MWAMBA AFICHUA SABABU ZA SIMBA KUMUACHA CHAMA/ KAENDA YANGA KULIPA FADHIRA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036
  • Sport

Komentáře • 11

  • @AdnaneisufomomadeMomade

    Brother huko sawa . Nawapongeza sana viongozi wa simba

  • @mirambopius1012
    @mirambopius1012 Před 3 dny +1

    Simba nguvu moja❤

  • @kakakodokodo7477
    @kakakodokodo7477 Před 3 dny +3

    Na wewe bezenger ambae ulikua unataka chama kujiunga huko yanga hivyo simba ni kubwa kuliko chama na ndio sababu ya kuachwa kwake .sasa hivi kimya kimya endeleeni kusikia tetesi ila siku ya simba day ndio mtajua kama mwenye simba karudi na yupo ado ado

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 3 dny

    Chama mwiba mkubwa sana Tena wamchongoma aende

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Před 3 dny +1

    SIMBA KUBWA SANA KULIKO CHAMA,,

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 Před 3 dny

      Ndo binadamu tulivyo, Chama amewabeba leo mnaongea ovyo. Duuh wapumbavu sana.

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 Před 3 dny

    Siku Watakapomuona uwanjani anacheza ndio watayajua maumivu halisi.

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe Před 3 dny

    Yanga ndy anafunga paswedi nyinyi mnaiga

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před 3 dny

    Simba wanafiki ni jana tu walikuwa wanasema Chama hawezi kwenda Yanga. Acheni unafiki wenu

  • @deogratiouswipson8448

    Unajua mashabiki mnatakiwa muelewe simba wanaumia chama kwenda yanga co kuondoka mbona aliondoka akaenda RsBarken lakn hawakuumia kwahyo kuumia kwa mashabiki wa Simba n chama kwenda yanga sio chama kuondoka

  • @AshuraChamwana
    @AshuraChamwana Před 3 dny

    Kwelikabisa