TBC NA CHADEMA WAMALIZANA / MBOWE USO KWA USO NA DKT RIOBA / SUGU ATAJWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 09. 2020

Komentáře • 130

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 Před 3 lety +2

    Hongereni sana,kwa kitu kizuri mulichokifanya kwa taifa.
    Wanaogea hawakosani.

  • @dullymsafi9030
    @dullymsafi9030 Před 3 lety +23

    Umeona Mambo ya kujisimamia huwa yanaleta hesma na Aman, na haki, hiv kimfano asingewafukuza hii yote ya kukiri kosa tungeona, na wangeendelea na ushenzi wao, mbowe ww n kidume saruuuuti kwako, na TBC nanyi nawapongeza kwa kukiri kosa na kutoa utofauti wenu na chadema

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 3 měsíci +2

    TBC siku zote timizeni wajibu wenu kwa kutenda HAKI kama chombo cha habari na msikubali kutumika na chama chochote cha siasa kinyume na maadili ya chombo cha habari.Tunahitaji kuwa na taasisi zenye mifumo imara.Hongereni tbc na chadema kumaliza tofauti zenu.Haki huinua taifa.

  • @tonywilliams8819
    @tonywilliams8819 Před 3 lety +4

    Dr Rioba!I always respect you brother.You are absolutely correct!!

  • @barakawillson1741
    @barakawillson1741 Před 3 lety +4

    Hi ni chanel ya ccm. Wanawatenga vyama vingine

  • @japhetkavishe2347
    @japhetkavishe2347 Před 3 lety +7

    TBC acheni bias hata mm siiangalii tena

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso9479 Před 3 lety +2

    Nchi yenye watu wanaotambua madhaifu yao na kujikosoa ni nchi yenye afya , Ryoba na mbowe, hongereni, tena sana,Tbc ilijikwaa cku ile na yote mumeyazika, hakuna mkamilifu,wengine wajifunze kusameheana kama hivi,binafsi 🙏✅👏

  • @sniperbogo6210
    @sniperbogo6210 Před 3 lety +1

    Mbowe ni jasiri sana ila ni wapongeze na tbc kwa kujishusha

  • @joramyusuph6869
    @joramyusuph6869 Před 3 lety +4

    Wanalusha tuvipande awaonyeshi watu wa chadema Ila ccm wanaonyesha vizuri awa

  • @sniperbogo6210
    @sniperbogo6210 Před 3 lety +2

    Tbc muwr mifano kwa kujishusha na kumuita mbowe mmalize tofaut zenu ila angekua ndio yule jamaa angekuja na bunduki ndio maana hatumtaki!!!!!

  • @sewandomkuchu2431
    @sewandomkuchu2431 Před 3 lety +8

    Asante TBC Warioba , asante Tume , asante Chadema Mbowe-na hii sasa ni Tanzania niijuavyo ...tukiwa hivi kwenye mambo yetu ama kwa hakika badae ya nchi yetu ni raha tu...

  • @robertsemaganga9168
    @robertsemaganga9168 Před 3 lety

    Nilikuwa nawaza hivi wazee wetu walipokuwa wanapewa shanga na wakoloni na wao wanatoa dhahabu,hivi walikuwa wanawaza nini na walikuwa timamu kweli,na sasa nayaona kumbe tusiwadharau wale wazee wetu kumbe ni jadi yetu,hivi Kazi kubwa anazozifanya Mh Magufuli hadi dunia inashangaa,wenzetu uchumi umeshuka ,sisi ndiyo kwanza tunaingia uvhumi wa kati kabla ya muda wa malengo yetu,hivi wewe unayedharau na kuzomea unaakili kweli?au laaana?Mungu aseme nawe leo je ni Rais yupi yule tuluyemuona akitejekeza kwa vitendo au hawa wa maneno tuu.Hebu sema na Mubgu wako.kumbe watanzania tumezoea maneno matamu bila vitendo.Mungu aingilie kati tumtie moyo Mh Magufuli kwa kazi nzuri na anastahili kuwa kiongozi

  • @eustacemgawe5454
    @eustacemgawe5454 Před 3 lety +17

    Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka. Hongera TBC. Hongera CHADEMA. .Here we go

  • @husseinnkenja8149
    @husseinnkenja8149 Před 3 lety +1

    Chadema walishindwa kutafsiri tofauti ya serikali na chama cha mapinduzi. TBC mnavyotangaza miradi ilifanywa na serikali ni namna ya kuwataarifu wananchi juu ya kinachotendeka na si mambo ya ccm yale.

  • @simongitting6562
    @simongitting6562 Před 3 lety +4

    Mi mwenyeeweee ilinishitusha sana taasisis kubwa kama TBC kufukuzwa kama mbwa basi nitashukuruvsana rioba kuwa mkweli na kukiri

  • @Gift22136
    @Gift22136 Před 3 lety +7

    Bora wamekubali kosa mareporter wao walikuwa bias.

  • @silvangabriel3592
    @silvangabriel3592 Před 3 lety +1

    TBC niloshaisahau mana haina usawa hta kdgo inapendelea sana pia wajitasmin vinginevo inapoteza ni kama mnaumiza kodi za zetu kwa faida yenu

  • @estermtitu7205
    @estermtitu7205 Před 3 lety +1

    Kiukweli mimi nyumbani kwangu nilishaifuta TBC zamani kwa kuwa na upendeleo kihabari, ccm tu na mambo yake, ck ile walikuwa wanakata matangazo na kuleta mazungumzo yao ya studio ka mpira vile

  • @abdallahsuleiman4599
    @abdallahsuleiman4599 Před 3 lety +1

    Rioba siku nilikuona unakubali uteuzi niljua unakwenda kudhibitiwa nadhani unahitaji kua huru juu ya unachokiamini, nacho ni ukweli na uhuru wa kuzungumza bila ya upendeleo nilikua napenda sana kukuskiliza lakini sasa.....

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 3 lety +1

    Baada ya uchaguzi kuisha..TBC watabania kama wakaida..Wacheni kutuchezea akili.

  • @kiandangulwi3546
    @kiandangulwi3546 Před 3 lety +1

    TBC nshaachaga kuangalia mda. Tz imebaki ITV tu

  • @amanibenjamini9637
    @amanibenjamini9637 Před 3 lety +3

    Rioba mwoga tu! Silolote sichochote sie tulishajua ninyi ni ccm B

  • @mwombekikatabalo9046
    @mwombekikatabalo9046 Před 3 lety

    Good

  • @dsstanzania
    @dsstanzania Před 3 lety

    Safi

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 Před 3 lety +1

    Kwako Mh.Magufuli
    Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya -
    Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___
    1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea.
    2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani.
    Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ?
    Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani?
    3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ?
    4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ?
    Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi?
    5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .?
    kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi.
    Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao?
    Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu.
    6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi?
    7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini?
    8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ?
    9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu?
    10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ?
    Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi.
    11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.?
    Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani?
    12 Mheshimiwa Laisi. Eti kama tunaitaji kuanzisha Kiwanda Tuanzie na CHELEHANI ngapi ?
    Suali la mwisho Muheshimiwa
    13. Wanasema Ulitembea na shemegi yako. Je ! Ulizaa nae ?
    Au ulikuwa ukipita pita juu juu tu?
    KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO.
    BWANA YESU ASIFIWE !
    CCM OYEEE !!!!

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Před 3 lety +1

    Mbowe uko vzr Sana

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 Před 3 lety +1

    Mimi niwashauri viongozi wote wa idara mbalimbali za Serekali na ambao viongozi wengi mnateuliwa na Serekali muache tabia ya kuwabagua Watanzania wakati wote ni walipa kodi. Kikao chenu kimewajengea heshima sana. Kukubaliana kwenu kutafanya wateule wengi wa Serekali wajirekebishe wasitumie madaraka yao vibaya. Bado tume ya uchaguzi na wakurugenzi wa Wilaya na Mikoa. Badilini tabia zenu za kujifanya maamuzi yeni mumeamriwa toka juu. Tumieni nyadhifa zenu kama Watanzania.

  • @johnyty498
    @johnyty498 Před 3 lety

    mm binafsi tangia siku ile nliacha kutazama tbc sema vile vitangazaji viache jeuri ya maneno,

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Před 6 dny

    Kimsingi tbc mnapaswa kujipambanua mmekuwa mkipendelea serikali tu na sio kama chombo cha wananchi

  • @kiandangulwi3546
    @kiandangulwi3546 Před 3 lety +1

    Tbc is a disapointment

  • @dismasmmasi2657
    @dismasmmasi2657 Před 3 lety

    Wananchi Tunalifwatilia sana hili

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 7 měsíci +1

    Tbc is the Tanzania national brodicast belong to Tanzania population leasener no crush opposition prefer ccm rooling part mostly national brodicast use by rooling part but on national brodicast is the Tanzania population taxpayers Tanzania brodicast has to be chack and balance to all political party not ccm only control Tanzania national brodicast because is the belong to Tanzania population
    Tbc ni ya watanzania sio ya ccm lazima habari lwe sawa kwa wote

  • @tysonaugustsimba7111
    @tysonaugustsimba7111 Před 3 lety +1

    Kweli baba

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 Před 3 lety +3

    Mkurugenzi wa uchaguzi anaonekana hata macho ya nyama tuu ni nyoka anasum ya donda ndugu

  • @rajabumapunda416
    @rajabumapunda416 Před 3 lety +2

    Kiukweli TBC tuna shindwa kuwa amini kwasasababu ya mafyongo yenu mnayo yafanya badilikeni sio kupelekwa pelekwatu

  • @mustthetarget-7779
    @mustthetarget-7779 Před 3 lety

    Safi sana

  • @johnsonphilliminus4199
    @johnsonphilliminus4199 Před 3 lety +1

    nyie TBC mnamaksudi sana. Ikifikia chama kinachofanya kampeni kinawasema sisim mnakata sauti au mnahamisha mitambo inakwenda kwa wasiowasema kwa muda huo. Hiyo sio nzuri kabisa

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 Před 3 lety +3

    Huu ndo uungwana

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 Před 3 lety +1

    TBC mjitafakari, ndio television yamwisho kutiZamwa baada ya zote, hata kabla ya ucha guzi, nila zima mtambue watanzania wame badilika, sio wale Wa miaka ya zidumu fikra za mwenye kiti Wa CCM.

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 Před 3 lety +7

    Maneno ya kiutuuzima Ayo ndy yanapaswa kuongea

  • @petermgaya3812
    @petermgaya3812 Před 3 lety

    Nimeipenda sana hii.hivi ndivyo inavyotakiwa tuenende

  • @justuswambura4481
    @justuswambura4481 Před 3 lety

    Safi sana Rioba

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 Před 3 lety

    Hao wanasema tu Tbc hawawezi na hawatofanya Usawa hata siku

  • @godfreyorago7501
    @godfreyorago7501 Před 3 lety

    Sawa

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Před 6 dny

    Kuna baadhi ya mambo mmekuwa mkiegenea upande wa chama cha CCM na viongozi wake

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 Před 3 lety

    Safi sn tuma na mwenyekiti wa wahariri

  • @mako331
    @mako331 Před 3 lety

    Pale ni kwamba Mbowe alifanya makosa hakuna kingine hapo, sasa hapo ndio wangeonesha wao ni chama cha demokrasia na maendeleo, hawa wakipewa nchi TBC hamna kazi

  • @ramadhaninurrumtungi4474
    @ramadhaninurrumtungi4474 Před 3 lety +1

    Mbadilike sisi watanzania tushawasoma kuwa mnapenderea ccm kwahiyo mbadilike nyie mnaripwa na kodi zetu

  • @alwaziirahmad2682
    @alwaziirahmad2682 Před 3 lety

    Ustawi wa maisha

  • @mussarashidi8031
    @mussarashidi8031 Před 3 lety +1

    Tbc niliacha kuangalia sababu kuna upendeleo wakichama, hata taarifa yahabari sio Rahisi sana kutangaza habari za cdm, ile siku walianza kuchambua tu baada yakusimama Lema ndio wakaanza kuchambua, mpaka anamaliza kuongea lema bado wanachambua tu binafsi hata Miminiliuzika Sana nikazima Karisa, hapo kosa lipo kwa watangazaji acheni kuwapa lawama cdm wakati kosa lenu nyie wenyewe mbona mikutano ya magufuli hawafanyi hivo wakati anaongea, jirekebisheni tbc hizo nikodi zetu acheni kuegemea upande mmoja, nyie ndio unatugawa wananchi nakuiona tbc ni ccm

  • @marybukuru165
    @marybukuru165 Před 3 lety

    TBC mlikosea wote tuliona. Muda mrefu mlikuwa mnajadiliana wenyewe badala ya kutuonyesha mkutano. I didn't get it. When we're listening to speeches tunataka kusikiliza hawa wanasiasa ili tumake our mind . Hata sisi tusiojua anything kuhusu hii taaluma tuliona you were not there kwa chadema. Mlikosea sana. Yaani ilikuwa inaudhi. Ni kama mlikuwa mnauza sura zenu. Hii apology iwe na kwetu pia. Mlichemsha!

  • @wakilingunda1781
    @wakilingunda1781 Před 3 lety

    Kweli .mbowe. Ni mwamba wa cdm

  • @dhyera
    @dhyera Před 3 lety

    Huyu jamaa ana busara sana I wish ange...

  • @erickmapunda4231
    @erickmapunda4231 Před 3 lety +1

    Hao chadema hawawezi kuipenda TBC kwsababu zao za kipumbavu wanahisi tbc ndy wanawafelisha kumbe wenyewe kwa ujinga wao ndy wanajifelisha, ile ck waliwafukuza ilitakiwa vyombo vyote vya habari vingeitenga chadema, kwasababu hawakuwa waungwana, mbona makonda alivamia clouds vyombo vyote vya habari vilimtenga.

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 Před 9 dny

      Sasa nani kamtafuta mwezie tbc na chadema
      Wenda mpumbavu tutakuwa wewe

  • @godfreythomas3931
    @godfreythomas3931 Před 3 lety

    Ttzo viongozi tbc ni uchama wanasahau hii tv ya uma kodizetu ccm yao chanel teni mapimbi muelewe wananchi wamewachoka 2015 ilikuwa burudani

  • @hajimjaja1163
    @hajimjaja1163 Před 3 lety

    Kuna nguvu ya jumuiya za kimataifa, pili chadema hawaihitajii kabisa tbc, isipokuwa tbc inaihitajia chadema na ccm inaowaita mabeberu washajuwa kiburi chetu cha kisukuma ni kutunyima fedha sasa hapa tunahitajia fedha za hao ccm inaowaita mabeberu, lkn wtz wapo tayari kokote chadema ilipo wapo bila tbc

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 3 lety

    Kula tu mshahara boss tbs haiko huru!!

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 Před 3 lety +2

    Tido muhando alikuwa mkurugenzi TBC alibolesha vizuri huyo ndie alifanya vizuli hakuwa na ubaguzi wowote mwaka2015 alianzisha kipindi kikiitwa mchakato majimboni badae akaondolewa, najuwa ninyi mnafanya kazi kwa hofu mpaka mnahalibu kazi

    • @polycarpmicky4151
      @polycarpmicky4151 Před 3 lety

      czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu sana utazame wimbo mzuri NEEMA YA MUNGU YATOSHA

    • @josephjosephat7826
      @josephjosephat7826 Před 3 lety

      😬😬

    • @adrophwilliam3225
      @adrophwilliam3225 Před 3 lety +1

      Ili kuwa 2010 Ndipo kipindi hicho kilipo ruka hewani cha mchakato majimboni ila baada ya kuona wagombea wa upinzani wanahoja nzito ndipo ilipo onekana tbc imewabeba sana wapinzani ndiyo chanzo cha Tido kufukuzwa kazi tbc.

  • @dionizimtwenge2529
    @dionizimtwenge2529 Před 3 lety

    Mnafiki mkubwa mbowe

  • @bahatimatailizi9649
    @bahatimatailizi9649 Před 3 lety

    Naomba kujuwa mini maana ya TBC maana sielewi

  • @sagandamalechampullo659

    Duuuh! Mbowe ni mwamba kweli, Pamoja na Vitisho vyote walivyo Tishia, Eti kama Hutaomba Msamaha hatufanyi kazi na wewe, mara Vyomba vya habari Vyote vimeungana Kukataa kutoa taarifa za Chadema

  • @jumamnyambwa3490
    @jumamnyambwa3490 Před 3 lety +3

    Hamjitambui tbc wabaguzi wakubwa mnakelasana

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 Před 3 lety

    Mbowe alikuwa faru John Eti anasema alisikia wanachama wasema ondoeni tbc so kama kiongozi unawezaje kufanyia kazi hearings za watu wee kubwa jinga kweli sema ulikuwa chicha

    • @kijokombao5345
      @kijokombao5345 Před 3 lety

      Watu wameongea mambo ya maana na wameeleweka, wewe unaleta upuuzi wako sasa kulewa kunahusiana nini na haukuwepo mkutanoni?

  • @philipomarco2234
    @philipomarco2234 Před 3 lety

    Wote wamekiri kosa, matamshi ya chadema siku ile yalijaa chuki

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 Před 3 lety

    Ww mwenye tume vishulikie mwenyewe hivi vitaasisi vinavyo jipendekeza kurusha mikutano live kiubaguzi wanaeza kurusha mikutano warushe kwa yote hawaezi waachane na mambo ya siasa millardo Ay tv youtube hao wasafi ku post tu anza na hao

  • @donaldmwakasasa2064
    @donaldmwakasasa2064 Před 3 lety

    maliza tatiozo tbc isije ikawa sababu ya kusingizia

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 3 lety

    Pombe imewatoka sasa wanaikumbuka tbc mwaka huu hawana pakutokea

  • @mosesizilaeli9206
    @mosesizilaeli9206 Před 3 lety

    Napongeza.tbc.kwa.kukili.kosa.hatimaye.tutaanza.kuingalia.wengi.tbc.yetu.taifa

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 Před 3 lety

    Duu kumbe kuna chanel inaitwa TBC

  • @bonifacemkanga6302
    @bonifacemkanga6302 Před 3 lety

    Maamuzi ya mizuka sio uongozi

  • @an6808
    @an6808 Před 3 lety +1

    Mbowe we Mkorofi, unaonekana tu

    • @yasiralkindi5332
      @yasiralkindi5332 Před 3 lety

      Alietendewa hakusema hayo sababu hapa anakiri mwenyewe makosa yake , sasa cjui ww vp

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 Před 3 lety

      Nitafurahi siku moja tbc watakapoitisha mdaharo wa wagombea urais tukasikia Sera zao.

  • @kulwamabula4983
    @kulwamabula4983 Před 3 lety

    Hata ww unaongea t kutimza waking lakn latbs yote inatoka juu jichanghanye kufagilia chadema uraemia pasipojulikana

  • @polycarpmicky4151
    @polycarpmicky4151 Před 3 lety +1

    czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu sana utazame wimbo mzuri NEEMA YA MUNGU YATOSHA

  • @moudymkwawa5743
    @moudymkwawa5743 Před 3 lety

    kwakweli matamshi ya wagombea wa chadema hayastahili kwenda hewani

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 3 lety

    TBC na zbc ni wabaguzi mubadilike

  • @mlapikauma7660
    @mlapikauma7660 Před 3 lety

    Adabu imewaingia TBC

  • @wahdalubawa2802
    @wahdalubawa2802 Před 3 lety

    Tbc hapo Kuna shida

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 3 lety

    Mbowe ni muhuni. Chadema wanatumia uhuru na demokrasia kujipatia umaarufu na pesa. Kabla hata ya kushika madaraka, wanafukuza wana habari. Je wakina-atafute hayo madaraka? Chama chao kinaongozwa kwa propaganda. Uwongo wa kushambuliwa, uwongo wa corona mpaka kujiondowa bungeni na sasa uwongo wa uhuru wa habari. Hiki ni chama cha wasanii watu wasikichukulie seriously

  • @sanurahyusuph6149
    @sanurahyusuph6149 Před 3 lety +1

    Mmeona mtapunguza wafuasi wakutizama TBC

    • @timorpathsullusi7055
      @timorpathsullusi7055 Před 3 lety

      Ni hali ya kawaida tu, unahisi Chadema ndo inaweza ikafanya Tbc ikadorora?

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před 3 lety

      @@timorpathsullusi7055 ndio maana Mimi nilikuwa nimeshakuwa na mawazo ya kutoitazama na jamaa zangu sasa huoni ilikuwa tayar imepunguza watazamaji lakin saiv ikianzakurusha mikutano ya chadema itamaintain afuwasi wa chadema na kifupi TBC ilishadorora siku nyingi ila saiv itajitutumua tena kwa hiki ambacho wamekifanya

    • @timorpathsullusi7055
      @timorpathsullusi7055 Před 3 lety

      @@emmapaul1766 , Naweza kukubaliana na wewe kwa point ya kuwa imedorora, lakini napingana na ww kwamba kudorora kwake ni kwa sababu ya Chadema. 😂😂. Umesikia hapo, TBC walikua na makosa yao bt CHADEMA pia walikua na makosa yao.

    • @gizakazeno1688
      @gizakazeno1688 Před 3 lety

      Hivi nyie chadema mbna majifanya nyie ndo kila kitu?

  • @filbertsilvester2373
    @filbertsilvester2373 Před 3 lety

    Tunaomba mh.Lissu akutanishwe na Katambi kwaajili ya mjadala

    • @polycarpmicky4151
      @polycarpmicky4151 Před 3 lety

      czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu sana utazame wimbo mzuri NEEMA YA MUNGU YATOSHA

    • @kijokombao5345
      @kijokombao5345 Před 3 lety

      Kwa hoja gani katambi alonayo sasa😂😂😂

  • @muddymohammed7344
    @muddymohammed7344 Před 3 lety

    Mafara saana chadema

    • @sudysaidykamonongo7549
      @sudysaidykamonongo7549 Před 3 lety

      We kuma nn

    • @muddymohammed7344
      @muddymohammed7344 Před 3 lety

      @@sudysaidykamonongo7549 unafirwa na tundulisu pamoja na mwenyekiti wake hata mimi waga nawafiraga chadema chadema wote we uoshe mkundu wako halafu nitafte nije nikufire ili ufurah na roho yako

  • @zuberimasoud5847
    @zuberimasoud5847 Před 3 lety

    nyie mnajipendekeza kwa ccm

  • @Gift22136
    @Gift22136 Před 3 lety +1

    Why sasa kingine mara ngapi viongozi wa Chadema. Walikuwaga na conferences ngapi? Na mara ngapi wametokea? Wasituletee usenge wao.🚮🚮

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Před 3 lety

      Hoja yako Umeipangilia Vizuri.Ulikoalibu ni hapo Mwisho.punguza Jaziba.

    • @Gift22136
      @Gift22136 Před 3 lety

      @@husseinshabani9522 Sorry vitu vingine vina tia hasira. Yaani unatamani utoe ubongo wa mtu uhamishie kwingine.

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Před 3 lety

      @@Gift22136Mungu Akusimamie Akuongoze.Ukiona Unahasira sana .kama Umesimama Kaa chini.kama Umekaa chini Lala....

    • @Gift22136
      @Gift22136 Před 3 lety

      @@husseinshabani9522 one love❤

  • @livingstonemwakipesile2554

    Mbowe wewe ni kiongozi mkubwa, acha jazba, kuwa na subira, hekima na uvumilivu, maana we ni kioo, wafuasi wako wanakusikiliza, busara zako ni muhimu kwao

  • @kiatu
    @kiatu Před 3 lety +6

    Sioni excuse ya maana toka kwa Mwenyekiti. Kiongozi hutakiwi kuwa na mihemko hata ukiwa jukwaani, waache “culture” ya kuchochea fujo.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před 3 lety +1

      Kwan unafikir chadema inawahitaji TBC kama hujui TBC ndo wanawahitaji chadema maana sis wananchi tunawaelewa chadema hata bila tbc

    • @ibrahimusaidi8989
      @ibrahimusaidi8989 Před 3 lety

      Changia usiwe mkosoaji mpaka jambo la mana

  • @Gift22136
    @Gift22136 Před 3 lety +1

    Msiwe mnawatetea TBC. Ni washenzi tu. Nimeangalia walivyokuwa wanarusha kila viongozi wa Chadema. Wanaweka matangazo. Ina maana hawakuwa haoni feedback? Washenzi tu.

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Před 3 lety

      Wameshamaliza.Maneno mengi ya Nini?

    • @shedrackjacob6038
      @shedrackjacob6038 Před 3 lety

      Si kubwa jinga hilo madokta wameka na kuhadil harafu kayumba unatapka tu

    • @Gift22136
      @Gift22136 Před 3 lety

      @@shedrackjacob6038 unachekesha sana mimi sio level yako nina first degree CIS na MSHI nenda kagoogle. Halafu ndio uje na utoporo wako. Kaangalie how much of my salary.

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 Před 3 lety +1

    CHADEMA ✌✌✌ BABALAOOOOO 🔥🔥🔥🙌

  • @frankgibore9813
    @frankgibore9813 Před 3 lety +1

    Acheni ubaguzi nyietbc mnalipwa kodizetu,

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 Před 3 lety

    RIOBAAA MAELEZO MEEENGII HAYANA MSINGI WA UTETEZII
    Nikwamba??
    Msikae kwenye mikono ya CCM NA SERIKALI PAMOJA NA POLISI,
    Kaeni katka mikono ya tasnia ya habari na utendaji wenu kiusahihi

  • @kabumbabarongo787
    @kabumbabarongo787 Před 3 lety

    Acha kubembeleza hao cdm ni wanafiki wanatumwa, watangazaji walitaka kuwadhuru achana nao

  • @kulwamabula4983
    @kulwamabula4983 Před 3 lety

    Hata ww unaongea t kutimza waking lakn latbs yote inatoka juu jichanghanye kufagilia chadema uraemia pasipojulikana

  • @polycarpmicky4151
    @polycarpmicky4151 Před 3 lety +1

    czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu sana utazame wimbo mzuri NEEMA YA MUNGU YATOSHA

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety

    Afadhali mbowe umegundua kuwa ulichemka!!!

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před 3 lety +2

      Usipotoshe wewe mbowe hategemei TBC hata wakiacha kurusha chadema ndo babalao kama hujui mikutano ya chadema ndo inaongoza kutazamwa online kuliko mikutano mingine so kwanza ningewa Mimi nisingekutana na hao washenz TBC na kila mkutano ningewambia wafuwas wasipeleke matangazi TBC na pia wakiwaona wafanyakaz wa TBC wawaxomee popote walipo

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@emmapaul1766 si ungemshauri mwenyekiti wako?