Lava Lava Katika Mashindano Ya Kusoma Quran part 1
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2024
- Asalaam Walaikum Warahmatullahi Wabarakatuh
Lava Lava alipata mualiko kama mgeni rasmi Wamashindano Ya Kuhifadhi Quran Tukufu Iliyofanyika Mwananyamala Ccm
Tuma 7766630 kwenda 15577 (Vodacom Tanzania) kuwa muito wa simu
Ya Ramadan Available:
iTunes:itunes.apple.co...
Wasafidotcom:www.wasafi.com...
Amazon:a.co/7WefWMQ
Tidal:tidal.com/trac...
Spotify:open.spotify.c... - Zábava
Hongera kijana, nina Imani huko katika muziki ni katika kutafuta rizki tu, Naamini uwepo wa Qur'an kichwani mwako upo palepale, Na Inshaala Mungu atakuongoza.
Binura Rassi umesema kweli kabisa
Binura Rassi Aaaamin
👏👏👏
Innalillah
Aftoni Sudi wainnailayhi rajiun
Lavalava mashaallah,, allah kakujalia unasauti nzur ya kusomea kuran bas itumie vema katika kufanya ibada zake kuliko kuitumia katika namna ya kuikufuru neema hiyo alokupatia Allah
Allah kakupa sauti nzuri itumie katka kusoma quruan utafaulu leo na kesho akhera acha tamaa za kidunia
mi naona aludi kwenye kuimba kaswida to
+Leonard Joseph ww unataka kumchochea mwenzako kwenye moto kuimba haifai aache tu mziki amrudie mungu wake
Acha kuimba wewe kiwanja mzuri huyo uliko si kuzuri
Eliasa Yasini naam kweli kabisa
Kbsa faida kubwa ya kesho ya dunia hata tusaidia kitu kesho
Kama unamkubali lavalava acha ubishi acha kusita usione aibu mpe like zake jamaa anajua mpaka amepitiliza yaan kanishinda tabia like nyingi kwake tafadhari
duu nmekuelewa lavalava Kumbe umo
wilonja hatua kweli ache kuimba
Pesa hufanya lahalali kuwa haramu na laharamu kuwa LA halali kiukwel kuimba ni zambi na
Daaah kumbe upo kila upande
mashaallah tulia kwa allah kaka
Mashallaah, lava lava kumbe uko pia kwenye kisomo cha mola wako, mungu awe naww Daima 🙏🙏🙏🙏,syo muziki tu bila kujianda na jahanamu hongera san
Allah akufanyie wepesi akupe ufahamu ludi kwenye haki kaka umepewa uwezo wakuwa na elimi utaulizwa juu ya elimu Yako dunia tunapita tuu vyote tunaviacha
Wallahi Dini imekuwa ni sehemu ya kujipatia umaarufu.
Vitu viwili havikai katika moyo mmoja haki na baatili na bahati mbaya huwa haki inakimbia.
Usipokuwa tayari ndugu kubadilika basi unaweza ukaingia katika unafiki bila ya kujijua.
Achana na upotofu njoo katika njia ya haki km kweli huwezi kuishi bila ya kuimba basi imba annasheed.
Hsyo ni maoni yangu.
Hakika Mtume s.a.w ameambiwa hana uwezo wa kumuongoa yoyote yule.
Mwenye uwezo huo ni Allah subhanahuu peke yake basi na mm ni kukufikishia ujumbe tu.
Rejea katika surat luqman Allah amewaandalia adhabu yenye kufedhehesha nyny waimbaji.
Jazi kwenu
Khattab Khamis Shukran you are talking point Allah akujalie elmu na akuruzuku kufaham
Muziki anafanya kutafuta riski punguza roho chafu naumaskini
MashaAllah lava lava you have a lot of Iman. ...
MashaAllah Lava lava Mwenyezi Mungu akuzidishie heri. Ama nikuite ustadh Abdul.
Mashaalla Mungu akujalie kaka angu
Mashaallah lava lava mungu akufanyie wepec kwakila ufanyalo katika maisha yko imani iko moyoni
Nivizur kufanya jambo ambalo unalipenda lakini kumbuka mungu amekataza mziki na nikharamu kusikiliza na kuimba pia ndiyo nimaisha ila usiya wangu kwako kama nduguyako muislam mwenzako dunia ni mapito na wote tutaondoka Tubu kwa mola wako
Achakuimba kakangu 😢😢ina skitisha sana😢😢
Lava lava siubak tu huku jmn ndio kuzur haswaa kuliko hata bongo fleva hemu rud kwa Allah mana huna usokijua kaka angu
MASHA CLASSIC kweli kbsa
Amin ya rabbbi Allah amuongozee
MASHA CLASSIC dunia ni khatari sana
Day natamani hats ungekuwa best yangu unaweza sana
Kbsa
Mungu atuhidi katika njia ilo njooka Inn Shaa Allah ,Atutoe duniani Hali ya kuwa yuko radhi n sisi.
Herikuoba nashida kuliko bongo kaka. Usiache kabisa sahau nyombozote za bongo adika waswida ukosawa ❤❤❤
Allah ampe mwisho mwema
Mashallah upo vizur kijana Allah akuongoze kwenye njia ilio nyooka
lava lava mrudie ALLAH ndugu yangu uko vizuri kusoma Qran
Allah akuongoze katika swiraatwalmustakiima na akupe husnulkhaatima
Jamani tusimuhukumu mtu....Allahummah jaalnna khusnul khaatim Ameen
Queen Maa walal aaakhiratu khayrul llaka minal uuulah "na mwisho n bora kuliko mwanzo"
Uislamu hauna kuhukumiana bali Una sheria alizoweka Allah naye mtume akatufunza..muziki na qaswida ni haramu na mtu akifa bila kutubia ni miongoni mwa waliozidhulumu nafsi zao..tusiwe Kama makafiri hujitetea kwa misemo ya tusihukumiane...
Aamin
0757588181
Assalaamu alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh
Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah,
Lava lava mungu akuongoze kakangu
You are someone who is so proud to his religion well done man
MaashaAllah MaashaAllah MaashaAllah lava lava Abdul una saut nzur ya ng'ani na uimbaj wako mzur MaashaAllah 😍😍😍
Namuomba mungu akujalie kila lakhel
Mashaallah kakayangu Allah akuongezi akupemwisho uliomwema
Mashallah lava lava usivae vipuli basi dini waijua
Allah akusimamie
Maa sha Allah umependeza Allah akuongoe
Mashaallah Allah awaongoze wote
Inna lillah wa Inna ilaih Raji Qur'an na kaswida wapi na wapi itakullah ndugu zangu tusidanganywi na dunia😭😭
Qaswida hiyo nikama mawaaidha kwahiyo so vibaya tukaisikiliza tu ndo mana lava lava anatuambia
tujiunge waumini muadhini akiadhi tuende misikitini aaaya natuziswali swala tano.
kwani hayo maneno ukiyatafsiri Ni mawaaidha
Kwa hiyo kaswida ni matusi acha uhayawani mtume mwenyewe alipokelewa na qaswida
Mashaallah hadi nasisimkwa Na mwili
Umejaaliwa Kijana Ya Allah Muongoze ktk njia Iliyonyooka...
Allahum Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin
Yaa Allah tuongoze katika njia ilonyooka
Yuko vizuri Allah akujalie
uko vzur lava lava
😭😭😭😭 lavava umepotea njia mdogo wangu natamani kipajichako cha kusoma Qur'an Allah angenipa mm Ibilisi akuachie lavalava wangu
Masha Allah abduli
mashallah ya allah mbadilishe mja wako muongoze njia iliyo nyooka
Amna lkn lahafudhi niyanyimbo
Najikuta namkubali sana huyu jamaa!!!!ubaki tu katika kuitangaza dini yetu inshaallah.
ukitaka Allah atakusaidia inshallah
Masha allah kijana unastahili kuwa shekhe mzur tafuta biashara ufanye ya halali japo m/mungu ndo ajua mapungufu ya mja wake lakin ni vema ukajikita na dini hakika m/mungu ni mwingi wa rehma
Mashaallah naamin kuwepo huko kw mziki sio mwsho WA kuihifadhi Quran namuomba Allah akuzidishie kuikumbuk Quran na inshallah at atazid kukuinua katka Kaz zko inshallah
Vizur sana kaka na jitahid kubaki katika misingi ya imani ya dini yako
( قُل لِّعِبَادِيَ الَّذِينَ آمَنُوا يُقِيمُوا الصَّلَاةَ وَيُنفِقُوا مِمَّا رَزَقْنَاهُمْ سِرًّا وَعَلَانِيَةً مِّن قَبْلِ أَن يَأْتِيَ يَوْمٌ لَّا بَيْعٌ فِيهِ وَلَا خِلَالٌ )
إبراهيم (31) Ibrahim
Waambie waja wangu walio amini, washike Sala, na watoe katika tulivyo waruzuku, kwa siri na dhaahiri, kabla haijafika Siku isiyo kuwa na biashara wala urafiki.
MaashaaAllah Jazakallahu khaira 🙏
ndugu zangu ktk imani hawa watu wanaitaji dua zetu ili wote wamtumikie mungu inshalah
Allah akuongoze umrudie mola wako.
Mashaallah had rah wallah honger san kijan
Your the best lava lava upo vzr mashaallah allah barik you nakupenda
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh
Mwanaidi Nusra hhhhhhhhhhh atali hii dunia ya sasa
Mwanaidi Nusra chr uriho😂😅👌
chimamy Riim nipo kwa lava lava nimeoza my brth😍
Massshaaallaahh,,,Allah Akujaalie Uimbe Nyimbo za Kubadilisha Jamiii Kutenda Mema na Kuacha Maasia,,,,INSHAALLAH usichole Matatoo ,Naamini we ni Mtu wa Peponi yadunia utayamaliza Tu
Mashallah lavalava tuwe miongoni mwa swala kaka yake kipez kwa kweli unapendaza sana
Mashalla Mashalla lavalava kaka hongera sana alla akuongoze uedele kusoma wuran Ishalla alla uwemfano mwema kwa wengine yarabby.nimefusi sana acha Mziki wa bongo umrudie alla Ishalla alla 🤲🤲❤❤
Ma shaa Allah na hao mashekhe wamenikuna
Mashaallah kwakwl allah akuongoze kk
Allah akuongoze pamoja nasi kaka, naamini kwa dua zetu kila kitu kitaweza utarudi tu amin
mashaallah sheikh Abdul mungu akuongoze kwenye njia iliyonyooka amin..! mana mpaka nasisimuka mwili wangu!
Mashaallah nakupenda mpaka bas
Jazakallahu khaira 🙏 kaka lavalava
Yaaa rabbiy wasamehe wasanii wetu daaah mnapotea Lakin Mola wetu tusamehe ni utaftaji wa rizq but mnazalilisha uislam
Manshallah 😍🤗🤩🤩🤩
Naam mashaallaah
Lavalava mash allah
Wallah mungu awaongoze muache mziki mufate miongozo ya Allah
Mashaallah my kaka abduly
Mashaallah Mashaallah #wcb 4life Mungu awazidishie.
Mashallaah Bratha
Mungu akutakabalie kila lilo jema mdgo wngu nakupenda simma ktk haki
Takbiri allahu akbar
mashaallah mwenyezi mungu akuongoze inshaallah
am loving you more than I used to...lava lava...kipenzi cha wengi....uwe kipenzi cha Allah pia...nakuoenda...after watching this if lava lava asked to marry me,it would be definitely a yes for me....hahs
Ma sha Allah
sauti mashallah🥰🥰🥰🥰
Mashallah may Allah give u jannatul fridaus
Mashaallaah mwenyezimungu akuzindishie baraka katika kazi zako baki tu huku kunakufaa sana
Allah bless u mdogo wangu badilika
Masha Allah, hakika nimependa sana hii k2.
Mashallah Allah akujaze Rahma
Mashallah Allah akuongoze Inshallah
Mashaallah nakupenda sana ndugu yangu allah akuongoze
A alykm
Kila mtu ana dhambi zake kwawakat wake usimhukumu mtu iusie nafsi yako pia inshallah
Khadija
Mashaallah Lava Lava
lava lava nitakupa binti yangu umuoe inshaallah
Salma Othman 😂😂😂😂😂
sheillah chisika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Salma Othman 😀😀😀😀
Salma Othman mashallah 😍kwajili ya allah
Salma Othman maashallah
Mashaaal nakupenda kwa ajili ya allla
Mungu akuongoze lava lava
Munatupotezea dira ya uislamu Tanzania Allah atuongoze sote in Shaa Allah
Huu nimtihan et lavalava kawa ostadh et cmtihan huu
Mashaallah ustadh abdull
MashaAllah lavalava
Mashaallah kaka kumbe upo vizuri
Mashaallah thabaariq Allah
Inalillah wa inailaih rajiun""" sawa na kuchanganya biriani na kinyesi halafu ukala tusidanganyane Allah hazihakiwi tutayakuta tuliyoyatanguliza kubwa tuombeane Mwisho mwema.
Maashaallah lavalava
Subhanallah sijui kwnn unaimba inshallah mungu akurejeshe ulipotokea
Mashallaah mashallaah kaka angu allaah akuzidishie
Mashaallah lavalava
Mashaallah Mungu akubariki sana
mashaallah mashaallah kaka
#Astaghfirullah #Astaghfirullah
#Astaghfirullah waatubu ilayka
Lavalava Rudi nyumbani
kijana acha music njoo kwenye uongofu
Upo vizur bro
Yussuf Alawi Yaa kbs yan
Kbisaa,pia mm nasapoti hilo Mungu amempa kipaji cha kaswida
Lavalava m nakupongeza sana endapo utarudia dini kabisa kamilkamil sio mguu nnje
Maashaallaah maashaallaah maashaallaah kaka bora acha mziki ww rudi kwa mungu fanya toba uki vzr kaka
Lavalava my brother nn huko kwenye mziki achaa dini inakupendezea sana wallah
Faidha Othman
Faidha Othman
Masha Allah abduli au lava lava
Mashaa Allah Mashaa Allah May God bless you aki
Kwaswaida nzuri sana mashaallah