Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Habari karibu kuitazama filamu hii nzuri Sana ya tapeli wa mapenzi inayomzungumzia msichana aliejikuta anaempenda mwanaume ambae hakuwa chaguo je Nini hatima ya msichana huyo bonyeza maandishi ya blue kuitazama czcams.com/video/ufMyTlD8KyU/video.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimeipenda hii filamu nzuri sana kwani watalam wake ni walewale SANAU wasio hatisha kazi zako ni safi sana kila mara. Watching from mombasa- kenya # fake love.
👋and the other one I was talking to at the store 😒I miss you 😘I miss the Eagle stuff and mother 👩Iso ❤and mothers are you 😢for the Protector and the Eagle was
Kkkkkkkkk baba anakipato kwahiyo anataka mwanae kuolewaa na sonko🙄🙄🙄🙄🙄🙄ndomana lulu alikuwa akipepesapepesa macho kwanyumba ya charlies iliakifika kwao awenajibu muwafakaa🤣🤣🤣🤣🤣nyumba Zuri gari zuri sio mapenzi mapenzi nikupendana kutoka moyoni sio kumpenda mtu kwakuwa anakipato hapana siku hixi watu wanamiliki chakwake sio cha shere hii fake love kweli
😀😀😀hivi tabora bado kunawatu wanatoa elf 2000 ya soda usawa huuu😆😆😆😆😆😆 mnatdanganya nasisi tutake kupewa 2000 soda hahahahahahahah kazi nzuri niko nje ya nchi na enjoy
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Thet is your polemic there du you want to be in the hausa mapenzi mazuri you love him so much that is your beautiful life that no kweli iiiiiiiii thet is you love chase and you too girl that is your love
Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788
Tarehe 1 ,2021 ijumaa natizama sanau Ila nimechoka Niko Oman nawakubari sana
Nimeipenda Sana bro umeingiza km mwanaume Sio mchezo penzi Ni penzi tu lazima utafute ulie mpenda Kwa kila Kona
duh mboge la move sanau mupo juu ila pesa do kila kitu tuache maneno
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
Gooooooooood jp
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hongeren sana muvi nzur sana
Asante sana mrembo 😘❤️
Tunashukuru wanatabora mnatuinua jmn big up
Habari karibu kuitazama filamu hii nzuri Sana ya tapeli wa mapenzi inayomzungumzia msichana aliejikuta anaempenda mwanaume ambae hakuwa chaguo je Nini hatima ya msichana huyo bonyeza maandishi ya blue kuitazama czcams.com/video/ufMyTlD8KyU/video.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wow uhave done it keep it up napenda Sana movie zenu huaga nazifatilia kila mdaa
Watching from kenyaa
Nawapenda sana Tena sana tu
🙏🙏🙏🙏😘
Mama sindulaa umeongea point sio mtu kuulizaa Mali zamtuu uliza VIP family hongeraa mama
Jaman million kumi anaoa Malaika wa mbingun au, ukimpenda mtu usiangalie kipato angalia mapenz ya kwel ndio
Nyimbo mzuri jamani inaitwaje Ili niipate
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Duuuu lulu majibu yamakavuuu🤣🤣🤣🤣sihabaaa mm sikuambi alienipa nb kabisaa huko nikuchonganishanaa jamani
Nimeipenda hii filamu nzuri sana kwani watalam wake ni walewale SANAU wasio hatisha kazi zako ni safi sana kila mara. Watching from mombasa- kenya # fake love.
Asante Sana@zula chama tunakupenda Sana 🌹🌹🌹🥰🌹😘
Ingawa Kila mtu anasaizi yake lakini muda mwingine fanya penzi Kama siasa ili umunase , movie nzuri,penzi halichagui.
Hii kweli fake life tena ya adharani kabisaaaa,lkn nzuri na inavutia mahana wachezaji wake nawajua niwakali mno.#254 I'm watching.
napendezewa_sana_namovie_zenu_ongereni_kwakqzii_mnzuri_hamnaga_kqzi_mbovu
Ngoja kwanz nisheherekee harus 💃💃💃💃💃💃💃
Mhuu
You made it my brother!! Fake it till you Make it😂😂😂😂😂
Lulu nampenda anvoongea,pia Mzee kajogoo nampenda anaongea kwa msisitizo had raha jaman
Ok taarifa zmewafikia
@ester Elia sawaa taarifa zmefika
Hahahaaaaa
dingi anawaza Hela sana aiseeee hahahahahahahahahaha, kwakweli filamu hii ni nzuri sana
Ongereni sana movie kali sana tena sana mungu hawalide kweli
Duuuuih,hii kweli filamu nzuri sana,ukitaka kizuri mpaka ujanja utumike.
Kaz nzur sanaaaa
One step ahead 💪💪💪
Nimeipenda kwa kweli mapenzi ya dhati ndio kila kitu hongereni sana kwa movie nzuri
Your are the best mimi yaani ninapenda movies zenu mimi nawakubali 100%
That's true love isee
Nawapenda sana dada na kaka
🙏🙏🙏🙏🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@@sanauswahilimovies 🙏🙏🙏🙏🥰💞🥰💞☺️☺️☺️😔😔
Nice movie big up guys nawapenda sana
Wigi la duru jeupe 😂😂😂
👋and the other one I was talking to at the store 😒I miss you 😘I miss the Eagle stuff and mother 👩Iso ❤and mothers are you 😢for the Protector and the Eagle was
From the Protector Action 🎬and mother 👩in time ⏲️the Protector
What is the Eagle stuff like 👍and how 🤔can
Up to you to you to do you know what I want to say and how are u doing today to you guys 👦I
Kazi nzuri
Hahaaa asantee sana dogo
😊😊
Sasa wewe duru hayo mamekapu mengi ivyo Kama matope ni ya nn🙄🙄
Mdomo sasa anaonekana km katuni kumbe mtu,katuni zenyewe zipo nzuri
😀
Nice movie, watching from 254
Nzur
Asante sana 🏃
Aise kazi nzuli San hongeren🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹
Jamani sanau mwakampya na mambo mapya😍
Nawapenda wote muko vzur sana hongeren
Sanau tu nawapenda 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️❤️
Wako vzr
Jamani huu wimbo unaitwajwe naupenda sana
Naipnda sana hii chaneli
Nzuri sana
Ila matajiri mpunguze shobo 😢😢. Unathamini vipi kitu ambacho hakina uhai 😕😕.
Kweli nimoto
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies
Kenya tupo ndan.mishomoron.
Nawakubari sana watazamaji wetu wa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🌹🥰🌹
Kazi nzuri mmetisha saana that's love I like it🤝🤝🤝
Kkkkkkkkk baba anakipato kwahiyo anataka mwanae kuolewaa na sonko🙄🙄🙄🙄🙄🙄ndomana lulu alikuwa akipepesapepesa macho kwanyumba ya charlies iliakifika kwao awenajibu muwafakaa🤣🤣🤣🤣🤣nyumba Zuri gari zuri sio mapenzi mapenzi nikupendana kutoka moyoni sio kumpenda mtu kwakuwa anakipato hapana siku hixi watu wanamiliki chakwake sio cha shere hii fake love kweli
Ongereni sana 🇹🇿🇹🇿
Naombeni jina la hiyo nyimbo sanau nawakubali san
Nice movie from Oman❤️🙏🏼
Upo oman 🇴🇲 sehemu gani
Uwezi kuandika mbaka useme huko oman ovyo ukiulizwa huko wapi ujui chefu wewe AMINA said 😏
We sio dhaifu sie
Tabora oyeeeeee...nawapenda sana na nawakubali kwa movie zenu.ukweni kwangu mpo makini sana
Inshallah tuombeane heri nami nawatakia heri ya mwaka mpya na mora azidi kuwapa heri na afya njema ili mzidi kutuletea movie nzuri zenye mafunzo
Nimeipenda nyimbo ya kweny hi 🎬
😀😀😀hivi tabora bado kunawatu wanatoa elf 2000 ya soda usawa huuu😆😆😆😆😆😆 mnatdanganya nasisi tutake kupewa 2000 soda hahahahahahahah kazi nzuri niko nje ya nchi na enjoy
Nice movie SANAU mpo juu🥰🥰🥰
Milion kumi 🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🤦🏽♂️🤦🏽♂️kwani unauza mtoto wako makubwaaaa hata Charles amesakamwaaa namaji 😀😀😀
😅😅😁hatar
@@happypa2027 🤣🤣🤣
Safi sana
Hongera wausika haswa jasi kwa ujasiri pesa ni kila kitu lakini si kila kitu ni pesa 🙏🙏🙏
Asante sana fuatilia Sanau mambo mazur yanakuja zaid
Jaman wimbo huu unaitwaje
Duuu ulitumia akili kweli babamkwee Alitakaa mtu wamali ukatumia akili yakuzaliwaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpo juu siku zote, safi.
Ingekuwa move ikifanyikaa kweli inakuwaa kweli kweli lulu ungekuwa bibi fulan🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duru kaniangusha duu macaup over tope duu
Jamani watani zetu hawa
movies wanyamwez
Nyinyi hapo wanyamwezi
Duro nione km kituo cha polisi hahaha 😀😀🔥💯
Tabora oyyyeeeeeee❤️❤️❤️❤️
😜😜NYIMBO KAIMBA NANI
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Iko fit gostei muito d história
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Halafu hixo nyumbaa zamaana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 vibaya vibaya kuulizaa sio zambi mumliki halali ndohuyo huyo amaa zaku act🤣🤣mana yavutia hiyo ya Charles kwaza lulu kafika 🤣🤣🤣
Nice
Stori niliipenda sana ndio maisha ya vijana wengi nandio chanzo kikubwa chakuchelewa kufanikiwa kimaisha tunahangaikia vitu tusivyokuwa na uwezo navyo
Nyimbo nzur
Nzuri sana ina mafunzu kuhusu wazazi wapenda pesa
Bonge la movie 👌 hongereni
.asante
Good 💞💞💞💞💞
Nzuri sana inafundisha
Hapo kwa hiyo nyumba anaishi charz ni chem chem coco nut nimewahi kuishi hapo
Sinaga swali na Mr chaz
Wah wenzangu tozeka na maisha yako kiko na mwazo kiko na mwisho ona sasa tupa part two
Thet is your polemic there du you want to be in the hausa mapenzi mazuri you love him so much that is your beautiful life that no kweli iiiiiiiii thet is you love chase and you too girl that is your love
Nimeipenda movie sana sana sana.....kwanza jinsi ilivyo maliziwa iko juu tu sana npo+254
Much love kwako
@@chazydalastson4259 luv you more and thanks for the love
@@lilieneifu8912 thanx a lot lilie ur most welcome
Sanau mko moto
Nimeipeda lakini mue munaogea mnasika
mualiko mapiya
Hilo Wigi sasa
Wazazi Kama hao walaniwe
Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788
Duuh hayo mawigi mwee
Yani pesa hii balaa Sasa ilii Mali ya kuazima ndo mwisho woyee mtoto wa watu
wa hometown mnanipa raha sana ...
Nice movie jaman
Nzur sana
Muko wangap mbona amuonekani
Asante sana boss ubarikiwe sana
😢😢😢😢
Mmh wazee wa ssa hivi ni shida
Wanasababisha tusije olewa bule
Jaman hi song ipo youtube nitafute au nitajieni jina bac
Kazi nzuli wapendwa
Movie iko na mafunzo mema #penzilakweli
Part2
Movie hii inanigusa mimi kijana
Nice movie
Yani huyo dada lulu sijui duru nimwanamke muelewa ungekutana na maunga timbili lingeazia pale mlikuwa
Ilasikuingine Bora utumie njia ingine