Wachezaji wengi huko wanakua hatari sababu ya misingi mizuri ya academy za michezo. Kwa ligi ya huko mchezaji wakuwexa ku score mbele ya Stella Abidjan sio wa kawaida ligi ianze tumalize ubishi nikiangalia wachezaji waliosajiliwa simba wote wanauwezo na uchu wakufunga hakuna mwenye unafuu Elie Mpanzu naye ni balaa
Kocha atawakuta kwan akiondoka baada ya mwaka mmoja atayekuja si atawakuta wachezaji ukiwaachia makocha kwa soka la africa atakuletea hata mpwa wake ili wapige hela tyu yy kasoma kufundisha wachezaji sio lazma awasajili yeye timu mapungufu yanaeleweka
Wachezaji wengi huko wanakua hatari sababu ya misingi mizuri ya academy za michezo. Kwa ligi ya huko mchezaji wakuwexa ku score mbele ya Stella Abidjan sio wa kawaida ligi ianze tumalize ubishi nikiangalia wachezaji waliosajiliwa simba wote wanauwezo na uchu wakufunga hakuna mwenye unafuu Elie Mpanzu naye ni balaa
Point ✌
Nilijua hilo nimeliona mimi tu
Mbona wa kawaida sana, hata kidongo chekundu wapo kama huyu..!
Chama ..akasome
An excellent replacement of Chama
Hamfikii Chama
Hatutafuti mchezaji wa kumfikia wala kumpita chama, tunatafuta mchezaji wa kuitumikia timu
😂😂😂 chama ambaye tunafungwa goli 5 alikuwa anatembea tu uwanjani au chama yupi !!?
Chama mzee cc tunatafuta watoto
Ni mchezaji mzuri makolo wamepata lkn sio wa daraja la Chama
Chama is🎉
😂😂😂 bado hujasema, ball control ipo ni nini Chama anacho zaidi ya utulivu kwenye 18 na accurate pass.....hizi clips hujaona tu kwa huyu dogo?
@@bennie7239 uyo wa kawaida sana hahahaha hamna kitu apo
Musafu kumbe mushajua kama dogo anahatari 😂 halafu uzuri anakasi bado mdogo miguu yote anapiga akili ndio usiseme
Chama si mlikuwa mnasema ni mzee😂😂
Msisahau CZcams hakunaga mchezaji mbaya note that CZcams kina sewadogo na jobe walikuwa wanaonekana ni watu kweli kweli😀😀
Welcome young Africans Tanzania
Añacheza namba ngp huyo?
Kiungo 6, 8 ,10
@@ayasi48 oh thanks
He's joining Simba this week
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kawaida sana
Hata chama alikuwa wakawaida sana
Mdogo ake yikpe😅😅
Jamani mbona hawa watu football yao haina mvuto kabisaaa...au macho yangu?!😊
Ni sahihi kabisa, mechi zote zimepoooooa, Kwenye NBC league huyo Hakuna kitu hapo
😢
Nguvu moja
🚨USAJILI | GLODY LIKONZA🇨🇩 | BEST SKILLS ASSIST AND GOALS |MIDFIELDER| USAJILI SIMBASC NA YANGA 2024
czcams.com/video/Hxx9fUXrsAI/video.html
Tumepata chuma
Mmmmh uyu mtu hatari
🚨USAJILI | GLODY LIKONZA🇨🇩 | BEST SKILLS ASSIST AND GOALS |MIDFIELDER| USAJILI SIMBASC NA YANGA 2024
czcams.com/video/Hxx9fUXrsAI/video.html
Hata watani mtakaanga sana Chipsi..😂
HAMNA MCHEZAJI UMO😊😊😊
Tusubili tuone bado kijana akizeeka tunawachia vyula
Wa kawaida sana
Tuambie,wewe ulitaka awejee
😂😂utopolo amuamini macho yenu
yikpe mtupu😂😂😂😂😂😂😂
Simba tunasajili kweli ila sijui kama Kuna consultant is ya kocha ili kujua namna ya kuwatumia
Hapo umenena
Kocha atawakuta kwan akiondoka baada ya mwaka mmoja atayekuja si atawakuta wachezaji ukiwaachia makocha kwa soka la africa atakuletea hata mpwa wake ili wapige hela tyu yy kasoma kufundisha wachezaji sio lazma awasajili yeye timu mapungufu yanaeleweka
Tukiweka na highlights za chama halafu tulinganishe mtaendelea kusema huyu ni replacement sahihi ya Chama?
czcams.com/video/XqP4OgZwfHY/video.html hizo
Nakukumbusha tu kwamba hakuna clip nzuri ya chama nje ya uzi wa mnyama, ndo maana hata kuziplay mna jistukia
Hatareeee bonge la player
Hamna maajabu lig Yao nyepes sana
Aziz k na pacome wametoka wapi😂
Sanaaa...yani naona kama wanakimbia kimbia tu...dah!😢
mbona humu kama hamna mchezaji
Kumbe ata wee umeonaa😅😅😅
Huwez kuw mvp wa leage y ivory coast alaf ww usijue mpir huo n uongo
Huwez kuw mvp wa leage y ivory coast alaf ww usijue mpir huo n uongo