KILIMO CHA KITUNGUU MAJI:- MBOLEA YA KUKUZIA,KUPANDIA,VITALU,UMWAGILIAJI NA SOKO LA KITUNGUU MAJI
Vložit
- čas přidán 11. 02. 2019
- www.shambadarasa.net
KILIMO CHA KITUNGUU MAJI,MBOLEA YA KUPANDIA,MBOLEA YA KUKUZIA,SOKO LA VITUNGUU,KUANDAA VITALU,UMWAGILIAJI WA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU SWAUMU. - Zábava
vizuri sana na hongera sana
Safi sana
Uko vzr sana
I like your teaching.God bless you.
nimependa sana
Darasa zuri
nimependa sana!!
Ahsante kwa funzo nzuri
Hongereni Sana wakulima
iko vizuri
Asante Sana kwa elimu hii
Asante kwa elimu,
nimeipenda
Habari naomba no yako
Asante kwa darasa
Nitahitaji maarifa zaidi-Nimehamsika Sana Mwalimu,TUKO PAMOJA Sana.
Safi sana, na mm nataka kilima
Good work.
mko vzr
Nzur
Good
kilimo cha vitunguu ni somo zuri sana
Iko vizur Sana
poa
Safi sana nimekumbuka vizuri ila corona ndio mtihani
🎉
Asante
iko poa sana
sawa
Habari,,vp kwa mkoa wa dar es salaam hatuwezi kulima vitunguu
Kama udongo uko vizuri unaweza kulima, lakini hali ya hewa inaweza ikafelisha
Mbegu Bei gani
mbegu gani nzuri
Uko mkoa gani
@@shambadarasamkusi4449 iringa
Nigepata namba yako
Nitawatafuta.lakin nahofu sana
good nice
Mbegu ya aina gani inafaa kulima maeneo ya mwanza nani kilo ngapi kwa heka moja
iko poa
Shamba kukodi bei gani kwa eka
done
Safi
Inachukua mda gan mpk kuvuna
Habari nina mzigo wa vitunguu..niwauzie
Nataka kulima vitunguu maji mwezi huu wa pili,nitafanikiwa?
Namba yako kwaajiri ya maelezo zaidi?
Kwa dodoma vinalimwa sana sehemu gani
Kwa Dodoma vinalimwa wilaya ya chemba na kondoa.lakini hata hapa mjini vinalimwa
Mm nataka kulima huko kondoa nianze mwez wa9
Hongera kwa darasa nzuri. Naomba namba kwa ushauri nimepanda nahitaji kujua zaidi
Naomba ushauri
Unawezaje kusia mbegu ya kitunguu kwa umbali wa sentimita tano?
#lawrencendosi
Asante kwa somo baba namba ya watsup naomba sory
0713178868
Nahitaji ushauri wenu zaidi,je,mnapatikana wapi? Je,hua mnauza mbegu,na kama mnauza nitazipataje?niko mkoa wa mara,wilaya ya bunda.
Kinavunwa baada ya muda gani? Na kwa ekari 1 itacost sh ngapi ukiwa na shamba?
Baada ya miezi 3.Inategemea.Tupigie simu
Ntawatafuta soon!!
I wish
Don't wish start doing
Nahitaj kwa bustani ya nyumban
Karibu
Kwa mfano ukilima ekari moja kwa mtaji huo wa laki 3, kama vimekubali kwa kiwango cha juu na soko liko vzr, mtu anaweza kupata faida ya shilling ngapi kwamfano?
Million kumi
Na ni msimu upi ni mzuri kwa ajili ya kilimo?
Lima kitunguu kipindi Cha kiangazi
Hi bro,vp kuhusu soko?
You mzur msimu kulima
Je kilimo cha vitungu huitaji mtaji wa shilling ngap mpka unavuna????
Mtaji sio mkubwa.Kama unashamba
Kwahyo kwq makadirio yako kama unashamba inaweza gharimu kiasi gan????
@@hamisiswalehe4104 unalima ukubwa gani? Hela 1,2,3,4..
Kwasababu nataka nianze so heka mbili
@@hamisiswalehe4104 Kama LAKI 300,000.mbegu,mbolea na vifaa
iko vizuri