Azam 2-1 Simba | Highlights | Nusu Fainali ASFC | 07/05/2023

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Prince Dube ameifunga Simba kwa mara ya tatu msimu huu, Azam FC wakishinda mabao 2-1 katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports #AzamSportsFederationCup , mechi ikipigwa kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
    Azam walianza kwa goli la Lusajo Mwaikenda dakika ya 22 na Simba kusawazisha dakika ya 28 kupitia kwa Sadio Kanoute kabla ya Dube kumaliza kazi dakika ya 75.

Komentáře • 167

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Před rokem +10

    Sina mengi zaidi ya kuitakia Ushindi Yanga kwenye mechi zao zijazo.💛💚💛💚💪💪

  • @morismniko6523
    @morismniko6523 Před rokem +5

    Wamewaonea sana ila mungu amesimama nanyi💚💛🖤

  • @Bennie_tv
    @Bennie_tv Před rokem +15

    Kama umefurahishwa na matokeo haya gonga likes za kutosha......hakika tumekufa kiume tena🤣🤣🤣
    Usisahau ku subscribe

  • @ip_header
    @ip_header Před rokem +1

    Asanteni kwa kuja..!

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Před rokem +2

    I like the pitch

  • @user-lv9iz6bj8q
    @user-lv9iz6bj8q Před rokem +2

    Congratulations YANGA🎉

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před rokem +2

    Sasa hivi wana Simba hatuna chetu tujipange Msimu Ujao Simba Nguvu Moja Ndio kauli Mbiu yetu 💪

  • @HassaniMwiru-mi7qh
    @HassaniMwiru-mi7qh Před rokem +3

    Akaminko🔥🙌

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 Před rokem +2

    🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦wamewalambisha haoooo

  • @lievinntaganda1715
    @lievinntaganda1715 Před rokem +2

    Watching a football match is great but think Jesus-Christ the son of the living God is the way, the truth and the life. The day of repentance is today. Jesus-Christ is the only one who overcomes the death. Stay blessed

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Před rokem +1

    Fefaree failed to give two penalties for Azam😢

  • @abednegosimoni7716
    @abednegosimoni7716 Před rokem +3

    Msimu huu ubingwa wenu imekua kuifunga YANGA

  • @RachelRodrick-ep7uu
    @RachelRodrick-ep7uu Před rokem +2

    Simba wamelowaaaaaa😁😁😁😁😁😁😁

  • @elickmaendeleo1141
    @elickmaendeleo1141 Před rokem +2

    Heheheeee hii ndo Azam hakuna rangi wataacha kuiona kila ataekutana na sisi Kud'daaadekii Famasiala

  • @KelvinHenry-bo4zc
    @KelvinHenry-bo4zc Před rokem +2

    Love simba forever

  • @abuubabamzazi
    @abuubabamzazi Před rokem +2

    Safi sana azm il mukija muje naadabu zenu zizi ndoo dawayenu yanga daima mbele

  • @allymtaita5051
    @allymtaita5051 Před rokem +1

    Dube ni luck dube dah anatunyanyasa so kidogo

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před rokem +1

    Mimi ni shabiki wa yanga nilitamani Sana tukutane fainali na watani,Ila ushauri Tu onyango hawafai ni wachezaji wa 45 minutes,watafute nimeangalia gemu nyingi za watani anaofelisha ni babu,,😊😊😊😊

  • @skipperkassim44
    @skipperkassim44 Před rokem +2

    Chama ndio kauwa timu

  • @ezekielmmbuji3378
    @ezekielmmbuji3378 Před rokem +2

    Your selection of goalkeeper Ally Salim will cost your job. Onyango has to leave as well as Outtara, Sawadogo, etc will have to leave.

  • @user-yq7tp4tq1g
    @user-yq7tp4tq1g Před rokem +2

    Refaliii umewanyima Azam penati jamaaaan

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před rokem +13

    Njoo Azam tuwakanyage sisi ndo yanga ngao yetu, NBC yetu, F. A yetu, cuf fed...ni yetuuuuuu sisi NDO wananchiii
    Ukatae ndo Hivyo usikatae ndo hivyoo

    • @ennockmpangalala2902
      @ennockmpangalala2902 Před rokem

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před rokem

      @ati CUF yenu na CCM je..???😂😂😂😂😂..kumbe mazuzu wengi unadhani mpira ni sawa na kula kande??😆😆😆😆🤸🤸🤸🤸

    • @sirajimsuya6226
      @sirajimsuya6226 Před rokem

      @@rockygappi1018 unalia iloooo

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před rokem

      @@sirajimsuya6226 😂😂😂😂🤸utajishika na kujipapasa saaaana

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Před rokem +1

    Huyu golikipa wa simba hafai hata simba B kudakia simba tafuteni golikipa mzuri musagili

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 Před rokem +1

    Simba hawan timu wakauz vitumbua k. Koo

  • @mysaramohamed4832
    @mysaramohamed4832 Před rokem +4

    Chama alikuwa anageuzwa na Akaminko kama Chapat🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před rokem +3

    Aina shida tumekandwa kiume 😂😂😂😂

  • @amibeamibe7261
    @amibeamibe7261 Před rokem +2

    simba ni kama RAJA KWAO HANA CHOCHOTE SASAHIVI ANAPIGWA NA VITIMU VYA NYAU. YAANI SIMBA BAADA YA KUKOSA CLUB BINGWA WAKAWA WENYEWE WACHEZAJI WANALAUMIANA NA KOCHA AMESHINDWA KURUDISHA NIDHAMU YA KUHESHIMIANA KTK KIPINDI CHA MAJONZI.

  • @nuhubushiri4382
    @nuhubushiri4382 Před rokem +2

    Simba Hana jipya Hadi 2030 migogoro itapoisha

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Před rokem +2

    NO RETREAT NO SURRENDER
    TUKUTANE MWAKANI MTANI😂

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před rokem +2

    Simba timu yangu lakini kuanzia leo nahama rafiki zangu wananicheka timu mbovu tena mbovu na kama si huyu kipa tungefungwa 10 kipa mzur ila kwa penanti mbovu ilo manulla ndo halifai aswaa

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před rokem +2

    User mpira siyo makasirikooo😂😂😂😂

  • @allyakida3023
    @allyakida3023 Před rokem +2

    Kipa majanga matupu hamna kipa hapo

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 Před rokem +1

    Nimekuja kuwaangalia tena madunduka

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před rokem +3

    Ukisimama Nshale ukikaa Nshale

  • @mohamedlamimu
    @mohamedlamimu Před rokem +1

    Ila huyu Muamuzi sijui ni uwezo mdogo, presha ya mechi kubwa ama ni nini!

  • @ignasmpunga8084
    @ignasmpunga8084 Před rokem +1

    Huyu kipa bado sanaaa

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před rokem +2

    Refa Umewanyima Pennant Azam Kipindi Chapili

  • @kibwasporttv
    @kibwasporttv Před rokem +1

    Kilo moja fc bhanaaa 😅😅😅😅😅

  • @officialkenzo5034
    @officialkenzo5034 Před rokem +3

    Walitufungaje hawa simba 😅

  • @harrychuwa3180
    @harrychuwa3180 Před rokem +2

    Wanasimba na mashabiki wote tusiende uwanjani wala kufanya shughuli yeyote mpaka Mangungu na Try Again wamejiuzulu. Tusiwasikilize wala kufanya nao kazi. Wakichelewa tukawatoe ofisini kwa nguvu!!! Wachunguzwe na kuchukuliwa hatua!!! Mangungu and Try Again out!!!!!!!

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Huyu ni kichaa

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před rokem +1

    Team arudishiwe Mgunda, Mbrazil amevuruga Simba kabisa, sasa imekukuwa kama Simba LUWALA

  • @H.sazo.
    @H.sazo. Před rokem +5

    High light za yanga mnge weka saa nne Azam mna ubaguzi leo zenu mapema tu cheeefuuuuu

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Před rokem +3

    Hapa tuna kmbushwa tusajili wachezaji badala ya wachezaji

  • @nasirkilapo6041
    @nasirkilapo6041 Před rokem +4

    Dah sema mtani tangu ufunge yanga ujapata frah tena hii nirana ya mzazi kabisa 😂😂

  • @AsmaKassim-nv8my
    @AsmaKassim-nv8my Před rokem +2

    Wacha tu tuwap pongez yanga

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem

    Vyema!

  • @abednegosimoni7716
    @abednegosimoni7716 Před rokem +1

    Na ile deby mngefungwa sijui ingekuaje

  • @rajah9328
    @rajah9328 Před rokem +1

    Nilijiona tu kupendelea Yanga from 2019 niliomba final iwe Simba na Yangu tulipize kichapo chetu cha juzi

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před rokem +1

    Makoloooooooo...Mlibwanjiiiiiii 🤣🤣🤣🤣

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před rokem

    Penati ya wazi kwenye kamera..nawasubiri Azam na wachambuzi wa vibahasha...😊😊😊😅😅😅😅😅

  • @user-bh9if3bo8r
    @user-bh9if3bo8r Před rokem +1

    Wamefungwa kiume😂😂😂

  • @Malekanojr
    @Malekanojr Před rokem +1

    hii ndio timu iliyoenda kuweka kambi nje

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před rokem

      Ndio ilikwenda Morocco,Tunisia, Sudan, Dubei.
      Na mwisho wake hakuna ata kikombe cha kahawa.
      Hahahahahaa!

  • @Director_Kitindi_Complete

    Mimi nimeumia sana ila BAC tu Simba kufungwa kabisa sisi

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Před rokem +2

    Penalty ya Wazii ya Azam" wanthulumiwa😂😂😂😂

  • @user-qu3pu3zb6u
    @user-qu3pu3zb6u Před 10 měsíci

    2012

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před rokem +1

    Goli la pili limeanzia kwa Beki chuma Onyango na kusaidiwa na mcheza shoo Inonga...

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před rokem +2

    Yani hawa mmbwa nilitaka Nikutane nao

  • @neemabenitho5441
    @neemabenitho5441 Před rokem +2

    Nawaza sijui walitufungaje hawa nakosa majibu

  • @officiallcoolest_khid3223

    Ni mwendo wa kufa kiume tuh

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 Před rokem +1

    Channel hii mnabagua matukio hasi ya Smba hayaoneshwi na matukio chanya ya Azam ya kuonewa mnayaona kawaida refa ni Bomu lakini Mungu amesimama kwenye haki aibu kwa refa ajitathimni

  • @yohanismhami7266
    @yohanismhami7266 Před rokem +1

    Hivi kanut huwa anawaza nin kichwani mwake

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Před rokem +1

      Tatizo la wachezaji wa daraja la pili alafu wanapewa majukumu ya daraja la kwanza

    • @athumanijuma3085
      @athumanijuma3085 Před rokem

      Ni mgonjwa wa akili

    • @yohanismhami7266
      @yohanismhami7266 Před rokem

      @@athumanijuma3085 inawezekana maan Mambo anayofanyaga wakat mwingne ka sio mchezaji vile anajilazimisha kuwa uwanjan

  • @nasirkilapo6041
    @nasirkilapo6041 Před rokem +3

    Kufa kiume kuna raha yake bwana 😂😂

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před rokem +2

    Makolo wamemkamata katikati hakuna cha chama wala nini

  • @ip_header
    @ip_header Před rokem

    Mpira mchezo wa Wazi!

  • @allyrashidi4816
    @allyrashidi4816 Před rokem

    Turushie basi mechi ya Simba na ruvu

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Před rokem +1

    Azam wamenyimwa penati mbili za wazi Lakini wp wakatiwa madole mawili.😂😂😂😂😂

  • @danielimalaki
    @danielimalaki Před rokem

    Simba hamnapo kipa

  • @Skysport456
    @Skysport456 Před rokem

    Tanzania should choose weather to use kiswahi or English but najua apo kwa English is were they draw the line

    • @issaabdi9129
      @issaabdi9129 Před rokem

      Kwenu English ni lugha yetu? Acheni kujilambalamba kwa wakoloni

  • @salummaulid4860
    @salummaulid4860 Před rokem +1

    Mgunda aludishiwe timu yake

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Před rokem +2

    Mpka ssa hivi sijuwh hata walitufunga yanga hawa watu asee😌

    • @neemabenitho5441
      @neemabenitho5441 Před rokem +1

      Me mwenyewe sielewi hawa walitufungaje jmn

    • @sullehtz9327
      @sullehtz9327 Před rokem +1

      @@neemabenitho5441 hataree tuhh kwa kwl yen hawa watu ndo wakutufunga ss

    • @user-bh2wl4uv1v
      @user-bh2wl4uv1v Před rokem

      Hahaha inawezekana ni kwamuda tumekubali madhaifu yetuu simbayaa haimihusu mtulie❤

    • @faizaahamd2052
      @faizaahamd2052 Před rokem +1

      Waliroga tu mpaka wachezaji wakawa wamechoka kwa kweli

  • @ClansTv-tl5xq
    @ClansTv-tl5xq Před rokem

    Makolo wajipange msimu ujao

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před rokem +2

    Kumbe chama alikuwepo😅😅😅

    • @ALIKHAMIS-un4fv
      @ALIKHAMIS-un4fv Před rokem +1

      Wote walikuwemo mpaka kocha wao mbarazili mpaka msemaji wao Ahmed Ally alikuwepo

    • @victorernest7702
      @victorernest7702 Před rokem +1

      Mpaka balekeee alikuepo

  • @zunnahmohammed4719
    @zunnahmohammed4719 Před rokem

    hapa pesa wameonga wachezaji

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 Před rokem +1

    Leo jamaa hawajibu matusi yoote wanayo tukwanwa wamerowa kweli

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Před rokem +1

    Simba wameuza mechi magoli yote yamichongo.

  • @costarsanga
    @costarsanga Před rokem +2

    Makombe yote yakwetu wananchi

  • @zulfakudema2743
    @zulfakudema2743 Před rokem

    Ni kama 3 - 1 ule mpira simba waliuokoa ukiwa umeshavuka mstari wa goli au nimeona vibaya

    • @user-vn4ti4jw2o
      @user-vn4ti4jw2o Před rokem

      @zulfakudema2743 nikweli mpila aliokoa mohamedi hoseni ulikua tayali umevuka mstali wamewaonea kabisa goli ni 3_1

    • @husseinmassawa7186
      @husseinmassawa7186 Před rokem

      Ni 5-1, lambalamba wamenyimwa penati mbili za wazi kabsaaaa

  • @muhammadjamady-zx1jy
    @muhammadjamady-zx1jy Před rokem

    duuuu chama akuna kitu

  • @marysaimon2213
    @marysaimon2213 Před rokem

    Hayaaaaaaaaaa weeeeee Wale wakufa kiume wameloa tenaaaa

  • @mompextv
    @mompextv Před rokem

    Wakwanza Leo ku comment 😊😊😊

  • @zunnahmohammed4719
    @zunnahmohammed4719 Před rokem

    kumbe refa lii alikuwa anakisasi na kanoti kumbe puti ndio aliyemdondosha chini na kumpa kadi nyekundu daaah

    • @sharifahussein8034
      @sharifahussein8034 Před rokem

      Uliko uko mzima au unaumwa kwamana unataka kuniambia ujaangalia vizuri ,Cha kushukulu kadi imetoka wakati mmeshakandwa tayari

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před rokem +1

    8:45 Kulogwa kupo😂

  • @skipperkassim44
    @skipperkassim44 Před rokem +1

    Nafasi za wazi

  • @chudohans2447
    @chudohans2447 Před rokem

    Viongozi msimu ujao kuna wachezaji mkiwaacha waendelee kuwepo hatutowaelewa

  • @japhettzdjaphettzd-pk1ru

    sasa mtatuambia

  • @BeatusBeda-dx5ro
    @BeatusBeda-dx5ro Před rokem

    Kaz NZr Kwa Azam kombe letu

  • @tithogeorge3806
    @tithogeorge3806 Před rokem +1

    😂😂😂😂

  • @SungesuAngelina-id4tj

    Dube kiboko ya Kolorobo😂😂😂😂😂😂

  • @fadhilichomola3926
    @fadhilichomola3926 Před rokem +1

    Piga mbwa hawa😂😂😂

  • @maduhulusangija3715
    @maduhulusangija3715 Před rokem

    ok

  • @Muhammad-dt5ms
    @Muhammad-dt5ms Před rokem

    Hawamo

  • @greysonkisinda7390
    @greysonkisinda7390 Před rokem

    Wakufa kiume au wamekufa kihuni hata wao hawajajua wamekufaje🤣🤣🤣

  • @marysaimon2213
    @marysaimon2213 Před rokem

    Wamelowa

  • @dstaroficial
    @dstaroficial Před rokem

    Kipa ttzo

  • @EmanuelLairumbe-ev1ul

    Kipa ndio tatizo la simba bwhna..

  • @ISAACNJOROGE-ll1dx
    @ISAACNJOROGE-ll1dx Před rokem

    Tushabokietimuzetuzaafrika

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 Před rokem

    Mskoro wameloa

  • @JoshuaBaraka-ys8rp
    @JoshuaBaraka-ys8rp Před rokem +1

    Wababe wakufungwa

  • @zunnahmohammed4719
    @zunnahmohammed4719 Před rokem

    ila puti bhna kampitia Hadi refa nimefurahi kazi yako