Magoli yote tisa (9) ya Pape Sakho kwenye NBC Premier League 2022/23
Vložit
- čas přidán 7. 07. 2023
- P.O.S…..!!! Burudika na magoli yote tisa (9) aliyofunga Pape Ousman Sakho kwenye ligi kuu msimu uliomalizika 2022/23 yakiwemo manne ya mikwaju mizito nje ya boksi.
Je, umeona ‘style’ ngapi za kushangilia? Najua ipo ‘style’ yake moja uliyoimiss zaidi… niitaje?
#SakhoGoals #PapeOusmanSakho #PapeSakho #MagoliYaSakho #SimbaSC #NBCPremierLeague - Sport
Simba fans we wil mis you Sakho asante kwa mazuri ulofanya Simba maana hakuna baya umefanya kapambane,kapambane na uwe na maisha mema Ufaransa,thanks to be a Simba player
Tunammiss sana Sakho😢
Yan winga ya Onana ni tofauti na winga ya Sakho
Nguvu, Kasi, Mashuti.. this man was on 🔥
Namkubali sana sakho sijui kwnn kaondoka
Bad na hajapewa goli Bora daah
Daaaaah walimkosea sanaaaaaaa
Sako baller
Wachambuz wasiojua mpira huwa wanamkosea Sana sakho, hivi kweli tanzania kunawinga kama sakho.
Hakuna brother yeye ndo winga pekee mwenye magoal mengi
Kwanini tumuuze mtu kama huyu
Mm enyw najiuliza
Nilichogundua Leo huyu jamaa nimtu 1 hatari sana
Huyu dogo anafunga magori makali ni hatari Simba msimuuze
Sakho fundi tusimuuze mazee apewe tuu nafasi afu Bado mdogo umri unaruhusu
Bwana mdogo kabisa Magori makali mnoooooo
Simba wamrudishe sakho wetu
Tatizo sakho hachezi KITIMU WENZIE WANAMPASIA YEYE MDA WOTE HATOI PASI KWENYE 18 NI HILO TU MENGINE YUPO POA SANA
Sakho ni mchezaj mzur sana sema Simba sijui hua wanafel wap
Uyu mtoto mrudisheni bn
Namkubali sana sakhoo
Ndo shida ya timu zetu wauza wachezaj wazuri wachukua akina onana
Tatizo makocha wa Simba hawajui jinsi ya kumtumia Sakho! Sakho ni Supper Sub! Anatakiwa kuingia dakika 45 za kipindi cha pili! Atakupa matokeo mazuri sana! Magoli yote amefunga alipotokea Sub kipindi cha pili!
nina mawazo kama yako
Kweli kabisa
Kamtumie wewe
@@randomclips5474zumu
Siku zote tik tak ndio goli bola af chaajab kapewa yule zuchu
Jeeeshi rimepotea😂😂❤❤
🎉🎉🎉🎉 sakho ni hatari sana
Haswaaa ni hatari sn
Ndo wasafi walikuwa wanasema hajaisaidia simba
❤❤❤❤❤
Supper Subb!!
Pape sakho
Anajua
Mrudishen sakho haraka sana
I miss u sakho
Watulete Sako wetu
Oya uyu m² wew achatu kwann tuka mtoa
Dah. Kama tumelogwa yani, wakat wenzet wanawang'ang'ania wachezaji wao wazuri sisi tunawauza dah inabidi viongozi muwe na akili ndo kila siku timu mpya ebu angalieni alahaly wapo mpaka wazee ila wana umuhimu kweny hicho kikosi sasa mtabakia mnaangalia mafanikio wakipata wengine nyie kila siku mnaishia palepale hampigi hatua afu mnatuletea wachezaji wasioeleweka
Leo hii simba ilipofikia tunacheza naka tim, kadogo, kana, tuvimbia, simba inavimbiwa na mtu, kweli, ata, yanga, awatuwezi
Hassan Ahmed amefanya nichekw ety hiih aloo weeeh 😂😂😂🤣🤣
Wamludishe sakho wetu jamani
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aliye cheza simba kwa uchunguuuu na kwa jashoooo huku ikiiheshimu logo ya Simba ni Sako tumebaki na mabitozi
Good performance 🦵👍👍💪💪
Hyu jmaa magoli yke yte mazuli nais ndo anaongoza kufunga magoli mazuli
Me mwenyewe nishammisi tu sijui Simba walifeli wapi😢😅
Dg fund
Yan dogo nilvo nikimkubali had mtaan naitwa sakhoo
Simba haipendi furaha nduguvinapenda majozi,mtu kama huyu unamuuza kwakipengele gani ndugu?ukiangalia sakoh alikua ni mtu mwenye uwezo mkubwa simba alikua anaiweza so wanaleta wachezaji vipofu now dah inaumiza saaaaaaana
❤🎉
Ila daah Sakho tunakumic na tutaendelea kukumic magol yake yalikua ya ajabu na yakuvutia
sakho huna baya
Unamuacha sakho unachukia saidoo
Magoli ya matangazo kabisa
Huyu kijana jamani tulimpoteza kimakosa
Yani hadi nimemici sakho
Uyu dogo arudi tu jaman😢 tusha mkumbuka yani
Wanazinguaa
Nakapenda haka karudi tu
Mrudixheni sako
Atakuwa mchezaji mkubwa sana duniani
Arudishwe dogo
Tff ubaguzi wao jamn hili goli la ihefu lilipaswa liende Moja kwamoja kuwa goli la mwaka msimu mzima
Simba walikosea hapa huyu dogo ni balaa
Mwakani tunae
Me mwenyewe nishammisi tu sijui Simba walifeli wapi
Du tuna acha wachezaj wazur tuna chukuwa makalash t
HUYU SAKHO ANANIUMA VIBAYA MNO , KWANINI SIMBA WALIMWACHA AONDOKE ASEE
Saidoo anabaki Sakho anaondoka 😂😂 viongoz wa simba mkapimwe akili
Ombi langu jmn viongozi msimuuze P.O.S WETU
Tusimuuze kabisa
Arudi tu huyu kijana maana tumebaki na mabishoo
Kina fredy wanafanya tour uwanjan yaan
Hahahaha Tabulelee Rahaa
P O M Sako alicheza kazikazi nasiyo hawa wapaka bulchi
Sakho sijui aliwakosea Nini viongozi wa Simba
Wasenge 2 wale wamemwacha mchezaj mzr
@@alexaidan6437 pumbavu kabisa
Daimoñdi
Inaniuma
Nijana nitakukumbuka
Huyu dogo alikuw mashine
Labda 0:43
Sasa uyu walimuuza wanini wanalet mAboya2
mwamba wetu ninge penda aludi tuuuuuh
Mchezaji kama huyo mnamuza kizembe tu,mnaleta wazee
Wamludixhe bhan
Tutamkumbuk san sak
Yan sis simba tunaviongoz wajinga Sana dah hadi nimechanganyikiwa tumeleta onana
dog hatari sana arudishwe msimbazi
Ftfft wauni tu
Cm iwe namafaili .adog
Kwani sakhoo saiv yuko wap
Ufaransa
Mrudishe huyu
Nmekubal hy mwamba
Namkubali sana sakhoo
Namkubali sana sakhoo