RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA ZAIDI DUNIANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 05. 2020

Komentáře • 87

  • @simonmzazi8046
    @simonmzazi8046 Před 4 lety +4

    Yes MUDA SHARKER ZULU.... Nimeielewa sana hii... Kwa mnaosoma; kuna kitu wanaita OPT Other Peoples Time; Kwamba kutokana na muda kuwa scarce unanunua muda wa wengine wakufanyie mara dufu ya talents zao... Yaani kama anafikiri kuuza nguo basi anaajiri wauzaji wengi kadri wawezavyo... Asante sana Shaka shaka ZULU kwa Nondoz

  • @rashid8310
    @rashid8310 Před 4 lety +26

    Katika Quran kuna sura nzima inazungumzia thamani ya muda (Surat Asri) Mwenyezi Mungu anasema
    1.Naapa kwa wakati
    2. Hakika mwanadamu yupo katika hasara
    3. Isipokuwa kwa yule aliye amini , akafafanya yaliyokuwa mema na na mwenye subira(patience)
    : Wakati ni kila kitu

  • @sarafinamaneth3236
    @sarafinamaneth3236 Před 4 lety +5

    Sure Dennis uzidi kubarikiwa kwa kutoa madini mazuri,as I told you one day I will take u to my projects ambazo ni matokeo ya mafundisho yako

  • @premierktg4323
    @premierktg4323 Před 11 měsíci

    Jeff Needs To start doing More of these Videos .
    Absolutely This Is A well Explained Video every Tanzanian youth especially the ones In the university needs to listen.
    #Madini

  • @kenworthrugambwa85
    @kenworthrugambwa85 Před 4 lety +2

    Mkuu wewe ni Genius. Tuko blessed sana kupata vitu hivi bure.

  • @almasibashir5557
    @almasibashir5557 Před 4 lety +3

    Sirjeff Shka Zulu....eeh bwana umenkumbusha mbali sana🤣🤣🤣
    Anyway, tukirudi kwenye mada, dizain kama kwa maono yangu naona "The Human Brain" is the Big 🦈 here, not 'Time'. Unaongeleaje hilo?
    Salute kwako mzazi. One love.

  • @kaizapascal7361
    @kaizapascal7361 Před 4 lety +4

    haha apo kwenye kiwanda cha Nyati cha unga dah umenikumbusha nilifanya field apo baada yakuona sina pa kwenda haha... much love bro keep it up!!

  • @markboaz5722
    @markboaz5722 Před 4 lety +1

    Good work. Your inspiring

  • @allysaid165
    @allysaid165 Před 3 lety

    Umetishaaa mkal wangu

  • @christianyouthinbusiness
    @christianyouthinbusiness Před 4 lety +4

    Extra~~Ordinary

  • @lutagatejumanne6254
    @lutagatejumanne6254 Před 4 lety +1

    Ahsanteh kwa kutukumbusha iko poa sana

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 Před 4 lety

    That's good bro.

  • @lazaroletion2420
    @lazaroletion2420 Před rokem

    Very inspiring 🔥🔥🔥🔥

  • @money.geeked
    @money.geeked Před 4 lety +4

    Play well with time SHAKA🔥🔥

  • @growrich2332
    @growrich2332 Před 4 lety

    Hipo vzur sana hii bro

  • @godfreybaraka1532
    @godfreybaraka1532 Před 4 lety +7

    Sir jeff am iko poa lakini the background music ni kubwa sana sauti inakuwa haisikiki vizuri #IKOPOASANA

    • @eddycheune6547
      @eddycheune6547 Před 4 lety

      Simu yako mbovu

    • @ibrajames6288
      @ibrajames6288 Před 3 lety

      Mbn anasikika vzr isitoshe ye ni expert mpk kuupload video ameiangalia vzr

  • @derrickarnold150
    @derrickarnold150 Před 3 lety

    Kuna watu humu vichwa ngumu🤣....muda ndo kila kitu mazee..Jeff yuko on point

  • @bibianathadeus6217
    @bibianathadeus6217 Před 4 lety +1

    Iko powa sana

  • @simuspot
    @simuspot Před 4 lety +1

    God bless u

  • @nicholausmnzava3101
    @nicholausmnzava3101 Před 2 lety

    Ua blessed bro,unapatikana wapi now bro

  • @nolaskomulokozi23
    @nolaskomulokozi23 Před 4 lety +1

    Asante kaka

  • @owlbig
    @owlbig Před 4 lety

    Thnku

  • @samyjohn2389
    @samyjohn2389 Před 4 lety

    Powerfull

  • @mrunboxing8886
    @mrunboxing8886 Před 4 lety +3

    Thanks man,kila siku tunajifunza kupitia wewe shaka.......
    OKAY KAMA UNAPENDA KUJIFUNZA MAMBO MBALI MBALI KUHUSU COMPUTER KARIBU USUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YETU @Laptopbae

  • @danilombwambo127
    @danilombwambo127 Před 4 lety

    Nakubal xn maana napenda mamb hayoo xna Broo angu

  • @MaxEmpire13
    @MaxEmpire13 Před rokem

    Interecture

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Před 11 měsíci

    The reality of tanzanian education ,bushit😂😂😂

  • @boazysanga6320
    @boazysanga6320 Před 4 lety

    Exactily

  • @revocutusmayengo714
    @revocutusmayengo714 Před 4 lety +1

    SirjeffOnDemand🔥

  • @innocentlyary9804
    @innocentlyary9804 Před 4 lety +1

    respect

  • @leonardemmanuel6376
    @leonardemmanuel6376 Před 2 lety

    Japo too late but thanks bro

  • @allysalumchau1580
    @allysalumchau1580 Před 4 lety

    👊🏾bravo !

  • @damaka_
    @damaka_ Před 6 měsíci

    Nilivofika six tu akili yangu iliwaza pesa hata mkopo wa chuo sikuomba na nilisoma pcm though malengo hayakuenda vile nlivopanga.

  • @freethoughts94
    @freethoughts94 Před 4 lety

    Agree

  • @nassoromohamed9279
    @nassoromohamed9279 Před 2 lety

    King SHAKA

  • @janeangatia803
    @janeangatia803 Před 4 lety +1

    How does one contact you?
    Fun from kenya

  • @mr.cryptotab632
    @mr.cryptotab632 Před 4 lety +1

    SASA HIVI , SIO KESHO, NI SASA HIVI🙏🤝

  • @nassirali4472
    @nassirali4472 Před 4 lety +2

    My plan is failed Huend nikaw nachez na muda negative ? ( picha broo , karibu Zanzibar)

  • @Royal_official67
    @Royal_official67 Před měsícem

    ❤❤

  • @piusmbita4051
    @piusmbita4051 Před 4 lety +1

    Power

  • @njololoilashikon4978
    @njololoilashikon4978 Před 4 lety

    👍🏿

  • @renatuskiiza5199
    @renatuskiiza5199 Před 4 lety

    Shaka shaka zulu 🔥🔥🔥

  • @rubberbandman1213
    @rubberbandman1213 Před 4 lety +1

    Professor

  • @lameckdavid7033
    @lameckdavid7033 Před 4 lety

    Kama umeniona kipind nachopitia na niliyonayo kichwani , pamoja sana shaka zulu

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 4 lety

    Kizazi sana

  • @SWIFT-EMPIRE
    @SWIFT-EMPIRE Před 4 lety +1

    iko poa sana

  • @tripletalcantara6531
    @tripletalcantara6531 Před 4 lety +2

    Napokeaga lecture la muda sana ila ya leo nimeielewa vibaya mno

  • @eliudcopy1185
    @eliudcopy1185 Před 4 lety

    Good

  • @medinakichere6114
    @medinakichere6114 Před 3 lety

    Samahani jeff naweza pata no zako naomaba yanikutoka niameanza kungalia video zako nimejifunza mambo mengi sana mapaka natamani2 kuongea na wew

  • @zajosjohn2232
    @zajosjohn2232 Před 4 lety

    Fact

  • @humphreypaul9735
    @humphreypaul9735 Před 4 lety

    Time for changes

  • @emiirseyyid652
    @emiirseyyid652 Před 2 lety

    Kabisa

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz Před 4 lety

    Next topic tafadhali, tajiri ni nani? Sifa au vitu vya kuashiria utajiri, networth ipi inaku verify kuwa tajiri Tz

  • @judithgwera3482
    @judithgwera3482 Před 4 lety

    🙏🏾

  • @oraoraa6460
    @oraoraa6460 Před 2 lety

    sasa kakaa tunaomba basi utupe practical yani utuoneshe forex sasa kwenye simu au computer tuelewe zaid

  • @amanmgisha1000
    @amanmgisha1000 Před 4 lety

    Iko poa sanaa

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 Před 4 lety

    Broo umeniuzi umepoteza muda wangu kwa story zako za mafuta na gesi

  • @KaziDepartment
    @KaziDepartment Před 4 lety

    Ni yeyee

  • @nuhubalandya9164
    @nuhubalandya9164 Před 4 lety

    Hahàaa! Kiwanda cha unga??

  • @charity3978
    @charity3978 Před 3 lety

    Sirjeff dennis

  • @samyjohn2389
    @samyjohn2389 Před 4 lety +2

    Shark shaka zulu on demands

  • @SunsetHunter4526
    @SunsetHunter4526 Před 4 lety +1

    True Story Man 👍👍👍

  • @swimcoachabel1105
    @swimcoachabel1105 Před 4 lety

    🤣🤣🤣🤣👌

  • @carlospeter2626
    @carlospeter2626 Před 4 lety

    Iko poa sana 😂😂

  • @danielmakoi971
    @danielmakoi971 Před 4 lety

    Shark shaka shaka shaka zulu

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před 3 lety

    We jamaa ni msomi mwenye faida

  • @edsoneliud6869
    @edsoneliud6869 Před 4 lety

    Iko poa

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 Před 3 lety

    Kaka no yako tafadhari

  • @nozgeniuz1812
    @nozgeniuz1812 Před 4 lety

    MKUU UKO VZUR LKN MUDA SIO NATURAL.RESOURCE KAKA

    • @charlesfidelis9428
      @charlesfidelis9428 Před 4 lety

      HahAaa mtu anaumwa mguu anachomwa sindano ya kichwa ama kweli bingo

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 Před 3 lety

    😂😅😆😆😆😆😀😁😂😂😂😂

  • @marinyasaxistv8121
    @marinyasaxistv8121 Před 4 lety

    KILO moja ya Dhahabu ni mil 80 aiseee

  • @AndyLaughs1998
    @AndyLaughs1998 Před 4 lety

    Uwepo wako unatuinspire baadhi ya vijana hapa Bongo

  • @babusanto9766
    @babusanto9766 Před 4 lety

    Muda ni mali

  • @kingofwithdrawals
    @kingofwithdrawals Před 4 lety +9

    RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA:
    JE, MAFUTA NI RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA? HAPANA. JE, DHAHABU NI RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA? HAPANA.
    MUDA HAUWEZI KUNUNULIWA KWA GHARAMA YOYOTE ILE, DHAHABU, MAFUTA, ARDI INANUNULIWA. MUDA UNA THAMANI KUBWA ZAIDI YA BIDHAA YOYOTE.
    MAFANIKIO YA MTU YAPO KATIKA VITU ANAVYOVIWEKEA MUDA MWINGI.

  • @abuukhaytham1696
    @abuukhaytham1696 Před 4 lety +1

    Shaka Shaka Laka Zulu

    • @charlesfidelis9428
      @charlesfidelis9428 Před 4 lety +1

      Kiongoz na nataka kujifunz nianza kuweka isa hata sielewi nianzeje

    • @abuukhaytham1696
      @abuukhaytham1696 Před 4 lety +1

      @@charlesfidelis9428 dm "sharkciti" on instagram utapata info kiasi cha kuelewa.

  • @matatiabisaya3443
    @matatiabisaya3443 Před 4 lety

    Can you buy a BMW with a half past five

  • @jacobwilliam9615
    @jacobwilliam9615 Před 2 lety

    Broo can I get link to your WhatsApp group

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 Před 3 lety

    Asante kaka

  • @johnmmbine2916
    @johnmmbine2916 Před 4 lety

    Good