Sports AM | Duwa Said asimama akitamba kuitesa Yanga, Kenneth Mkapa amjibu
Vložit
- čas přidán 10. 05. 2024
- Tazama ubishi wa magwiji wa soka nchini Kenneth Mkapa wa Yanga, Duwa Said wa Simba na Adolph Rishard wa Yanga wakitambiana namna walivyokuwa bora enzi zao wakilisakata kabumbu.
Duwa Said aamua kusimama wima. - Sport
Bin Zubeir toa nafasi kwa wanaojua wamalizie maelezo yao. Unakatiza na kuingilia maelezo yao sio poa👎
Halafu wewe mtangazaji kama uko kijiweni. Sasa mchezaji uikiingia kwenye timu ukimkuta mwenye namba lazima usubiri!
Kama kuna mtu analijuwa jina lake [ Boy Weekend ] kwa sababu mimi najuwa hilo jina aliyempa hilo jina