Raha sana kumuona mpiga bass guitar 🎸 Philip anapiga solo guitar 🎸 lililotulia kabisa safisana hongereni jamani mnaendelea kunipatia Raha wstuwangu❤❤❤❤
waoooooooh waoooooooh halleluyaaaaa wkimbo huu unanibariki sana , haya Maono mliyopewa kwenye huu wimbo Mungu awabariki Zaid na kuwatunza katika huduma hii ya uimbaji.
Be blessed guys...love you following from Kenya...
Nawatazama live toka south africa johannesburg ,,,,🎉🎉🎉🎉🎉 we are going🎉🎉
Wimbo mzuri sana wa zamani sasa mmeimba Live, barikiwe sana nawapenda, wana muziki nyie ❤
Woow❤❤
Just woow
And woow again
TUNDA LA ROHO in new version….🎉🎉🎉🎉🎉
Kutoka ndani ya mzizi wa moyo wangu sitaacha kuwapenda maana mnanibariki sana ❤
Mbarikiwe wainjirishaji kwa njia ya uimbaji tuna usubiri, Basi nyenyekeni
Sending love from kenya. Mnatubariki kweli❤❤❤
Hii nyimbo mngehifadhi mkaifanyia live recording pamoja na ile nyimbo Bwana uinuliwe milele milele
Kazi zuri sana watumishi🙏🙏
Hamjawahi kumuangusha MUNGU wa mbinguni kabisaaaa
Hongereni sana ...maua yenu🎉🎉
Salute kwenu...
Mpiga kinanda katisha
Hakika kazi yenu naipenda. Wimbo wa kitambo ila mmepiga vizuri kwenye live kuriko kwenye album ile ya kwanza
MUNGU awabarikii sana 🙏
Sema nn mnajua sana yani
Hongereni sana kwa kazi nzuri Mungu awabariki sana azidi kuwainua kwa viwango vya juu zaidi,Nawapenda.
AMINA
🔥🔥🔥🔥
enzi za mama gradi
🔥🔥
🙏🙏🙏
Nimebalikiwa nawimbo huo jmn
❤❤❤❤
Amina Amina mtu wa mungu,,endelea kubarikiwa,!!
,❤❤❤
Haleluya Tunda la Roho❤
❤❤❤
❤
Raha sana kumuona mpiga bass guitar 🎸 Philip anapiga solo guitar 🎸 lililotulia kabisa safisana hongereni jamani mnaendelea kunipatia Raha wstuwangu❤❤❤❤
🙏🙏
Hongera sana Buzuruga Kwaya kwa huduma yenu njema sana
👏👏👏👏👏wooow woow sàfii
Wimbo wang wa muda wote❤❤
Atariiiiiiii ogopaaaa ,,😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤
Ni hatariiii😂😂
I can't stop watching this, soloist for me🎉🎉🎉🎉🎉
Nawapenda saana, Hongereni saana kwa kazi nzuri ya Mungu. By JAL Fundi piano
waoooooooh waoooooooh halleluyaaaaa wkimbo huu unanibariki sana , haya Maono mliyopewa kwenye huu wimbo Mungu awabariki Zaid na kuwatunza katika huduma hii ya uimbaji.
Barikiweni watumishi
Amina mtu wa mungu endelea kubarikiwa
Aic muungano....majukumu tunawamiss❤
Myaka hiyooo kitambo sana sauti za ujazo
Enzi hizo besi ka zote mwanikumbsha mbali aisee🎉🎉🎉
Hongereni kazi Ni Njema..💥
Kheri nyingi sana kwenu watumishi wa Mungu 🙏
Hit song of all time
Ewaaaaa barikiweni Sana watumishi
Nzuri sana 👏👏
Safi safiiii
woow ....just woow
🔥🔥Fam
Moyo 🔥🔥🔥
Amanzimtoti beach KwaZulu-Natal Republic of South Africa tunawapata vyema kabisa, jirani wote twawasikiza kwa umakini ujumbe wenu mwema.
🙏
🙏