ANAPOISHI SUZIBALE /MIMI SIFAKE MAISHA KUNA KUFA/MUDA NA WAKATI WOWOTE NJOONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" CZcams channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Komentáře • 223

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma Před měsícem +2

    Tunataka kuona nyumbani kwa best nasso mana nae ni mkongwe ambaye hajulikani kwake

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 Před 4 měsíci +18

    Kaka manager hongera kwa kumsupport Suzy Mungu Atakulipa nakushauri canceling angalau kwa week mara moja. Na km atakuwa anakukosea mvumilie tu jamani. Na hongera since una msimamia naye amegaa(KAPENDEZA) Mashalah Jamani Ana kipaji natural

  • @zeyounhabibty8587
    @zeyounhabibty8587 Před 4 měsíci +11

    Kwanini isiwe kwake unamtembezaje kwa watu jamaniiii mazoea gani yaliopitiliza kwa watu 😢

  • @clararight
    @clararight Před 4 měsíci +12

    Ila hii interview ingenoga sana ingekua uswahilini😊

  • @sakinakhatibu1820
    @sakinakhatibu1820 Před 4 měsíci +26

    Swaleh kupandisha miguu kwenye masofa ya watu tabia mbaya

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 4 měsíci +7

    Suzy bale kwann utuoneshe kwa meneja badala ya kwako? We huogopi 😂😂😂😂

  • @user-rk6sp6ks5e
    @user-rk6sp6ks5e Před 4 měsíci +10

    Kumbe suzi upande mpogolo ndomana huna baya mpogolo mwenzangu😂❤wapolo atupendi kujikweza,,tunapenda kuishi ktk huasilia,,niwaSema kweli,

  • @Malangalusaede
    @Malangalusaede Před měsícem +1

    Love you so much camaraderie tv

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před 4 měsíci +11

    Hapa unavoona hii ipo kama HAITEBO na hii ni TIVII😅😅😅 kwa tusiojua TIVII tumejulishwa😂😂

  • @MarrySwai
    @MarrySwai Před 4 měsíci +3

    Ila watu hamjaangalia at maongez yao mnajimaliza mbon kaongea yote kuhusu apo sio kwak nasio kwao kwamenej wake pia ata kwak iposiku atapaonyesh

    • @rozeyousef9823
      @rozeyousef9823 Před 4 měsíci

      Kwani nini kina kufanya usiamini jaman mjini mipango

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Před 4 měsíci +1

    Masha Allah tabaraq Allah nyumba pambe

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před 4 měsíci +18

    Nampenda sana anapambania maisha yake mungu ampe insha'Allah

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před 4 měsíci +7

    Hii nyumba kwa mama kamamaa😂😂

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 Před 4 měsíci +5

    Meneja kataka kujulikana na yeye 😂😂😂😂😂 katumia fursa

  • @salmatuleteesehem71jmnmahm59
    @salmatuleteesehem71jmnmahm59 Před 4 měsíci +5

    Hainogi kabisa kumtembeza mtu nyumba ambayo sio yako yani hp nilipo naona aibu mimi😅

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 4 měsíci +5

    Zamaradi sauti yenu mbaya sijui kwanini hamrekebishi muda mrefu wadau wanalalamika

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Před 4 měsíci +9

    Suzy apo alipoimba nyimbo ya sabaha mm ndohoii man Katia na vinanda na kucheza juu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chany9950
    @chany9950 Před 4 měsíci +4

    Nampenda sana suzii

  • @momobakari9680
    @momobakari9680 Před 4 měsíci +6

    Hapo si kwa mamake kamamaa

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy Před 4 měsíci +2

    Nampenda Huyu dada jamanii

  • @azizirania63
    @azizirania63 Před 4 měsíci +2

    Mashallah nyumba nzuri🎉

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp Před 4 měsíci +6

    Ila suzzy😂 una baya udugu

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 Před 4 měsíci +2

    Familia frendi

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Před 4 měsíci +2

    ❤❤ nampenda akichachambana na mau zinde

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 4 měsíci +6

    21:50 hivi vitabu ukijiskia unafungua unasoma 🤣kwandishi: kwani vinafunguka😆

  • @rehemalusindengawa5186
    @rehemalusindengawa5186 Před 4 měsíci +9

    Nimeskia kisauti wakati mnaingia suzy anasema ntatoka kiaina 😂inamana mmeingia nae

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před 4 měsíci

      kwelii sikusikia😂

    • @silvanfelicianmvungi271
      @silvanfelicianmvungi271 Před 4 měsíci +1

      rehemalusindengawa5186 siyo yeye ni huyo rehema alikuw anasema ngoja mie nitoke kiaina,Suzy ndo akamjb unatoka kiaina unaenda wapi

    • @Zainab-qg6xv
      @Zainab-qg6xv Před 4 měsíci

      😂😂

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 4 měsíci +6

    Suzy baleee mmoja tu😂😂😂😂

  • @rosemaryrwabibi5908
    @rosemaryrwabibi5908 Před 4 měsíci +1

    Mjini ukiwa na jina ulali njaaaa 😂😂😂😂😂 nampenda sana suz

  • @saudashani5981
    @saudashani5981 Před 3 měsíci +1

    Ingenoga kama ungekuwa kwako

  • @Juke995
    @Juke995 Před 4 měsíci +6

    Muachen suzy kashasema ukwel sio kwake mashaalaah😂na kasoma shule nzuri ni maisha tu ila kikubwa uhai...Zaidi suzy kama shoga wa kithailand 😂mtangazaji yeye ni msosi tu hajali hata sauti ni mbaya

  • @user-ux2pp6ox3f
    @user-ux2pp6ox3f Před 3 měsíci

    Nakupenda da Suzi❤

  • @usindemdamo5299
    @usindemdamo5299 Před 25 dny

    Love u suzy🎉🎉❤

  • @witneywilly
    @witneywilly Před 4 měsíci +3

    Hii nyumba maarufu sana tiktok

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 4 měsíci +1

    Duuu😮

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Před 4 měsíci +1

    Suzy and Rehema, wow, very good act👏👏❤❤❤

  • @beatricesway5782
    @beatricesway5782 Před 3 měsíci

    Suzy ni kama yule demu wa Facebook wa kenya ❤😂😂😂😂

  • @user-zv2ng6ov2k
    @user-zv2ng6ov2k Před 4 měsíci +2

    soon utapata mujengowako nawewe pia mrembo

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 Před 4 měsíci +1

    🥰

  • @MariamSwaleh-fx7so
    @MariamSwaleh-fx7so Před 4 měsíci +6

    Green Bird iko Mwanga wewe acha kujikanyaga, Arusha ipi?

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Před 3 měsíci

      watu wengi wanasemaga Moshi ni Arusha halafu kilimanjaro ndo kilimanjaro, yaani wanajichanganyaga

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera2367 Před 4 měsíci +3

    We Sasa unakosea

  • @user-qo8vn8vt4u
    @user-qo8vn8vt4u Před 3 měsíci

    Ndy ivyo Sasa lazima wale sahan moja

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Před 4 měsíci +1

    Kachambwa na Mauzinde njooni kwangu muone ubuyu

  • @ZulfaMussa-k6u
    @ZulfaMussa-k6u Před 4 měsíci +2

    😮😮

  • @ogdosho93
    @ogdosho93 Před 4 měsíci +10

    Sasa mnatembezana ndani umo nyumba haimuhusu inakuaje

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 4 měsíci +5

      Ina maana karuhusiwa ulitakaje nyumba yako mwenye nyumba kamruhusu nawe tuliza mshono

  • @liliandavid2553
    @liliandavid2553 Před 4 měsíci

    Mtangazaji unataka kutembezwa kndani kwa watuuu😮

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 4 měsíci

    Haaaaaa sabaha salumu,Sio Kwa kuluka mistari Iyo kuluka MNANIN NANYI VIUMBE MWAPITA MNILAUM

  • @user-zv2ng6ov2k
    @user-zv2ng6ov2k Před 4 měsíci +1

    😂😂😂 susszy anaumbuka eti ivivitabo ukitaka unasoma

  • @neemasamhenda4199
    @neemasamhenda4199 Před 3 měsíci

    Jmn😂😂😂😂kwa mama kamamaa kabisa hapo ety kwa suzy

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd Před 4 měsíci

    Mashaallah nyumba mzur sana ❤❤❤

  • @zubedamrutu3156
    @zubedamrutu3156 Před 4 měsíci

    Hili bembea ndio lime mdondosha dee wetu ingekua mm na likata

    • @user-tj5ti9fi8t
      @user-tj5ti9fi8t Před 4 měsíci +1

      Hapana jman d amepata ajali ya bembea shuleni sio hiyoo

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před 4 měsíci +2

    Suzi kibiko kuambiwa tu maneno yanakuja wenyewe

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Před 4 měsíci +1

    Suzy we huogopi😊😊

  • @jacklinechuga2569
    @jacklinechuga2569 Před 4 měsíci

    Ila we salee mnafki jmn ety ivyo vitabu vinafungukaa😅😅😅

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..junior Před 4 měsíci +1

    Mmh suzy kishuzi

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 Před 4 měsíci +1

    Wanajua kumpigia mtu promo

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Před 4 měsíci

    Huyu ni vibe la kwenda every taim😅😅😅

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 4 měsíci +1

    Suzy ana sifa km kwake vp😂😂😂

  • @nannakhamis5350
    @nannakhamis5350 Před 4 měsíci +1

    Ila dazii ndo kamtoa

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 Před 4 měsíci

    Suzy ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DeborahSamwel-on6kw
    @DeborahSamwel-on6kw Před 4 měsíci

    Apo kwenye vitabu nimecheka na showcase imekuwa higt table 😅😅😅

  • @LilianiMeena
    @LilianiMeena Před 4 měsíci

    Mmmh mwenynyumba kazi ipo

  • @balqeesabdillah679
    @balqeesabdillah679 Před 4 měsíci +8

    Hapo mbona kwa kina dee na kamama 😂😂

    • @jacklinegasper-vi2bw
      @jacklinegasper-vi2bw Před 4 měsíci

      Tatizo hamsikilizi vizr mbn amesema apo kabisa sio kwangu huwa nakuja ni kwa kaka angu na ni meneja wangu

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Před 4 měsíci

    Vp uyo kakake Suzy akona mke naulizia dadangu😂

  • @isaacmaomba
    @isaacmaomba Před 3 měsíci

    Weeh huogopi 😂😂😂

  • @ProsistaMrema
    @ProsistaMrema Před 4 měsíci

    MBONA KW DE KAM

  • @user-bd8ss6sp1e
    @user-bd8ss6sp1e Před 4 měsíci

    Ameishasema hapo kwa meneja wake

  • @ramlakidotty1443
    @ramlakidotty1443 Před 4 měsíci

    Eti taratibu tuu utazoea kufungua hilo friji😂😂😂😂🙌

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 4 měsíci

    Mie naogopa aiiii

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 4 měsíci

    Lailailaalha subhana u war
    Taalaah weee suszy weweee😂😂😂

  • @rabylicious7178
    @rabylicious7178 Před 4 měsíci

    Ety Green bird nn 😂😂na iko wapi Suzi bhn umesahau Green bird ipo wilaya ya mwanga opposite Mwananchi Bank😊

  • @LatifaSeif-wh8fw
    @LatifaSeif-wh8fw Před 4 měsíci

    Hee apa ndo anaishi suzy bale

  • @salhaomar5382
    @salhaomar5382 Před 4 měsíci

    Nakupenda sn suzi

  • @cessianthony2644
    @cessianthony2644 Před 3 měsíci

    Ana cheo gani mjini Tz huyo suzy?

  • @HadijaAthani-zu4mu
    @HadijaAthani-zu4mu Před 4 měsíci

    😂😂😂 mi naogopa

  • @MysarahMohamed
    @MysarahMohamed Před 4 měsíci +10

    Hii nyumba mbona km kwa mama kamamaa jmn😂😂😂

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 Před 4 měsíci

      Ndio 😂😂😂😂

    • @bintimrope
      @bintimrope Před 4 měsíci

      Mbona nae suzy kaongea na huyo dada anamwambia ampigie simu mamaa kamamaa aje na samaki😂😂😂

  • @chimamilion
    @chimamilion Před 4 měsíci +1

    Embu nenden kwa pau na kajala

  • @vickylupemba6055
    @vickylupemba6055 Před 4 měsíci

    Sasa Wewe ndo ume fake maisha NUMBER 1 kwa kweli, ulianza kujigamba eti mimi sifake maisha 😢looooo jmn

    • @annafrancis7313
      @annafrancis7313 Před 3 měsíci +1

      Wewe hujamuelewa anasema amempigia simu bila kumpanga kuhusu kipindi. Hivyo amemuuliza alipo kamuelekeza sasa hawezi kuacha kurecord kipindi na wao wameshafika eneo la tukio na kipindi lazima kiruke

  • @juma3473
    @juma3473 Před 4 měsíci

    Nampenda da suzy

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 Před 4 měsíci

    Lakini inabidi kama meneja amtafutie cm yake na sehem yake ingekua poa

  • @isaacmaomba
    @isaacmaomba Před 3 měsíci

    Kwenye vitabu nimechekaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊

  • @alaidertolatine4750
    @alaidertolatine4750 Před 4 měsíci +1

    Uyu anafanya kaz apo

  • @DeborahSamwel-on6kw
    @DeborahSamwel-on6kw Před 4 měsíci +1

    Me nadhani ingekuwa kwake ingeleta ualisia zaidi 😊

  • @user-mg8ij6np8p
    @user-mg8ij6np8p Před 4 měsíci

    C kwakin kamamaa umu jmn

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Před 4 měsíci

    Huyo meneja hana makuu Mashaallah❤

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před 4 měsíci

    Kalanga 😮ni karanga,

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Před 4 měsíci +1

    Hamna

  • @GloriaMillinga
    @GloriaMillinga Před 4 měsíci

    Ukute anafanya kazi za ndani hapo

  • @finism09
    @finism09 Před 4 měsíci +1

    Atoke kiaina sii😂😂😂

  • @ibrahimkilete7132
    @ibrahimkilete7132 Před 4 měsíci

    HAPA TUMEPIGWA ZA KICHWA

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy Před 4 měsíci

    Ata Rehema ametulia

  • @amaniabdallah7445
    @amaniabdallah7445 Před 4 měsíci +1

    kipindi kizurii bt muwe mnafanya editing sasa daaaha

  • @liliandavid2553
    @liliandavid2553 Před 4 měsíci

    Hadi frijiniiiii khaaa sio poaa

  • @user-hh7df4mq1j
    @user-hh7df4mq1j Před 4 měsíci +2

    Dazlucas aliendaga wap au mmemkataa

  • @salmatuleteesehem71jmnmahm59

    Wasanii wengi wanafake life ndomaana neno msanii msanii maana yake mambo yake anafanya kisanii na si kweli

  • @ImmanuelSeuta-zi2gh
    @ImmanuelSeuta-zi2gh Před 4 měsíci

    Etii stop kad mbili 😂😂😂😂

  • @BerthaModest
    @BerthaModest Před 4 měsíci

    😂😂😂ila kutokujiamin ya nin kwa watu dah

  • @user-bt1vl8nu5n
    @user-bt1vl8nu5n Před 4 měsíci

    Sasa atakutembezaje nyumba siyo yake

  • @r9ayyansaid652
    @r9ayyansaid652 Před 4 měsíci +22

    Suzy tuonyeshe kwako unatuonyesha nyumba ya meneja😅😅

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp Před 4 měsíci +6

    Haha haha mtakuja kuumbuka kwenye nyumba za watu 😂

  • @LatifaSunga
    @LatifaSunga Před 3 měsíci

    Familia ya dekam iyo