NATO waahidi msaada zaidi kwa UKRAINE kujilinda na Mashambulio ya URUSI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 77

  • @swalehemusa4546
    @swalehemusa4546 Před 18 dny +9

    Umoja wa majambazi nato

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Před 18 dny +9

    Tunazidungua Zote halaf leteni zingine mpaka tuwafilisi 😀😀😀😀😀

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 Před 18 dny +5

    HAWA HAWANA CHA MAANA WATAKACHO FANYA,
    URUSI NI TAIFA HATAR, SANA KWA TEKNOLOGIA, HAO MAREKANI WANATEGEMEA URUSI

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 18 dny

      Mikama ninavyo kuskia ww

    • @AliKaroyo
      @AliKaroyo Před 18 dny

      Urusi Ndio Taifa La Kwanza Dunian Linalo Ongoza Kwa Uzalishaji Wa Silaha Duniani Kma Ujui uliza😂😂😂@@user-tq4lx9si1n

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před 18 dny +5

    Likitokea tukio utaona yakimbia kwa emergency room kama michawi vile ila kwa gaza hawaoni vladmin putttin pigana sana utashinda iwapo utashinda salama nakubaki kwa madaraka yako fanya mazungumzo na Mr hayatoallah muiswage Israel 🙏🙏

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua Před 18 dny +5

    Bado mpk wafilisike

  • @ManirakizaOmar
    @ManirakizaOmar Před 18 dny +3

    Wakwanza hapa Fredi bundara

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před 18 dny +2

    Yaan hawa wapuuzi wa ulaya bado wanabuluzwa na huyu kiranja wao marekani kweli hawajielewi

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri1149 Před 17 dny

    wanashindwa kukaa mezani huu utahira kweli

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel4893 Před 18 dny +2

    Hawa mashoga bado dawa haijawaingia putini enderea kukandamiza doz bado,

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 18 dny +2

    Wabaguzi tu hao, nchi nyengine wanauliwa wao kimyaa😢

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 18 dny

      Kwaiyo na magaid nawao wanataka msahada

    • @zainajirani5296
      @zainajirani5296 Před 18 dny

      Wanaouliwa Congo ni magaidi!? Wanaokufa Palestina wanawake kwa watoto ni magaidi ​@@user-tq4lx9si1n

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 Před 17 dny

      @@user-tq4lx9si1n Gaidi ni jina tu kama majina mengine

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 Před 18 dny +2

    Hawa jamaa wapuuzi sana ..wanataka Ukraine iteketezwe ndo ..wafurah...na huyo zelesky muda wake siumeisha atoke tu....atasababisha Ukraine ibak historia

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g Před 17 dny +1

    Mimi nadhani Urusi haiwez kushindwa Vita hapa wanajisumbua tuu..

  • @user-kv7ng7cf4v
    @user-kv7ng7cf4v Před 18 dny +1

    Palestine 🇵🇸 wala hawaisaidii kwa lolote kwsbb ni waarabu na ni waislam lkn mayahudi wenzao wanawasaidia ila watambue kua wasizani kua Allah amehafilika na mambo wanayoyafanya

  • @venancembwaga-uw6kb
    @venancembwaga-uw6kb Před 17 dny

    😂😂😂😂😂 kaka mbona wamezidu gua tayar mrus noma zilikua kwenye tren

  • @ManirakizaOmar
    @ManirakizaOmar Před 18 dny +3

    Naomba kipindi Cha El Chapo story yake

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Před 17 dny

      Itafute stor book wasafi Jamal professor alitoa makala nzuri Sana ya elchapo guzman

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 17 dny

      Nenda wasafi story book

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 Před 17 dny

    Rais au ni rahisi 😂😂 mbona kachoka hvvvvi😂😂😂😂

  • @Kituramohamed9698
    @Kituramohamed9698 Před 17 dny

    Kila cku silaha za ulinzi kila uchwao na chaamaana hamna

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu Před 17 dny

    Kwani vijao vya NATO kila baada ya muda gani mbona juzi tuu walikuwa Italy

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 18 dny +1

    Wana aibu, chakumsaidia zelensky hawana

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před 18 dny +3

    Warusi hawatashindwa vita yani puttin kaxhaxem kamwe Ukraine haiwez kuxhnda vita mtu kaxhaxema kamwe

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 18 dny

      Sasa mbona yy hashnd

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před 18 dny

      @@user-tq4lx9si1n tatizo hufatilii War live sasa utajuaje kama hashindi kaangalia waukraine wanavyo pigwa hovyo kwenye mashimo huko odesaa mtu ananpigwa risasa kama vboko vya shuleni mh

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 Před 18 dny

      Unataka ashinde mara ngapi

    • @AliKaroyo
      @AliKaroyo Před 17 dny

      Ndugu Yngu Unataka Ashinde Mara Ngapi Ama Unataka Ukraine Itangaze Rais ni Putin😂😂😂 Haya Subilibia Ilo Litokee Maana uzuzu Unao Mwingi Sana. LENGO la Russia lilikuwa Ni kuchukua Mikoa 4 Ya Ukraine Ile Muhimu Ya Bandar Na Lengo La Pili Nikuakikisha Ukraine Haijiungi na Nato Je Malengo Ya Russia Kayafikia Ama Bado 😂😂😂 Ukraine kma Kidume Akomboe Mikoa Yke 4 Tumuone​#user-tq4lx9si1n

    • @SADICKITHOMAS
      @SADICKITHOMAS Před 17 dny

      Awa shogaz wanachezea kichapo kila kona, Yemen Izbollah , Hamas,, ao waun wa Kremlin ndo washawapoteza kwa drone za kamikaze

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před 18 dny +1

    Shenzi kbsa, hospital wamelipua wenyewe Kisha wanamsingizi Russia

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 18 dny

      We mamahako hanatombwa wima halafu hahoshi

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 Před 18 dny

      @@user-tq4lx9si1n brother unamjua mamangu kweli??

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před 18 dny +1

    Hhhh wanapigana na Urusi wakiogopa 😂😂😂😂waende wazima wazima wakungutwe. Hiyo mifumo haito saidia kitu bali itakawiza tu vita 😂😂😂😂

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 Před 18 dny +1

    Kwani nato ni mara yakwanza kuahidi msaada kwa Ukraine? si mpaka sasa urusi inapambana na nato sema wameshindwa mbinu wamebaki tuu kubweka

  • @jumamohammed2748
    @jumamohammed2748 Před 17 dny

    Mbona wamechelewa sana, Zelensky hana akili, kabisa!

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk

    KILA WAKIMSAIDIA UCREIN WANAZIDI KUJIPUNGUZIA UMAARUFUWAO NA KUMUONGEZEA URUSI WAFUASI. . SABABU NI HII, HUKO UCREIN WANAJIDAI WANAMSAIDIA ANAE DHULUMIWA. . NA HUKO IZRAELI WANAMSAIDIA ANAE DHULUMU, MWENYE MACHO NA AONEE MWENYE AKILI AFIKIRIE.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 17 dny

    Mwanaume mmoja tu PUTIN inchi zaidi ya 30 mnamchangia na mpaka leo hakuna mnachokifanya!! Acheni ushoga kwanza... Mungu hapendi.

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 17 dny

    Hata wakiahidi watapigwa tu mashoga hao

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 Před 17 dny

    Washashindwa hao wanajidai bure tu ili waonekane wasishindwe manyan'gau

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 Před 17 dny

    Subiri Trump atabomoa mpango huu

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 18 dny

    Kutoka kidhurai 45 nairobi mtangazaji pendwa tz na sns

  • @HarounRashid-rh6jr
    @HarounRashid-rh6jr Před 18 dny

    Wanajichanganya hao toka wawape silaha kuna kipi kimefaa

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 Před 18 dny +1

    Kwaiyo nato wanaona ukreni ndo anaonewa ila wanavyo fanyiwa wapalestina na Israeli nato hawayaoni wala hawasikii?

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 18 dny

      Israel anauwa magaidi hachaujnga ww

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před 18 dny

      @@user-tq4lx9si1n kumvamia mtu ukampiga si ni ugaidi kwahyo na puttin nae ni gaidi?

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabene Před 17 dny

    Mimi nahamini kabisa NATO ndo chanzo chavurugo,chochote wanacho kifanya kinafilisisha inchi zao ,pia misaada kama hiyo wamesha hitowa zahida ya mara 50,bila mafanikio,kusahidia Ukraine vifaa kutazoofisha saaaaaana Ukraine ,ila rais WA Ukraine ahoni mbali,wao wakae chini wazungumze na urusi ya malizika,asipumbazwe na inchi za magharibi,wana inchi wake ndo wahahuwawa kila kukicha,na inchi yake kuharibiwa

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 18 dny

    Urusi anazisubiri ili awashe moto

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 18 dny

    Hivi hawa wote wanateswa na urusi peke yake hivi ni kweli umoja huu wa NATOunawapa uhakika wa usalama?

  • @computerjoshua96
    @computerjoshua96 Před 18 dny

    Kwani ao NATO wanangozi ya chuma au ?waende wao kupigana wanatoa outdates silaha kuwapa wenzao kisha pia kufanya dumping ya silaha uko😢

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 Před 18 dny +1

    Muona Erdogan hapo

  • @user-up6zl1ck3j
    @user-up6zl1ck3j Před 18 dny

    UN ni O, ukilinganisha Israel anachokifanya Gaza na urusi anachokifanya Ukrain ni tofauti sana, Putin akiua 2,wanapiga kelele saaana,lakini Netanyahu anaua kwa mafungu wanakaa kimya, au kuna utofauti wa damu ?

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před 18 dny

    Nato umoja wa mashoga

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před 18 dny

    Nato machoko

  • @OresteDomingos
    @OresteDomingos Před 18 dny

    Urusi ni dude likubwa

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 Před 18 dny

    Sasa huyu zerolynsk yeye anaabufi mifumo ambayo kila siku haifanyi kazi huyu jamaa ata akizinduka tayari nusu ya ukraine yote ipo urusi

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 Před 17 dny

    Vivaaaaaa NATO😮

  • @user-hx7tr5iw8p
    @user-hx7tr5iw8p Před 17 dny

    Hapo ndio wamemchokoza putin Washuhudie ukraine inakuwa chekecheke na huyo comedy zelesk akikimbia nchi.

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 Před 18 dny +1

    Hizi ahadi zao hazisaidii Ukraine Kwa chochote.

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 Před 18 dny +2

    Mbona kuhus gaza hawakai vikao 😂😂😂

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Před 18 dny +1

    Majambazi kazi wanayo

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 18 dny

    Safi sana.Isaidieni Ukraine ijilinde dhidi ya uvamizi wa Putin.Putin na maguvu yake anakaonea ka nchi kadogo.

    • @hafidhmiraji9479
      @hafidhmiraji9479 Před 18 dny

      Unafatilia mamb kwel bro.Emu amka katika usingiz bro

    • @awadhisarai4331
      @awadhisarai4331 Před 18 dny

      Wala pia hajui yuaongea nn​@@hafidhmiraji9479

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 18 dny

      ​@@hafidhmiraji9479ww unafatria

    • @paulhema5713
      @paulhema5713 Před 18 dny

      Apo sio Putin NATO ndo wanaionea Ukraine..huko Gaza wametulia wanachochea huku tu ili Ukraine afe .😅

    • @masudiramadhanimasudi
      @masudiramadhanimasudi Před 17 dny

      Hivi ww wajua unacho sem 😂😂😂nilitamani kukunasa kibao

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 18 dny

    Kwamfano ishambulie leo kabla hiyo mifumo haijafika itakuwaaje!