Karibuni sana Uingereza! MUNGU awabariki kwa huduma yenu nzuri. I can't wait for corona to finish ili mkamilishe safari yenu ya kuja huku wapendwa. MUNGU awabariki sana
Wow amazing 😂😂😂kumbe ndivyo sikulijua Hilo your blessed🙏🙏am from Kenya nyimbo zenu ndizo zimejaa kwenye memory ya simu yangu. I love your songs Zina nijenga kiimani sana.
Hey zabron...keep on doing the good work...aki nawapenda aje... Victoria..ur blessed...alafu big up to that person who designs ur clothes...who chooses colours for you...nyota in'gae
Oh my God amutembeleye uyu grâce n'a amuwekeye muko wake bwana namupendaga saana uyu dada grâce naamini Mungu atamusaidiya katika jina la yesu christu aliye hayi
Hawa wana zablon are a blessing... Tulifanya mkutano WA injili na wao hapa Kenya limuru-ndeiya tukafungua kanisa kubwa Sana la wanasabato.... Twamshukuru mungu....karibuni tena
😢😢Ndo Maana I don't see her, have been asking where is she was though I didn't know her name.i spotted her because of her sweet voice. Almighty God reach grace wherever she is, heal her according to thy will in Jesus name I pray. Hey japhet I repeat again kuna wimbo huwa natafuta sana. Ule wa ndoa ikihalalishwa please send it to my wall, nakusihi if am not wrong by those days grace was pg na niluoenda sana
Congratulations Zabron singers, am one of your funs....Nawapenda sana mmebarikiwa ki sauti, mbeleni nilidhani ninyi ni wa Nyarwanda...Devine healing in the Mighty Name of Jesus Christ.
Jameni nawapenda saaana jamenieeee munggu baliki familia hii yawaimbaji, yani mnanibaliki kila wakati ninasikiliza nyimbo zenu heeee! N'a ile (wimboooo, naisahau kidogo) yani nawapenda kupindukia!!! Mmebalikiwa sana! N'a pole sana kwa dada Grace kwa Gondjwa hilo, naomba mungu anisikie ombi langu akuponye, yani sauti yenu!!! Vile mnavyo tamka na kila helufi ikasikika, I love ❤ you guys ses. From Emmanueline Australia
Hongera sana nyote Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa nguvu na afia njema na uzima tele na azidi kuwainua kuwasaidia kuwapikania kuwashindia na kuwawesesha vyema kwa yote katika Jina La YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nlikua najiuliza yupo wapi dada Grace,Mungu azidi kumpa afya njema turudi kuskia sauti yake, AMEN 🙏🙏🙏 mob love♥️♥️♥️
Mungu azidi kuwainua wana zabron mnajua sana❤❤
Sweet sweet on ma weeding haiezi kosa congratulations zablon singers nakutuma wimbo it really touch my heart be blessed all
Pole sana Grace, Mwenyezi Mungu akuponye haraka sana ili uendelee kumtumikia yeye. Watumishi mnaimba vizuri
Pokeeni baraka kutoka kenya🙏,what a grace.
I thought "zabron" was a community or a village name...kumbe ni ya familia😍
Kwakweli nyimbo zenu ni nzuri sana mna sauti nzuri nawapenda sana muda ote napenda kusikiliza nyimbo zenu Yani sichoki mungu azidi kuwabaliki sana
Wow am from Kenya u r one of my favorite choir I do listen every song u drop I love you guyz
Duh! Nimeipenda hiyo! Familia yote kumtumikia Mungu plus waolewaji mko vzr kwakweli be blessed
This song is more🔥🔥in kenya...umekuwa entrance song in most of the weddings....hongereni Sana na Mungu amponye moja wenu.
Karibuni sana Uingereza! MUNGU awabariki kwa huduma yenu nzuri.
I can't wait for corona to finish ili mkamilishe safari yenu ya kuja huku wapendwa.
MUNGU awabariki sana
Hakika dada Victoria umejaliwa sauti ya Kuimba hongereni kwa kazi zenu nzuri mnazozifanya hakika tunabarikiwa xana kupitia nyimbo zenu.
Mpo vizuri sana nabarikiwa na nyimbo zenu .mungu amponye grece aendelee kumtumikia mungu.
I thought they are Kenyans😅,I love them so much🔥🔥🔥
Hi Zack, we r heading there iJN
Marcooo😭😭😭😭😭may your soul rest in peace
Nawapenda bureee jaman nyimbo zenu zinanipa amani hapa duniani ❣️❣️❣️
Nimeuooona mkono wake bwana daah wako vizur sana pole sana GRACE Mungu akuponye na urejee katika hali ya uzima
May God heal you sister grace,, l love your voice with your smile
👏👏👏 . Nabarikiwa Sana na nyimbo zenu. Mungu awazidishe na awazidishie.
Mungu amponye dada Grace ili arudi tena kumsifu,shetani ashindwe kwa jina la Yesu Kristo
Recover fully sister Grace in Jesus Name
Yaan nampendaga huyu dada mungu amponye
Wow amazing 😂😂😂kumbe ndivyo sikulijua Hilo your blessed🙏🙏am from Kenya nyimbo zenu ndizo zimejaa kwenye memory ya simu yangu. I love your songs Zina nijenga kiimani sana.
Nyimbo zenu zatawala nchini kenya. Heko waimbaji wa Zablon singers.
Hey zabron...keep on doing the good work...aki nawapenda aje... Victoria..ur blessed...alafu big up to that person who designs ur clothes...who chooses colours for you...nyota in'gae
Asante kwa kipaji na kujitolea kwa kazi yake Bwana, tunamuombea dada Grace uponyaji wa haraka sana katika jina la Yesu kristo.
Kama umemsikia mtangazaji akisema Zebrona singas gonga like 😂🤣😂🤣
Nimesikia 😂😂😂,ndugu zangu hao
i guess Im kinda off topic but do anyone know of a good site to watch newly released series online?
🎉😢❤😅@@annsinga5049
Huyu ni burukenge
🤣🤣🤣
Nwapenda sana , mnasauti nzuri na nyimbo za upako barikiweni zaidi
Familia!! mmechagua jukumu jema kabisa, hongera.❤️
Jamila Dotto has the most gorgeous smile ☺
Wonderful extended Family I say, receive much Blessings from Kenya.
I just love Victoria she leads well!
He is soo humble...I love this !
Awesome work 👏 the songs are uplifting...touching our souls in an extra ordinary way..God bless you Zabron singers keep serving Faithfully 🙏
Healing is your portion in Jesus Mighty Name sister Grace.
Oh name sake, pole sana, may the the grace of God be with you always and be healed in Jesus's name so you could sing again for his glory
Nawapenda saaana jamanii 😍💘 Mwenyezi Mungu azidi kuwalinda na kuwatunza 🙏
Oh my God amutembeleye uyu grâce n'a amuwekeye muko wake bwana namupendaga saana uyu dada grâce naamini Mungu atamusaidiya katika jina la yesu christu aliye hayi
Hawa wana zablon are a blessing... Tulifanya mkutano WA injili na wao hapa Kenya limuru-ndeiya tukafungua kanisa kubwa Sana la wanasabato.... Twamshukuru mungu....karibuni tena
Mungu awabariki
Wow, what a Grace..!!
Very very sad😢 Marco was talking about Grace issue and now he is no more!
Mungu Baba awatie nguvu
Wow! What a blessed family🙏, glory to God, I tap that grace haki
Amen
😢😢Ndo Maana I don't see her, have been asking where is she was though I didn't know her name.i spotted her because of her sweet voice. Almighty God reach grace wherever she is, heal her according to thy will in Jesus name I pray. Hey japhet I repeat again kuna wimbo huwa natafuta sana. Ule wa ndoa ikihalalishwa please send it to my wall, nakusihi if am not wrong by those days grace was pg na niluoenda sana
Jamani mtoto wangu tangu akiwa na miaka mitano anampenda huyo dada wa ktkt mwenye gauni la kijani ana mpenda sana Sana na Sasa ana miaka nane
Ooh Grace my best amongst them all. Mungu atakurejeshea yote yaliyoliwa na nzige.
Namwomba Sana Mungu Azidi Kuwainua zaidi na zaidi. Mmechagua fungu lilo jema!!!!!
Pole san dada Grece mungu akubariki upone uendelee namajukumu ya kutufunua kwa injil
Wen I listen to ur songs i always get blessed . Rose from kenya
Ndiyo maana wanafananaka Sana kumbe ni wadungu mashallah mungu awabariki
Victoria your the best love your voice 😍😍
Mmi huyo dada mwenye gauni la kijani nampenda sanaaa kwakweli❤️😂😂😂
Healing is your portion love your songs watching from Qatar
Congratulations Zabron singers, am one of your funs....Nawapenda sana mmebarikiwa ki sauti, mbeleni nilidhani ninyi ni wa Nyarwanda...Devine healing in the Mighty Name of Jesus Christ.
Love you Zabron singers be blessed abundantly 🙏
wooow so you are one family. you are really blessed. your songs bless me and my kids here in Burundi. we love you
Jameni nawapenda saaana jamenieeee munggu baliki familia hii yawaimbaji, yani mnanibaliki kila wakati ninasikiliza nyimbo zenu heeee! N'a ile (wimboooo, naisahau kidogo) yani nawapenda kupindukia!!! Mmebalikiwa sana! N'a pole sana kwa dada Grace kwa Gondjwa hilo, naomba mungu anisikie ombi langu akuponye, yani sauti yenu!!! Vile mnavyo tamka na kila helufi ikasikika, I love ❤ you guys ses. From Emmanueline Australia
Can you hear Miss Victoria's voice even without an instrument?? It's amazing
Nawapenda Sana,all the way from Kenya
Mnasitahiri kwa kweli Mwenyezi MUNGU aendelee kuibariki kazi ya mikono yenu.
Praying for sister Grace.Divine healing
Jamaa emmanuel tulikuwa wote muslim sec leo wewe unahubiri kwa njia ya uimbajii..hongera Sana broo
Imenigharimu sana, nyimbo Hi naisikiliza sishibi! Thumbs up for u guys. Long life......
Haaaa umenichekesha yaan imekugarimu haaaaaa😂❤
Da grace MUNGU akutie nguvu jmn usimuache amekupigania miezi 2 huogei hurii umelala tu oooh nimetafakari nimejua MUNGU ni mkubwa sana
Hongera sana nyote Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa nguvu na afia njema na uzima tele na azidi kuwainua kuwasaidia kuwapikania kuwashindia na kuwawesesha vyema kwa yote katika Jina La YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hongereni Sana Watumishi wenzetu kwa kazi Hii ya kumtukuza Mungu
Nawapenda saana jamani♥️♥️♥️♥️Mungu azidi kuwabariki💕💕💕💕
Natamka Uponyaji juu ya Grace kwa Jina la Yesu!!!!!
May God bless you zablon singers, good song to praise God, keep it up
Kenya tunawapenda Sana🇰🇪
We as God's Family we are nommary Bless by your Song's, God bless you ❤️
Hili kundi NOMA, Mungu alibariki kundi hili; nawapenda sana. Nabarikiwa nao.
The golden voices of Zabron singers,congrats.
Mungu awajaliye kabisa ,na wapenda sana
My love for this group is on high level ...from Nigeria
Pole sana dear mungu aendelee kukuponya ili urud tumemic saut tuko pamoja tunakuombeea
Nyimbo zenu zina bariki sana. Niliwasikiza kanisani kwetu Kenya,Newlife mkiimba mkono Wa bwana, huu wimbo ulinivuta sana.
Sasa Rosie,uko New life gani hapa Kenya.
Watching from Uganda 🇺🇬 I love your songs more blessings 🙏
Mbarikiwe sana,naposikiliza Sauti hizi natamani kuoa hata kesho but mahali sina
🤣🤣😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tafuta mahari bro
Jamani kama dada dotto hajaolewa kiukweli nampendaga saana, mimi nimfatiliaji wanyimbo zenu naishi Congo Drc
Du. Hongereni sana. Munaimba vizuri hata bila vyombo tena munaimba vizuri sana
Tunawapenda Australia🇭🇲🇭🇲 huku👏👏👏
Get well soon my Sister Grace
Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mfike mbali LAKINI msipotee nawapenda sana
Lovely neighbours ..sending lots of love and prayers from kenya ..may GOD bless you Zabrons
Healing is your portion sister.
God bless them. I like they songs. Watching from 🇷🇼
Mbarikiwe wapendwa,nasi tunabarikiwa na nyimbo zenu
So nice I like the song of zarbon singers from Kenya
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
jamani mnatubariki wengi kupitia uimbaji wenu, Mungu awabariki muendelee kuitangaza kazi yake
Wow waiting for you in Manchester 😍😍
I love this group
Baba J's sema Jamila nae, big up sana Zabron singers
And now one of them is no more😢😢what a sad morning with sad news
Jaman mm napenda sana kazi zenu natamani Sana kujiunga nanyi🤗🤗
Nawapenda tu bure ndugu zanguni💞💞💞
Mungu awe nanyi siku zote
Hakika ni Mkono wa Bwana🙏🙏🙏🏻
Mie Mkenya na Kura zangu niliwapa jamani🤣🤣🤣
Mungu awabariki sana nyimbo zenu nikizisikiza nabarikiwa sana
Kenya watching, .
Hongereni sana mmechagua jambo jema sana
Nawapenda bure,,uponyaji wa haraka Kwa dada Grace
Mungu awabariki
I Love you pple.keep the fire burning
Love from Nairobi Kenya
Xxx
R.I.P MARCO KAKA YETU😢 POLE SANA NDUGU ZANGU WANA ZABRON SINGERS
Hongereni Sana nawapenda Bure mnasauti nzuri navaa vizuri Mungu awabariki na mgonjwa Mungu akuponye kwauwenzo wake