UTATAJIRIKA KIRAHISI KAMA UKIWEZA KUEPUKA HAYA MAKOSA WANAYOFANYA WATU WENGI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Watu wengi sana wanafanya makosa ya kifedha bila kujua athari ya makosa hayo katika uchumi wao binafsi. Moja ya makosa hayo ni katika manunuzi ya magari binafsi. Katika hii video najaribu kukuonesha jinsi gani watu wengi wanavyotumia mbinu mbovu ktk kununua gari au magari na kusababisha watu hao kushindwa kutengeneza generational wealthy.
    endelea kufatilia channel hii, siku moja nitazungumzia jinsi gani unaweza kununua gari kwa mbinu wanazotumia matajiri, ili kuhakikisha uchumi wako haushuki pindi unaponunua gari jipya.

Komentáře • 114

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 Před 2 lety +1

    Thanks for class sirjeff

  • @nancynoellahc2176
    @nancynoellahc2176 Před 4 lety +3

    You nailed it 👌👌👌Mkopo wa gari is the dumbest type of loan. Very Bad debt

  • @5minutescrafthacks295
    @5minutescrafthacks295 Před 4 lety +2

    daah nishapoteza zaidi ya laki mbili mtandaoni ila zitarudi zaidi ya hizo thank you

  • @johnsonngallya7871
    @johnsonngallya7871 Před 4 lety +4

    nasubiria madini ya exponential richness,, keep inspiring the young generation. shaka shaka shaka shakazulùuùuu. King🔥

  • @Mwalimuwakarine21
    @Mwalimuwakarine21 Před 3 měsíci

    Hakufuatilia kwa ukaribu sana kaka unaelewaka vizuri mno

  • @EyeseesPictures
    @EyeseesPictures Před 4 lety +2

    Chief, kuna kitu naona umechanganywa kidogo hapo kwenye UUMBAJI WA MUNGU kwa sababu naona umeweka HUMAN STANDARD OF LIFE dhidi ya UUMBAJI kaka yangu, naomba ukipata muda upitie kitabu cha Mwanzo¹ tu yote ni fupi na inasimulia vyema sana na najua kwa wewe msomi hautashindwa kusoma hapa champ ... Thanks na Mungu akubariki maradufu ...
    #keeponkeepingon

  • @rashy930
    @rashy930 Před 4 lety +1

    U real blows my mind like wow!... Uko poa san mi nimgum kuapriciate MTU but unanifany niseme except you Jeff u are talented God bless

  • @freethoughts94
    @freethoughts94 Před 4 lety +9

    Ial utashangaa Kuna mapimbi wanabinyeza dislike. Duuh kwl kwenye mirror image Mungu aliumba watu wa kulike na kudislike😃😃

  • @Ndebile
    @Ndebile Před 4 lety +4

    Mtu wa kwanza kunifumbua macho kuwa kwenye hii sayari kuna kitu kinaitwa Forex! Mungu akubariki saana!

  • @mttoshow5780
    @mttoshow5780 Před 4 lety +1

    Kaka asantee kwa mafunzo manzur naomba uweke soma LA kuhusiana na kiasi cha mtaji na mifano kadhaa ya biashara

  • @simuspot
    @simuspot Před 4 lety +2

    Shaka video ya Kwanza tuh ilbadilisha matazmo Wang wa maish kabisa Mungu akubariki ,akutie nguvu n uzid kuinspire vijana Weng.One day naamin ntatoa ushuhuda kwako

  • @barnaba4337
    @barnaba4337 Před 4 lety

    Ubarikiwe

  • @mwisongotech
    @mwisongotech Před 2 lety

    Nice

  • @vannychiraye9360
    @vannychiraye9360 Před 4 lety +3

    God bless ur mind always

  • @freethoughts94
    @freethoughts94 Před 4 lety +2

    Rasha resha hizi zinaisha lini mvua ianze kunyesha aisee. Jah bless ya

  • @jessebalilonda8294
    @jessebalilonda8294 Před 4 lety +1

    Hapo bro nimepata ukakasi kidogo ina maana hao jamaa watakua wanatafuta hela kwa ajili ya kununua magari tu mpaka kufa kwao

  • @thakiyujamal7161
    @thakiyujamal7161 Před 4 lety +2

    Allah bless you my brother, unazid kuwa chachu ya mabadiliko ya kiuchumi kwa Vijana

  • @saviormayeye3374
    @saviormayeye3374 Před 3 lety

    Genius

  • @anithahosea9472
    @anithahosea9472 Před 4 lety +1

    Tunashukuru kwa elimu...

  • @damaka_
    @damaka_ Před 7 měsíci

    Thanks

  • @HASSAN-zr7oc
    @HASSAN-zr7oc Před 4 lety

    Nakuelewaaa sana

  • @samwelwandazi5743
    @samwelwandazi5743 Před 3 lety

    Safi sana mkuu

  • @apostlefranciseliada
    @apostlefranciseliada Před 4 lety +1

    Great knowledge shared by you.patiently waiting for the next video👍🏾

  • @nassirali4472
    @nassirali4472 Před 4 lety +1

    Mtu uyo uyo amekopa Gari then gari inahitaji service , mafuta na ikiharibika aipeleke tena kw fundi , still kakopa alafu anazidi kuitumia pesa na sio kuirudisha alipo kopa , I understand shaka Zulu ila ukija ZNZ nahitaji picha na wwe coz najifunz mengi kuptia wwe , tupo pamoja IG na huku YT pia (N.B : picha)

  • @lorencosimon2510
    @lorencosimon2510 Před 4 lety +1

    God Bless; Exponential rich; I will remain active on your practical knowledge.

  • @hilalizedon1473
    @hilalizedon1473 Před 4 lety +1

    👏👏👏

  • @mlwiloayubu5848
    @mlwiloayubu5848 Před 4 lety

    Brother big up

  • @TAPE_Tz
    @TAPE_Tz Před 3 lety

    No matter wher the got$ both need to focus on wht add money to their pocket (Asset) befor they run toward expend on wht take money from their pocket (liabilities)

  • @rizikimbeve8611
    @rizikimbeve8611 Před 4 lety

    Dah

  • @khizralghawy9489
    @khizralghawy9489 Před 4 lety +1

    Madiniii

  • @braininc1195
    @braininc1195 Před 4 lety +1

    That is great idea bro .... keep it up your the best young mentor in Africa .......🙏🙏🙏🙏🙏

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Před 4 lety

    amaizing................

  • @theresiamasawe4792
    @theresiamasawe4792 Před 2 lety +2

    Mungu hakuumba mapepo wala hakuumba umaskini vyote hivyo vilikuja baada ya mwanadamu kuasi maagizo ya Mungu kasome kitabu cha Mwanzo sura ya tatu,hivyo nimependa kurekebisha hapo tusije tukapotosha jamii.

  • @atoshalyimo2759
    @atoshalyimo2759 Před 4 lety +1

    Umetufumbua macho hapo. Tukajua kupata gari ndio kila kitu kumbe ngoma bado sana

  • @imandsi6298
    @imandsi6298 Před 4 lety +1

    You're the master all the time

  • @ezrahmhonda3464
    @ezrahmhonda3464 Před 4 lety +1

    You are the best bro... Can't wait to learn from you

  • @vannyS27
    @vannyS27 Před 4 lety +1

    Gud motivation

  • @paulmutailuka2417
    @paulmutailuka2417 Před 4 lety

    Madini heavy bro endelea kushusha NONDO. Mungu akubariki mkuu

  • @sarafinamaneth3236
    @sarafinamaneth3236 Před 4 lety +2

    Dha iko poa sana plssss tuendelee na next step ya jinsi gani utajiri wangu ukue tu usirudi chini

  • @FKStudio15.
    @FKStudio15. Před 4 lety +1

    I Appreciate You Broh Your Genius. 💥💥💥💥

  • @allysalumchau1580
    @allysalumchau1580 Před 4 lety

    Shukran sana bro

  • @fanuelsulle7350
    @fanuelsulle7350 Před 4 lety

    Good content

  • @leizabeatz7055
    @leizabeatz7055 Před 4 lety +1

    Shaka zulu

  • @Exceldoctor
    @Exceldoctor Před 4 lety

    Great

  • @nelsongabriel9130
    @nelsongabriel9130 Před 2 lety

    Huwa napitiapitia vipindi Ayako CZcams,ki ukweli nafurahishwa sn pia najifunza mengi hongera sn zidi kuwa na moyo huo,lkn ninaswali hapo kwamba umesema mtu awezakuchagua vile atakvyo!vipi kuhusu purpose? kumbuka Mungu anasema kila mtu hakumuumba kwa bahati mbaya bali aliweka kitu ndani mwake purposes

  • @rubberbandman1213
    @rubberbandman1213 Před 4 lety +2

    Ontario fundi💪

  • @mec-telgroup3296
    @mec-telgroup3296 Před 4 lety

    Wonderful bro

  • @erisonguonahom6984
    @erisonguonahom6984 Před 4 lety

    Good brother

  • @gabylovestech
    @gabylovestech Před 4 lety

    Mtu mbadi

  • @silveryalexander955
    @silveryalexander955 Před 4 lety

    Your always on point👍

  • @sharifamaulid9752
    @sharifamaulid9752 Před 4 lety +1

    Madini, Bless u bro

  • @innocentsyllivester5960
    @innocentsyllivester5960 Před 4 lety +1

    Shark board

  • @kingofwithdrawals
    @kingofwithdrawals Před 4 lety +2

    KING SHARK SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA ZULU

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 4 lety +1

    ZURU SAKA LAKA

  • @alexgibbe3640
    @alexgibbe3640 Před 4 lety

    Good one brother ... keep it up

  • @rizikimbeve8611
    @rizikimbeve8611 Před 4 lety

    Sawa mkuu nakuelewa sana jerf

  • @babafemie4576
    @babafemie4576 Před 4 lety

    safiii

  • @mwanaumejasiri3835
    @mwanaumejasiri3835 Před 3 lety

    Maneno mazuri
    Usia wangu na kukaribisha katika uislam

  • @misungwikids563
    @misungwikids563 Před 4 lety

    Shaka zuluuu

  • @gitanokambarage8789
    @gitanokambarage8789 Před 4 lety

    Sahihi bro

  • @255digitaltv7
    @255digitaltv7 Před 4 lety +1

    yajayo yanafurahishaa km umeona shark bado hajaanza kushusha nondo gonga like

  • @funnymoments9611
    @funnymoments9611 Před 2 lety

    Kwani lazima kununua Magari kila akipata iyo 20m
    Si anaweza kununua gari na akaendelea na Maisha mengine

  • @abuukhaytham1696
    @abuukhaytham1696 Před 4 lety +2

    SHAKA ZULU.

  • @elonii8790
    @elonii8790 Před 4 lety +1

    Tunasubiri nondo.

  • @johrene398
    @johrene398 Před 3 lety

    Muendelezo wake sasa

  • @abdallaadim8776
    @abdallaadim8776 Před 4 lety +1

    Me nasema sio wote ambao wanarudi nyuma kiasi hicho..me nimekopa milioni ishirini nimenunua gari mfano..daladala kwanza nahakikisha ile gari me ndio condakta ili niweze kukusanya mapato yote..no kiwa kama mfanyakazi pia na mm ntapata mshahara wngu mule mule nje na ishu ya gari..alafu target yngu naifanyia kazi kwa mwaka mmoja tu..wakat nimo kwenye ile gari nahakikisha naitunza vyema..ili ikifika mwaka ikiwa gari bado good condition..naiyuza haraka ili kukununua nyengine wkaat makusanyo ndo faida yngu...kma ntafanikiwa miaka mitano tayar nnagar yngu...na mkopo nishalipa...shaka Zulu wanaorudi nyuma ni wale ambao hawana kitu na wanapenda umwinyi

    • @nairobifly5524
      @nairobifly5524 Před 2 lety

      Jamaa kazungumzia magar yakutembelea so kama wew umenunua gar labiashara inakuwa imekaa poa sasna

  • @emanuelmlingwa9408
    @emanuelmlingwa9408 Před 4 lety +3

    Sirjeff, uko sahihi kabisa tatizo wanadamu tunapenda show off, na watanzania wengi sana tuko kwenye hio crisis pamoja bro tutaendelea kushare video hizi na watanzania wengine wajue somo..

  • @japhetalphoncenyakamwe9038

    Nakuelewa sana mkuu

  • @elibarickykasira7101
    @elibarickykasira7101 Před 4 lety

    Ayeeee ✊✊✊

  • @mwambusifadhili8909
    @mwambusifadhili8909 Před 4 lety

    Iko poa sanaaaa 🔥🔥🔥

  • @andrewmatiko3337
    @andrewmatiko3337 Před 4 lety

    Keep going bro

  • @SunsetHunter4526
    @SunsetHunter4526 Před 4 lety

    True Story

  • @emmanuelmkopekwa1751
    @emmanuelmkopekwa1751 Před 3 lety

    God bless u bro

  • @dennicmosha9320
    @dennicmosha9320 Před 4 lety

    Noma sana shaka..ntahitaji na copy ya shark boad..ukifuta naona madini ndo ynpotea

  • @thompolfaustine629
    @thompolfaustine629 Před 4 lety +1

    Broh tunasubiri hiyo exponential rich

  • @edwardshija6308
    @edwardshija6308 Před 4 lety

    kwahyo mtu ataishi kwa kununua magar tu?? kila akipata hela ananunua gar tu??

  • @greatdealsonlineonline6090

    Kweli kaka tunakomaa humuhumu

  • @godfreyzenda9027
    @godfreyzenda9027 Před 4 lety +2

    Daah good message Shark ... thanx..!!!

  • @mustarabubakar61
    @mustarabubakar61 Před 4 lety +1

    Sirjeff_motivation 🙏🙏

  • @hamidaabdully8396
    @hamidaabdully8396 Před 4 lety

    Kukupenda tuu kaka angu

  • @Miss_Kaaya
    @Miss_Kaaya Před 3 lety

    Kakaa huna groups jaman naomba ni join

  • @jacksonmdugo5860
    @jacksonmdugo5860 Před 4 lety

    Kama Kawaida... Imekaa poa sana kwa kweli

  • @samyjohn2389
    @samyjohn2389 Před 4 lety +1

    Shark shaka zulu on demands.

  • @naymaneliya6733
    @naymaneliya6733 Před 4 lety

    That's Logic

  • @dismassabinus7031
    @dismassabinus7031 Před 4 lety

    saf kaka

  • @ghoskali2086
    @ghoskali2086 Před 4 lety

    Madini

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 Před 4 lety

    🙌🙌🙌🙌

  • @FrancisProsper-cq8vv
    @FrancisProsper-cq8vv Před měsícem

    Video fupi lakin ina madini yakutosha saanaa co wengine video ndefu alaf pumba tu

  • @yusuphpilion2465
    @yusuphpilion2465 Před 4 lety

    we jamaa nimekuwa nakusubiri sana upost video hatimaye imekuwa.

  • @youthtalkstz2157
    @youthtalkstz2157 Před 4 lety

  • @japhetkakwezi9497
    @japhetkakwezi9497 Před 4 lety

    🙏🙏🙏

  • @ibrahss1174
    @ibrahss1174 Před 4 lety

    🌎

  • @israelodoemelam1640
    @israelodoemelam1640 Před 4 lety

    what happens to those who don't understand your language?

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 Před 4 lety

    shaka zulu nakuaminiaa

  • @dennismarandu2950
    @dennismarandu2950 Před 4 lety

    Naomba namba yako Kaka

  • @danielmakoi971
    @danielmakoi971 Před 4 lety

    Kinga shark shaka zulu

  • @calvinoswald4548
    @calvinoswald4548 Před 4 lety +1

    🔥🔥🔥💸💸

  • @sb-ey2sk
    @sb-ey2sk Před 4 lety +1

    Kaka upo vizuri ila unaandaa video fupi mmno brother andaa angalau dk 3-5 siyo mbaya.

  • @khamismachemba253
    @khamismachemba253 Před 4 lety

    hv na uku tutakua tunasubr mda mrefu km insta? bado tupo mafunzoni

  • @princelucky5218
    @princelucky5218 Před 4 lety

    Madini tupu Chief