Nashauli selikali ikopeshe mashine kwa wakulima Kama munakopesha vitu vingine munatwanga maji KWENYE kinu mukulima hataweza kulipa mikopo hiyo wakulima wapeni mashine za kulimia mashamba yao sasa mkulima unampa mkopo wa mbolea kulima analima kwa mkono miaka na miaka hafanikiwi umuongezee Tena muzigo kwani atalipa ni wachache watakaolipa wengine watakimbia miji
Nashauli selikali ikopeshe mashine kwa wakulima Kama munakopesha vitu vingine munatwanga maji KWENYE kinu mukulima hataweza kulipa mikopo hiyo wakulima wapeni mashine za kulimia mashamba yao sasa mkulima unampa mkopo wa mbolea kulima analima kwa mkono miaka na miaka hafanikiwi umuongezee Tena muzigo kwani atalipa ni wachache watakaolipa wengine watakimbia miji