Jionee vipaji vya Kitanzania wakiimba wimbo wa Tazama Ramani mbele ya Rais Samia kwa staili yao

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2022
  • #TANZANIA: Jionee vipaji vya Kitanzania wakiimba wimbo wa Tazama Ramani mbele ya Rais #Samia kwa staili yao, wajizolea mapesa ya kutosha.

Komentáře • 36

  • @Lameck_Design
    @Lameck_Design Před rokem +2

    Wow!! I got goosebumps!! , so powerful & Emotional

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Před měsícem

    Wamenikumbusha lile tangazo la Du! La Tigo😂😂😂😂

  • @JoasGeorge
    @JoasGeorge Před 6 měsíci

    Jamani sijawahi fikili Hawa watu Tanzania hii kumbe Tunao wonderful ❤❤❤❤🎉🎉

  • @KatelezuMalole-um5qj
    @KatelezuMalole-um5qj Před 11 měsíci +2

    Munaimba vizuri Ila ninyi ni nuru ya ulimwengu ndenge za vichwani hazitakiwi Kwa waadventista wasabato? Walawi 19:27

  • @user-sj7su2fb5i
    @user-sj7su2fb5i Před 7 měsíci

    Safi sana

  • @pianamkai4620
    @pianamkai4620 Před 5 měsíci +1

    Ni wasabato wanaitwa the voice accapella love them always their doing wonders

  • @edwinchirandi8810
    @edwinchirandi8810 Před 2 lety

    🙌 Big up the voice tz .....

  • @loycemalach9662
    @loycemalach9662 Před 5 měsíci

    SDA ni fire.
    Dhinda ya Dhulu

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 Před rokem

    God bless you brethrens

  • @boggysimon7897
    @boggysimon7897 Před rokem

    Always your big fun🤗

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 6 měsíci

    Bass akaze

  • @alsonsemoka5019
    @alsonsemoka5019 Před 2 lety

    The real voice

  • @leonardMjuliy-lh4ck
    @leonardMjuliy-lh4ck Před rokem

    Ahhaaahhaa mpigaa bezi uyuu mshikaji wamchongo kwl...ahhaahhaa

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před 2 lety

    Wow

  • @jameskihambalya1968
    @jameskihambalya1968 Před rokem

    Good

  • @yustermzirai
    @yustermzirai Před 6 měsíci

    Hao ni wasabato

  • @Hasnspop
    @Hasnspop Před rokem +2

    Hawa jamaa ni balaa haw sio roman kweli

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Chezea Muziki wa SDA, ni 🔥

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 Před rokem

    🇹🇿🇹🇿❤❤

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Před rokem

    members wa SDA hao

  • @venancemiyeji6804
    @venancemiyeji6804 Před rokem +2

    kama kwa sasa watakuwa wameamua kubadilisha dhehebu lakini ni wakatoliki na tulikuwa nao ssiku zote kwenye matamasha ya viwawa hapa Jimbo katoliki Dar mfano matamasha yaliyokuwa yakifanyika Don bosco Upnga na Osterbay walikuwa wakishiriki vizuri sana kama vijana wakatoliki wenzao

    • @charlesrhombo7910
      @charlesrhombo7910 Před rokem

      Hawajawahi kuwa wakatoliki. Ila hushiriki matamasho yoyote

    • @kelvinOdhis
      @kelvinOdhis Před rokem

      Wasabato hao...hawajawahi kuwa wakatoliki ila wanaendaga tu....njoo sabato hayo kwetu ni ya kawaida wapo wengi kama hao

    • @rosemgeni2221
      @rosemgeni2221 Před 6 měsíci +1

      Ni SDA ndgu wameanza kuimba kwa kujitolea tukiwa pathfinder club kama vijana wa kisabato the voice group limeundwa na vijana 4 wa familiya mmoja ya mzee Marehemu kwa sasa n Marehemu watoto wake ndio the voice group ndio waliotoa tangazo la tigo 2003

    • @rosemgeni2221
      @rosemgeni2221 Před 6 měsíci

      Mzee Mark baba yao aliwasapoti sana

    • @hawazakaria-kw5lh
      @hawazakaria-kw5lh Před 6 měsíci

      Walialikwa hao bana ni wasabato toka wadogo mpk sasa hivi sema huwa wanatoa huduma ya uimbaji sehemu mbali mbali