FreshBoys - Maana Ake Nini? (visualizer)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • MAANA AKE NINI?" The title of the song, implies "What does it mean?",the song describes the concept questioning human decisions based on their behavior as well as the choices and actions of individuals or groups to understand their motivations and reasoning to gain insight into why people behave in certain ways and their decisions based on behavior,understanding the underlying factors that influence a person's actions, whether a person is right or wrong. This can involve analyzing patterns of behavior over time, observing how people respond to different situations, and considering the context in which decisions are made why a person chooses to behave in a certain way sometimes you might know the answer sometimes you might not and what you will remain with at the end of it is why did a person chose that course of action and what does it mean?...MAANA AKE NINI?
    ‪@freshboystz‬ - MAANA AKE NINI? LYRICS
    Intro
    Hakuna atakaekwambia
    Ila ukipata wanajisogeza
    Ndo hao hao wanajaza meza Na demu unaempa fedha
    Si huku bure tunamega Akija kwako anajikweza
    Chorus
    Sasa hio maana ake nini? (Maana ake nini) Hio maana ake nini? (Maana ake nini)
    Hio maana ake nini
    Sasa hio maana ake nini? (maana ake nini) Hio maana ake nini?(maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Sasa hio maana ake nini? (Maana ake nini) Hio maana ake nini? (Maana ake nini)
    Hio maana ake nini
    Sasa hio maana ake nini? (maana ake nini) Hio maana ake nini?(maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Verse 1
    Najua kama najua tell me something new
    Najua kama wanajua si tunajua
    But they acting like they fools
    Si tunajua wanatujua ila hawataki kuonekana wanatujua Wanasubiri waone kwanza tumekua
    Man that's some BULLSHIT!
    Shpapi flani bad and boujèèh
    Hawajibu DM hawa follow, hawa pay attention Labda wakiona una blue tick
    Ndio maana wengi wenu mkishoboka kwa waliotoboa Mna expire wakishawavua vyupi
    You get what you give..STUPID!
    Cha nguoni mwako ndio kikulacho
    Maana ake nini unanifwata nikiwanacho?
    Maana ake nini nikikosa unapatikana kwa msako? Maana ake nini ukizikusanya zako zakwako
    Za kwangu zakwako?
    Verse 2
    Niambie maana ake nini
    Kua na wana shazi alafu ma snitch yani
    Mwamba ila anatabia za ki pisi?
    Sa we una pisi kali kwenye simu bebe bebe haziishi Ila hata moja ikija geto hautishi?
    Maana ake nini?
    Unakopakopa haulipi hata buku tano
    Inakufanya uanze zama kwa miti
    Na unavyopenda ma kiki
    Ikifika weekend tu vipi leo tunawakaah!??
    Hebu lala hio buku utakula pipi
    Huyu mwana vipii??
    Shit!
    Dunia ina mambo mengi bhana
    Me natafuta anauliza mbona unaspend sana Anaanza mpaka ku hate
    Kabisa anapata stress nnavyo flex
    Kama alinichangia kupata cash..Broh!?
    Chorus
    Sasa hio maana ake nini?(Maana ake nini) Hio maana ake nini? (Maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Sasa hio maana ake nini? (maana ake nini) Hio maana ake nini?(maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Sasa hio maana ake nini? (Maana ake nini) Hio maana ake nini? (Maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Sasa hio maana ake nini? (maana ake nini) Hio maana ake nini?(maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Verse 3
    Oya weeh!
    Sasa hio maana ake nini? Kuniuliza unachokiona nini Unataka kusali hauna dini? Kipi we unataka?
    Huku kwetu hamuwezi fanya nyinyi Kifo cha mashaka
    Ka' Daudi Balali alivoenda chini Usinitizame chini
    Ukiona freshboys in a minute Ka'unajiamini fanya iwe Pini
    Ni kumaanisha waone tunafanya nini
    Wauni ka'umeweka pesa straight to the business amini From the start to the finish
    Nilichoskia kwamba wanajiuliza si tutatoka lini? Tulipofikia babu atuwezi kuanza kujiuliza nini Usiulize maana IAM wanajua nafanya nini
    Me ndo m'beba madini
    Verse 4
    Yeah..Maana ake nini mshua ana mawe alafu una suffer ndo Nilivyoulizwa kipindi naanza kusaka so..
    Maana ake nini unahonga alafu hutoi sadaka
    Na ibadani ukiwa unasali Kichwan unawaza papa tu (Mother*****!)
    So far nilivyo mademu wanahisi nazuga maana
    Naambiwa sijali hawaelewi najali muda
    Maana ake nini tu ghafla mwanangu unageuka yuda
    Kila nikitoa vyuma wanauliza lini ntachuja
    Chorus
    Sasa hio maana ake nini (Maana ake nini) Hio maana ake nini? (Maana ake nini)
    Hio maana ake nini
    Sasa hio maana ake nini? (maana ake nini) Hio maana ake nini?(maana ake nini)
    Hio maana ake nini!?
    Sasa hio maana ake nini? (Maana ake nini) Hio maana ake nini? (Maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Sasa hio maana ake nini? (maana ake nini) Hio maana ake nini?(maana ake nini)
    Hio maana ake nini?
    Follow ​⁠ on Social Media :
    Link For #MaanaAkeNini? onerpm.link/64...
    Follow ​⁠​⁠ : linktr.ee/fres...
    Instagram : / freshboystz
    Twitter : / freshboystz
    Facebook :www.facebook.c...
    Tiktok : www.tiktok.com...
    Genius : genius.com/Fre...

Komentáře • 147