I told you Angel Magoti star will one day shine bright beyond international borders , now look what you have fulfilled the word of God sitting with the Heads of States and our President Hugs. This is was emotional. The song "Asante" is just like my national Anthem Jesus know that I don't know you but your songs have been soul healing, the voice is sparrow, may God bless you. Greetings from Dar es salaam
Kwakweli miaka kama 15,iliyopita nilifahamu huyu mtumishi atafika mbali sana,nilimuona TM music 🎶 hajivuni,anajishusha sana,AMEN. TM MUSIC 🎶 MUNGU AWATUNZE KWA MALEZI YA HUYUMTUMISHI.AMEN.
🎉🎉great but please ❤ kwa mavazi jitahid sketi iwe ndefu your appearances ndo utu wako hupimwa my sister na ndio uweka watu katika uwepo na TUKIJUA KWAMBA UNAMTANGAZA KRISTO popote jitahidi
Duuuuu! nimehemewa, Ni Mungu tu huinua watu viwango hivyo,siyo rahisi namna hiyo.But Angel is Angel, nimebarikiwa sana dada yangu @angelmagoti real touch the Continent leaders and their civilians.
Oh. Congrats sister Angel for a such stronger and touching message carrying item. May the Lord continue blessing and lifting You with this vital talent you have!" See you at the top"🎉
❤Yesu amefanya tena Angle Magoti🎉
English lyrics zimeimbwa zimeeleweka matamshi 🔥🔥, the vocals 🔥🔥🔥🔥🔥 tushapata mtu anaestahili kuimba mikutano ya wakuu wa nchi
Kabisa!!!
For sure
I told you Angel Magoti star will one day shine bright beyond international borders , now look what you have fulfilled the word of God sitting with the Heads of States and our President Hugs. This is was emotional. The song "Asante" is just like my national Anthem Jesus know that I don't know you but your songs have been soul healing, the voice is sparrow, may God bless you. Greetings from Dar es salaam
She is very happy to huggy the president, GOD BLESS you ANGEL
She is very happy to huggy the president, GOD BLESS you ANGEL
Amen 🙏 to God be the Glory
@@angelmagoti AMEN,AMEN AMEN
Fantastic angel God bless u
Nimefurahi Angel,machozi ya furaha yamenitoka nilipoona Mama anakukumbatia! Mungu atukuzwe kwaajili yako Dia
Kukaa meza Moja na wakuu mungu hutimiza Neno lake barikiwa dada anger♥️♥️
My Angel 🥰🥰
Kwakweli miaka kama 15,iliyopita nilifahamu huyu mtumishi atafika mbali sana,nilimuona TM music 🎶 hajivuni,anajishusha sana,AMEN. TM MUSIC 🎶 MUNGU AWATUNZE KWA MALEZI YA HUYUMTUMISHI.AMEN.
Hapo kwenye kujivuna na kuringa nakubaliana nawe. She is humble sana
Utaja shangaa Angel magoti
Mkuu wa mkoa, naibu wazir nk🎉🎉🎉
😂
Kiukweli I have believed ule mstari wa Biblia unaosema kuwa Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu Mithali 18;16 💥💥🔥🔥🔥
Hongera Sana,nimependa unavoimba noti za chini na matamshi..so bravo,Yesu atukuzwe .
Hii hatua moja.Inazaa hatua ingine Angelmagoti.Miaka si mingi sana,utakuwa mbele ya mkutano mkubwa wa dunia.Wewe ni star by God grace
Amen 🙏
Kweli YESU kristo ni no1 safi sana mtumish
❤Outstanding talent ❤God will be able to open your Dreams. 🎉🎉🎉🎉
Nimefurahi Kwa HESHIMA uliyoionyesha Kwa MAMA YETU RAIS WETU SAMIA SULUHU 👏👏👏👏👏👏
I hear a voice of commandment 😊😊😊 God bless you my sister
🎉🎉great but please ❤ kwa mavazi jitahid sketi iwe ndefu your appearances ndo utu wako hupimwa my sister na ndio uweka watu katika uwepo na TUKIJUA KWAMBA UNAMTANGAZA KRISTO popote jitahidi
Umetisha mpaka président amekubali hongera❤❤
Wow. Watching from DRC, this is so emotional at the end ,the hug with mama. What a talented woman!
May favor keep defining and describing you in the name of Jesus ❤
Well! This is kind of music we need in Tanzania. Powerfull music with a good Voice, good melody, good arrangement, good massage.
What a performance.
WOW!
Hongera Kwa kibali my nasikiliza na mwili umesisimka, wewe ni nyotaa subiria kwenda nchi
Nilivyoskiaga tu juaaaaaaaaaaaa ni kaaaaaaaaaaaali nkajua huu ni motroooooooo keep moving sister ❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥 you made me speechless anjela
She is so simple and great.
Be blessed my Lovely Daughter!❤
Hongera dadangu kipenzi umetuonyesha tunaweza mungu akulinde nakupenda sana mtumishi na wewe ni baraka kubwa
Dah sister Unajua sana hiyo song 3/4 huwa zinahamsha hisia zilizombali na Upeo wa hisia zetu za kawaida congraturation nimependa heshima nyingi
Wooh Amaizing❤🎉
Fantabulous Angel with an angelic voice:)) Hongera!
Oooh my daughter Angel 👏
Duuuuu! nimehemewa, Ni Mungu tu huinua watu viwango hivyo,siyo rahisi namna hiyo.But Angel is Angel, nimebarikiwa sana dada yangu @angelmagoti real touch the Continent leaders and their civilians.
I think the tz should be like her,she is a greater singer.
Wonderful Angel keep it up.
What a pleasure always to see my fellow worshipper at the greater heights. God bless you angel.
Congrats 🎉may God lift you up more than here❤❤❤
Kazi nzuri sana hakika hiyo imeenda kabisa ,zaidi Mungu azidi kukubariki sana.
That was a hard audience 😂😂 Great job mama!!! May the Lord open more doors ❤❤
😂😂😂so so hard
For sure,that was a hard audience,i can see how she struggled to gain confidence,but she did it amazingly. Conguratulations Angle.
Yah sure 🙌 ameshusha pumzi kwanza😅
Uko vzr mdogo wangu Mungu akutumie
Waooooo dada unakipaji sana hongera
May God lift you higher to dimensions and heights you never thought of,from glory to glory,be blessed abundantly ❤
Wooow ❤❤
Yoooooo❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Hongera sanaaaaa ,chukua maua yako🎉🎉umetisha
Wooow❤❤❤
Woww❤
Aminaaa
The song is dope! Congrats sana...imenibamba😘
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
❤
❤wao
I never see it in Tz
🔥🔥🔥🔥
👏👏👏
Go girl the sky is the limit 💪
Hongera angellah
Oh. Congrats sister Angel for a such stronger and touching message carrying item. May the Lord continue blessing and lifting You with this vital talent you have!" See you at the top"🎉
❤❤
Amaizing 🔥🔥
✌️👊👍。
You are simply blessed ❤ loved the performance. Excellent
Nice job,fact is everyone was very attentive and listen to your presentation .Ilikua kazi ngumu but u delivered
Love you❤
Wooow I love Angel Magoti I love Tanzania
This was very big Madame am proud of you
Nimesisimka kwa kweli, it was so great.
👏👏👏👏
Waooo ❤ this is beautiful
Beautiful work.
Wow!! Nzuri sana!
Great my my mentor❤❤❤
This Is Beautiful ❤
It’s an honor.
Awesome performance mrembo ❤❤❤❤❤
Beautiful amd annointed
Thank you mdogo wangu ulituheshimisha
Thank you so much Opportunity Mh. To God be the Glory
Waooo
What a voice🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌❤
Hongera sana Angel
Hongera sana Dada Uende mbali zaidi...!
Waaaoooh waaaaaaooooooo❤❤❤❤❤❤❤❤
That was fantastic 😍
Amazing....!!!! Waooh!.
Hongera sana sana dadaetu. 🎊 🎉
I love the curtsies on the Presidents ❤❤
Hongera sana mwangu.
Nimejikuta machozi yanalengalenga.
Hongera sana.
Wow this is wonderful ....
Big up, Angel.
Glory to God
Tyar wimbo wnagu pendwa kipind Niko Kwa sector yangu muhimu 💕 agriculture
EAC Anthem ❤❤
God sent
I love this lady Kwa kweli 😍
Nakupendaaa dada Angel Mungu akutunzeee sannaaaaa ♥️
This lady is vocalists ❤❤
🎉🎉🎉🎉
Always inspiring me ...saiti bora❤❤❤❤❤
Angel upo level zingine kabisa
This is Nice.👏🏼