Annoint Aman feat Gigy Money - OFA KABAMBE ( Official music Video )
Vložit
- čas přidán 30. 05. 2021
- #annointamani#gigymoney#ofakabambe#
Artist Annoint Amani ft Gigy money (Bongo fleva Artist)
Song Ofa kabambe
Album,Mimi ndie Mungu pekee
(Language Swahili)
Video Directed by Hanscana (+255687999341)
Audio A.E.A Tones Studio
producer by Meddy (+255786849123)
Annoint Amani for bookings
instagram annointamani
+255767240181= +255755099942
Dar es salaam Tanzania ) - Hudba
yani sijui nisemeje jamn nyimbo hii mm itanimalizia bando jmn walio ikubali ofa kabambe nione like jamn👍
Ni kafup lakin ka motoooo 🔥
Sasa kwa Yesu kumenoga.
Joan download the song
Welcome to Jesus Christ☝️☝️ gigy money👍, wap likes za gigy
Biti hilo ni balaa
Am blessed Mr.,, Mola aouongezeee
Amen barikiwa kaka kazi zuri Mungu azidi kukuinua kwenda kiwango kingine
Unaimba poa sema achana na mapozi ya rose muhando kaka tafuta ka style kako ka kiume
🙏🙏🙏🙏🙏 Eee mungu msaidie
Mtumishi wako anako pita kuna vingi asije shetani akatumia mipango yake kuharibu kazi yako simama mwenyewe na kumvusha kila hatua unayo muwazia weweeeeeeeeeeeeeeee Amina❤️❤️
Kwa Yesu mavuno ni mengi watenda kazi wachache🙏🙏🙏🙏offer kabambe na ya milele,,, naupenda ujumbee huu kakangu Annoit ,, Neema itoshe ,, Kenya twakuombea neema zaidi ya kutupa ujumbe huu sisi ka vijana wa kizazi hiki🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
Yaaaani nimecheka mpaka basi!!!!!!! Kijana kuolewa na Bibi yako.
I love your song ?!!so encouraging
Waaaah ....Kwa Mungu Kuna raha
The message. 👉Ofa kabambe. Kwa yesu mavuno ni mengi watenda KAZI wachache. If you watched twice from 🇰🇪🇰🇪 gonga likes tukisonga. Ofa kabambe✅✅
Tu es le meilleur, Dieu te bénisse abondamment mon chantre.ta sœur en christ chantre de l'éternel des armées. Dieu te bénisse abondamment et qu'il t'inspire encore
Amen 🙌🙏🙏🙏🙌🙌🙏 mutukuzeMungunashetani atetemeke Amina asantekakayangu imenibalikisana.Munguakuongezeemafuta
Ndio kueli Kasi ni Mufupa Lakini Uvivu ni Buchawi He !! ! Amina Anoint
Kazi poa bro 🔥🔥🔥🔥🙏
Safi saana mwanangu Kazi nzuri mnooo Mungu akupe hatua zaidi🤝
Wimbo mzuri napenda nyimbo zako mwenyezi mungu azidi kukuinua
Safi sana yani km kunauwezekano mitungie wimbo na mm niuwimbe Mana nimenogewa barikiwa saaaana hapa namaliza Bando tu
Wow, gigy ako cute jameni akichange waaah
Yani bonge la mtumish wa Mungu.
♥️♥️♥️🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂 kipiti apu bro WA mayn
WOW wimbo mzuri MNOO nimeuelewa sana safi sana kaka Mungu aendelee kukubariki
Annoint una mambo sijui umejuaje kama hapa duniani kwasasa tumebakiza ofa tu munga atunusulu
Maisha halisi kabisa uliyo yaimba umu ubarikiwe sana
Hongera bingwa kazi safi mungu ajaliye mema brothee
Ahsante Sana mtumishi wa mungu annoint amani hapa Kenya nabarikiwa na hizi vibao zako sana
Natamani efike laki mapema hili hili mwiki naomba mugu halifanye hilo jambo
Aya gdy money deni Hilo Yesu anakupenda
I really love this❤️❤️... piga like annoint amependeza kwa huu wimbo sana kuliko zote
Watching from Kenya, barikiwa ❣❣❣❣❣❣❣❣❣💋
By kamanda lako kaka annoint nakupenda saaaana nzuri sana ofaaaaaa kabambe
Nice one daddy....
Lasima ulipe bila ata kudaiwa ❤❤❤❤❤❤
Umetisha bwana mdogo Esau wewe nifundi wa kuimba barikiwa
Wimbo mzur Sana
Watu wanaulizana wewe ni nani ? the best song for me
Umeniambia mm kbsa Ee mungu iokoe family yangu
Watendakazi niwachache kweli baba
Wah zidi kumuinua hivyo hivyo..talent unayo itumie vilivyo...sema kubarikwa😇
Kabisa tumuombee kwa Mungu alie muita azidi kuifunua huduma yake.
Swaggs tu onpoint👌the way anacheza Rose Muhando anakuja.....anakataaa ivi😁
Huu wimbo nitamu sana naupenda sana
Your smartness is on the highest order walai.
All the way from Kenya, hit imepasua mwamba
Weeh Kali sana you are colabo with Rose muhando moto sana
Big up bro, God bless u abundantly
Kaka uko vzr mugu akubarik said ya hapo
OYAAAAAAAHHHH !!! JIKATAE FASTER
mungu akubariki , wimbo zako zinanibariki sana,
This my favorite song barikiwa sana kaka.
Waooooooh nakupenda mtumishi
AMEN kwa yesu mavuno ni mengi watenda kazi wachache 😭be blessed with this song brother 🙏🙏🙏🙏
Ofa ofa Barikiwa annoint
Kazi nzuri kaka barikiwa
Idd see this coming woow kazi safi pamba safi ujumbe safi madencer safi
Gigy bwana Yesu asifiwe
From kenya thenk you so much for your song❤❤
Sauti yako naipenda sana nice song
Hongera sana Annoint. Mambo ni moto moto. Umependeza sana na kazi nzuri.
Asante sana kamanda Dir wangu Vendeko ,
Niombee unyenyekevu ili Kazi ya Mungu ifike mbali zaidi.
Mungu akubaliki sana kwakweli
💜💜💜💜nagupendasana mungu akubalikiwe
Nakupenda hujui2
Mungu,niwema 💃🇰🇪
Nice song keep it up,,,
Uyu kaka ana sauti kama ya Rosa muhando
Ujumbe mzuri
Barikiwa sana mteule
Kali I love
Kazi Safi Esau
Aiiiiii yeeeees uuuuuuwiiiii yani apa eeee nabarikiwa support from... Bahrain 🇧🇭 nabubujika ndani ya YESU... Haleluuyah... Please next time let me among your dancer humble request naomba 💃💃💃💃💃🙏❤️🙏🎤🇰🇪🇧🇭🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Gloooooooory to JESUS.
Umenenepa AF umependeza sana, nice song
Haja nenepa sana ila ni nguo nyekundu,
inaonyesha unene lakini ukitaka kujua angaloa ya bruu yuko kawaida tu.
Eti huyu Ni mtoto wa Rose Muhando confirm 😎
Ubarikiwe sana bwana!
SON OF ROSE MUHANDO Good Jobs
Barikiwa saana
Wimbo mtamu sana
Barikiwa milele
Cute let's praise our God in style keep going more 🔥
Haaa the dressing it's self you killed my brother keep it up
Mung akubariki mtumixhi munng
Mbona wimbo mfupi hahaaaa hahaaaa hahaaaa barikiwa sana mtumishi
Yaani fupi mnooo lakini ndo ivyo mambo ya kizazi kipya lazima nyimbo fupi ili waelewe wahusika.
Nani amemuona gigy jmn
you are best asinger god bless you on day we Will be to gether in heaven
Greatest
Good job ,, keep it up and God bless you more👏👏👏🙏
Ooooh sijui niseme neno gani linalo fanana na hongeraaaa maana hakuna lkn nikuambie tuu sikuoni wewe kabisa naona MUNGU hakika ongela kwa kutii na kunyenyekea na Kuvumiliy na baba wa mbinguni amekupenyeshaaaaa
@Annoint essau you are blessed, unanenepa kila siku,punguza mwili bwana."Kujenga mwili ni rahisi kupunguza ni balaha."Kenyan proverb.
So nice and inspiring may Lord bless you bro
Be blessed kaka full of messages 🇰🇪🇰🇪🇰🇪inashika mbaya mavuno ni mengi kwa yesu watenda kazi hatupo
Hongera Sanaa
Wow good work brother indeed you are so talented
Waooooooo kaka mungu aendeleee sana kukumiminia mafuta ndani yako huo niujumbe tosha kabisa kwetu sisi vijana hata wakubwa wetu
Ubarikiwe Sana
I love your songs soo much, your fan from kenya..... Wa Tanzania natafuta kazi ata kaa ni ya kufunza kwa shule.
From kenya
Nice 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥✨✨👌👌👌👍👍
look nayo inaweza
Wow good bro
Mungu akumbariki nyimbozako zinaniriza sana 😭😭😭😭😭😭😭🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙏🙏🙏🙏🙏🙆♂️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Piga kelele kwa Gigiy akeeee
Mungu pamoja nasi naamini atatuvusha na kutupandisha viwango vya juu
Mung akubariki san