Karibu kwenye channel yangu!!!! Asante kwa kutazama na kusikiliza. Mungu akubariki Sana na uzidi kubarikiwa unapomshirikisha mwingine baraka hizi. Naomba usiache ku subscribe, like na acha comment yako hapa itanitia moyo ________________________________________ Welcome to my channel !!!! Thank you for watching and listening to my music. God bless you so much as you share these blessings with others. Kindly subscribe, like and leave your comment here, will encourage me.
Yaan daa giveness nakuombea Mungu usipatwe natamaa hizi za kisasa ukaharibu kz yako daaa, ungejua vile nabarikiwa na songs zako, Mungu akuongoze siz❤❤❤
Karibu kwenye channel yangu!!!!
Asante kwa kutazama na kusikiliza.
Mungu akubariki Sana na uzidi kubarikiwa unapomshirikisha mwingine baraka hizi.
Naomba usiache ku subscribe, like na acha comment yako hapa itanitia moyo
________________________________________
Welcome to my channel !!!!
Thank you for watching and listening to my music.
God bless you so much as you share these blessings with others.
Kindly subscribe, like and leave your comment here, will encourage me.
💔🎹🎵🙏
❤❤🙏🙏🙏
Am blessed with your songs mum May our almighty God bless you 🙏
Hakika mimi nimali ya bwana
Tisha sana sisteriiii balikiwa
Sifa na utukufu kwa YESU,Hakika imekaa vizuri sana mtumishi,barikiwa sana
Amina Asante Sana mtumishi
Shetani lazima aipate💪🏻💪🏻…Keep going dear, am proud of you mzee wa kurikita mademon
Lazima akutwe na kitu kizito😅 tuta rikita sana
Jamani dada wimbo mzuri sana, barikiwa sana Mtumishi wa Jehovah,❤️❤️❤️❤️
Amina Asante Sana dear
Waaao uncle
Nyimbo imerulia.
Yafaa kwa safari za Uwanji.
Baraka nyingi kwako
Amina Anko, Asante sana.
Inafaa kabisaa hii Kwa safari za uwanji😅
Yaan daa giveness nakuombea Mungu usipatwe natamaa hizi za kisasa ukaharibu kz yako daaa, ungejua vile nabarikiwa na songs zako, Mungu akuongoze siz❤❤❤
Ubarikiwe sana Dada Giveness. Hakika sisi ni Mali ya Bwana🔥🔥🔥
Amina
GOD BLESS YOU yr a real blessing hongera sanna tenna akuyinuwe saidi na saidi juu
Amina Asante sana 🙏
Huu wimbo uko moto sana. Mungu akubariki sana
🙏🙌
The song has been ringing my head the whole night,, Glory to God 🙏🙏🙏 similikiwi na hii Dunia thank you King 👑 Jesus for your blood
Be blessed 🙌
Amen
Hakika mimi ni mali ya Bwana.
Nyimbo naipenda sana
Mimiieeee mimiiooo nimali ya BWANA💪💪💪💪
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🙏
Wow so amazing song.....May the Lord grant you blessings
Amen thank you 🙏
Wimbo wa kishujaa. Hongera sana dear
Asante sana dear
Nyimbo nzuri sana dada ake Hongera sana
Asante sana nashukuru 🙏
Umetisha sana sister G. Mungu azidi kukuimarisha sister .
Asante sana 🙏
Saf San boss kubwa
Thank you 🥰
Powerful song
Thank you so much 🙏
Naingia kanani yangu 👏👏👏
🙌🥰🥰
Barikiwa Sana Mtumishi wa Yesu 🙏
Amen, thank you
This is amazing, great content and indeed mimi ni mali ya Bwana !
Thank you so much 🙏🙏
Naingia kanani yangu 🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
Aiiiiiiii😅
Love u sanaaa Giveness.. may ALMIGHTY God increase your oil..
tunatiwa moyo sister Ubarkiwe sana
Amina sana, Asante
Hongera sana mtumishi mm pia ni mali ya Bwana😂😅haleujah ❤
Hallelujah 🙌
❤❤❤❤ naingia kanani yangu🎉
🙏🙏🤗
Kuna mtu hapa kaomba namba ya aliepiga vyombo mbona unajibu wenginetu yeye hapa jibu lake sioni????
Nyimbo nzuri sana.
Mungu akulinde sana.
Amina Asante sana 🙏
Great W.O.G Hongera Kwa KAZI njema MUNGU akubariki
Amina Asante dear
Finally....imeweza
💃💃💃💃💃 Thank you
Wow barikiwa my friend
Thank you so much
🎹🥁🎸 mama uko sawa vile umeanza mpaka ukaingia seben daah😳neema ikutosheleze utupe zaidi ya hiyo🔥🔥🔥🔥nimeipenda hii❤️❤️❤️
Amen Asante barikiwa sana
Barikiwa mtu wa mungu kazi njema
Amina Asante Sana
Huu wimbo moto
🙏🙏
Great work Giveness😇
Thank you so much
Hongera sana nyimbo nzurii barikiwa❤
Amen Asante sana
Hongera sanaa rafiki, MUNGU aendelee kukuinua
Asante Sana dear 🙏
Hiii ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thank you
Congole kwako dada ang!! Mungu azid kukuinua,usikate tamaa ,Kwa huu wimbo umetisha sana,mtu akikwambia uwez mwambie afanye Ake tuone!! Barikiwa sanah mtumishi
Congrats
Thank you 🥰
Kazi nzuri kabisa 👏👏👏👏
🙏🙏
nice song am blessed Ely from Kenya 🙏🙏
Thank you, be blessed 🙌
Mungu mwema sana mtumishi
Amina baba, Asante sana
Mambo ni moto 🔥 🔥
💥💥💥
Nimotooooo mimi ni mali ya Bwana twende like hapa✨✨✨✨✨
Thank you 🥰
Wimbo mzuri sana...Barikiwa
Amen Asante Sana
Hongera sana mtumishi wa Mungu
Asante Sana 🙏
Good song. BEC SINGERS congratulates you
🙏
Hongeraa mwaya umeweza❤
🙏
Nyimbo nzuriii mtumishi
Thank you so much
Zikowapi likes 10k mpeni maua yake huyu mdada kapafom vizur mnoooo
Ongela sanah dada angu!
Asante dear ❤
Wimbo mzuri lakini nyimbo zako nasikiaga bwana tu akuna yesu mali ama ni bwana mume wako😂😂😂
Waooooo kazi nzuri madam wangu... Mungu akubariki saana
Amina Asante Sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏🙏🙏
Iko safi sana hii mi natoka
Uko vizuri sana
Asante Sana
Hallelujah dadangu Mungu azidi kukuinua kwa utukufu wake
Amina Asante sana
Utukufu Kwa Mungu
Amen 🙏
Hongera sanaa
Asante sana mtumishi
LOVELY… Congratulations … ni motooo
More 💥💥💥💥💥
🙏🙏🙏
Blessings dear 🙏❤️❤️❤️❤️
🙏🙏
Good work, God bless you abundantly ❤❤❤
Very very nice and sirmat
Thank you so much
Waooooooooo From TEKU tunakutazama sister
Thank you, Be blessed 🙌🙌🙌🙌
Wish to visit you there
Hongera sana 💓😊
Asante sana
Keep going Giv
Amen thank you kaka
Aiii....love this siz
Thank you 🙏
So amazing na mungu akupe kibali kikubwa much love from Kenya
Thank you, be blessed 🙌
Bonge Moja La Ngoma💥💥
Asante sana 😊
Mungu azid kutumia dada, barikiwa
Naomba no ya aliepiga mziki na drams
+255766019680
Wimbo mzuri sana nimeupenda
Asante dear
nyimbo nzur
Asante sana
Mungu akubariki Mtumishi
Amina
Woow nimekupata from tiktok be blessed dear
Thank you dear
Me pia,imebidi nidownload song yake faster....
Aki ya Mungu huu wimbo umenibariki sanaaaa tena sanaaa kweli Mimi ni Mali ya Bwanaa Ubarikiwe kipenzi
Amina Asante Sana 🙏
More Grace
Hongera sana mtumishi
Asante sana 😊
Ubarikiwe sana dear
thank you dear 🙌
💥💥💥💥💥
🙏🙏🙏🙏
Hii imeenda 🔥🔥🔥🔥 nyimbo kali sana 🙌🙌
Imeenda hiii
Oooh waooh this song jamani ni🔥🔥🔥
🥰🙏
🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏
Amen🙏 🙏
🙌🙌
Waoo Kaz nzur dada
Asante Sana
Amen amen amen amen
🙏🙏🙏
Mimi nimali ya bwana like this song
Thank you ❤
Kwa kweli sisi n mali ya bwana🙏🙏
Amen 🙏
💥💥💥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏
4:32 ❤❤❤❤
🙌🥰
Yesu akusaidie kipenzi ufike mbali saaaaana
Amina Asante 🙏
Hii Imeenda ❤
Hiiii imeenda 💃💃💃💃
Bravo my dear
Thank you so much
Good job
Thanks
🙏
Kazi Nzuri Sana Ubarikiwe Momy
Amina Asante Sana
safari hii umeamua kutuchezesha 🔥🔥🔥
😅😅😅cheza tu
❤❤❤❤
Thank you
Barkiwa
❤
🥰
Tumeshinda sana
Kabisa Baba yangu wa nguvu