Mahamri /Maandazi ya Custard na Maziwa /Swahili Bread /Mahamri Recipe /Tajiri's kitchen
Vložit
- čas přidán 23. 07. 2020
- RECIPE ZENGINE KAMA HIZI ⬇️.
Jinsi ya Kutengeza Cinnamon Rolls Tamu Sana /Cinnamon Rolls ➡️ • Cinnamon Rolls /Jinsi ...
Mahamri /Jinsi ya kutengeneza Maandazi ya Custard na Maziwa /Swahili Bread Recipe ➡️ • Mahamri /Maandazi ya C...
Mkate wa Mdalasini/ Jinsi ya Kutengeza Mkate wa Mdalasini na Zabibu / Cinnamon Raisin Bread➡️ • Mkate wa Mdalasini na ...
Jinsi ya kupika Maandazi Laini ya Nazi /Mahamri ya Nazi/ Coconut Bread /Mapishi Rahisi ya Maandazi ➡️ • Jinsi ya kupika Maanda...
Jinsi ya Kutengeza Mzinga wa Nyuki Tamu san / Honeycomb Bread ➡️ • Mzinga wa Nyuki / Hone...
Jinsi ya Kutengeza Mkate wa Mayai Mlaini Sana / Sponge Cake ➡️ • Mkate wa Mayai /Jinsi ...
Jinsi ya Kutengeza Burger Buns Laini Sana / Burger Buns ➡️ • JINSI YA KUTENGEZA NA ...
Mikate ya Mofa /Mikate ya Unga wa Sima ➡️ • Mikate ya Mofa/Muufo /...
Mikate ya Mchele / Vibibi/ Jinsi ya Kupika Vibibi vya Tui la Juu ➡️ • Vibibi vya Tui la Juu ...
Rice Bread /Mkate wa Kumimina / Jinsi ya Kupika Mkate wa Sinia➡️ • Mkate wa Sinia /Mkate ...
FACEBOOK ➡️ / tajiris-kitchen-100334...
INSTAGRAM ➡️ tajiriskitchen?...
#mahamri #mapishiyakiswahili #tajiriskitchen #maandazi #swahilifood #swahiliflavour - Jak na to + styl
Ukipenda kuangalia video ya Mahamri ya Nazi matamu sana. Video hii 👇czcams.com/video/Og99bF4EpMo/video.html
Am your new neighbour come visit me
Kilo moja amila vijiko vingapi vya mezani please
Maa Shaa Allaah
mashaAllah tabarakallah thanks my sister
Mahamri mazuri sana❤️alafu Nina swali,tofauti ya kukanda na mafuta moto au baridi ni gani
Hayo mahamri yavutia bado chai tuu
maashaallah ni mazuri
Shukran
Masha'ALLAH
Shukran habibty🥰
mashaalah nice dear
Thank you
Waoooooh so mwaaah 😋😋
Thank you
They look yammyy
Thank you
Mashallah mapya kila siku Shukran sana habibty👌
Karibu sana habibity
Like 230 wow this looks delicious and amazing.I am your CZcams friend.stay connected.⚘👍👌
Mazuri sana nimependa hayo ya light. Shukran habibty ❤😍
Karibu sana habibty ❤
mashallah allah akuzidishie maarifa nanguvu zaidi nimejifunza mengi kupitia wewe alhdullillah😘👌
Ameen...shukran kwa kuwa nami😘
Like you
masha Allah dada nimejifunza mengi sana kutoka kwako keep it up 254
Asante sana kwa support
Mashallah! Nimejifunza vingi sana kupitia wewe.
Shukran sana
Looks yummy 😋😋
Thank you
I don't speak Swahili but I live for your channel
Much love from Madagascar 💖
FRUIANDISES Thank you so much for your support
Hallo@Tajiri's Kitchen nice job
Thank you so much, my dear.
Yummy njoo nairobi utupikie mamaa
Soon nitakuja dear huko ni nyumbani.
Mashaallah hasidi asikuone yanakaa weee, nayatamani
Shukran sana
Thanks nakumbuka home I was mbs the whole of 2021.
Also we need Maragwe ya coconut milk and bahazi so we can eat with mahamri please
Mashaallah apo na mbaazi na chai ta viungo shukran kipenzi
Mmmmh tutakuka hadi tushindwe kuenuka🤣🤣🤣
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 😀umeona eeh
Yametokea vizuri👌 bado mbaazi tu
Kabisa tena tuanze mchezo😋
Salam alekum mashallaah
Waaleikum musalam
Mashallah mashallah 😋 😋 😋 👌 yamenoga hatari sista
Tena sana tu🤣 shukran sista sista
Yalivyo mathamu nasongeza na zile bahazi ❤️
🤣🤣🤣Shukran
Napenda hio mistari inayotokezea kwa mahamri.unafanya vp ndio upate hio mstari
Mahamri yakifura vizuri huwa yanakua hivyo
Jamani mke jiko aunty yangu
Kabisa tena 🤣🤣🤣
Assalaam alaikum warehmatullahi wabarakatuhu hii dear sister hw r u?today I tried to make maandazi it turns vry vry nice nd softy my daddy liked it the maandazi. Shukhraan
Waaleikum musalam warhma tulahi wabarakatum habibty. Nafurahi kuskia pongezi sana na karibu
Hongera 👏👏mahamri yanavutia kweli😋😋,,nauliza utaacha unga kwa muda gani ndio uumuke Kama umetumia instant yeast?
Asante sana, itategemea na nguvu ya hamira, nyengine huchukuwa lisa nyengine masaa 3. Lakini yakifura utayaona tu
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 nashkuru Sana.🙏
Asante kwa recipes. Ushauri tu uwe unaandika pia ingredients needed hapo chini kweny description
Karibu na asante sana kwa maoni yako
Custard ni nini?
Shukran Mami, mbona yangu hayafuri,huwa nakanda usiku nachoma asubuhi, shukran.
Mimi pia, yangu hayafuri
Can I put coconut milk in place of normal milk?
Yes you can
Maziwa baridi au?
My dear naulizia custard powder yasaidia nini kwenye mahamri
Inakupatia ladha nzuri na kuyafandya laini zaidi na yakilala yanazidi kuwa mazuri na laini.
Naweza kueka mayai?
Yes unaweza
Yavutia
Asante sana😊
Habari madam, Mimi najifunza kupika maandazi lakini kila nikipika hayafuri/hayavimbi kama hayo je nitakuwa nakosea nini??
Mzuri sana, Mandazi kutofura ni pale umeeka Hamira kidogo ama hamira yako haina nguvu. Number 2 ukiweka siagi nyingi ama Samli pia inachangia. But ukifollow hii recipe vizuri itakusaidia tu sana.
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 Ahsante madam
badala ya custard naweza weka coconut powder?
Yes dear
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 asante lazima nijaribu leo
Hi dear is the milk hot or warm
Warm
Tajiri's Kitchen ok dear Shukran ❤️
@@lifeandliving4533 Afwan
Naeza tumia maziwa ya unga nkoroge na maji ndo nkandie
Ndio unaeza
Siku zote napika mahamri lakini hayatoi ule mstari mweupe....nipe siri dada
Yakifura vizuri yatatoka tu
Yanakaa matamu....upate na rojo....waah!!! Please tufanyie mapishi tofauti ukitumia io custard powder, nahisi ugumu kuinunua manake recipe najua ni ya pudding tu, nikikinai pudding je? Naeza itumia io powder wapi tena?
Florence kambe. Tena lile rojo la viazi na Maembe mabichi kama uliiona. Ok, sawa nitaleta recipe zengine soon.
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 niekee link please ya hilo rojo😊
czcams.com/video/qSTZwc8x_RU/video.html
Florence kambe hii czcams.com/video/qSTZwc8x_RU/video.html