HARMONIZE AMTUPIA VIJEMBE KAJALA, NIKO SINGO ,SIKUTAKI TENA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 12. 2022

Komentáře • 39

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 Před rokem +5

    Wow nice show hogera sana sana harmonize kazi zuri sana mashallah nimeikumbali sana

  • @swafiyamansur4326
    @swafiyamansur4326 Před rokem +5

    Nice show congratulations Hermonize 🔥🔥🔥

  • @Hawa-es9kn
    @Hawa-es9kn Před rokem +5

    Oyooo harmonize for life

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +4

    Amtakaje SAsa wakati alishapata akitakacho, thamani ya mtu uisha baada ya kuvua chupi

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 Před rokem +4

    You're the super, konde.

  • @catherinemuindi8555
    @catherinemuindi8555 Před rokem +1

    Harmonize kama Harmonize 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @rashidami7933
    @rashidami7933 Před rokem +4

    Mzee wa mipasho mara k mara dai

  • @davidhitra7248
    @davidhitra7248 Před rokem +2

    Konde hongera sana

  • @FireHouse123
    @FireHouse123 Před rokem +1

    Kajala hatampata mme mwingine mwenye ufundi wa kukohoa kama Konde

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před rokem +2

    Minitapenda umuache kunguru kajalla tafuta njiwa mzazi azaaae

  • @esthermbalale3075
    @esthermbalale3075 Před rokem +4

    Hongera sana kazi iendelee mmakonde Wangu

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Před rokem +1

    Kwa mistari hongera

  • @shikumabula8219
    @shikumabula8219 Před rokem +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️Konde

  • @mutoniburundi9930
    @mutoniburundi9930 Před rokem

    Wao wwwwwwwwwwww🇧🇮🇸🇦🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @ramlayusuph9454
    @ramlayusuph9454 Před rokem +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @kuruthumuhamisi7161
    @kuruthumuhamisi7161 Před rokem +1

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Před rokem

    Kama mmeachana kati Yenu bado anamsema mwenzio ujue bado anampenda anashindwa kujizuia. Achana nae hata ukimkuta na Mwenzio roho itulie usihangaike. Tuonyesheni Talaka tujue mlioana. Hawara hana Talaka mlikuwa mnachunana tu.

    • @AbdulKarim-do7co
      @AbdulKarim-do7co Před rokem +1

      Zile no nyimbo hatoacha kuzimu we MBA juu wameachana

  • @edithatayari640
    @edithatayari640 Před rokem

    Hata yeye hakutaki

  • @sadamramadhan9887
    @sadamramadhan9887 Před rokem +4

    Makonde bange nyingi saaana hutoboi kimataifa

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před rokem

    Hataki hatakiwi?

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Před rokem +3

    Hivi watu wengine wamelipa milioni kumi kuja kusikiliza vijembe? Afadhali hata ile ya Tabata Shule ilichangamka.

    • @mozespatnam7469
      @mozespatnam7469 Před rokem +2

      😂😂😂

    • @aishamagoshi2852
      @aishamagoshi2852 Před rokem +2

      Wewe unashida gani

    • @aishashaibu4772
      @aishashaibu4772 Před rokem +1

      Mbona ww umeweka bando kujakuangalia

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před rokem +1

      @@aishamagoshi2852 Nashangaa tu, Shida za kazi gani. Inabidi tutafute wataalam was kutufundisha kuandaa shoo za kuvutia sio za vurugu vurugu kama hizi. Wako wataalam was kutune vyombo kupanga jukwaa na kupiga vyombo na mziki ukapendeza hata kupanga apande Mani ashuke nani. Kina muimbaji kama analia vile tunamsikia mwingine kama anaongea

    • @aishamagoshi2852
      @aishamagoshi2852 Před rokem +1

      @@hashimchaoga9566 Duniani haupo aheraunatafutwaa