Ni myaturu jasiri,mkweli,anayejiamini,mwelewa wa sheria na katiba,zanzibar na tanzania bara,Antipas lissu mugwai,muhambe alikozaliwa mkoani singida,mpigania utaifa zaidi kuliko chama chake.
Hakika mungu hata wafumbia macho nyie mnao watesa watanzania nakuwa UA bila sababu hio damu inawalilia ikiwemo damu ya benny sanane hakika cku yakiama inakuja mtajutia haya maovu yenu ?
Mm sichoki kumsikiliza lisu namkubali Sana Mungu hakubariki lisu
Hii akili ni extraordinary
Huyu jamaa ni genius
Naona Tanzania inataka kuwa kama Urusi, serikali kucontro media, huku wakifanyia raia wao maovu sad! !
Ccm sijuwi wakoje, hawasikuagi hata waambiweje ukweli, duh!
Hiki kichwa sio cha kawaida
100%
Ur very logically lisu
Nakubali
Lissu nakukubali mno
Tutakumiss sana lissu mjengoni Dodoma
2025 tunamrudisha bungeni
Power
Speaker Ndugaii arejelee hili
shujaaa lisu
😔😔🤣🤣 na hatimaye kweli ikawa kweli. Duh
Uyu jamaa niwakimataifa kabsa tz ni ndogo Sana kwake
Uliyaona kwl
Akili kubwa
lisuu
ndiyo
Ni myaturu jasiri,mkweli,anayejiamini,mwelewa wa sheria na katiba,zanzibar na tanzania bara,Antipas lissu mugwai,muhambe alikozaliwa mkoani singida,mpigania utaifa zaidi kuliko chama chake.
Hakika mungu hata wafumbia macho nyie mnao watesa watanzania nakuwa UA bila sababu hio damu inawalilia ikiwemo damu ya benny sanane hakika cku yakiama inakuja mtajutia haya maovu yenu ?
Bunge la kipndi hicho lilikuwa na mvuto duuu
Long
Ujinga huo