Na wewe bezenger ambae ulikua unataka chama kujiunga huko yanga hivyo simba ni kubwa kuliko chama na ndio sababu ya kuachwa kwake .sasa hivi kimya kimya endeleeni kusikia tetesi ila siku ya simba day ndio mtajua kama mwenye simba karudi na yupo ado ado
Unajua mashabiki mnatakiwa muelewe simba wanaumia chama kwenda yanga co kuondoka mbona aliondoka akaenda RsBarken lakn hawakuumia kwahyo kuumia kwa mashabiki wa Simba n chama kwenda yanga sio chama kuondoka
Brother huko sawa . Nawapongeza sana viongozi wa simba
Simba nguvu moja❤
Na wewe bezenger ambae ulikua unataka chama kujiunga huko yanga hivyo simba ni kubwa kuliko chama na ndio sababu ya kuachwa kwake .sasa hivi kimya kimya endeleeni kusikia tetesi ila siku ya simba day ndio mtajua kama mwenye simba karudi na yupo ado ado
Chama mwiba mkubwa sana Tena wamchongoma aende
SIMBA KUBWA SANA KULIKO CHAMA,,
Ndo binadamu tulivyo, Chama amewabeba leo mnaongea ovyo. Duuh wapumbavu sana.
Siku Watakapomuona uwanjani anacheza ndio watayajua maumivu halisi.
Yanga ndy anafunga paswedi nyinyi mnaiga
Simba wanafiki ni jana tu walikuwa wanasema Chama hawezi kwenda Yanga. Acheni unafiki wenu
Unajua mashabiki mnatakiwa muelewe simba wanaumia chama kwenda yanga co kuondoka mbona aliondoka akaenda RsBarken lakn hawakuumia kwahyo kuumia kwa mashabiki wa Simba n chama kwenda yanga sio chama kuondoka
Kwelikabisa