MTOTO WA KUOKOTA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • MTOTO WA KUOKOTA...Filamu hii inazungumzia maisha ya Binti aliyakuwa anaishi maisha magumu nakushindwa kuvumilia ugumu wa maisha anajikuta anashawishiwa na rafiki yake kugombania mashindano ya umisi changa moto inakuja nibaada yaye kuwa anamtoto mdogo ili awe huru analazimika kwenda kumtupa mtoto wake jalalani kusudi awezekupata nafasi yakushiriki katika mashindano ya umiss baada ya kumtelekeza mtoto jalalani mtoto anaokotwa na muokota vyuma chakavu analelewa nakukua katika shida baada ya miaka mingi kupita mama anajikuta anaingia katika penzi zito la mwanae pasina kufahamu..Je nini hatima ya mtoto na mama watakapo kuja kuufahamu ukweli?

Komentáře • 338

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 Před 3 lety +56

    Kazi kubwa Sana hiii kama umeielewa movie hii gonga like twende sawa

  • @nancyomuse3955
    @nancyomuse3955 Před 3 lety +9

    Funzo kuu kwa wamama walio na tabia ya kulala na vijana wadogo. Pia,. Marafiki walio na mashauri mabaya tuwahepuke!.. Sinema nzuri sana 🤩❤️

  • @user-tu6yj6en5p
    @user-tu6yj6en5p Před 3 lety +9

    Bonge moja la movie sanau kwahakika mnaweza,

  • @hamisabilali8071
    @hamisabilali8071 Před 3 lety +10

    Mungu awatangulie sana awasimamie katika kaz zenu move kalii sana mnajitahid snaa ♥️♥️

  • @adidjasengadidjaseng4007
    @adidjasengadidjaseng4007 Před 3 lety +12

    Yaaan nikiona movie ymechezwa nasindura razim nijuw kama ninzuli tu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 Před 3 lety +5

    Kubwa kuliko yn munamafunzo mazuri kwl mungu hawazidishie kipaji chenu ln Shaa Allah

  • @celinehezron7133
    @celinehezron7133 Před 3 lety +6

    Hamjawahi kumkosea,mnajua kutendea haki movie zenu.Sanau ni 🔥

  • @katini783family2
    @katini783family2 Před 3 lety +5

    I have learnt a great lesson from the movie kusema kweli damu ni nzito ingawa ilivuka mipaka kwa mama na mwanawe

  • @adidjasengadidjaseng4007
    @adidjasengadidjaseng4007 Před 3 lety +7

    Nakupenda mpaka bs sindura hauja ah kuniangusha❤️❤️🇧🇮🇧🇮

  • @witnessthabit4013
    @witnessthabit4013 Před 3 lety +3

    Nawapenda sana .mnatupa mafunzo mazur na mengi ama kwel mwenye macho haambiwi tazama .

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 Před 2 lety +3

    Move hii ni nzuri Sana,Ila natoa ushauri kwamba Kuna huyo dada mwenye ulemavu wa ngozi naomba msiwe mnamuweka kucheza scene za kuwa mpotoshaji na kushauri ukatili Kama alivyofanya kumbukeni kipindi Cha nyuma jinsi albino walivyoteseka kikatili Sasa kumuweka naye kuwa mkatili haipendezi

  • @neemahenery5291
    @neemahenery5291 Před 3 lety +5

    Yani mmekuwa tofauti Sana huwezi amini movie zenu huwa nafatilia ingawa Mimi sio mpenzi wa movie za bongo

  • @nilawabwile8083
    @nilawabwile8083 Před 3 lety +5

    Movie nzuri Sana ina mafunzo, sinduraa utaambia aje jilala wewe ni mamake, woiiii jilala umeenda na mamako bila kujuwa.

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 Před 3 lety +5

    Sanau movie zunu zna mafunzo sana, haya ndio maisha halisi mumeigiza ki uhalisia sana hongereni wahusika

  • @katini783family2
    @katini783family2 Před 3 lety +11

    Ooh my God I watched this movie with alot of courage and I didn't knew it will give me some sorrow at the end and made me😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @halimaiddy8691
    @halimaiddy8691 Před rokem +1

    Hongereni kwa kazi nzuri 🔥🔥💯💖💖❤️❤️

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 3 lety +5

    Maa Shaa Allah, Bonge La Movie Yenye Funzo Kali,Mama Yangu 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ Mama Na Mwana, Atu Weweeeeee.Hongereni Sana.

  • @neemahenery5291
    @neemahenery5291 Před 3 lety +7

    Nawapenda sana ❤️🇹🇿 hongereni ndugu

  • @halima7255
    @halima7255 Před 3 lety +2

    Ongereni sana kwakazi yenu zuri sana mubarikiwe wote pole sana jala imenitoa chozi kwakweli❤️

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 Před 2 lety +2

    Sababu munajua kutufunza sana;; yani hawa waigizaji wote wa sababu wa more talented hadi huwezi sema ni yuko best; hongereni sana, keep it up❤❤🙏🙏

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788

  • @lovenanalove1282
    @lovenanalove1282 Před 3 lety +2

    Kazi nzuri saaaanaa hongera sana sanau na washiriki wote

  • @rirumasoft113
    @rirumasoft113 Před 2 lety +2

    Dunia ni mzunguko kulala na mwanao yaani anaingia aliko toka isitoshe your son unamsifu ety amefanya kazi nzuri watanzania mnaweza. Pia mimi ni actress from Kenya connection na huyu ndugu yangu tusaidiane

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 3 lety +4

    Dada albino mzur msaf mwenyew lkn umesamin Maisha kuliko mtoto
    🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ Big up washirik wote mpo vzr

  • @lindaziti7545
    @lindaziti7545 Před 3 lety +2

    Jamani jalala nahuyu mama wanajuwa igiza sana wanaweza kwakweli nawapenda sana😍😍😍😍😍❤

  • @phabianbwmbo9035
    @phabianbwmbo9035 Před 3 lety +2

    Nomaaaaa hatari sana iii movie imebeba uhalisia mnoo

  • @mankessy_tz2627
    @mankessy_tz2627 Před 3 lety +2

    Hii chuma ya kwenda ebana asante sana shmydar..uko sawa mkuu

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 Před 3 lety +4

    Nawapongeza Wasanii wote wa Star Arts Group Pamoja na Crew nzima kwa kazi nzuri na bora

  • @lindaziti7545
    @lindaziti7545 Před 3 lety +4

    Nimekuwa nimeisubiri sana masha allah😍

  • @harunaabrahaman1679
    @harunaabrahaman1679 Před rokem +1

    Bado sijaimaliza lakini movie kaliiiiiiii👊👊👊👊

  • @hamisabilali8071
    @hamisabilali8071 Před 3 lety +3

    Move kalii Sana sema kwl

  • @Sufoissaissa-tp7wl
    @Sufoissaissa-tp7wl Před rokem +2

    nikweli hii filamu ni mzuri sana

  • @emmyjessuorene6565
    @emmyjessuorene6565 Před 3 lety +3

    Movie nzur sana hongera 😘

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety +1

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hamisabilali8071
    @hamisabilali8071 Před 3 lety +2

    Ni move kal star mko vizur sana hongeren sana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 3 lety +2

    Sanau hamjawahi kuwa na kazi mbovu' hongereni sana

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Hahahahaha😀😀jalala Jiachie yani umefika nausiintee mama heiwaaaaa💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾hapo utakulaa utalala baba pia atakuwa poa naatashibaa don't collect zibala😛😛😛😛😛

  • @pilipilmagreattinah4991
    @pilipilmagreattinah4991 Před 3 lety +2

    Waaaah hii ni Kali Sana napenda sana nyinyi nyote

  • @esperancechibalonza2489
    @esperancechibalonza2489 Před 2 lety +1

    Hongereni ni igizo nzuri. Asante

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @merrymeenah8539
    @merrymeenah8539 Před 2 lety +2

    Toka nimeanz kufatilia Akina sanau 😋 naona hao wanawake hawabadilishii shedo zao rangi iyo iyo kila move 😂😂🙄 Ila hongelen Sana Kwa kaz zenu💕

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nuruheartaman3466
    @nuruheartaman3466 Před 3 lety +2

    Waooo movie nzur Sana❤❤❤

  • @umwanziwawentarikureseries5842

    Napenda sana film hii mungu awabaliki kwamafuzi

  • @alshakizmwongesh8624
    @alshakizmwongesh8624 Před 3 lety +2

    Mama kalala na mwanae, waaah, hatakama damu n nzito kuliko maji Kwan akuwa na sign uyu mwanamke

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa6683 Před 3 lety +1

    Nzuri sana nimeipenda iko na mafunzo mazuri

  • @johnsonpeter2122
    @johnsonpeter2122 Před 3 lety +2

    Kwakweri mpo vzr mnoo😘😘

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +4

    Semaa kimeumanaa🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️sinduraa kafumania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kimyaa kimya hajaongea kibenten utajua hujui🙄🙄🙄🙄

  • @joelmakinga4220
    @joelmakinga4220 Před 3 lety +1

    Mmetisha sana bonge la movie

  • @abuyadominic2660
    @abuyadominic2660 Před 2 lety +2

    Wow ! Too good

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 Před 3 lety +2

    Jaman SANAU vp tumalizien viporo vyetu MASUMBUKO NA MOYO HUBEBA MENGI

  • @veronicaandrew2186
    @veronicaandrew2186 Před 3 lety +1

    Nzuri sana hongereni mlioigiza inafundisho kweli

  • @junkaomar6304
    @junkaomar6304 Před 3 lety +2

    mungu atupe imani maishani inshaAllah napenda sana

  • @pendopascal1899
    @pendopascal1899 Před 2 lety +1

    Napenda sana filamu zako Kaka naomba niwe nanyi

  • @anita2965
    @anita2965 Před 3 lety +2

    Kwakwel movie nzuri sana nimeipenda sana

  • @habibah118
    @habibah118 Před 2 lety +2

    Vizuri sna ❤️😘

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elizabethjohn9313
    @elizabethjohn9313 Před 3 lety +1

    Sindura mrembo jmniii Kwa upande wangu nakukubali sanah

  • @sundaymsongera3689
    @sundaymsongera3689 Před 3 lety +2

    Hakuna Kutia Huruma 🙌🙌

  • @johnsonpeter2122
    @johnsonpeter2122 Před 3 lety +1

    Ongera sana star mpo juu saana

  • @naliimo622
    @naliimo622 Před 3 lety +2

    Nzuri inafundisha😥😍😍

  • @omarjuma2988
    @omarjuma2988 Před 3 lety +1

    Kaz nzur san allah awabalikii zaid asante wot washirikii nawapenda san

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih1164 Před 2 lety +1

    Nashukuru xan kw movie hii nimepata mafunzo mengi xan ak asanteni xn washiriki wote Mungu azid kuwapa na kutufunza walimwengu

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788

  • @happtpeter9289
    @happtpeter9289 Před 3 lety +2

    Nimelia sana mtoto kutupwa jalalani

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Habari Karibu kuitazama filamu hii nzuri Sana ya nilisemaje inayohusu msichana alierubuniwa na rafiki wa mume wake na kuisaliti ndoa take bonyeza maandishi ya blue kuitazama czcams.com/video/_9sQs0M1ZM4/video.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @briannambalu6095
    @briannambalu6095 Před 2 lety

    Filamu safi kabisa, hongera sana,

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jojonostress9068
    @jojonostress9068 Před 3 lety +2

    Sindura na huyo kijana nawapenda Sana wanacheza movie vizuli

  • @ommyskillz1793
    @ommyskillz1793 Před 2 lety +2

    Nzuri Sanaa💕💕

  • @suadabdulla5229
    @suadabdulla5229 Před 3 lety +1

    Nzuri sana movie Hadi inatoa machozi ,nawapenda sana

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 Před 3 lety +2

    Kutoka Tabora Tanzania nawalika wadau wote kushirki kutazama KAZI hii inamengi ya kujifunza na matukio kama haya yapo katika jamii yetu

  • @phabianbwmbo9035
    @phabianbwmbo9035 Před 3 lety +1

    Jaman wadau kalibun sana kuagalia kazi zetu ndo hizo nikali sana usipitwe poi

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Duuu wewe wakulia 😭tuu😭😭😭😭😭😭😭😭mm pia nimelia namwanao yauma haya ndosuluhisho hilo kweli lakujiua 🤦🏻‍♂️🤦🏻‍♂️🤦🏻‍♂️🤦🏻‍♂️🤦🏻‍♂️🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️duuu mama kapatikana kaamua kujiua haya baba ndonani sasa jamani

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Hiyo dress sinduraa nimeipenda blue😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Před 2 lety +1

    Hii movie n nzuri Sana nimeipenda Sana Iko n funzo

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante sana hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana Kama sehemu ya Asante kwenu watazamaji wetu kwa kutuwezesha kupata tuzo hii unaweza kutoa maoni yako moja kwa moja kupitia namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 Před 3 lety +1

    Waaah kali xana

  • @vitreenandeth3457
    @vitreenandeth3457 Před 3 lety +1

    Daah maisha kweli hongera kwa wausika wote

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +3

    Watu wazima washatumikaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wadogo wamotoo makubwaaa rusha nanga sinduraaa mtumzimaa dawa uzee dhahabu

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 Před 3 lety +4

    Jalala nakupendaje 🥰🥰

  • @user-tu6yj6en5p
    @user-tu6yj6en5p Před 3 lety +2

    😭😭😭😭😭😭😭Yani mna towa elim yakutosha sasa ona mama na mntoto wamekuwa wapenzi duuuuuuuuh ina uma saana😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-gz2zm9ro1h
    @user-gz2zm9ro1h Před 3 lety

    Mpo vizur sana sanau mov zenu huwa zinamafunzo san

  • @imanipatric35
    @imanipatric35 Před 3 lety +1

    Hahaha 😄 macho yamemutoka kama kishikizo cha koti

  • @stephensimkanga7412
    @stephensimkanga7412 Před rokem

    kazi nzr kwakuelimisha jamii

  • @nurusaidi3481
    @nurusaidi3481 Před 3 lety +1

    Mko vizur sn mungu awabarik juu ya kazi yenu nzuri sn

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      .masikini filamu hii ya mama wa kambo inayozungumzia maisha ya kweli ya watoto waliopitia maisha magumu kutoka.kwa mama yao wa kambo bonyeza maandishi ya blue hapa kuitazama czcams.com/video/rZPm_6Vrs2U/video.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 Před rokem +1

    Tamu sana

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +2

    Pigwaa chini sijui kama kaachwaa salama 😢😢😢

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rukiajumaa574
    @rukiajumaa574 Před 3 lety +14

    I wish one day i wanna play my first movie with SANAU

  • @EricBanda-jg6ju
    @EricBanda-jg6ju Před rokem +1

    Nimeipenda hio

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 Před 3 lety +2

    Hakika sijawahi jutia kuitazama filamu hii imejaa mafunzo ya hali ya juu

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DULLAHMASTER
    @DULLAHMASTER Před 3 lety +1

    daaaaah balaaa yani hapa nimeangalia intro tu ngoja nitulie

  • @zawadisaidi
    @zawadisaidi Před rokem +1

    Nazipenda mv zenu

  • @msumenozedon8276
    @msumenozedon8276 Před 3 lety

    Daaaaaaaa nomaaaaaa oyooooooooo movoe nomaaaa

  • @msumenozedon8276
    @msumenozedon8276 Před 3 lety +1

    Huyo jalala ni nomaa jamaa amevaa uhalisia mnoo

  • @edubonge4632
    @edubonge4632 Před 3 lety +1

    Nimependa sana hii mouve

  • @peterxhizo1485
    @peterxhizo1485 Před 3 lety

    Nzuri sana nawapongeza

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      .masikini filamu hii ya mama wa kambo inayozungumzia maisha ya kweli ya watoto waliopitia maisha magumu kutoka.kwa mama yao wa kambo bonyeza maandishi ya blue hapa kuitazama czcams.com/video/rZPm_6Vrs2U/video.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @joharikefa5788
    @joharikefa5788 Před 3 lety +2

    NC ONE 😘

  • @anethwilliam1526
    @anethwilliam1526 Před 3 lety +1

    Nzuri sana inafundisha asante

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +2

    Natamani siku moja nione hiyo shooting mana huko kuangushana kwa taka

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 Před 3 lety

    Hakika hiii nimoja ya filam nzuri za kusisimu hakika mwaka umeza vyema

  • @stellaujengo5838
    @stellaujengo5838 Před 3 lety +2

    Kutupa mtoto yahitaji moyo ,dah wanawake tujitahidi kuwapambania watoto zetu

  • @mwanaidiamanzi7187
    @mwanaidiamanzi7187 Před 3 lety

    Yani nikitaka kuangalia filamu za kibongo Basi naenda sanau mko juuuuuu thaana💪💪

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bintmwinyikai8074
    @bintmwinyikai8074 Před 3 lety +1

    Nakubali san kwa kaz nzur

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @johnsonpeter2122
    @johnsonpeter2122 Před 3 lety

    Daah iko vzr sana hii move

  • @jastuspata9840
    @jastuspata9840 Před 3 lety +1

    Sanau mko juu

  • @aminamambi6816
    @aminamambi6816 Před 3 lety +1

    Hongereni

  • @phabianbwmbo9035
    @phabianbwmbo9035 Před 3 lety

    Star MPP juu sana nakubali

  • @alexmussa1410
    @alexmussa1410 Před 3 lety +2

    Mtoto kazaliwa anajua kusoma ndugyzangun