Mt. Kizito Makuburi - Nusu kwa nusu (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 9. 07. 2020
- All our voices to our Lord God the creator of the universe.We will not stop,THE GLORY AND GREATNESS IS WITH HIM forever and ever,Amen.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital - Hudba
Haitotoakea makiburi mnatuwakilishi vema kanisa katoliki chini ya mwanga kwa mwanga Mungu kweli kwa Mungu kweli heko kwenu nawaombea mdumu ktk kumtangaza Mungu kristo na mama maria chini ya roho mtakatifu
Henedeni ulimwenguni kote mkayahubiliee mataifa yote ukuu wa mungu. Niko pamoja naye watumishii wa mungu ❤❤❤
Mnaimba vizur mungu awape furaha katika uimbaji wenu namuona boniphace na phabiani wakiwa kwenye furaha mungu awajalie
Very nice song, hongera kwenu Mtakatifu Kizito, Baba wa mbinguni awajalie nguvu ya kumwimbia daima na milele
Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume
Utulivu @100/100
Tabasami@100
Sauti@100 Napenda sana nyimbo zenu Mungu awabariki sana na mtunzi wa hizi nyimbo.
Nyimbo nzuri,ujumbemzuri,nafarijika Sana ninavoskiliza nyimbozenu, mwenyemunguawariki utumemwema.
Song blessed me every day continue like that GOD blese
Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina
Jamani mungu awabarki Sana ira napenda mniunge katka gooup lenu ra nota
Sauti nzuri Mungu ametupatia tuzidi kumrudishia shukrani Amina
Yeye hata iweje habadilikiiwe mchana au usiku yeye ni yule yule, bravo sana wanakwaya
Mtiririko mzuri sana wapendeza,pongezi
Mungu alivyo hivyo ndovyo alivyo..habadiriki..congratulations for the blessed song with strong message
Mumebarikiwa vitamu sana.natamani kujiunga nanyi.
Ahsante sana kwa kuimba wimbo nzuri sana
Mungu kweli habadliki!!! Nawaskiza na kubarikiwa nikiwa kenya.. Nawapenda sana
Number 1 catholic choir in East and Central Africa. 🔥🔥🔥🔥
Hongera
Hongera sana
makuburi
ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA
Hii nyimbo nzuri sana❤❤
Nyimbo zenu ni nzuri sana Mungu awalinde na baraka awamiminie
Iyo mimina beat❤❤
Kweli mwanadam ninusu kwa nusu
Lakini Mwanadamu Mimi.... Mwanadamu Nusu kwa Nusu 🎶🎶🎶
This is my No 1 favourite choir 🔥🔥. This is so amazing I love the guy blowing that 🎺🎺🔥🔥. Very professional. Be blessed 🙏🙏🙏🇫🇮🇫🇮
Nabarikiwa sana na wimbo huu
Mnatufanya tujivunie ukatoriki wetu❤
Nabarikiwa sana na wimbo huu, Hongereni sanaaa wapendwa kwa kuinjilisha vema
I can't go a day without playing with song...very nyc
Since January I have been playing this song. It's my best 👌. May God bless Bernard and the team. Much love from Nairobi since we last met when you perform at basilica
Mimina kabisa, Nusu kwa Nusu? Asanteni Sana Barikiwa Nyote.
Shikamo, kweli nyie ni simba wa yuda hongereni sana mnanipa raha
Kweli mwanadamu ni nusu kwa nusu
Nabarikiwaa nahuu wimboo🥰🥰
Kabisa !!
🎼🎹🥁🎺🎷🎵🎶 HAKIKA MUNGU NI YULE YULE.D.F.Nkoko Mungu akubariki,KMK Mungu awabariki saana
Nimependa sana nyimbo zenu.
Nyimbo zenu ninzuri Sana tunazipenda Sana Sana
Nabarkiwa sana na nyimbo za Kizito Makuburi.
Hahahahahah Oyooooo,,niyule yule hahahah naipenda hii nyimbo jamaniiiiiii,,,mbalikiwe sanaaaa
Makuburu choir,,you r a blessing to my life..
Ur songs keeps me hoping the best
in life...
May our Mama Maria mother of
Jesus bless u all for ur good voice....
Yes He is a constant.Mungu ni yule,ndivyo alivyo.
My favorite 👍
Very touching and inspiring song..it reminds me of my Seminary Life in st.mary's Seminary Nadiket MOROTO..may God's blessings and peace of mind be upon you all.... Seminarian Denis Loduko sixtus Wijnand Apalokwang....
Really touching song,May God bless the concern pple.
Hizo ndo tabia zake.
And that is why I will die a Catholic. No other better way of singing to the Lord.
Mnaimba vizuri
Alleluyah Amen 🙏
SHIKAMOO Makuburi choir. You always uplifting my soul, PRAISE BE TO OUR LORD JESUS CHRIST....
LOVE FROM ZIMBABWE
You have the best GOD Fearing President in Tanzania you are blessed.
Wimbo mzuri sana kwa wapenda nyimbo
Can't understand yo language but yo songs makes me feel blessed
It says God is the same yesterday, today n forever. He doesn't change
please someone share with me this piece from st. kizito choir i want to teach with our choir in Northern Uganda. wonderful piece.
Mubalikiwe.watumishi.was.mungu
#Makuburi is fireeee
This choir is more favorable , be blessed more!
Na kweli mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu.
Hongera Makuburi! 😍
OGod strengthen all catholic choir,
Smart sana
Mziki msafi sana...utulivu mia kwa mis
Nabarikiwa sana na Roman Catholic
Mwenyezi mungu awazidishie muendelee kumtumkia kwa njia ya kuimba nawapenda sana
Nawakubali Kwa sanaaa mungu awalinde ni Mimi Natalia kutoka nairob kenya.
Wonderful keep praising the Lord Jesus Christ AMEN
I love your songs.God bless you
Iwish iwas there ilove you're songs
Nawapenda sana
Waoh am blessed through your song
May you be blessed and keep blessing us through your beautiful voices
Wonderful. Its soo lovely ❤❤
Nawapenda sanaaa .. 💜
I just love this😍😍😍,I play it severally,what a wonderful choir🤩🤩
So wonderful and organised. Be blessed.
Be Blessed all
Kazi zuri sana
I can't go a day without listening this song
Émotionnel🙏
wimbo mzuri sana lakin naomba mniunge kweny grup la nota naombaaa canaa
💃💃💃 Good Music ❤️
Hakika mko vzr
This song is so amazing I love it ❤️❤️❤️
Lovely
I get blessed when l listen to your songs
Napenda sana Roman Catholic song
"em voices♥️♥️♥️
We love in 🇰🇪 be blessed
Mungu wetu ni yuleyule🔥🔥🔥
Nc❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
You are a blessing to me.God bless you
Mkovizuri
Mungu awabariki sana
Amazing
Amazing 🤝🏻🤝🏻🤝🏻🤝🏻
Wow, so wonderful 👍👍👍
Well-done
I love it
Very well sang, and well arranged songs. Great Choir indeed!
🙏🙏🙏🙏🙏
❤️❤️❤️❤️
Eagerly waiting .......!!!
God forgives