aunt Mungu atakufanyia wepes kuzaa watoto wa baba tofauti inaumiza
I love you zamaradi kwa kuwa huna wivu na una penda kuinuawanawake wenzako na jamii kwa jumla.Mungu akuzudishiye na akulinde mama .
Ninachompendea anty ni mkweli hua napenda kumsikiliza sio kina monalove penda sana anty ezekiel😘😘
You are so smart Aunty! Be blessed
Anty you're are the best women you have done the good decision
Aunt jaman anajua san kujieleza muwazi san n anajielew I real love and like her
Hahahahahaaaaaa hahahaha huko nje kumejaa kwakweli aunt tulia tuu namtu wako habibty hahahaha,,,
God blesse u
Auntie nimekupenda bure,uwa uko muazi sana na unajielewa sana,big up
Interview nzuri kabisa napenda jinsi alivyo tulia zama na kuuliza maswali ya hekima....napenda kabisa sauti ya Aunty yaani hajafake kama wanavyofake sauti wengine wanapohojiwa! Mob love from +254 mama cookie
You are one in a million Aunty, may your marriage last longer, love you so much.
GOOD JOB ZAMARADY, I LOVE THE FLOW OF YOUR LOGICAL QUESTINING, it is superb
I'm in love with this interview Zama😍... big up sana... wanawake real kama hawa ndo utuleteage... kina Irene tupa kule!! Fake fake kila idara. Yuck😪😂
Kweli kabisa
Hongera mwaya kwa kurudia furaha yako,nimependa maamuzi yako
True
We ni mwanamke wa nguvu! Tunakuombea mungu na familia yako hadi mzeeke pamoja, mapenzi yana ngivu sana hasa mkiwa na watoto. Umeamua sahihi na.mungu anawapenda sana na kawapigania. Nanyi msiache kumshukuru maana bila yeye tayari dunia ilikuwa imewaweza. Nawapenda mno
Zama you are a good host and Aunty amejibu kisawasawa 100% looking forward for interviews with mama dangote and Tanasha......
Vioo vya jamii
Masha Allah Aunty your a mother I love you more thank you for that much luv from ug
Best Interview nampenda Aunty Coz yuko real
Aunt Ezekiel nimekwelewa mnooooo tena mnooooo endelea ivoivo Mama unafaa kuigwa mpenzi Safi sanaaa👏👏👏
Awesome interview, aunt Ezekiel ni muwazi na mtu wa hisia. Tutegemee na Mose nae atakua hivyo ndani ya nafs yake ili penzi lidumu
In love with your colour complexion aunty..... Zama kudos,nice interview
Kipato hakiwez kubeba heshima inategemea na nafasi uliyompa mtu,
Aunt nakupenda unajibu vizuri sio wengine wakifanyiwa interview wakiulizwa maswali no comment sasa cjui wanakubaliaga nini kufanya interview.
Vizurii
nimependa ulivyobeba aibu ya mmewako hongera sana dadaangu
Mungu nijaalie mama mkwe km mama moze🙏
yaan ww😅😅😅
Mm pia
😀😀😀amina na mimi uniombee😀😀😀
Lucy A bin laid I'll redo in
Lucy Abinlai yn
Masha Allah zama big up aunty yuko powa kabisa anaongeya kweli
Aiseee ngozi nyeusi nzurii bhanaaa asikwambie MTU mmependezaa na rangi zenu za asili
Thank you zam your so professional big up gal
Always the best interview zama 👏🏽👏🏽👏🏽
Mama cookie eti huko nje kumejaa
Kila mtu na mtu wake kwahiyo sitowahi kuazisha Tena mausiano mapya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeonaee
Hahahahahah
Ni kweli kabisa kila mtu ana mtu wake
wonderful interview. Zama is a professional host, utajibu tu masuala yake, na aunty Ezekiel is truly a wonderful woman. nime enjoy mwanzo mwisho. God bless all the families
Ongera sana zamaradi kipindi chako ni kizur ,nimempenda sana aunt jaman
Love u 😘 much ma Cookie,ndoa ni mavazi tyu mnaishi na malengo na mipango yenu ndo arusi kuuuu❤️❤️❤️❤️❤️
I like this woman , dream yake is real.
Nyie wanawake nawapenda aunt, na zam,up sana
WOW....i like hio statement that hukuwahi furahia mabaya ya baba mtoto wako.Big up girl,let love take control.
Aunt unazidi kutupa moyo wanawake wenzio hakuna mausiano yasiyo na misukosuko ila nimejifunza kitu kwako leo nakupenda you strong woman
Dada huyu ana akili zaidi, nadhani bongo movie na wasanii wote kwa ujumla wajifunze,
We learn through mistake auntie Ezekiel family first good job.
Nakupenda sana mama cookie❤❤❤you are so beutiful💋na unaongea vizuri sana👍
Jitaidi mama kuki kupunguza mwili ili muendane lkn pia nimekupenda sana umeonyesha utofauti mkubwa sana sana na waigizaji wengine wakike mungu akubariki mwongoze baba kuki ili mzeeshane hata km kakukosea act km mama kwake LOVE YOU mama kuki and baba kuki
Zamaradi nakupenda unapachika maswali amabyo kama mtu sio mjanja anatapika kila alichonacho hata kama alitaka kuficha.
uko vizuri kwa kweli.
Nakupenda aunty💏nakupenda zamarad wiki nyingine tuletee wema sepetu au batuli
Wema atatuletea kinge kingii
Cathereen Exzavery 🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️
Unishindi mimi nampenda sana mungu amsimamie
@@m.mmarckus6298 sasa situtajifunza nawewe🤣🤣🤣usinichekeshe bwana
@@munirayakoub3682 bwanaaaaa,kinapitiliza km siyo wa kwetu
Ila mi nampenda sana Aunt, anavyoongea yuko really sio interview ya Muna lol🤣 iliboa sana
😂😂😂😂
Umeona eee wa bongo intarview kma hizi ndo tunapenda sio ya muna khaa🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️
🤣🤣🤣🤣
Mambo no comment tupakuleee😂😂😂😂😂
Safi sana
Muna alikuja kutangaza kitabu chake tuu
Anti nimkwer sana kwenye maongez yake mim namuelewa sana yani maisha yake nikama yang tofauti nikidogo sana ,,,big up umefanya kwer nakitu sahihi