UBATIZO WA SHEIKH MAZINGE BAADA YA KUPATA ANDIKO KUA UKRISTO NI NJIA YA HAKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • huyu Ndie Prof: Mazinge alivyowagaragaza wakristo

Komentáře • 430

  • @lamerckmsuya5513
    @lamerckmsuya5513 Před 2 lety +21

    Namshukuru Mungu, ni miaka kadhaa sasa imepita toka nimpokee CRISTO, huku raha sana unaish bila kwenda kw mganga wa tunguli.. Halleluya..yan mimi nilikuw mbishi mfano wa mazinge lkn yote n kw sabb ukiw ktk giza uwez uwez iona NURU, NURU n CRISTO njoon mpate ingia NURUNI.

    • @suleim505
      @suleim505 Před rokem

      UNATAKIWA UELEWESHWE LUGHA YA KISWAHILI: Sisi Dini yetu inaitwa UISLAMU,, ivi kushawahi kusikia kuna yahudi, islamu,, Kristo,, pagani katika biblia hiyo kristo siyo dini mnatakiwa kutafuta dini kwanza.

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy Před rokem

      Wewe kafiri acha uongo uislamu haukutaka mtu aende kwa mganga
      Wewe hukuwa mfano wa mazinge ata siku Moja
      Umeenda katika ukristo ukaimbe na ukale mziki basi ukasngalie na matako na mapaja maana kanisan wanawake vimini na suruali ndo mavazi yao

    • @JumaK-rl5eg
      @JumaK-rl5eg Před 10 měsíci

      @@SalmaAbdul-zz7dy huyo hujamuelewa itakuwa alikuwa mshirikina mwanzo

  • @godfreyoluoch3832
    @godfreyoluoch3832 Před 2 lety +20

    Mwenyezi mungu ajikalie maisha marefu mwalimu Ndacha, panga mkutanano na Dr Zakir pia mwalimu wangu juu naamini hajawahi patana na msomi wa kiwango chako

    • @zanzibarspice8686
      @zanzibarspice8686 Před 2 lety +1

      Dr zakir ni Hatari sana Ndacha Hatamuweza Hata siku 1

    • @sarahkudoyi4371
      @sarahkudoyi4371 Před 2 lety

      Na venye mna kimbelembele si huyo zakir angekua kashawasili ukumbini nivenye mwenyewe kaogopa maana hana hoja kwa ndacha na ndio maana kina mazinge wameshindwa kumsilimisha ndacha nyioooh!!😂😂😂😂

    • @DonHunter
      @DonHunter Před 2 lety

      Dr Zakir hatari kabisa,,mchungaji wenyu ni mtoto sana kwake...ata kimbia uyu😂😂😂

  • @fidellujo8362
    @fidellujo8362 Před 2 lety +42

    Jina la yesu lihimidiwe Amina

  • @edwinezawadi4707
    @edwinezawadi4707 Před 2 lety +17

    Umewakasowa sana mchungaji barikiwa kwa utumishi mzuri

  • @user-is6hj2pb9l
    @user-is6hj2pb9l Před 11 měsíci +3

    Udumu mwalimu ❤ nakumwagia mauwa ipo siku waeslaam wataamini tu

  • @jameswamathai5554
    @jameswamathai5554 Před 2 lety +20

    pastor Mungu akuzidishie neema!! You are a very good example of a true man of God

  • @danielodhiambo552
    @danielodhiambo552 Před 2 lety +31

    Pastor you are a true man of God.. you are annointed and carry fire in you..may the almighty our lord Jesus Christ bless you abundantly

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 Před 2 lety +2

    Mazinge ni boya tu. Kumkichwa hamna kitu. Bigup Ndasha.

  • @magrethpius8566
    @magrethpius8566 Před 2 lety +7

    Ndacha Safi sana Bwana Yesu Kristo juu!!

  • @wilsonlameck4046
    @wilsonlameck4046 Před 2 lety +7

    Imeshabainika kuwa kafiri ni mpingaji anaye pinga kauli tangulizi! Mwenyezi Mungu anasema shetani makao yake yatakuwa jehanamu pamoja na wafuasi wake ,lakini wapingaji wanasema amesilimishwa (amenyenyekeshwa) name Mtume(Saw) Mohamadi. Maadamu ameslimu ataingia peponi!! Mwennyezi Mungu amesema kuwa atamfisha Yesu(Is a) na kumuhuisha tena, wapingaji wanasema Yesu hakufa! Bali Mungu mahali pa kufa Yesu alimweka MTU mwingine!!! Mungu amesema Yesu anazaliwa kwa uwezo Wa Roho bila ya Baba wa kimwli! Wapingaji watiliashaka kauli ya Mungu ,na kudai kuwa Yesu amezaliwa na Yusufu!!

    • @rashadkipingu5109
      @rashadkipingu5109 Před 2 lety

      Acha uongoo nduguu Sisi Hao wapingaji wako hatujuwai kusema yesu kazaliwa na yussufu majibu kasome surat imraan

  • @navyhanda2548
    @navyhanda2548 Před 2 lety +4

    Asante Sana pastor Ndacha wape habari mpya wapate wokovu watoke kule msikitini

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 Před 2 lety +24

    Ndacha hata waungane mazinge 5 hawamuwezi,wasabato wamesoma sana,

  • @andreaowden-gq5rr
    @andreaowden-gq5rr Před rokem +2

    Waislamu mungu awafungue tu maana wa naubishi usikuwa na uelekeo kabisa p ndacha ubarikiwe sana

  • @naomiwanjiru5157
    @naomiwanjiru5157 Před 2 lety +11

    Waooh, bwana yesu asifiwe sanaaa

    • @twarikshunda6223
      @twarikshunda6223 Před rokem

      Hapana Allah ndo mungu pekee na hakuna mwengine anaefanana nae na hakuzaa wala hakuzaliwa na mwenyenzi mungu mmoja tu

    • @biswalhadogani-wt8kv
      @biswalhadogani-wt8kv Před rokem

      Alihubiri masinagogi ambae ni misikiti we ndacha na watu wako nyie ni makafiii haswaaaa

  • @spiritualhymnstenzizarohon3701

    Namkubali sana mwalimu ndächa YESU azidi kutukuzwa kupitia wewe

  • @christinegatwiri8008
    @christinegatwiri8008 Před 2 lety +6

    Amen Pastor, Glory be to God.Go, then,to all people everywhere and make them my disciples: baptize them in the name of the Father,the son,and the Holy Spirit,and teach them to obey everything i have commanded you .And i will be with you always,to the end of the age.

  • @fredleonardo739
    @fredleonardo739 Před 2 lety +14

    Huyu mchungaji huyu ni 🔥🔥🔥🔥

  • @sephmanjoseph8855
    @sephmanjoseph8855 Před 2 lety +14

    Mazinge pole sana wewe mubishi sana halafu ubishi wako Haina maana zaidi unapotosha wasio elewa

  • @abubakarmohamed9567
    @abubakarmohamed9567 Před rokem +4

    Nashukuru Mungu baada ua kusikiza hii video imani yangu ua uislamu imeongezeka Alhamdullilah

  • @carlosletema9914
    @carlosletema9914 Před rokem +4

    Pastor ndacha thanks very much I thought I was in a wrong religion but you ahve confirm it but we all leave it to God for guidance ☺️

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Před 2 lety +1

    Mutumishi Wa mungu ishi kama bahari ili mungu akutumie utu teteye kwa izi roho zisizo amini mungu yesu akupe ufunuo tena télé mutumishi un aishi wapi ? Swahili umeongea nakisikia sana ila mimi ni mu Congo utumishi roho yangu ime tamani sikumoja tuonane mbingu nione umevikwa taji la ushindi kwa kushinda izi roho za uasi amina🙏🙏

  • @kevinmtei1457
    @kevinmtei1457 Před 2 lety +10

    Yesu ndie njia

    • @NadhraOmar
      @NadhraOmar Před rokem

      Hiyo njia inayo itwa Yesu ikomahali Gani

  • @moshseke38
    @moshseke38 Před 2 lety +2

    Ndacha mungu akubaliki

  • @kaberaolivier9153
    @kaberaolivier9153 Před 2 lety +3

    Barikiwa sana mtumishi... Burundi bujumbura tunabarikiwa Na kazi yako

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 2 lety +10

    Maa Shaa Allah, Barikiwa Sana Sheikh Mazinge,Allah Akupe Umri.

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 Před 2 lety +3

      Kanisa siyo jengo,, kanisa ni mkusanyiko la watu wanao mwamini Kristo. Yesu yeye mwenyewe na Wanafunzi wake ni kanisa.

  • @furahadaudi9516
    @furahadaudi9516 Před 2 lety +4

    Asante Yesu Kristo

  • @kashankonga5419
    @kashankonga5419 Před rokem +3

    Mungu akubaliki ndacha napenda mafunndixho yako

  • @mlalikwabiswalo7804
    @mlalikwabiswalo7804 Před 2 lety +6

    Ndacha Yuko vizuri

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 Před 2 lety

      Sana mungu Ampe umli mlefu ambatize mazinge nawaislamu wengine Kwa jina la yesu kristo wa nazaleti

  • @josephatmnongone6143
    @josephatmnongone6143 Před 2 lety +1

    Asante sana Mwl Ndacha kwa somo zuri

  • @rehemabahati5809
    @rehemabahati5809 Před 2 lety +6

    Pastor may God bless you soo much 💯💯💯💯

  • @mariamhassan2813
    @mariamhassan2813 Před 2 lety +1

    Hongera sheikh mungu akulinde na insha Allah wakristo wengi wataslim

    • @massiasinkala3478
      @massiasinkala3478 Před 2 lety

      Nani uyo???? mkristo aslim???yaan aukimbie uzima wa milele aifate jehanam???yaan mim ata unipe trilion zote siwez kuslim maisha,yaan ata panga liwekwe shingoni mwangu siwez kuslim ata sekunde moja

  • @francismhilu2936
    @francismhilu2936 Před 2 lety +18

    Huyu mwalimu wa kiislamu aachwe aendelee kuonyesha jinsi alivyo na hoja finyu ila kwa wale MUNGU ANAOWAONYESHA maana anauliza vitu vyepesi sana hana hoja

    • @mussakamando2678
      @mussakamando2678 Před 2 lety

      Wewe hujui maandiko

    • @francismhilu2936
      @francismhilu2936 Před 2 lety +3

      @@mussakamando2678 sasa sijui maandiko kwenye nini mbona kama hujaweka wazi au ndiyo walewale wafuata mkumbo toa maelezo nini unamaanisha vinginevyo usicomment ili uonekane umecomment ilhali hueleweki

    • @bone102
      @bone102 Před 2 lety

      @@mussakamando2678 jina Lako zuri ila huelewi kitu

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před rokem

      Ukimwangalia vizuri Mazinge ameshachanganyikiwa. Maana anamdhihaki Mungu

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy Před rokem

      ​@@elishakayagwa9371 mazinge hawezi kumzihaki mungu
      Labda mungu wenu wa bandia

  • @marthajoseph3297
    @marthajoseph3297 Před 2 lety +1

    MUNGU akubariki sana sana mtumishi wa MUNGU.

  • @PhilipMuli-uu7fj
    @PhilipMuli-uu7fj Před 3 měsíci

    jina la Yesu ni jina kuu sana kuliko majina yote

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Před 2 lety +3

    Pastor uko vizuri hadi raha

  • @timothymagugudi1260
    @timothymagugudi1260 Před 2 lety +2

    Amina mtumishi, ubarikiwe sana.

  • @debigshark442
    @debigshark442 Před 2 lety +1

    Wow very true pst ANEN

  • @JassonJoshua-dq9os
    @JassonJoshua-dq9os Před 3 měsíci

    Kuna vitu nazidi kujifunza sana, asante YESU

  • @geraldineirankunda1159
    @geraldineirankunda1159 Před 2 lety +3

    Mubarikiwe sana Mungu awabaliki tunawapenda

  • @johnsombi545
    @johnsombi545 Před 2 lety +11

    Ameweza kweli mazinge kawa mdogo kama piritoni

  • @katherinasamwel3937
    @katherinasamwel3937 Před 2 lety +9

    Barikiwa sana mtumishi ndasha 😘😘😘😘

  • @mutairichard5610
    @mutairichard5610 Před rokem +1

    Mko sawa pst na mafundisho ,ni siku tu,yohana.2:19, mbarikiwe sana

  • @oyayatimothy1290
    @oyayatimothy1290 Před rokem +7

    Ndacha is the professor here

  • @johnmachanganya9947
    @johnmachanganya9947 Před 2 lety +1

    Ndachi upo vzr Mungu Akubariki

  • @philiplenana6107
    @philiplenana6107 Před 2 lety +1

    mungu aishiye asaidie waislamu, wamepotea akh

  • @cypriannyakundi-zy9hr
    @cypriannyakundi-zy9hr Před 7 měsíci

    God bless u pastor Ndacha

  • @thischildsofunny9872
    @thischildsofunny9872 Před 2 lety +75

    Mimi na Familia yangu tumekuwa wakiristo baada ya kusikia hixi hoja

  • @atufigwegelusajo955
    @atufigwegelusajo955 Před 2 lety +4

    Ni kweli kabisa hao lugha ndo inawachanganya na huwa wanajengea hoja zao finyu kwenye lugha tuu

  • @felinesmsuva847
    @felinesmsuva847 Před 2 lety +8

    Mazinge hamuwezi Ndacha

  • @DevidiibrahimMoses
    @DevidiibrahimMoses Před 2 měsíci

    Mungu atubariki sote tunaomkubari

  • @danielernest8588
    @danielernest8588 Před 2 lety +27

    Waislam wamepigwa na kitu kizito 😂😂🤣🤣🤣😂😅

    • @DuliBrillant-mr8er
      @DuliBrillant-mr8er Před 3 měsíci

      Ulopgwa na chin ni ww usieijua dini ya haki mbele ya mwenye enzi mungu ni ip hiv ww hujiuliz maswal et yesu ni mungi hlf et ni mtu mukiulizwa hii vip mnaleta utatu yan yesu kazaliwa halaf katahiriwa halaf kafa eh jaman bas ata babu yng alkua aitwa mungu coz alizaliw alitahariw na ashakufa

  • @VincentKavishe
    @VincentKavishe Před 4 měsíci

    Ndacha Mungu akulinde ma magumu yoyote amina

  • @Estherm309
    @Estherm309 Před 2 lety +3

    Ogera pastor ubarikiwe na mungu

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb Před 9 měsíci +1

    Glory to our LORD GOD

  • @jamesjira2559
    @jamesjira2559 Před 2 lety +2

    God bless you pastor.

  • @rubonezajeanclaude5910
    @rubonezajeanclaude5910 Před 2 lety +6

    Mungu afunguwe macho wa lslam, kwakuwa wanasomewa maswali na jibu wana zipata kutoka Quoran na Bibiliya ira ku elewa nivigumu, wanajitahidi kureta vitu vingine na swali wameshapata jibu, Mungu awasahidiye

  • @nasramussa2369
    @nasramussa2369 Před 2 lety +1

    waislamu mmegalagazwa

  • @rogatimushi689
    @rogatimushi689 Před 9 měsíci

    Ahsante sana ndacha kwa kuwafundisha hao waislam

  • @user-zd2yi3kb5x
    @user-zd2yi3kb5x Před 8 měsíci

    Ameeen ubarikiwe sana mtumishi🎉

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y Před 5 měsíci

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @emayanlimited2574
    @emayanlimited2574 Před 2 lety +4

    AMEN AMEN

  • @emmanuelmuthui3081
    @emmanuelmuthui3081 Před 2 lety +3

    Aki Mzee Mazinge ana mambo

  • @Enemyofallah-y4u
    @Enemyofallah-y4u Před 2 lety +1

    Kumkubali yesu ni neema

  • @naysahope5399
    @naysahope5399 Před 2 lety +2

    Kongole mr. Ndacha👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏❤

  • @telesiasaga5621
    @telesiasaga5621 Před 2 lety +7

    Kumbe muislamuu??? Shetani duuu ndiyo maana mashetani mengi huwa yanasema hi salamu ya waislamu??? Afu ukienda kwa waganga ukute wanasema aslamleko 😂😂 Sasa uone mashetani kama yatataja jina la YESU yatachomwa motooo❤️❤️❤️❤️

    • @lileoh3893
      @lileoh3893 Před 2 lety

      Kwanza wewe yawezekana shule hukwenda ndio maana unasubili2 kusomewa na ma kafili wenzio wale wapokazini wanajua kama uislam ndio dini ya bwana yesu ila wewe kipofu ndio unashida soma ufunuo 2 12 agano jipya ndio ujue mfalume wa uklisto ni shetani

    • @massiasinkala3478
      @massiasinkala3478 Před 2 lety

      kuna jirani yetu mmoja aliwah kupandisha mapepo akaanza kusem namtaka shekhe,akaambiw mchungaji,pepo halitaki mchungaji,sasa apo akili kichwani,kwann pepo limtake shekhe??mim baada ya hapo nikajifunza jambo

    • @aminashaaban5846
      @aminashaaban5846 Před rokem

      Uyo itakua kapandisha mkeo,sio jirani yako

  • @byarugabamulokozi4195
    @byarugabamulokozi4195 Před 2 lety +1

    Uislam na ukristo wote ni watafuta njia ya kumjua Mungu katika taratibu za Jadi

  • @user-jv1os7je3x
    @user-jv1os7je3x Před 11 měsíci

    Ombeni sana wa Cristo munapokutana nayo Mazinge mujuwe munakutana na shetani uyo ni mtumishi WA shetani mensagem kutoka Moçambique Mungu awabarik sana wa Cristo Yesu 3:36 ni Mbwana

  • @AshrafKilimo
    @AshrafKilimo Před 8 měsíci

    Alhamdulillah sees

  • @baltazaririchard3197
    @baltazaririchard3197 Před 2 lety +4

    Mimini Bwana,ndilo jina langu,na utukufu wangu sitampa wingine,wata sitawapa sanamu sifa zangu,Zaburi,115:4-& Sanamu zao ni fedha na dhahabu.kazi ya mikono ya wanadamu.Zina vinywa lakini hazisemi,zina macho lakini hazioni.zina masikio lakini hazisikii ,zina pua lakini hazisikii harufu ..mikono lakini hazishiki ,miguu lakini haziendi ,wala hazitoi sauti kwa koo zake,Wazifanyao watafanana nazo,wazifanyao watafanana kila mmoja anayezitumainia,"

  • @peninahkariuki1136
    @peninahkariuki1136 Před 2 lety +1

    Pastor Barikiwa milele😁👏👏

  • @erickbyamungu973
    @erickbyamungu973 Před rokem

    Ubarikiye ndasha❤❤❤

  • @JahlayzahEbrahimovc
    @JahlayzahEbrahimovc Před 4 měsíci

    Ubarikiwe

  • @barakafurume3541
    @barakafurume3541 Před 2 lety +2

    Be blessed

  • @leonidamaganga6750
    @leonidamaganga6750 Před 2 lety +22

    Mchungaji ndacha anaongea kwa hoja kutoka biblia na Quran ila shekh mazinge amechemka Hana hoja Bali ni mbishi tu

    • @devinahmatoke3136
      @devinahmatoke3136 Před 2 lety

      Ukweli mtupu. Mazinge has no content

    • @nuruabdallah6692
      @nuruabdallah6692 Před 2 lety

      @@devinahmatoke3136 wacha kujipa moyo nyinyi musiojielewa yesu siku hiyo atawaruka

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn1402 Před 2 lety +10

    Hawa magaidi ni wabishi kama mungu wao shetani.

    • @nuswemwaipopo9558
      @nuswemwaipopo9558 Před 2 lety

      Kumbe shetani mungu

    • @zephaniahfanuel8444
      @zephaniahfanuel8444 Před 2 lety

      @@nuswemwaipopo9558
      Milton yupo sahihi, miungu ipo mingi sana, kwa tafsiri ya huyu bwaba Milton mungu ni kile kitu unacho kiabidu, kama unaabudu nyoka huyo ni mungu wako, kama unaabudu shetani huyo ni mungu wako, na kwa vile akina mizinge wanaabudu shetani huyoni mungu wao,
      NB: Tofauti tofauti ya Mungu muubaji wa vyote, anayeabudiwa kwa haki, baba wa Bwana wetu Yesu kristo ni katika maandishi, lazima uanze na herufikubwa "Mungu" ukiandika "mungu" unamaanisha, mizimu, majoka, mapango, miti mikubwa, makaburi, na miungu mingine. uwe makini.

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy Před rokem

      ​@@zephaniahfanuel8444 mshalaaniwa nyie na misalaba yenu

    • @MwanaidiSeiph-qs4jw
      @MwanaidiSeiph-qs4jw Před rokem

      Nan gaidi

  • @passlinemedia6657
    @passlinemedia6657 Před 9 měsíci

    Ndacha barikiwa sana

  • @MzuriAmiri-cy4kc
    @MzuriAmiri-cy4kc Před 10 měsíci

    Mungu akusaidie sana

  • @jacksonmusyoka8837
    @jacksonmusyoka8837 Před 2 lety +3

    Ahasante ndacha dini ya shetani ni waislamu

    • @lileoh3893
      @lileoh3893 Před 2 lety

      Soma ufunuo 2 12

    • @nuswemwaipopo9558
      @nuswemwaipopo9558 Před 2 lety

      Kumbe shetani anadini?

    • @samutykuntathebantu8402
      @samutykuntathebantu8402 Před 2 lety

      @@lileoh3893 wacha ushabiki mtumwa wa shetani wewe

    • @aggreykileo8422
      @aggreykileo8422 Před rokem

      Ndacha ni Mtumishi wa Mungu aliye hai, roho wa Mungu yu juu yake kwa ufahamu wa kawaida huwezi kuchambua mambo ya Mungu kwa kiwango hicho roho Mtakatifu asipokuwa nawe. Majini yote yalisilimu yakawa waislamu na wanaabudu nayo msikitini eti nao ni viumbe wa mwenyenzi Mungu pumbavu zenu mwaminini Yesu kwani hata muhamad kwenye Qurain anakiri Yesu ndiye atakayehukumu ulimwengu hata na yeye atapanga mstari apokee hukumu yake

  • @NghongeLulenda-xg2hg
    @NghongeLulenda-xg2hg Před rokem

    Ukiona umekosea njian usiendelee na njia iyoiyo utafk kuskojulikana kbs,( yani ukipotea njia ya kwenda mbiguni unakuw na njia ya kwenda jehanam 2) rfk zetu waislam yesu ni njia karibu sana ukristo 2nawapenda sana , wala sio kwa nguvu au mabavu ukweli wowote uliofunuliwa ukusute ufanye
    maamuzi

  • @graceayugi4034
    @graceayugi4034 Před rokem +2

    Wish to meet you one day pastor

  • @ephraimmahambo8516
    @ephraimmahambo8516 Před 2 lety +2

    Ndacha anaoja zinazo eleweka mpaka inasikia raha

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 7 měsíci +2

    Ninachojua mdaharo wowote wa Waislam VS Wakristo waislamu huwa wanashindwa. Kigoma hadi walienda kushitaki Polisi baasa ya Simba Ulanga kuwanyoosha hadi Ijumaa wengi hawakwenda msikutini hasa vijana baada ya kueleza mambo ambayo yaliwachanganya waislam.

  • @athurmutungi4979
    @athurmutungi4979 Před 2 lety +2

    Amen

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Před 2 lety +1

    Kwa Bwana Yesu Kila Goti litapigwa

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 Před 2 lety +6

    Professor Mazinge Allah akupe umri mrefu yenye afya walahi ww ndio kiboko ya makafiri

    • @shamimibrahim1089
      @shamimibrahim1089 Před 2 lety

      Tena Sana ataishi kuwasilimisha wengi makafiri

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 Před 2 lety

      Mazinge anawaongoza waislam kwenda moton nyie mfuatilien aendee lee kuwalisha matango pori mana din sahihi ni Christian mfuaten yesu mtaiona pepo

  • @emmanueldymonmbuhe9248
    @emmanueldymonmbuhe9248 Před 2 lety +7

    Elimu Nzuri.

  • @lutfabdulrab5527
    @lutfabdulrab5527 Před 2 lety +3

    Maana ya kanisa ni mkutaniko siyo nyumba ya ibada ya Mungu, kwa hivyo dini ya kikristo siyo dini ya Mungu ila dini ya mkutaniko wa watu

    • @bintiwayesu2226
      @bintiwayesu2226 Před 2 lety +4

      kanisa ni mkusanyiko au mkutano wa watu wanaomwamini Kristo, sio mkutano au mkusanyiko wowote ni kanisa, lazima mkusanyiko huo uwe na imani moja juu ya Kristo na Kristo ni Mungu mwenyewe

    • @emmanuelmuthui3081
      @emmanuelmuthui3081 Před 2 lety

      Yaani wewe Lutf Adbdulrab lazima upinge chenga, Hivi unajifanya uelewi maandiko yenye yamesomwa. Mkusanyiko wa watu wanaoamini yesu, sio mkusanyiko tuu.

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 Před 2 lety +5

    Mazinge anatakiwa abatizwe maana kaishiwa hata swali kilicho Baki mi kubatizwa Tu nakuimba kwaya

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před 10 měsíci

    Wakristo Mungu awafungue TU mfate dini ya haki pamoja na kitabu kisicho kuwa na shaka quran

  • @user-is6hj2pb9l
    @user-is6hj2pb9l Před 11 měsíci

    Amini yesu ninyi makafiri

  • @user-xf8ge2uk5w
    @user-xf8ge2uk5w Před 4 měsíci

    Vizuri sana kuchungaji ndacha

  • @telesiasaga5621
    @telesiasaga5621 Před 2 lety +3

    Olive you Jesus

  • @simonmisri7824
    @simonmisri7824 Před 2 lety +1

    Moto saaaaana mchungaji

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 Před 2 lety

    Takbiiiiiir

  • @rubonezajeanclaude5910
    @rubonezajeanclaude5910 Před 2 lety +1

    Wana ganganiya kupinga kama Yesu Kristo siyo Mungu tena Quoran imesha sema na Bibiliya ikasema, sasa kwa nini musi amini Quoran na andiko yayo, ira kazi kupoteza watu wasijuwe ukweri kama Yesu Kristo ni Mungu

  • @adelakimario7945
    @adelakimario7945 Před 2 lety +7

    Hawakuwezi ndacha.

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 2 lety +1

      Ndo amejibu Nini, Basi vunjeni majengo yote

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 2 lety

      Ameambiwa ajibu wp UKRISTO ni dini ya haki

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 2 lety

      Ety shetani alisilimu na Bible inasema na mapepo wachafu kila walipo muona walianguka na wakasema tumeaminu ww ni mwana wa MUNGU mbona ndacha hili andiko ameliwacha,3:19 Qur'an dini mbele ya MUNGU ni Islam tu wapi UKRISTO ni dini

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 Před 2 lety

      Kanisa siyo jengo,, kanisa ni mkusanyiko la watu wanao mwamini Kristo. Yesu yeye mwenyewe na Wanafunzi wake ni kanisa

  • @JofreyAbdala
    @JofreyAbdala Před 6 měsíci

    Elimu unawapa sana mtimishi ila hawa ni wabishi sana tumwombeh mungu atuongozee

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 Před 2 lety +9

    Mazinge Swali alilouliza kauliza kwasababu hajui Nini Maana ya Kanisa😂😂😂😂

    • @hemed4064
      @hemed4064 Před 2 lety

      Kauliza kwa kujua,

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 Před 2 lety +1

      @@hemed4064 Unamaanisha kauliza swali huku hakijua kuwa hilo siyo swali analopaswa kuuliza😂😂😂😂🤣

    • @hemed4064
      @hemed4064 Před 2 lety

      @@frankmpembu2505 wewe ndo hujaelew ndugu,
      Yesu hakuna sehem kaingia kanisani, sasa nyiny kanisani mnaend kutafta nini?
      Lkn pia, kwa mujib wa uyo mchungaji, kanisa ni mkusanyiko wa watu, sasa mbona yale majengo yanaandikwa makanisa? We huon kama umeenda kinyume na maandiko, swali kanisa ni nyumba ya ibada au ni mkusanyiko? Kama ni mkusanyiko kwa nini yale manyuma mnayaita makanisa, na alaf mnaingia wkt yes hajawah kuingia?

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 Před 2 lety +1

      @@hemed4064 SWALI ZURI UMEULIZA
      Kwa mujibu wa Maandiko, Kanisa siyo jengo la matofali au udongo au miti au nyasi.Bali kanisa ni Kusanyiko la watu wanaomwamini Kristo,,na Kristo huwa anakaa ndani ya kanisa yaani ndani ya Kusanyiko la watu wanaomwamini yeye Kristo
      Mathayo 18:20
      20 Kwa kuwa walipo WAWILI WATATU WAMEKUSANYIKA KWA JINA LANGU, NAMI NIPO PAPO HAPO KATIKATI YAO.

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 Před 2 lety

      @@hemed4064 na kama Kanisa siyo jengo kwanini tunajenga jengo,,,tuna jenga majengo hayo hili kujikinga na mvua, jua, kuhifadhi mali zetu na kadhalika. Jengo hilo siyo kanisa, Bali lile Kusanyiko la watu lililomo ndani ya jengo hilo, Hilo Kusanyiko ndiyo kanisa, rejea Mathayo 18:20
      20 Kwa kuwa walipo WAWILI WATATU WAMEKUSANYIKA kwa jina langu, NAMI NIPO PAPO HAPO KATIKATI YAO.

  • @bahatimihambo7639
    @bahatimihambo7639 Před 2 lety +20

    Mtumishi hua nakuelewa sana hao unao bishana nao hawana elimu ya mbingun wanabishana kwa mazoea ubishi wa kwenye kahawa kwahio ni busara uwafundishe kwanza kwamba yesu ndio njia, yesu ndio neno litokalo kwa mungu, yesu ndio mwenye mamlaka mbinguni, duniani na chini ya aridhi na akirudi yeye ndio atakae simamia hukum ya waovu na wasio waov pia alisema kua kwa babayake kunamakazi yakutosha je waulize waulize kua wapi Muhammad alisema kwamba yeye ndio njia ya kweli kwenda peponi?

    • @graceshayo1347
      @graceshayo1347 Před 2 lety

      Ten anabishana na watu hatar San hao na asingekuw amesimama wangesha muua Mungu akutunze mtushi Kaz yako njema

    • @prislaaugustino8670
      @prislaaugustino8670 Před 2 lety

      Hakuna kama yesu

    • @MaryMmm233-yh3hf
      @MaryMmm233-yh3hf Před 7 měsíci

      Kabisa yani nakubaliana na hicho anacho kisema sio wale wasio jiamini mungu amzidishie wingi wa neno sio maneno

  • @SafariHakizamana
    @SafariHakizamana Před 20 dny

    Asante mutumishi wamungu ndacha 6:14 a