🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2023
  • 🔴#LIVE: RAIS SAMIA - "HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUUZA NCHI"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 232

  • @AhmadAbdalla-mq3dp
    @AhmadAbdalla-mq3dp Před 11 měsíci +2

    Saanteee MH RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA WATANZANIA,,,UMEELEWEKA MAMA MUUNGWANA HANA MAKUU,,🌹🙏🙏🙏🌹

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 11 měsíci

      Muungwana mbele ya ulaji, yeye mpe chake tu wala hana shida, hata mkoa mzima anaweza kukupa sembuse bandari!

  • @samwelyesaya1202
    @samwelyesaya1202 Před 11 měsíci +12

    Mama mkataba huu hatuutaki sitisha halafu tangaza tenda nyingine ya uwekezaji kwenye bandari zetu kwa uwazi makampuni yashindanishwe kwa uwazi

    • @athumaniamiri3764
      @athumaniamiri3764 Před 11 měsíci

      Simnataka mikataba ya wazungu ilo watuletee na ushoga

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Před 11 měsíci

      ​@@athumaniamiri3764Uwe mkweli kati ya bara na visiwani ni wapi kuna mashoga?

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 11 měsíci

      Sasa hongo watarudishaje na washatumia mamia ya mabilioni waliyopewa? Wao watayapata wapi mapesa ya kuwapa DP World?

    • @birianination7097
      @birianination7097 Před 11 měsíci

      Uwekezaji sio tenda, usime unashindanisha watu waje😂😂 tenda nikazi yenyemalipo punde imwalizapo.

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 11 měsíci

      @@birianination7097 Hauelewi usemalo. Uendeshaji wa bandari upo katika utaratibu wa tender. Hakuna uwekezaji mpya utakaofanyika kwa namna unayosema.
      Uwanja wa ndege wa Karume Zanzibar ulitolewa kuendeshwa na wawekezaji kupitia tender pia. Mkataba unaonyesha watatumia kiasi gani kuwekeza katika bandari zetu?

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p Před 11 měsíci

    Hakika namuomba mwenyezi mungu amuongoze rais wetu kutuvusha ktk hili maana maadui wa nchi ni baadhi ya watanzania wachache.

  • @user-tt8dn3nn2t
    @user-tt8dn3nn2t Před 11 měsíci

    Asantee sana mheshimiwa raisi wetu allaah akulinde na wasaidizi wako wote ktk serikali yetu tukufu aamiinn

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Před 11 měsíci +9

    Hotuba imetulia maneno ni mtamu sana. Bandari zetu nazo ni tamu sana tunazipenda kuliko chochote.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 11 měsíci

    Manshallah ubarikiwe bora umeyasema wapotoshaji wenye roho mbaya na uchochezi mafatani wakubwa wengi wapo Tzd. Hasa Chadema wachonganishi sana hao

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 Před 11 měsíci +4

    Tatizo la watawala wa kisiasa wanamilikishwa nchi na watu nakutunga sheria za kuwalinda na kujimilikisha raslmali za nchi wakiuza na kula matunda ya nchi huku wananchi walibebeshwa mizigo ya kodi kwa ajiri ya starehe zdo

  • @joachimmbosha5796
    @joachimmbosha5796 Před 11 měsíci +1

    Mungu ajalie kanisa katika Utumishi wa kimungu,Mungu bariki Tanzania.

  • @Sarafinasauli
    @Sarafinasauli Před 11 měsíci +1

    Mkataba unakuja hadi kubadilisha sheria zetu za ndani duuh tumefika kubaya sana mama leta wawekezaji hadi taasisi za uma maana maana tumekuwa kichwa cha wandewazimu tunaonekana hatujielewi ndio maana hubabaishwi na husikilizi maoni ya wengi ila unafanya uonavyo tu

  • @user-ir3od2bv7s
    @user-ir3od2bv7s Před 11 měsíci +2

    Mh Raisi Tekeleza majukumu yako Nchi unaipeleka vizuri saaana, Mwenyezi Mungu akubariki sana.

  • @user-ro4tl6ei2b
    @user-ro4tl6ei2b Před 11 měsíci

    Mama pole na kazi samahani nakuomba shughulikia swala la umeme mkowa wa SONGWE tunateseka sana au tuombee sola china

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Před 11 měsíci

    Maadili pia yanajengwa kwa kukopi kitoka kwa viongozi wetu. Watoto wanakopi kwa viwango vikubwa sana yola kwa wazazi wao. Ni ngumubkukataza mtoto kuiba wakato baba au mama ni mwezi.

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před 11 měsíci

    Mbona mnakua wagumu kueleza wananchi na ndege yetu iko wapi

  • @TimotheoGadiel-xw5zm
    @TimotheoGadiel-xw5zm Před 11 měsíci

    Hongera kushiriki siku hii ya mhim kwa kanisa hili.

  • @josephudoba5563
    @josephudoba5563 Před 11 měsíci +2

    Mkata mama sisi hatuukubali

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 11 měsíci

      Jisemee mwenyewe tu sema siukubali huna haki ya kumsemea mtu

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 Před 11 měsíci +3

    Pambana Mama hakuna mwenye ubavu wa kuivunja amani tulioitafuta kwa jasho katika Nchi hii. Piga kazi Mama na Kazi iendelee

  • @JummaSammata-ny5xf
    @JummaSammata-ny5xf Před 11 měsíci

    Allah atufanyie magumu yawe mepesi,atuepushe na huu mtihani

  • @josephnjiloi7939
    @josephnjiloi7939 Před 11 měsíci

    hongera sana mama

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Před 11 měsíci +4

    Kwa karne hii hatupaswi kitegemea mvua kwa kilimo wakati maji yapo ya kutosha ikiwa ni mito, maziwa, bahari, visima nk.

  • @donkingtraders692
    @donkingtraders692 Před 11 měsíci +2

    Mama Mungu akutangulie pambana mama ....tupo nyuma yako
    Mama

  • @kibokutiwanatanyika1540
    @kibokutiwanatanyika1540 Před 11 měsíci

    Mh. Rais wetu hakika upo kazini mama, na kanisa likiendelea kukusumbua kwa kutetea maslahi yao nakushauri uvunje muungano ili twende zanzibar na bandari yetu mama.

  • @jaliabahat1520
    @jaliabahat1520 Před 11 měsíci

    asante mama

  • @husseinibrahim2929
    @husseinibrahim2929 Před 11 měsíci +2

    Bora upate riziki uipatayo kwenye amani, kuliko vita vya wenyewe kwa wenyewe, kamwe watanzania hatutoiga kama wajinga wa nchi zingine ambao wameyakuza mambo kwa jazba na hasira wakaingia kwenye vurugu, chuki, uhasama, na vita vya wenyewe kwa wenyewe...

    • @brightergermanus2163
      @brightergermanus2163 Před 11 měsíci

      Na BANDARI ZETU ZOOOTE ZIWE HURU MIKONONI MWA WATANZANIA WENYEWE . AMIN AMIN BARIKIWA MAMA

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 Před 11 měsíci

    Wafukuze Kwanza waalabu waondoke ndo 2tulie tuwaite waje wawekeze halafu tuwakague kila wiki na tuweke wasimamizi waadilifu mama kristo akulinde ukiokoka na kukili

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 Před 11 měsíci +1

    Hakuna mwenye ubavu wa kuuza nchi lakini mwenye ubavu wa kusaini mikataba mibovu yupo

    • @machano5690
      @machano5690 Před 11 měsíci

      Wacha upuuzi wee!

    • @frankomary3888
      @frankomary3888 Před 11 měsíci

      ​@@machano5690we ndo uache ujinga au umepata mgao nn

  • @markosabale3839
    @markosabale3839 Před 11 měsíci +1

    Asante rais ujumbe wako ni hakika na thabiti hao wanaohadaa watu ili wajipatie sifa kwa Nia ya kujaribu kuvuruga amani washindwe kwa dmu ya yesu

    • @elyotchisanga138
      @elyotchisanga138 Před 11 měsíci

      yesu mutu na damu yake huyo yesu mutu,Haiwezi ikashindana na DAMU YA YESU ipitayo damu zote

  • @lazarololusu4594
    @lazarololusu4594 Před 11 měsíci

    Mh Rais Samia sehemu ya wasi itungiwe sheria ya kutohamia nasio kuwekeza kwa wageni iwe kwa ajili ya wanyama wa kufugwa nawapori,ituzwe na serikali ya kijiji na Taifa kwa amri na sheria.Fikirini sana vijiji vya ujamaa,ilikua ni kutunza masingira.FIKIRINI.

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 11 měsíci +1

    Kwa kipindi kigumu tulichopita tulipaswa kuwa kiongoz kama wew

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 Před 11 měsíci +5

    Hakuna mwenye ubavu wa kuuza Inch na hakuna mwenye ubavu na misuli wa kuivuluga Inch limeisha hilo Mama lekebisha kidg tu kwenye mkataba kazii ianze

  • @user-nn3zm2cd6u
    @user-nn3zm2cd6u Před 11 měsíci

    hotuba nzuri sana ,isitegemewe adui atuelekeze tutembee na silahagani

  • @user-vx1bm9mh3r
    @user-vx1bm9mh3r Před 11 měsíci

    Hongera kanisa hongera viongozi wetu na hongera Mama tunakupenda na tunakuombea Mungu akubariki na kukulinda

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 11 měsíci

    Huyu ndiyo DP world

  • @djunction4127
    @djunction4127 Před 11 měsíci

    mkataba atuutaki mh. Samia Hassan

  • @bolingodominic
    @bolingodominic Před 10 měsíci

    Ukisoma politics of reality. Utajifunza kuwa kazi ya politics katika lugha na production of knowledge, ni kukuza au kupunguza maana halisi ya jambo furani. Jambo dogo politics inaweza kulifanya kuwa kubwa, jambo kubwa politics inaweza kulifanya kuwa dogo na lisilo na maana. Lakini pia jambo zuri politics linaweza kufanywa kuwa baya sana na lisilofaa kabisa, lakini jambo baya politics inaweza kuligeuza na kuwa jambo zuri sana. That is politics of reality. Kwa hivyo tunaposikia neno kutoka kwa mwanasiasa yeyote lazima tulitafakari kwa kina kabla ya kufanya judgement.

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Před 10 měsíci

    MAMA SAMIA USITUFANYE WAJINGA UNAPOTOA RASILIMALI YA TAIFA LETU KUWAPA WAGENI TENA KWA MKATABA WA MILELE TAYARI ASILIMIA100% USHAUZA NCHI MBONA HUJIELEWI WEWE HUWO MKATABA WA BANDARI HATUTAKI KABISAAA

  • @eliasnzira1217
    @eliasnzira1217 Před 11 měsíci

    Huyu mama ni hatari (nimenyamaza na ninaendelea kunyamaza) hakuna mwenye misuli

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Před 11 měsíci +1

    Rais wetu Umeongea vizuri sana. Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno.

  • @gladysmsele4291
    @gladysmsele4291 Před 11 měsíci +1

    Congratulations madam president thanks for being silence just be humble God bless you.

  • @agastprudence7639
    @agastprudence7639 Před 11 měsíci

    Uwekezaji kwanini haupo Zanzibar tu???? Tanganyika shtukeni

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Před 11 měsíci

    Kulikuwa Napadre hapo ?

  • @williamdetkvant1313
    @williamdetkvant1313 Před 11 měsíci

    Naogopa sana hyo madhabahu huwa hataniwi

  • @MaulidiKabambi-dq6jw
    @MaulidiKabambi-dq6jw Před 11 měsíci

    Kazi iendelee na Allah akuhifadhi na akupe afya njema

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo Před 11 měsíci

    Asante Mama, umeongea vizuri

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 11 měsíci +2

    Mama piga kazi
    Hakikisha watu watakao
    Ongea vibaya wapoteze
    Rais ndiyo anakuwa ivyo
    Hili wasikubabaishe kwenye
    Mshukan wako kwan ulikuwa
    Auwaon walio kutangulia
    AKINA MAGU AKINA KIKWETE
    AKINA MKAPA unafeli wapi mh#rais

  • @hoseaemanuel3528
    @hoseaemanuel3528 Před 11 měsíci +1

    Wewe ni bonge wa rais ktk karne hii mungu akulinde na tutakulinda kwa gharama zote mamangu

  • @milley7185
    @milley7185 Před 11 měsíci +1

    hao waliokaa nyuma ni wabay balaa...wanafunzwa na waislam.....Marais wanaongozana wa kiislam

    • @rukkyxarat
      @rukkyxarat Před 11 měsíci

      Mbona nyinyi ni wabaguzi wa dini , hivi inahusu na nini kuleta udini kwenye mambo ya siasa

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 Před 11 měsíci +1

    Wakina Sheikh mwaipopo waonywe sana yule Mzee kwanza hata sio Sheikh atakuw Mganga yule mana anaropoka ti

  • @nicholasmhina8705
    @nicholasmhina8705 Před 11 měsíci

    Nakuelewa sana Rais wangu Mungu akupe maisha mrefu

  • @user-le3wy6ug7m
    @user-le3wy6ug7m Před 11 měsíci

    Lete warabu mama

  • @user-rn2fn2cm1g
    @user-rn2fn2cm1g Před 11 měsíci +2

    Jamani tuache unafiki hivi nani? Anagawa watanzania sio serikali inayokataa maoni ya wananchi wa Tanzania?

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 11 měsíci

      Tundulisu na mapadri wajinga waliifuata mkumbo ndio wanaojaribu kugawa taifa
      LAKINI HAKUNA MWENYE UBAVU WAKULIGAWA taiga

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Před 11 měsíci +3

    Hao makafiri hawana lolote,,,,l priciat my lslamic religion and l'm from Jambian zanzibar l love my president

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 11 měsíci

    MESSAGE SENT TO KYELA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥵🥵🥵🥵🥵

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 Před 11 měsíci

    Mim mtu akiongea vizuri nasapot kusema ukweli izo sheria umesema za wazungu tusifate tumia Mungu kama alivyo tumia magu tuelekeze tumtangulize Mungu pia ungetuondolea sheria iliyo chukua fikra kwenye maakama zetu tuweke sheria tarifa zetu tutumie Kiswahili sio kimombo

  • @hancedatch974
    @hancedatch974 Před 11 měsíci

    Hakuna kama mama

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před 11 měsíci

    Binafsi siungi mkono ktk ubinafusshaji,
    Kwani kama uongozi unashindwa kuendesha miradi si ujiudhuru tu;

  • @gastonegodfrey7426
    @gastonegodfrey7426 Před 11 měsíci

    Tunakupenda na kukuombea mama yetu!
    I love you my president

  • @tanunewstz
    @tanunewstz Před 11 měsíci

    Ila Mama president wetu ni mnyenyekevu mno kwa kweli nakupongeza sana maana hujivuni kujikwezi yaani upo vizuri Mungu wangu akubariki sana.

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 Před 11 měsíci +4

    pikaa kazii mama yetu hakika maneno yako hakuna na hayupoo mwenyee nguvu ya kushindanaa na wewe mama inshallah tutakulindaa kwa jasho na damu zetu

  • @emjay1016
    @emjay1016 Před 11 měsíci +3

    Nani amegundua kuna mabadiliko ya nembo ya taifa hakuna mtu mke na mtu mume pembeni ya ngao.

    • @user-ms1fq6ve6e
      @user-ms1fq6ve6e Před 11 měsíci +1

      Mama atuambie kwa nini nembo ya taifa imebadirishwa?

    • @ngowejilala6615
      @ngowejilala6615 Před 11 měsíci

      Hahaaaaaa aise uko xafi zana ata mimi nilikuwa xijaona ndo nimeona

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 Před 11 měsíci

      ATI mama atatusmbia.
      CHUKI ZA DHAHIR DHIDI YA RAIS.

  • @user-xr8nx9sd9y
    @user-xr8nx9sd9y Před 11 měsíci +3

    Huyo mwanamke ana kiburi sana. Hasikilizi ya wananchi. Mnafiki mkubwa na Kikwete wake.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 11 měsíci

      wananchi wenyewe viongozi wa kile chama cha kikanda na wale wshikaji zao wapiga dili wakiovaa majoho ya dini au vipi?!

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Před 11 měsíci +4

    azaniae tutagombana alie tu asnte raisi wangu

  • @kapondazenaida-nq5hk
    @kapondazenaida-nq5hk Před 11 měsíci +1

    TANZANIA

  • @vaxcraker99
    @vaxcraker99 Před 11 měsíci +6

    WaTZ hawataki mkataba wako wa ovyo ovya. Unatuletea majanga huku bara kwetu.

  • @edgartemu8299
    @edgartemu8299 Před 11 měsíci

    Mimi najiuliza miaka 60 ijayo bandari yetu itakuaje?

  • @shijakashita9915
    @shijakashita9915 Před 11 měsíci +1

    WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

  • @user-hb9bn5xe6x
    @user-hb9bn5xe6x Před 11 měsíci

    Mama uko sawa mungu akubariki

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Před 11 měsíci

    Nchi mnaiuza polepole

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 11 měsíci

      Bau zako ndio waliuzwa n wazungu leo na BANDARI VILE VILE tuwape wazungu
      Acha ujinga na utumwa

  • @user-it4kt5xp3u
    @user-it4kt5xp3u Před 11 měsíci

    ❤❤

  • @ramadhanswalehedahpolesana7102
    @ramadhanswalehedahpolesana7102 Před 11 měsíci +2

    Tunahitaji wawekezaji waje wengi tu. Bandari tulishakubali mwarabu awekeze.sasa angalia na vingine mama.

  • @user-sw8xh9qm3e
    @user-sw8xh9qm3e Před 11 měsíci +1

    anayeandika hizi hotuba atakuwa ndio kuni huko motoni yaani ni fulu unafiki 🙌

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 Před 11 měsíci

    Wewe ni Mama Mungu akulinde

  • @osmundmsigwa7783
    @osmundmsigwa7783 Před 11 měsíci

    kusema ukweli kwenye bandari kuna tatizo viongozi wetyu wanaficha

  • @tindatinda7330
    @tindatinda7330 Před 11 měsíci +1

    Sasa mama hakuna mwenyeubavu WA kuligawa taifa Wala kuuza unamaaanisha nini ktk suala la mivutano juu ya BANDARI. Tamka bana Ili wazalendo tujue BANDARI inakaaje?

  • @FRANCE-yn5zu
    @FRANCE-yn5zu Před 11 měsíci +1

    Yan sion kama kuna 7bu ya kulipo kod watanzania hali ya kuwa vitu vinafanyika bila kutushirikisha sis walipa kodi aya mmesain mkataba wa bandari bila sisi walipa kodi kuafiki huo mkataba nyie mnaona hiyo ni haki

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 Před 11 měsíci

      Kwani unalipa pekeyako.kuwa na muda wa kusikiliza na wenzio.
      KILA MTU ANALIPA KODI

  • @stanleykadege1821
    @stanleykadege1821 Před 11 měsíci

    Ndugai alishasema .kumbe alikujua

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 11 měsíci +2

    siku zote,,,UKIMYA NDIO JIBU KAMILI,,,Kazi iendelee

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Před 11 měsíci

    Dou jamani jamani VP apo mmmmh

  • @soudia9084
    @soudia9084 Před 11 měsíci +2

    Makanisa ndiyo uanaendesha nchi

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 Před 11 měsíci +1

    Hakika mh. Rais wewe unafaa kuwa askofu mkuu mungu akubariki

  • @gaomariwa7637
    @gaomariwa7637 Před 11 měsíci

    Kazi iendelee Muheshimiwa

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před 11 měsíci

    mbona wengine hampigi makofi niko na mluteli hapa anasema jumapili yuko roma anaenda kusikiliza tamko la wakatoliki ande ila asije akanogewe maana tamko lina afya ya kutosha

  • @emmanuelyjustine
    @emmanuelyjustine Před 11 měsíci

    Mama kama unavyo ongea na maneno matamu japo bandari zetu ndio Tamu zaidi

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před 11 měsíci

    nyie kila siku mshikwe mkono lini mtaweza kujitegeemea 😅😅

  • @happymackjacob3480
    @happymackjacob3480 Před 11 měsíci +1

    Mbn hyo nembo mbele haina baba na walee nielewesheni jamani

  • @user-xf4cu3st5z
    @user-xf4cu3st5z Před 11 měsíci

    Hawa wawekezaji hatuwataki kabisa.kelele za wengi ni jibu..

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 11 měsíci

      Ni wajinga wachache tu hata asilimia ishirini hawafiki ndio wanaopinga MKATABA WA BANDARI
      Kelele za wasio itakia mema nchi hazina thamani

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 Před 11 měsíci

    Jibu kwa kelele zote kwa mwelewa tayari. " Yote yanayosemwa nimeyasikia niliamua kunyamaza na nitaendelea kunyamaza " Her Excellency hammered it.

  • @leonardmayunganyamfanka9623
    @leonardmayunganyamfanka9623 Před 11 měsíci

    Ety mnashangilia nakushangilia yaan unashangilia wakat Kuna ubovu wamkataba

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před 11 měsíci +2

    TUNATAKA KUJUA MKATABA NI WAMIAKA MINGAPI

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před 11 měsíci

    nacheka kumbe tamko ni hatari ngoja ni kariri vifungu vya bibilia ilii haki itendeke

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před 11 měsíci

    Hatuna imani nawe hata kidogo .. Kama huuzi nchii kwanini huo mkataba usianzie kwenu Zanzibar

  • @fedrickmaliyatabu9349
    @fedrickmaliyatabu9349 Před 11 měsíci +6

    Ungeendelea rais magufuri alipoishia watanzania wangekuwa na imani na ww ila kwa sasa dah!

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 Před 11 měsíci +1

    Mkataba wa Bandari hautenguliwi kamwe na bado tunahitaji wawekezaji zaidi.

  • @pessachalube9286
    @pessachalube9286 Před 11 měsíci

    Hatutaki mkataba elewa bas

  • @ZakariaMasatu-ps2ch
    @ZakariaMasatu-ps2ch Před 11 měsíci

    Sime

  • @arcmlundwa3217
    @arcmlundwa3217 Před 11 měsíci

    Sitegemei lolote lamaana kutoka Kwa Serikali. Ubavu WA kuuza nchi yetu tunauona.. ubabvu WA kuzuia nchi isiuzwe tunaam iwa hatuna.. ndege yetu imezuiwa hadi hela ya advance waliokuwa wanaojifahamu ijulikane itarudiji Uarabuni.

  • @TitoMwaisoba-cb1ir
    @TitoMwaisoba-cb1ir Před 11 měsíci

    RAIS WETU UKITAKA KUONGOZA NCH VIZUR WASHIRIKISHE WAPINZAN CCM WANAKUALIBIA APO WENGI WAPGAJI

  • @RojahKamalza-lw3ls
    @RojahKamalza-lw3ls Před 11 měsíci +1

    Samia ww unaoneka munyenyekevu tunaomba mama yetu achana na mkataba huo tuende sawa

  • @ridhiwanimsangi4878
    @ridhiwanimsangi4878 Před 11 měsíci

    Usiwabembeleze mkataba ushapita

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před 11 měsíci

    mchaga na hela na biashara wapi nawapi upadri nyie hawa ni watoto wetu 😅😅😅

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Před 11 měsíci

    Mkataba hatuutaki maana nimbovu