Kama mmeachana kati Yenu bado anamsema mwenzio ujue bado anampenda anashindwa kujizuia. Achana nae hata ukimkuta na Mwenzio roho itulie usihangaike. Tuonyesheni Talaka tujue mlioana. Hawara hana Talaka mlikuwa mnachunana tu.
@@aishamagoshi2852 Nashangaa tu, Shida za kazi gani. Inabidi tutafute wataalam was kutufundisha kuandaa shoo za kuvutia sio za vurugu vurugu kama hizi. Wako wataalam was kutune vyombo kupanga jukwaa na kupiga vyombo na mziki ukapendeza hata kupanga apande Mani ashuke nani. Kina muimbaji kama analia vile tunamsikia mwingine kama anaongea
Wow nice show hogera sana sana harmonize kazi zuri sana mashallah nimeikumbali sana
Nice show congratulations Hermonize 🔥🔥🔥
Oyooo harmonize for life
Amtakaje SAsa wakati alishapata akitakacho, thamani ya mtu uisha baada ya kuvua chupi
You're the super, konde.
Harmonize kama Harmonize 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Mzee wa mipasho mara k mara dai
Konde hongera sana
Kajala hatampata mme mwingine mwenye ufundi wa kukohoa kama Konde
Minitapenda umuache kunguru kajalla tafuta njiwa mzazi azaaae
Hongera sana kazi iendelee mmakonde Wangu
Tembo kama Tembo mambo ni 🔥
Kwa mistari hongera
❤️❤️❤️❤️❤️Konde
Wao wwwwwwwwwwww🇧🇮🇸🇦🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
🔥🔥🔥🔥
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kama mmeachana kati Yenu bado anamsema mwenzio ujue bado anampenda anashindwa kujizuia. Achana nae hata ukimkuta na Mwenzio roho itulie usihangaike. Tuonyesheni Talaka tujue mlioana. Hawara hana Talaka mlikuwa mnachunana tu.
Zile no nyimbo hatoacha kuzimu we MBA juu wameachana
Hata yeye hakutaki
Makonde bange nyingi saaana hutoboi kimataifa
😂😂😂
We nawewe acha comment za wivu
Inabidi utafute bwana uwolewe mapema sana mana ushaanza kuwa mchawi
Sio poa bro acha hizo mwanangu
Hataki hatakiwi?
Hivi watu wengine wamelipa milioni kumi kuja kusikiliza vijembe? Afadhali hata ile ya Tabata Shule ilichangamka.
😂😂😂
Wewe unashida gani
Mbona ww umeweka bando kujakuangalia
@@aishamagoshi2852 Nashangaa tu, Shida za kazi gani. Inabidi tutafute wataalam was kutufundisha kuandaa shoo za kuvutia sio za vurugu vurugu kama hizi. Wako wataalam was kutune vyombo kupanga jukwaa na kupiga vyombo na mziki ukapendeza hata kupanga apande Mani ashuke nani. Kina muimbaji kama analia vile tunamsikia mwingine kama anaongea
@@hashimchaoga9566 Duniani haupo aheraunatafutwaa