Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Usajili mzuri crown media ni motoo congrats king kiba go kiba...
Hongera Sana bro studio Kali bongo nzima ukienda ya Zanzibar ndo balaa 🙌🙌🙌💯
He such a very talented man
Nimependa sana Alikiba anajibu maswali vizuri
🔥🔥🔥🔥
The Owner of Crown Media, KingKiba.... Big up kwako Kiba kweli pesa haina makelele.
Wewe radio ya kikeke
Akili kubwa huelewa na akili kubwa alikiba ya akilikiba ni kubwa asante kija mwenangu mfalume wa bongo fleva tangu kitambo ya kizazikipya Asante sana
Congrats bro me ni SHABIKI yako kindakindaki💚🔥💚💛 crown media for life
Umeongea point king kiba tupo nyuma yako 🎉🎉
Nyuma yake unafanya nini wewe zombi 😂😂😂
Keep going kingkiba❤❤❤
content nzur Mwijaku angekuwepo angesha haribu hii interview
Hongera sana alikiba
Good bro
Busara🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mashaallah
Wajna wangu ALI K 4 REAL
UNAWEZA UKAWA UNAPENDWA HUJUI UNAPENDEWA NINI,WENGNE WANAFANYA BASHARA
Well said kabisa
Anaakili nyingi.... Anajibu vizuri mnooo.....
#kingkiba
KIBA Hongera saana
good 👍 speeches brother god Akubless Sana Akili nyingi kujibu Sana
Mtu mzima kweli tena Mtu Mzuri
Alikey4 real
Kanajua kujibu haka ka jamaa duuuh ile swali ya Millard ayo aliyohulizia kuusu kuimba na wasanii wa nje, sikuamini kama anaweza kumjibu vzr hivo❤
Love feom madale
Natumia acaunti ya mke wangu najivunia alikiba
😂😂😂 aisee
Mtihani huo
Ali noma sana
Riyama ALLY ATAFANYA TAARABU
Uyo dada nampendaga njisi anahuliza
Umeona km Mimi
Akili nyingi cn king🎉
Ila waandishi wetu wengi huwa hawana maswali ya maana.
Uko vzr mkuu
Hongera Sana king❤
Nondo umekuWa kk
Unajua kujibu bro
Akiliyako iko mbele dakika 10
Mr king 🇹🇿
Umewajibu vzri sana wambea tu waandishi
Kaongea point kuliko kawai
King
Jamaa anatumia akili sana kwa kujibu maswali😅😅😅
Kiba umekuwa sasa chukua maua yako 🎉🎉🎉
Ali K, nimekuelewa sasa. Jamaa wanachokonoa hapo wajue km utamsemea vp D LKN umejibu ki don safeee
Mimi ni W C B ila kiba ni king 👑 kweli hata kwakuhongeya
Sema jamaa kashazeeka aisee😢😢
iv alikiba hapo ulipo ww na daimond hamjafikisha miaka 50 kweli mana nawajua toka nasoma msingi ad leo nakaribia kuitwa babu
Baba
Hii sasa ndio yenyewe very professional sio zile zingine wanaweka machawa n kuongelea tu watu hamna chamsingii😂
MWAKATOBE AMEDATA NA TAMTHILIYA YANGU INAYOTAMBA KWA SASA - MJUKUU WA MZEE MCHAWI
Kaka mpo sloo Sana kuachia movie
Mfalme
Huyu u ceo bado
We ni CEO,au kwenye familia yako kuna CEO wangapi?Au ni ushoga ndiyo wakusumbua?
Wacha wivu
Huyu sio CEO, CEO ni Aidan Charle Kiba ni Owner and Founder of Crown Media yaani mmiliki na mwanzilishi Crown Media.
😂😂😂😂@@kdloon2030
Mambo ya kiba hayanaga coments kabisa kwa millad apa ata 50 hazitafika.😢
Ulivyo mchawi kaka ndo kwanza video kapost saiv sa Tisa usiku watu wamelala ingetimia masaa24 angalau ungeropoka boya ww na simu yenyewe ya mkopo inakupa jeuri wivu mbaya Sana 😂😂😂
Lakini Ameongea ukweli 😅@@SalamSaleh-vu6cl
😂😂😂@@SalamSaleh-vu6cl nimekupa 100% kwa kumjibu vzr
@SalamSaleh-vu6cl boya uyo achana nae
Ali kiba kufanya interview hainogi nahisi sauti yake haiko poa kwenye hili!!
Falme 1👑
Sahihi sana FOTHER king kiba big up
Usajili mzuri crown media ni motoo congrats king kiba go kiba...
Hongera Sana bro studio Kali bongo nzima ukienda ya Zanzibar ndo balaa 🙌🙌🙌💯
He such a very talented man
Nimependa sana Alikiba anajibu maswali vizuri
🔥🔥🔥🔥
The Owner of Crown Media, KingKiba.... Big up kwako Kiba kweli pesa haina makelele.
Wewe radio ya kikeke
Akili kubwa huelewa na akili kubwa alikiba ya akilikiba ni kubwa asante kija mwenangu mfalume wa bongo fleva tangu kitambo ya kizazikipya Asante sana
Congrats bro me ni SHABIKI yako kindakindaki💚🔥💚💛 crown media for life
Umeongea point king kiba tupo nyuma yako 🎉🎉
Nyuma yake unafanya nini wewe zombi 😂😂😂
Keep going kingkiba❤❤❤
content nzur Mwijaku angekuwepo angesha haribu hii interview
Hongera sana alikiba
Good bro
Busara🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mashaallah
Wajna wangu ALI K 4 REAL
UNAWEZA UKAWA UNAPENDWA HUJUI UNAPENDEWA NINI,WENGNE WANAFANYA BASHARA
Well said kabisa
Anaakili nyingi.... Anajibu vizuri mnooo.....
#kingkiba
KIBA Hongera saana
good 👍 speeches brother god Akubless Sana Akili nyingi kujibu Sana
Mtu mzima kweli tena Mtu Mzuri
Alikey4 real
Kanajua kujibu haka ka jamaa duuuh ile swali ya Millard ayo aliyohulizia kuusu kuimba na wasanii wa nje, sikuamini kama anaweza kumjibu vzr hivo❤
Love feom madale
Natumia acaunti ya mke wangu najivunia alikiba
😂😂😂 aisee
Mtihani huo
Ali noma sana
Riyama ALLY ATAFANYA TAARABU
Uyo dada nampendaga njisi anahuliza
Umeona km Mimi
Akili nyingi cn king🎉
Ila waandishi wetu wengi huwa hawana maswali ya maana.
Uko vzr mkuu
Hongera Sana king❤
Nondo umekuWa kk
Unajua kujibu bro
Akiliyako iko mbele dakika 10
Mr king 🇹🇿
Umewajibu vzri sana wambea tu waandishi
Kaongea point kuliko kawai
King
Jamaa anatumia akili sana kwa kujibu maswali😅😅😅
Kiba umekuwa sasa chukua maua yako 🎉🎉🎉
Ali K, nimekuelewa sasa. Jamaa wanachokonoa hapo wajue km utamsemea vp D LKN umejibu ki don safeee
Mimi ni W C B ila kiba ni king 👑 kweli hata kwakuhongeya
Sema jamaa kashazeeka aisee😢😢
iv alikiba hapo ulipo ww na daimond hamjafikisha miaka 50 kweli mana nawajua toka nasoma msingi ad leo nakaribia kuitwa babu
Baba
Hii sasa ndio yenyewe very professional sio zile zingine wanaweka machawa n kuongelea tu watu hamna chamsingii😂
MWAKATOBE AMEDATA NA TAMTHILIYA YANGU INAYOTAMBA KWA SASA - MJUKUU WA MZEE MCHAWI
Kaka mpo sloo Sana kuachia movie
Mfalme
Huyu u ceo bado
We ni CEO,au kwenye familia yako kuna CEO wangapi?Au ni ushoga ndiyo wakusumbua?
Wacha wivu
Huyu sio CEO, CEO ni Aidan Charle Kiba ni Owner and Founder of Crown Media yaani mmiliki na mwanzilishi Crown Media.
😂😂😂😂@@kdloon2030
Mambo ya kiba hayanaga coments kabisa kwa millad apa ata 50 hazitafika.😢
Ulivyo mchawi kaka ndo kwanza video kapost saiv sa Tisa usiku watu wamelala ingetimia masaa24 angalau ungeropoka boya ww na simu yenyewe ya mkopo inakupa jeuri wivu mbaya Sana 😂😂😂
Lakini Ameongea ukweli 😅@@SalamSaleh-vu6cl
😂😂😂@@SalamSaleh-vu6cl nimekupa 100% kwa kumjibu vzr
@SalamSaleh-vu6cl boya uyo achana nae
Ali kiba kufanya interview hainogi nahisi sauti yake haiko poa kwenye hili!!
Falme 1👑
Sahihi sana FOTHER king kiba big up