HUYU APA SHUJAA MAKONDA, AONGEA KWA UCHUNGU YALIYO TAKA KUMKUTA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 444

  • @NailahMarwa
    @NailahMarwa Před měsícem +32

    Mwenyezi Mungu akulinde Mtumishi hayo maneno hatuyapati kwenye ibada siku hizi Mungu akulinde Baba

  • @Kyeli-ct4vo
    @Kyeli-ct4vo Před měsícem +1

    Hakika, kiongozi kama Makonda. anaongea maneno yatokayo Mbinguni. Roho wa Mungu yuko naye. Nakuombea, Mungu akusimamie kutenda haki na kufundisha shuhuda za upendo wa Mungu kwa watu wake. Napongeza wazazi wako najua unatumia msingi waliokujengea. Ubarikiwe zaidi

  • @uzimakwayesutv
    @uzimakwayesutv Před měsícem +11

    Mungu Akupe Maisha Malefu Akupandishe Viwango Vyajuuu Amekupa hekima Kama Slemam Uwaongoze Watu Wake,Amen

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před měsícem +11

    Allah akuhifadhi mdogo wangu Makonda yaani nakupenda Kwa Ajili ya Allah Kwa Kazi nzuri unayo fanya hakika ww nimsema kweli hutaki dhulma pia Kazi yko hamna unafiki ndo maana Allah anakuhifadhi Hao maadui inshallah watagonga mwamba

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před měsícem +20

    Ubarikiwe Sana kijana wetu wewe ni dhahabu nyekundu ya CCM na ni Alimasi ya blue ya CCM Mwenyezi mungu tulindie kijana wetu

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před měsícem +5

    MUNGU ni mwema akulinde akunze akufunike akusingire kwa Damu Ya BWANA wetu YESU KRISTO akupikanie akushindie akuweseshe vyema kwa kila Jambo katika Jina la YESU KRISTO ALIYE BWANA na MWOKOZI wetu ameeeen Hongera Sana Mh kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj Před měsícem +15

    Makonda wewe ni muadilifu mungu atakulinda natamani ungekua laisi wa 🇹🇿

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před měsícem +9

    😢Nimekuelewa sana Mzalendo Namba Moja Wataifa Letu pamoja Sana Allah Akulinde Naakufikishe Sehem Nzuri

  • @emmanueldkulwa1824
    @emmanueldkulwa1824 Před měsícem

    Mungu akulinde Mheshimiwa, Una moyo wa dhahabu sana, na una nia njema kwa Taifa letu. Endelea kutupigania, Nasi twakuombea usalama kwa Mungu!!

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo Před měsícem +12

    Makonda akiwa raisi mafisadi wamekwisha MUNGU akulinde baba yetu kipenzi cha wa Tanzania 🇹🇿 wote❤❤❤❤❤❤❤

  • @Jastini-gv3vt
    @Jastini-gv3vt Před měsícem +10

    Kuna watumishi wa makanisa hawamvikii Makonda kwa kujitambua ❤❤❤

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 Před měsícem +2

    OMG...IAM PRAYING FOR YOU MSKONDA, wherever you are, be healed in JESUS NAME AMEN.

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y Před měsícem +21

    Brother Makonda my roll model

  • @fredrickandrew798
    @fredrickandrew798 Před měsícem +8

    Nakuelewa vema ujue. Hapo unalijenga jeshi lote. Safi sana Makonda.

  • @AlipoMwasenga
    @AlipoMwasenga Před měsícem +6

    Makonda mungu akutetee uwe na maisha marefu watanzania kama hawa niwachache viongozi msipuuze wosia huo

  • @martinihassani6760
    @martinihassani6760 Před měsícem +4

    Mungu akuponye kwa kumjua Sana, tukopamoja mheshimiwa chapa kazi Mungu yukonyuma yako Amena

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před měsícem +3

    ❤❤❤❤Mungu akulinde. Akuepushe. Na Hila za shetani. Maana hao ulonao nimashetani pia. Akuokoe Sana. Amina

  • @user-ri5ks4zs4n
    @user-ri5ks4zs4n Před měsícem +3

    Mwenye sikio amesikia maisha ni kubarikiwa na Mungu si kujirundikia mapesa pekee cheo,mapesa hayaondoi laana usipomtumainia Mungu angalia cheo au mapesa isije ikawa ibada yako ya sanamu na laana ikala kwenye familia yak

  • @helenamtafya343
    @helenamtafya343 Před měsícem +1

    Ubarikiwee! Na utunzwe siku zote kwa ajili ya utukufu wa Mungu! We love you Sir

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 Před měsícem +2

    Damu ya Yesu ikufunike Mr. Makonda umenena Jambo zito na jema la ukombozi kwa taifa na kizazi chetu.
    Ubarikiwe sana

  • @lovenessfracis
    @lovenessfracis Před měsícem +4

    Makonda hutokufa bali utaishi kwa jina la yesu kristo Amen 🙏🙏🙏😢😢

  • @Husseinyasmin05Yahya
    @Husseinyasmin05Yahya Před měsícem +1

    Allah akulinde kiongoz wetu na akupe ujasiri wa kupambn na mafisadi

  • @SamweliMwashilindi-fq1me
    @SamweliMwashilindi-fq1me Před měsícem +5

    Mheshimiwa nakuombea uzima mungu akuepushe na mabaya yote na lawama zao ziwaishie wenyewe,haunaga point mbaya kichwani mwako 💪💯

  • @IsakaKiyalo-s3v
    @IsakaKiyalo-s3v Před měsícem +3

    Raise wetu wa baadae mungu akuzidishie miaka ya kuishi ukarikomboe taifa la Tanzania pigana na haki kiongozi wetu mungu wangu na yesu wangu nimuabuduye na akulunde akuepusha na ng,e na nyoka walizozuweka mbele yako

  • @abdallabundala404
    @abdallabundala404 Před měsícem +3

    Makonda the visionary leader. Big up Makonda

  • @niymaedwin4297
    @niymaedwin4297 Před měsícem +1

    Glory to God nimepata tu amani baada ya kukuona shujaa wa Tanzania Yesu azidi kukuficha Makonda wetu we love you dadie 🎉❤❤❤

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Před měsícem +2

    Mungu anakulinda makonda hawa binadamu achana nao piga kazi, makonda naomba kukuona nakuhitaji sana nikikufikia mimi maisha yangu yatabadilika kabisa. Mungu anakulinda, atakulinda, na atakulinda milele

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 Před měsícem +3

    Makonda waambie hao ndugu zetu,Mungu hapendi dhuruma.Mungu akupiganie Kwa kuwapambania wanyonge wa Taifa hili.Ila tambua kuwa kwenye chama chako Kuna majambazi,wauaji na majizi yasiyo na utu hata kidogo.Yenyewe yatanguliza pesa utadhani wanakufa na kuzikwa nazo.

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 Před měsícem +3

    Sio mafanikio ya rushwa tu mhshimiwa,
    Bali mafanikio yoyote yatokanayo na dhambi ni urithi wa uzao wako ndo tutaona matokeo.
    Mungu aturehemu kwa damu ya Yesu na atupe neema ya kubadilika na kuwa na hofu ya Mungu.

  • @George-dw7fu
    @George-dw7fu Před měsícem +3

    Nakubali sana uwezo wako siku zote simama imara naamini Mungu atakuwa nawe

  • @LazaroKufakunoga
    @LazaroKufakunoga Před měsícem +4

    Mungu akusaidie baba makond na akuagizie malaika wa Vita wawe na ww

  • @issahabdallah3821
    @issahabdallah3821 Před měsícem +4

    Mungu akulindekwa siku zote nakurabilia utakuwanaibu wazirhad uwaziri

  • @nancymongi9910
    @nancymongi9910 Před měsícem

    Asante Yesu umepona. Tunaomba Mungu akulinde kwa jina la Yesu.

  • @user-tk6rs3uw7r
    @user-tk6rs3uw7r Před měsícem

    Hongera baba, humbali na ufalme wa Mungu, by Sr merina

  • @miriammarlwa7816
    @miriammarlwa7816 Před měsícem

    Nakupenda sana Makonda ,Mungu akulinde Baba

  • @HoseinBakari-up6jo
    @HoseinBakari-up6jo Před měsícem +1

    Mwenyezi mungu azidi kukulinda na akupe ujasiri zaidi na ukupe afya njema🙏

  • @user-zc6cp2dk5h
    @user-zc6cp2dk5h Před měsícem

    Nakuombea kwa Mungu akulinde akuepushe na maadui kila Shimo waliokuchimbie wadumbukie wao
    Ɓarikiwa mnoooo

  • @PeterMathias-g2d
    @PeterMathias-g2d Před měsícem

    Ubarikiwe Raisi Samia kwa kumteua huyu ndug alisaidie taifa,Raisi Sasa tunakuelewa chapa kazi mh Rais

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 Před měsícem

    Allah tunakuomba umlinde makonda wetu isije Ikiwa kama ya magu huyu tuachie mungu ibariki Tanzania ❤❤❤

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo Před měsícem +1

    M/MUNGU akubariki na akulinde siku zote tunakupenda ❤❤❤❤❤

  • @stephankimario7890
    @stephankimario7890 Před měsícem

    Daaaah! Nimejifunza kitu cha maisha mkuuu mungu akulinde

  • @user-rl8yn5gv2y
    @user-rl8yn5gv2y Před měsícem

    Ashukuliwe mungu akutunze kaka MKonda nakuombea maisha mazuri na yenye Amani

  • @edinanyaonge
    @edinanyaonge Před měsícem

    Mungu akuhifadhi mheshimiwa akuepushe na MASHETANI WANAOANGUSHA NCHI HII

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 Před měsícem

    Mungu,akuhifadhi kakaanguu makonda

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem +6

    Makonda nakukubali Rais mtarajiwa nakukubali sana

  • @MoudyMoudy-hk8su
    @MoudyMoudy-hk8su Před měsícem

    Nakukubali mkuu kama wameshindwa leo bas hawatakuweza rudi kazini broo

  • @zbmtumbady809
    @zbmtumbady809 Před měsícem

    Asee Mungu akulinde mkuu kiubinadamu kabisa🤝

  • @magrethibrahim9636
    @magrethibrahim9636 Před měsícem

    Mwenyezi Mungu akusimamie jaman,tunakuombea🙏🙏🙏

  • @NeemaMweta
    @NeemaMweta Před měsícem

    Yesu yesu yesu Asante mungu mzingire kwa wigo wako aimeen

  • @christophermwakisyala7321
    @christophermwakisyala7321 Před měsícem +2

    Tunakuombea sana rc makonda tuko nyumaa yako daima utashida zaidi ya kushida

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před měsícem

    Mungu akuongezee kuishi kwa muda mrefu hapa duniani

  • @jacobomgimba1085
    @jacobomgimba1085 Před měsícem +5

    Mhemiwa nakuelewa sanaaa !!
    Wakisha snza kuzusha mengi

  • @remmyainea35
    @remmyainea35 Před měsícem

    Mungu atakuinua zaid ya mlima sayuni pamoja na misukosuko unayopitia.🙏

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Před měsícem

    Mungu Akulinde tunakupenda sana

  • @matatamatatatours3237
    @matatamatatatours3237 Před měsícem +7

    Serekali iwafafatiilie
    Kwa UKARIBU SANA
    SIMU ZAO ZIPEKULIWE
    MUDA WOTE
    CHAMA KINA WENYEWE

  • @jacquelineswila5798
    @jacquelineswila5798 Před měsícem

    Waoooo baba, pole kwa yote, Mungu akulinde 🙏%kubwa ya watanzania tunakuombea na tunakupenda

  • @AdijaNjovu
    @AdijaNjovu Před měsícem

    Mungu hawezi kukuacha mtu wake makonda mungu amekuteua kwaajili ya utetezi wa wanyonge nasi watanzania tunakuombea kwa mungu akutumie malaika wa urinzi maishan mwako

  • @daudimsaghaa5078
    @daudimsaghaa5078 Před měsícem

    Makonda Mungu akulinde wewe ni Shujaa by MCH Daudi Msaghàa

  • @Ahmedikiringamoyo
    @Ahmedikiringamoyo Před měsícem

    ALLAAH akuepushe nashari

  • @issujar.j.francis3220
    @issujar.j.francis3220 Před měsícem

    Brother Makonda, God will protect you. We are praying for you. In The name of Jesus, the blood of Christ will cover you

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w Před měsícem

    Mwenyezi mungu Akulinde cn mhe shimiwa makonda ❤❤❤❤❤

  • @user-db6hh9dh3w
    @user-db6hh9dh3w Před měsícem

    Baba katika jina la Yesu Kristo namuombea Mtumishi wako paul makonda mlinzi wa Damu ya Yesu kristo malaika walinzi wamzingire pande zote Amen

  • @ABIHUDMSONGA
    @ABIHUDMSONGA Před měsícem +1

    Mungu aendelee kukulinda makonda.maana bwana ndie mchungaji wako.

  • @ellychacha2417
    @ellychacha2417 Před měsícem

    Mheshimiwa makondo Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli ikiwa utatoka kwenye utumishi wa umma basi simamimia huduma ya ufalme wa Mbinguni

  • @ashuramussa3776
    @ashuramussa3776 Před měsícem +1

    Mungu akumuliike popote ulipo uwe na afya njema makonda

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga Před měsícem +5

    Dah! Mungu akupe kheri ma broo,nimepata amani baada ya kuona hii clip,yaan binadam bwana tutafika tukiwa tumechoka sana.

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Před měsícem

    Allah akulinde baba waambie rushes ni laana kweli iyo dhulma wakuache anatumikiya wanainchi vzr mie ni mburundi lkn nakufatiliaga sana wewe n'a mama Samia Allah awalinde

  • @PeterDeogratias
    @PeterDeogratias Před měsícem

    Saaaaafiiiiiiii nokukubali makonda jamani naomba uje mkoa wetu tabora

  • @user-fh4cf6qx9u
    @user-fh4cf6qx9u Před měsícem

    Mungu akulinde

  • @user-tf9ws7gd9g
    @user-tf9ws7gd9g Před měsícem

    Mungu akutunze

  • @joycekashalaba3575
    @joycekashalaba3575 Před měsícem +1

    Mungu azidi kukulinda uko uliko damu ya Yesu iwe juu yako kwa ajili ya ulinzi wa kiungu

  • @mohamedcali6884
    @mohamedcali6884 Před měsícem

    Muheshiniwa Mungu yupo na ww,ubarikiriwe

  • @JoyceKisenga-mq8tt
    @JoyceKisenga-mq8tt Před měsícem

    Nimefurahi kusikia sauti yako tena Mungu akuhifadhi mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x Před měsícem

    Hongera Sana Mtumishi MUNGU Akutunze

  • @namelokisesian643
    @namelokisesian643 Před měsícem

    Mungumungu mkumbuke hata Kwa haya maneno

  • @user-pt4ts3ho3g
    @user-pt4ts3ho3g Před měsícem

    Mungu yu mwema atakulindaa baba

  • @byaombeswedy1674
    @byaombeswedy1674 Před měsícem

    Chapa kazi njema sana

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 Před měsícem +1

    Mola atakulinda, my coming president of Tanzania may god protect you bro

  • @agnesmwangi2808
    @agnesmwangi2808 Před měsícem

    mungu akutunze

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 Před měsícem +2

    Hiii sio leo

  • @Kokoz8eightvo-Jini
    @Kokoz8eightvo-Jini Před měsícem

    Huyu ni kiongozi, Bali sio MTAWALA 🙏🙏🙏
    Mungu akuweke miaka ya Kobe

  • @norahfrank
    @norahfrank Před měsícem

    Mungu.Azisi kukupa ushujaa zaidi na ujasiri huo huo kumuubiri Kristo. Nafurahi kwa somo lako ambalo liwaguse hao maaskari kwa matendo yao pia

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před měsícem +1

    Dhulma sio nzuri tafuteni pesa za halali mbona tanzania kam anyie askari mnanafasi nzuri sana walai.ardhi ipo jifungulieni vilimo vya kisasa wakati wa wek endi mpo shambani

  • @margaretjoseph6501
    @margaretjoseph6501 Před měsícem

    Mungu akulinde Mheshimiwa ... Big up 😊

  • @janekulwa3269
    @janekulwa3269 Před měsícem

    Ameeeen mungu akulinde kwa wigo wake mtakatifu

  • @yakoboyakubona7581
    @yakoboyakubona7581 Před měsícem +1

    Makonda ni kiongozi mzuri

  • @MamaBambala
    @MamaBambala Před měsícem

    Mungu ni mwema.

  • @CatherineMsabaa
    @CatherineMsabaa Před měsícem +1

    MY SON MAKONDA ROHO MT. AKUTANGULIE KATIKA HATUA ZAKO ZOTE UINGIAPO NA UTOKAPO. MUNGU BABA WEWE NI MWAMINIFU SIKU ZOTE.TULINDIE OUR NEXT COMING PRESIDENT. AMEN AMEN.

  • @alicempuya9721
    @alicempuya9721 Před měsícem

    Mungu akulinde baba tupiganie baba

  • @user-dk6zr9ed6m
    @user-dk6zr9ed6m Před měsícem

    Allah akuhifadhi

  • @peternyamasiriri5450
    @peternyamasiriri5450 Před měsícem

    Mungu akulinde na akufikishe mbali sana mheshimiwa umeomgea mambo ya busara sana

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Mungu ndie anaetsaaidia na wasiojulikana

  • @oreosmundi1967
    @oreosmundi1967 Před měsícem

    Kaka we pray for you be more strong may God watch nearly you❤ with huge love❤

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 Před měsícem +8

    Mmmh hii sio ya sasa hii ni ya muda bwana

    • @user-uo4ui9zu6y
      @user-uo4ui9zu6y Před měsícem +1

      Hata mimi nahisi hivyo

    • @muhammadmpahi338
      @muhammadmpahi338 Před měsícem +1

      We hausikii anasema mkoa wetu wa arusha. Sio ya zamani

    • @joshuakasemelo1675
      @joshuakasemelo1675 Před měsícem

      Hii ni yakipindi ndiyo anafika arusha anajitambulisha kwenye vyombo vya ulinzi ,swali liko palepale makondo yukowapi kwa sasa? Hatutaki utapeli wa krip za zamani​@@muhammadmpahi338

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION Před měsícem

      Kweli watu mnakurupuka,,hamsikilizi,,mtu anasema mkoa wetu wa Arusha Sasa ya zamani kiaje

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem

      yeah hii ya zamani ,,,miezi mitatu iliopita. mie niilisikilizaga amevaa hivi tuu..

  • @user-rs6ot2hx5g
    @user-rs6ot2hx5g Před měsícem

    Mungu akubariki baba mana unasema ukweli ndomana ...

  • @kalipro-c4d
    @kalipro-c4d Před měsícem

    siku zote wazuri wakijitokeza jmn wanaandamwa angalia magufuli wetu jmn dah.mungu hakika akulinde huku ulipo upone hata km unahali gani be safe,we loves u my papa

  • @DhahabuSafi
    @DhahabuSafi Před měsícem +1

    Kwa kifupi tufanye kwa HAKI asante my bro Makonda.

  • @mucochanella1672
    @mucochanella1672 Před měsícem

    Mungu azidi kukulinda

  • @user-dg3bw7pz1q
    @user-dg3bw7pz1q Před měsícem

    Mungu AKULINDE na mabaya Yote

  • @luisalbano8839
    @luisalbano8839 Před měsícem

    Mungu akulinde🙏🙏🙏