🔴
Vložit
- čas přidán 20. 08. 2023
- 🔴#LIVE: RAIS SAMIA - "HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUUZA NCHI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Saanteee MH RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA WATANZANIA,,,UMEELEWEKA MAMA MUUNGWANA HANA MAKUU,,🌹🙏🙏🙏🌹
Muungwana mbele ya ulaji, yeye mpe chake tu wala hana shida, hata mkoa mzima anaweza kukupa sembuse bandari!
Mama mkataba huu hatuutaki sitisha halafu tangaza tenda nyingine ya uwekezaji kwenye bandari zetu kwa uwazi makampuni yashindanishwe kwa uwazi
Simnataka mikataba ya wazungu ilo watuletee na ushoga
@@athumaniamiri3764Uwe mkweli kati ya bara na visiwani ni wapi kuna mashoga?
Sasa hongo watarudishaje na washatumia mamia ya mabilioni waliyopewa? Wao watayapata wapi mapesa ya kuwapa DP World?
Uwekezaji sio tenda, usime unashindanisha watu waje😂😂 tenda nikazi yenyemalipo punde imwalizapo.
@@birianination7097 Hauelewi usemalo. Uendeshaji wa bandari upo katika utaratibu wa tender. Hakuna uwekezaji mpya utakaofanyika kwa namna unayosema.
Uwanja wa ndege wa Karume Zanzibar ulitolewa kuendeshwa na wawekezaji kupitia tender pia. Mkataba unaonyesha watatumia kiasi gani kuwekeza katika bandari zetu?
Hakika namuomba mwenyezi mungu amuongoze rais wetu kutuvusha ktk hili maana maadui wa nchi ni baadhi ya watanzania wachache.
Asantee sana mheshimiwa raisi wetu allaah akulinde na wasaidizi wako wote ktk serikali yetu tukufu aamiinn
Hotuba imetulia maneno ni mtamu sana. Bandari zetu nazo ni tamu sana tunazipenda kuliko chochote.
Pia maendeleo twayapenda ninyi msitufanye kuwa na dhahabu kwa kuchezea bao wakati ni utajiri Kila fursa ya kinaendeleo lazima itumiwe
@@RehaniKharidi-st4oe❤❤❤❤❤❤❤
@@RehaniKharidi-st4oe❤
❤❤
Manshallah ubarikiwe bora umeyasema wapotoshaji wenye roho mbaya na uchochezi mafatani wakubwa wengi wapo Tzd. Hasa Chadema wachonganishi sana hao
Tatizo la watawala wa kisiasa wanamilikishwa nchi na watu nakutunga sheria za kuwalinda na kujimilikisha raslmali za nchi wakiuza na kula matunda ya nchi huku wananchi walibebeshwa mizigo ya kodi kwa ajiri ya starehe zdo
Mungu ajalie kanisa katika Utumishi wa kimungu,Mungu bariki Tanzania.
Mkataba unakuja hadi kubadilisha sheria zetu za ndani duuh tumefika kubaya sana mama leta wawekezaji hadi taasisi za uma maana maana tumekuwa kichwa cha wandewazimu tunaonekana hatujielewi ndio maana hubabaishwi na husikilizi maoni ya wengi ila unafanya uonavyo tu
Mh Raisi Tekeleza majukumu yako Nchi unaipeleka vizuri saaana, Mwenyezi Mungu akubariki sana.
Mama pole na kazi samahani nakuomba shughulikia swala la umeme mkowa wa SONGWE tunateseka sana au tuombee sola china
Maadili pia yanajengwa kwa kukopi kitoka kwa viongozi wetu. Watoto wanakopi kwa viwango vikubwa sana yola kwa wazazi wao. Ni ngumubkukataza mtoto kuiba wakato baba au mama ni mwezi.
Mbona mnakua wagumu kueleza wananchi na ndege yetu iko wapi
Hongera kushiriki siku hii ya mhim kwa kanisa hili.
Mkata mama sisi hatuukubali
Jisemee mwenyewe tu sema siukubali huna haki ya kumsemea mtu
Pambana Mama hakuna mwenye ubavu wa kuivunja amani tulioitafuta kwa jasho katika Nchi hii. Piga kazi Mama na Kazi iendelee
Bandar apana
Allah atufanyie magumu yawe mepesi,atuepushe na huu mtihani
hongera sana mama
Kwa karne hii hatupaswi kitegemea mvua kwa kilimo wakati maji yapo ya kutosha ikiwa ni mito, maziwa, bahari, visima nk.
Mama Mungu akutangulie pambana mama ....tupo nyuma yako
Mama
Kweli kabisa uongosi unatoka kwa Mungu.
Mh. Rais wetu hakika upo kazini mama, na kanisa likiendelea kukusumbua kwa kutetea maslahi yao nakushauri uvunje muungano ili twende zanzibar na bandari yetu mama.
Kibo unamawazo ya kitoto ACHA UDINI
Gujibwa wewe
asante mama
Bora upate riziki uipatayo kwenye amani, kuliko vita vya wenyewe kwa wenyewe, kamwe watanzania hatutoiga kama wajinga wa nchi zingine ambao wameyakuza mambo kwa jazba na hasira wakaingia kwenye vurugu, chuki, uhasama, na vita vya wenyewe kwa wenyewe...
Na BANDARI ZETU ZOOOTE ZIWE HURU MIKONONI MWA WATANZANIA WENYEWE . AMIN AMIN BARIKIWA MAMA
Wafukuze Kwanza waalabu waondoke ndo 2tulie tuwaite waje wawekeze halafu tuwakague kila wiki na tuweke wasimamizi waadilifu mama kristo akulinde ukiokoka na kukili
Hakuna mwenye ubavu wa kuuza nchi lakini mwenye ubavu wa kusaini mikataba mibovu yupo
Wacha upuuzi wee!
@@machano5690we ndo uache ujinga au umepata mgao nn
Asante rais ujumbe wako ni hakika na thabiti hao wanaohadaa watu ili wajipatie sifa kwa Nia ya kujaribu kuvuruga amani washindwe kwa dmu ya yesu
yesu mutu na damu yake huyo yesu mutu,Haiwezi ikashindana na DAMU YA YESU ipitayo damu zote
Mh Rais Samia sehemu ya wasi itungiwe sheria ya kutohamia nasio kuwekeza kwa wageni iwe kwa ajili ya wanyama wa kufugwa nawapori,ituzwe na serikali ya kijiji na Taifa kwa amri na sheria.Fikirini sana vijiji vya ujamaa,ilikua ni kutunza masingira.FIKIRINI.
1:55 szzzzzSsaa
Kwa kipindi kigumu tulichopita tulipaswa kuwa kiongoz kama wew
Hakuna mwenye ubavu wa kuuza Inch na hakuna mwenye ubavu na misuli wa kuivuluga Inch limeisha hilo Mama lekebisha kidg tu kwenye mkataba kazii ianze
hotuba nzuri sana ,isitegemewe adui atuelekeze tutembee na silahagani
Hongera kanisa hongera viongozi wetu na hongera Mama tunakupenda na tunakuombea Mungu akubariki na kukulinda
Huyu ndiyo DP world
mkataba atuutaki mh. Samia Hassan
Ukisoma politics of reality. Utajifunza kuwa kazi ya politics katika lugha na production of knowledge, ni kukuza au kupunguza maana halisi ya jambo furani. Jambo dogo politics inaweza kulifanya kuwa kubwa, jambo kubwa politics inaweza kulifanya kuwa dogo na lisilo na maana. Lakini pia jambo zuri politics linaweza kufanywa kuwa baya sana na lisilofaa kabisa, lakini jambo baya politics inaweza kuligeuza na kuwa jambo zuri sana. That is politics of reality. Kwa hivyo tunaposikia neno kutoka kwa mwanasiasa yeyote lazima tulitafakari kwa kina kabla ya kufanya judgement.
MAMA SAMIA USITUFANYE WAJINGA UNAPOTOA RASILIMALI YA TAIFA LETU KUWAPA WAGENI TENA KWA MKATABA WA MILELE TAYARI ASILIMIA100% USHAUZA NCHI MBONA HUJIELEWI WEWE HUWO MKATABA WA BANDARI HATUTAKI KABISAAA
Huyu mama ni hatari (nimenyamaza na ninaendelea kunyamaza) hakuna mwenye misuli
Rais wetu Umeongea vizuri sana. Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno.
Congratulations madam president thanks for being silence just be humble God bless you.
For sure
Uwekezaji kwanini haupo Zanzibar tu???? Tanganyika shtukeni
Kulikuwa Napadre hapo ?
Naogopa sana hyo madhabahu huwa hataniwi
Kazi iendelee na Allah akuhifadhi na akupe afya njema
Asante Mama, umeongea vizuri
Mama piga kazi
Hakikisha watu watakao
Ongea vibaya wapoteze
Rais ndiyo anakuwa ivyo
Hili wasikubabaishe kwenye
Mshukan wako kwan ulikuwa
Auwaon walio kutangulia
AKINA MAGU AKINA KIKWETE
AKINA MKAPA unafeli wapi mh#rais
Wewe ni bonge wa rais ktk karne hii mungu akulinde na tutakulinda kwa gharama zote mamangu
hao waliokaa nyuma ni wabay balaa...wanafunzwa na waislam.....Marais wanaongozana wa kiislam
Mbona nyinyi ni wabaguzi wa dini , hivi inahusu na nini kuleta udini kwenye mambo ya siasa
Wakina Sheikh mwaipopo waonywe sana yule Mzee kwanza hata sio Sheikh atakuw Mganga yule mana anaropoka ti
🤣🤣😆😆eti mwaipopo
Akina mazinge
Nakuelewa sana Rais wangu Mungu akupe maisha mrefu
Lete warabu mama
Jamani tuache unafiki hivi nani? Anagawa watanzania sio serikali inayokataa maoni ya wananchi wa Tanzania?
Tundulisu na mapadri wajinga waliifuata mkumbo ndio wanaojaribu kugawa taifa
LAKINI HAKUNA MWENYE UBAVU WAKULIGAWA taiga
Hao makafiri hawana lolote,,,,l priciat my lslamic religion and l'm from Jambian zanzibar l love my president
Huna dini wewe mmeridhi upagan wa Muhammad
😂😂😂WEWE NI MPAGANI TU!
Na mungu unae muabudu wewe khamisi kakuruhusu umnyoshee mwenzio upanga jambia Hilo na likugeukie wewe
Akili huna
Wewe ndio kafiri usie ijua dini
MESSAGE SENT TO KYELA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥵🥵🥵🥵🥵
Mim mtu akiongea vizuri nasapot kusema ukweli izo sheria umesema za wazungu tusifate tumia Mungu kama alivyo tumia magu tuelekeze tumtangulize Mungu pia ungetuondolea sheria iliyo chukua fikra kwenye maakama zetu tuweke sheria tarifa zetu tutumie Kiswahili sio kimombo
Hakuna kama mama
Binafsi siungi mkono ktk ubinafusshaji,
Kwani kama uongozi unashindwa kuendesha miradi si ujiudhuru tu;
Tunakupenda na kukuombea mama yetu!
I love you my president
Ila Mama president wetu ni mnyenyekevu mno kwa kweli nakupongeza sana maana hujivuni kujikwezi yaani upo vizuri Mungu wangu akubariki sana.
pikaa kazii mama yetu hakika maneno yako hakuna na hayupoo mwenyee nguvu ya kushindanaa na wewe mama inshallah tutakulindaa kwa jasho na damu zetu
Nani amegundua kuna mabadiliko ya nembo ya taifa hakuna mtu mke na mtu mume pembeni ya ngao.
Mama atuambie kwa nini nembo ya taifa imebadirishwa?
Hahaaaaaa aise uko xafi zana ata mimi nilikuwa xijaona ndo nimeona
ATI mama atatusmbia.
CHUKI ZA DHAHIR DHIDI YA RAIS.
Huyo mwanamke ana kiburi sana. Hasikilizi ya wananchi. Mnafiki mkubwa na Kikwete wake.
wananchi wenyewe viongozi wa kile chama cha kikanda na wale wshikaji zao wapiga dili wakiovaa majoho ya dini au vipi?!
azaniae tutagombana alie tu asnte raisi wangu
TANZANIA
WaTZ hawataki mkataba wako wa ovyo ovya. Unatuletea majanga huku bara kwetu.
Mimi najiuliza miaka 60 ijayo bandari yetu itakuaje?
ITAKUWA KAMA DUBAI
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
Unaangamia PEKE YAKO
angamia
Mama uko sawa mungu akubariki
Nchi mnaiuza polepole
Bau zako ndio waliuzwa n wazungu leo na BANDARI VILE VILE tuwape wazungu
Acha ujinga na utumwa
❤❤
Tunahitaji wawekezaji waje wengi tu. Bandari tulishakubali mwarabu awekeze.sasa angalia na vingine mama.
Ulipitia mkataba
anayeandika hizi hotuba atakuwa ndio kuni huko motoni yaani ni fulu unafiki 🙌
Amefanyaje
Wewe ni Mama Mungu akulinde
kusema ukweli kwenye bandari kuna tatizo viongozi wetyu wanaficha
Sasa mama hakuna mwenyeubavu WA kuligawa taifa Wala kuuza unamaaanisha nini ktk suala la mivutano juu ya BANDARI. Tamka bana Ili wazalendo tujue BANDARI inakaaje?
Bandari anapewa mwarabu ,iilo lazima ulijue
Yan sion kama kuna 7bu ya kulipo kod watanzania hali ya kuwa vitu vinafanyika bila kutushirikisha sis walipa kodi aya mmesain mkataba wa bandari bila sisi walipa kodi kuafiki huo mkataba nyie mnaona hiyo ni haki
Kwani unalipa pekeyako.kuwa na muda wa kusikiliza na wenzio.
KILA MTU ANALIPA KODI
Ndugai alishasema .kumbe alikujua
siku zote,,,UKIMYA NDIO JIBU KAMILI,,,Kazi iendelee
Dou jamani jamani VP apo mmmmh
Makanisa ndiyo uanaendesha nchi
Hakika mh. Rais wewe unafaa kuwa askofu mkuu mungu akubariki
Kazi iendelee Muheshimiwa
mbona wengine hampigi makofi niko na mluteli hapa anasema jumapili yuko roma anaenda kusikiliza tamko la wakatoliki ande ila asije akanogewe maana tamko lina afya ya kutosha
Mama kama unavyo ongea na maneno matamu japo bandari zetu ndio Tamu zaidi
nyie kila siku mshikwe mkono lini mtaweza kujitegeemea 😅😅
Mbn hyo nembo mbele haina baba na walee nielewesheni jamani
Baba yupi,, iangalie vzr, hiyo membo ya kanisa
Tea kweli au hapo haitakiwi adam na hawa
Hawa wawekezaji hatuwataki kabisa.kelele za wengi ni jibu..
Ni wajinga wachache tu hata asilimia ishirini hawafiki ndio wanaopinga MKATABA WA BANDARI
Kelele za wasio itakia mema nchi hazina thamani
Jibu kwa kelele zote kwa mwelewa tayari. " Yote yanayosemwa nimeyasikia niliamua kunyamaza na nitaendelea kunyamaza " Her Excellency hammered it.
Anyamaze hadi milele na mileld
@@lionamangole7686 kwa kuwa kimya ni jibu lililo bora kwa mpumbavu
Ety mnashangilia nakushangilia yaan unashangilia wakat Kuna ubovu wamkataba
TUNATAKA KUJUA MKATABA NI WAMIAKA MINGAPI
mavi yako
nacheka kumbe tamko ni hatari ngoja ni kariri vifungu vya bibilia ilii haki itendeke
Kajisomee biblia wewe na mashetani wenzio
Hatuna imani nawe hata kidogo .. Kama huuzi nchii kwanini huo mkataba usianzie kwenu Zanzibar
Wwe nani mpaka usiwe na Iman?
@@allymahiyo2464 kama unafaa uanzie Zanzibar
Ungeendelea rais magufuri alipoishia watanzania wangekuwa na imani na ww ila kwa sasa dah!
Mkataba wa Bandari hautenguliwi kamwe na bado tunahitaji wawekezaji zaidi.
Hatutaki mkataba elewa bas
Sema sitaki mkatabaa...
@@stevenmahinda657we unautaka
Sime
Sitegemei lolote lamaana kutoka Kwa Serikali. Ubavu WA kuuza nchi yetu tunauona.. ubabvu WA kuzuia nchi isiuzwe tunaam iwa hatuna.. ndege yetu imezuiwa hadi hela ya advance waliokuwa wanaojifahamu ijulikane itarudiji Uarabuni.
RAIS WETU UKITAKA KUONGOZA NCH VIZUR WASHIRIKISHE WAPINZAN CCM WANAKUALIBIA APO WENGI WAPGAJI
Samia ww unaoneka munyenyekevu tunaomba mama yetu achana na mkataba huo tuende sawa
Usiwabembeleze mkataba ushapita
mchaga na hela na biashara wapi nawapi upadri nyie hawa ni watoto wetu 😅😅😅
Mkataba hatuutaki maana nimbovu