MHE FREEMAN MBOWE AAHIDI KUMPA USHIRIKIANO RAIS SAMIA ENDAPO AKIENDELEA KURUDISHWA DEMOKRASIA NCHINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2022

Komentáře • 18

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 2 lety +4

    Safiiiiii chama cha wenye fikra endelevu na maono ya watanzania

  • @williamgideme2689
    @williamgideme2689 Před 2 lety

    Hongera Mungu awatangulie watetea haki

  • @yohanaphilipo4132
    @yohanaphilipo4132 Před 2 lety +2

    Pow

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 2 lety +5

    Kweli kbs awamu ya 5 watu walichukua kadi za CCM ili kulinda biashara zao na uhai wao yaan hofu ilitanda miyoyoni mwa wananchi wengi

    • @evaemil856
      @evaemil856 Před 2 lety +1

      Hapo umenena kweli, wengine tulichukuwa card na kusimamia uchaguzi tukijua tutapata kazi ya kuajiriwa na serikali kwani ndiyo tu tulikuwa tumegraduate tubatafuta kazi ndo pa ikatokea uchaguzi basi tukafwatwa college kwetu kumbe hamna lolote mpaka Leo watu tunapiga teke kutafuta kazi.

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Před 2 lety +2

      @@evaemil856 Ndo ivyo awamu ya 5 ilikuwa ya hofu tupu tusidanganyane kbs unafiki hautakiwi tuwe wawazi kbs kweli miunfdo mbinu imetekelezwa lkn maisha ya watu yalikuwa ya hofu tupu usijadili kuhusu serikal utadhani mkimbizi vile

    • @lusungukitago9000
      @lusungukitago9000 Před 2 lety +1

      Hapo umenema aiseee

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Před 2 lety +1

      @@lusungukitago9000 Mdau mtaani kwetu waliongozana na kushauliana ili wachukue Card za CCM ili kukwepa kusumbuliwa wakijua wewe CHADEMA umeisha hata kama biashara yako ya halali umetimia kila watakutafutia visababu vya kipumbavu sana

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Před 2 lety

    Chadema chama makin one love

  • @mchawaamanmchawa593
    @mchawaamanmchawa593 Před 2 lety +1

    Safi sana mkuu

  • @johnsonpatrick8148
    @johnsonpatrick8148 Před 2 lety +1

    Chadema yetu

  • @kikariantandi4833
    @kikariantandi4833 Před 2 lety +1

    HUU NDIO UTANZANIA TUNAOUTAKA YAANI KATIBA MPYA NI SASA

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 Před 2 lety +1

    chama cha ukombozi wa watanzania CHADEMA

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před 2 lety +1

    Saf mwamba

  • @christophertz
    @christophertz Před 2 lety

    ✌🏿

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Před 2 lety

    Chadema vemaaaaa

  • @czmediaconsultant5640
    @czmediaconsultant5640 Před 2 lety +1

    Chadema kwa sasa hamna mpya mwenyekiti wenu kapigwa m100 na makamu wake m100 na John Heche milioni 50,wanakazi ya kumtukana Magufuli wakati wananchi wanataabika kwa hali ngumu ya maisha,Chadema hawana sera zaidi ya Magufuli, yaani utafikiri awamu ya tano p3kee ndio watu wamewekwa ndani DkT ulimboka aliteswa Absolom Kibanda na Said Kubenea ,lakini wao wako na Magufuli tu,Utadhani Mwangosi naye alikufa wakati wa Magufuli shame on them Chadema

    • @williamgideme2689
      @williamgideme2689 Před 2 lety

      Kwani vhadema ndi waliowaua si walilalamikia hayo wakati wote?