HOUSE GIRL EP 09 | SEASON 2 | love story💞💕

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #bongomovie #housegirl

Komentáře • 704

  • @busatitv
    @busatitv  Před měsícem +104

    Tuandikie maoni yako juu ya season 2 kupitia WhatsApp group 👇👇
    chat.whatsapp.com/DXajkbjsqxq3u1cOcq3Brn

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda Před měsícem +5

      Zuu kabadilika havaikiheshima tena kwa nini 😢

    • @Jobless-045
      @Jobless-045 Před měsícem +2

      ​@@MonnaPonda Mambo

    • @AishaHamid-u8g
      @AishaHamid-u8g Před měsícem

      Harus ya zuu ipo lin😊

    • @SheldaPeter-dd4xz
      @SheldaPeter-dd4xz Před měsícem

      Mnajua kunikosha wanabusati mnatoa ndani ya wakati muvi yenu muwe mnatoa hata 3 kwa siku😅

    • @modestazaver
      @modestazaver Před měsícem +2

      Sania akapumzishwe jamani anaharibu movie

  • @ModestaValensi
    @ModestaValensi Před měsícem +277

    TUnaoomba Tasha amuoe zatiti gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @user-wb2wp5pe9p
      @user-wb2wp5pe9p Před měsícem

      Point

    • @DoreenOmmy-gw3op
      @DoreenOmmy-gw3op Před měsícem

      @@user-wb2wp5pe9p tuko pamoja

    • @jacklineteresia2629
      @jacklineteresia2629 Před měsícem

      @@user-wb2wp5pe9pnatamani Sana zatiti apate furaha jamani anatia uruma😢

    • @buru1235
      @buru1235 Před měsícem +3

      Kumbuka akupewa talaka wallai so mm apo Kwa inawezekana bt bdo anapenda chiko Zatiti n kamkonde kazi kwenyu sasa

    • @SadaNusra-dt5tx
      @SadaNusra-dt5tx Před měsícem

      S🎉🎉🎉🎉 kweli

  • @melanianjau3244
    @melanianjau3244 Před měsícem +114

    Jamani busati nawapa pongezi waliofurahi kupewa epsode ya tisa gonga like hata tano kutoka America❤❤❤❤❤❤

  • @user-bf3ij2ie5k
    @user-bf3ij2ie5k Před měsícem +48

    Wangapi twafurahishwa na mahusiano ya zatiti na tasha ...
    Mr tasha hapa kashapata

  • @MagdalenaMashauri
    @MagdalenaMashauri Před měsícem +76

    Jmn tunaosubir ndoa ya kai na zuuu weka likee hapa😊😊😊😊wakanda forever from ghana😁😁

  • @user-mf2en4lm3s
    @user-mf2en4lm3s Před měsícem +60

    Nawapenda sana family ya busanTV,,na nawatakia kaz njema,, kama unapenda busanTV gonga like ata mbili

  • @NjeriCess
    @NjeriCess Před měsícem +44

    😂😂😂wakwaza hapa kutoka 🇰🇪 kenya,jamani naomba hata like 5

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l Před měsícem +13

    Zuu leo umependeza lile liwigi lilikua limekutoa vibaya lakini saa hii wee ni mke wa kai sasa❤❤❤❤from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 Před měsícem +65

    𝐋𝐞𝐨 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐢𝐥𝐞 𝐬𝐤𝐮 𝐭𝐚𝐬𝐡𝐚 𝐚𝐭𝐚𝐩𝐭𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐳𝐚𝐭𝐢𝐭𝐢❤❤❤❤❤

  • @ShaukhanSaidy
    @ShaukhanSaidy Před měsícem +3

    Binafsi naamini kua tasha atakamatia toto zuri linang'aa kinoma mrembo mmoja matata bidada aitwaeeeeeeeeeeeeee ZATITI, twende pamoja like apa🎉🎉🎉

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před měsícem +44

    Yaaan nataman zatiti na Mr Tasha wapendane Alf waheshmiane na wapate watoto na Familia iwe nafurah, bas tu

  • @agnesiluoga
    @agnesiluoga Před měsícem +12

    Naona kabisa zatiti anaenda kuwa mchumba watasha na sio wengine hao ,😂😂🎉

  • @khadeejamct2096
    @khadeejamct2096 Před měsícem +13

    Mashalla allah sinem inazid kuwa tam kamayot

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Před měsícem +15

    hongeren kwa kazi yenu nzuri nawapenda sanaa🎉🎉🎉then naipenda kaz yenuu 🎉🎉🎉leo munipee like

  • @MercySilvester
    @MercySilvester Před měsícem +18

    Candy na bado hayo ndo malipo uliyokuwa ukimfanyia zuuu ona sasa mara mimba katoka mara chiko mara babu 😂😂😂😂😂😂

  • @EvitridaEphraim
    @EvitridaEphraim Před měsícem +12

    Wow hatimae tasha na zatiti wamekutana❤

  • @AminaSuleiman-sr4oo
    @AminaSuleiman-sr4oo Před měsícem +18

    Hongeren sawa wapendwa kiukwel mnatuletea buludan kwa wakat nawapenda sana wote ❤❤❤ginga like hapo jap 10 two

  • @BeatriceMvaty
    @BeatriceMvaty Před měsícem +27

    Busati nipen like bx at moja mn nakesh kusubir vipande vyen❤❤

  • @erickshio5354
    @erickshio5354 Před měsícem +54

    Tulio kuwa tuna taman Tasha akutane na zatiti tujuwane

  • @SubiraShaibu
    @SubiraShaibu Před měsícem +50

    jaman Tasha mbon hasira wanao amini Tasha hatamuoa Sania mpo wap like 5 tu

    • @farajakandonga3994
      @farajakandonga3994 Před měsícem +2

      Sania sio taip ya tasha ila zatit

    • @jacklineteresia2629
      @jacklineteresia2629 Před měsícem +2

      Awezi muowa sania kaah

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c Před měsícem +1

      Mwanzo akimuoa ataharibu utamu kabisa Zatiti ndio type yake

    • @jacklineteresia2629
      @jacklineteresia2629 Před měsícem

      @@user-xo7ns7bc8c kabisaa yaani zatiti dio type yake sio sania akijalibu tu wamealibu movie yetu😔

    • @ShalomNyondo
      @ShalomNyondo Před měsícem +2

      Wao nime penda kukutana kwao uyo mke wa chiku

  • @asiakabingo7052
    @asiakabingo7052 Před měsícem +4

    ZATITI ni MREMBO kuliko wote napenda sana jamani 💗

  • @sussymtunga3673
    @sussymtunga3673 Před měsícem +11

    Candy Sasa Kila kitu ishaharibika 😢😢 utajua hujui meanwhile nangoja harusi 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂

  • @HeavenlghtJohanson
    @HeavenlghtJohanson Před měsícem +7

    Mungu amsaidie zatiti awe na kijana Tasha mtana shati amjali na kumpenda🙏

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l Před měsícem +10

    Aya nipeni like zangu na mm .. much love from Kenya 🇰🇪 yalah

  • @user-bv4bw1wp2e
    @user-bv4bw1wp2e Před měsícem +13

    Nilipo kuwa napasubikia Kwa ham nazani ep ya kumi itanipa majibu Tasha vs zatiti waoooo

  • @user-oy7rl3ql2q
    @user-oy7rl3ql2q Před měsícem +7

    Hii move ni nzuri sana hasa candy nakuaminia dadaangu hongera😂😂😂😂😂🎉❤

  • @yvonneanabula6700
    @yvonneanabula6700 Před měsícem +5

    Yani kila kuchao mambo n moto,na mambo n mseto extra, big up busati tv nyumbani kwenye utamu na burudani.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @BeatriceMvaty
    @BeatriceMvaty Před měsícem +6

    M nataka kipoch ch candy 😊😊

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o Před měsícem +4

    Wagapi wanao like juu ya zatit na Tasha watakuwa wapenz 🎉🎉🎉🎉

  • @LatiffahHassan
    @LatiffahHassan Před měsícem +6

    Eti utakua mkwe Wang kwakweli😂😂♥️♥️

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock Před měsícem +9

    Daaahh nahisi kama Zatiti anaenda kupata furaha ya moyo wake na Sania na dada yake Zuuuh watabaki hewani

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx Před měsícem +2

    Maombi yangu sasa yanaenda kutimia MR TASHA kumuoa ZATIITI 😂😂❤

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg Před měsícem +2

    Waooo jamaninkazi nzuri mr tasha mungu akupe unae mpenda ....

  • @user-vf7fh6mb1p
    @user-vf7fh6mb1p Před měsícem +8

    Kwan mama Ake Tasha anamatatizo gan amjui Sania eheee😂😂😂

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA Před měsícem +12

    Chisa kashakua mnafik ,khaa Bogun Kaboga😂😂😂😂

  • @BINTmohammed-fu9gp
    @BINTmohammed-fu9gp Před měsícem +8

    uyu Kai na zuu muliwapeleka wapi wadhiii 🤣🤣🤣

  • @MARYGALUKA
    @MARYGALUKA Před měsícem +5

    Safi kabisa Mwenyezi Mungu awazidishie

  • @lizelizabeth6467
    @lizelizabeth6467 Před měsícem +6

    I said it Tasha will marry Zatiti now we are here come on guys woooow I really like this part, ❤❤❤❤❤

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k Před měsícem +12

    Teem zuu likes hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉from kenya

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto Před měsícem +2

    Wapenzi watamazaji ❤❤❤❤feel loved namwonea huruma Sania jamani

  • @NoIe-zq7jo
    @NoIe-zq7jo Před měsícem +5

    Leo Tasha umepata mazali kweli hongera yako timu mupo vizuri

  • @user-dh4ix5gi9x
    @user-dh4ix5gi9x Před měsícem +3

    Dadake Chiko anajuwa kudeka nakupenda bure dadaangu ❤❤

  • @GraceOtieno-vo3sj
    @GraceOtieno-vo3sj Před měsícem +3

    🎉Mrs.Tasha stand firm don't let them play with your feeling.or els you will lesson 🎉🎉🎉❤❤ Good work keep it up.I'm learning a lot from you ppl

  • @user-hy6fh8bh6z
    @user-hy6fh8bh6z Před měsícem +4

    Jaman tunao amini zatiti ataolewa na Mr Tasha gonga like

  • @johnmgaya1663
    @johnmgaya1663 Před měsícem +9

    Du siy poa kipande cha leo nimekipenda sana

  • @TracyOmar-dx2jg
    @TracyOmar-dx2jg Před měsícem +4

    Nimekuwa wa 263 naomba like bac hata moja

  • @OswardPandisha
    @OswardPandisha Před měsícem +9

    Nimekuwa wa kwanza Leo jamani like zenu please

  • @PriscaMhawila
    @PriscaMhawila Před měsícem +5

    kazi nzuri ❤

  • @StewartYembi
    @StewartYembi Před měsícem +4

    Ila kazi nzuri sana nimeipenda

  • @ElizabethClement-bk6vi
    @ElizabethClement-bk6vi Před měsícem +5

    Jmn hii muv naipenda San

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před měsícem +9

    Kama haujapitia changamoto yoyote kama kwenye hii movie katika mazingira tunayohishi na kwenye mahusiano tujuane kwa like na coment asante mungu ....❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Před měsícem +2

    Sasa hivi mnatoa kwa wkt rakini mkifika mbere mnaboronga mambo🎉🎉

  • @frankvicent3059
    @frankvicent3059 Před měsícem +1

    Wow asante sana zuu umetimiza ombi langu saivi ndo unapendeza lile wigi lilikua sio

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr Před měsícem +13

    Tunga xentensi kupitia neno (aaah) mfano: kuomba like tu kutoa maoni aaah.

  • @user-xq5po1di7w
    @user-xq5po1di7w Před měsícem +3

    Candy kakosa vyote jaman naomba like leo hata tano maana weeeh hatari

  • @user-xo7ns7bc8c
    @user-xo7ns7bc8c Před měsícem +1

    Wooow ss hapa Zuu umependeza sana maua yangu kwa Zuu Kai Tasha na Zatiti

  • @AsmaJuma-rd9xl
    @AsmaJuma-rd9xl Před měsícem +2

    Jaman watu wako mot❤❤❤😅

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 Před měsícem +1

    Dadayake zuu unazingua ss utamtongozaje bwana misita tasha😂😂

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg Před měsícem +3

    Cendy pole sana kutesa kwa zam utateseka kwa awamu ulimtesa kai na zu asa zam yako

  • @user-vh7gw3we5z
    @user-vh7gw3we5z Před měsícem +1

    wangap wanaami tanga ataowa zatiti🎉🎉❤

  • @EnjosimbaSimba-uz1pv
    @EnjosimbaSimba-uz1pv Před měsícem +3

    Yani mm wa kwanza jamani za titi aolew na tasha❤

  • @AishaHamid-u8g
    @AishaHamid-u8g Před měsícem +2

    Harus ya zuu ipo lin😊

  • @hildamuhafiwa4917
    @hildamuhafiwa4917 Před měsícem +2

    Sijutii kuwa mwana busati kusema kweli naenjoy sana na kipande cha leo ndo❤❤❤❤❤

  • @MwanakhamicElisha
    @MwanakhamicElisha Před měsícem +1

    Daaah sema mko chap nawapenda sana busat tv🥰

  • @carolinenyadzua2458
    @carolinenyadzua2458 Před měsícem +5

    Gai 2mins ago safiii 🎉🎉❤❤

  • @JoyceKayombo-y3g
    @JoyceKayombo-y3g Před měsícem +1

    Hapa zuri umeua umedamshi kinyamaa ❤❤❤❤❤

  • @EvaluluMpandagoya
    @EvaluluMpandagoya Před měsícem +1

    Wow jmn Mr taxha na zatitu, an Leo Busati tv mmeniacha patamu xan mfanye mapem jmn epsod ya 10 nawapendraaa🎉

  • @EdinaMhelela
    @EdinaMhelela Před měsícem +3

    Hongereni🎉🎉🎉

  • @user-el6ev9dt5k
    @user-el6ev9dt5k Před měsícem +2

    Mr tasha kazi unayo ,wadada wamechoka kudanga

  • @mwanaidabeid8720
    @mwanaidabeid8720 Před měsícem +1

    Kazi zuri jamani nawapenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc Před měsícem +4

    Kazi njema nawapenda tu nyote,, Alafu Dada zuuh hameamuwa kumwambia mwanaume hanamutaka waaaah Aya kazi hipo

  • @user-qp4uw8hy1d
    @user-qp4uw8hy1d Před měsícem +1

    hapo ndio imefika patamu sana ❤ tunaomba msiicheleweshe part 10 na 11, much love from Saudia tunawapenda sana🎉

  • @ZenaMussa-gf3vy
    @ZenaMussa-gf3vy Před měsícem

    Waoooo nimeipenda iyoooo tasha futa machozi ya zattt imependeza sana ukimuowa zatt tasha yule jambazi mfukuze pare natumkaribishe zatt tunakupa love zako❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DianaAnatos
    @DianaAnatos Před měsícem +5

    Zuli sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s Před měsícem +1

    Kazi nzuri sana Mr.Kai🎉🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Před měsícem +3

    😂😂😂Malaika bana unajipa moyo kipindi umepewa mazito Candy nawe kimekuramba wesubiri utakosa yote utabaki tu na da Masuzi wako Saniya ka mukao wa kutuliya Tasha hakuowi ngo 😢

    • @angelmauja1846
      @angelmauja1846 Před měsícem

      Hata masozi ipo siku atamtema maana hana jipya mjini

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi Před měsícem +4

    Huhuhu😂😂😂😂 candy

  • @user-qc5en6fo1u
    @user-qc5en6fo1u Před měsícem +2

    Eeeh Mr tasha mbona unatongozwa sana Na wanawake 😅 siku hizi unajaribiwa sana

  • @OmarJaffar-fw4lt
    @OmarJaffar-fw4lt Před měsícem +2

    hatimae nimekua wa 101😂😂😂😂😂

  • @RosekinanuGitari
    @RosekinanuGitari Před měsícem

    Wow leo mko sawa kabisha good luck ❤❤❤🎉🎉🎉 mmmmwwaaa hongera kwa kila mtu kazi nzuri

  • @SalhaHamad-mc6jj
    @SalhaHamad-mc6jj Před měsícem

    Movie ni nzuri sana,mbarikiwe sana,na mtafika mbali.

  • @syliviaSoyita
    @syliviaSoyita Před měsícem

    Mamake tasha mwaache mwanao amuoa mke anayempenda kwa maana majuto ni mjukuu huja baadaye iwapo utamchagulia mke wa kuoa hiyo haitakuwa ndoa yenye furaha bali ya mateso ❤❤ mola awajalie kwa kazi zenu.

  • @sophiapretty3690
    @sophiapretty3690 Před měsícem +1

    😂😂nyinyi watu nitawapiga makonde kila Moja ni like hata Moja aaah mumezidi..anyway hongera sana Wana busati kwa kazi njema na mafunzo munatupea kwa hii film

  • @JaneChaula
    @JaneChaula Před měsícem +2

    Hiv hii ya tasha ni notebook au kitabu😢😅😅😅😅😅

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana4750 Před měsícem +1

    Zatiti usijali utapata wakukufuta machozi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sushmita-p1v
    @sushmita-p1v Před měsícem +1

    chiiikoo chekaaaa unaninunia mpaka mm 😢😢😂😂❤❤

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 Před měsícem

    Naenjoy ichi kipindi na najifunza mengi ❤❤muendelee ivo kutupea burudani😊

  • @Alice-mb9vi
    @Alice-mb9vi Před měsícem +1

    Zuu umependeza sana❤

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Před měsícem +4

    Leo nimewahi jamani nami naomba likes🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Kimwana255
    @Kimwana255 Před měsícem +4

    Nimewai jamani like zangu apa kutoka🇰🇪😭😭

  • @Mamygumbo
    @Mamygumbo Před měsícem

    Daaah mwanaume kama mr tasha ni wachache sana dunia ya asaiv hongera broo endelea kuwa na msimamo mauwa yako🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AishaSharif-p9h
    @AishaSharif-p9h Před měsícem +1

    Bandika bandua episode ya 10 harakaaaaa

  • @user-vx7xt1rk7t
    @user-vx7xt1rk7t Před měsícem

    Hii movie inatufunza mambo mengi sana hongerini team busati Kwa kazi nzuri ❤ from 🇰🇪

  • @user-rf8oq1jd6u
    @user-rf8oq1jd6u Před měsícem +1

    Zuu umependeza

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Před měsícem +1

    Mr.tasha watu wanakugombania sana,ila mm naona ungemuoa yule bibi y chiko tumtie adabu chiko,alafu ukimuona tu mimba tayari😅😅😅😅😂😂ili chiko awe mtaka yote hukosa yote

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa Před měsícem +5

    Leo nmewahi jaman naombeni like ❤

  • @KhalifaAlly-dp9jp
    @KhalifaAlly-dp9jp Před měsícem +1

    Yaani inazidi kunoga sana

  • @SaquinaMinrage-m4o
    @SaquinaMinrage-m4o Před měsícem

    Pole Kandy rafiki yangu mi nakupenda sana ❤ alafu huyu dada wa chiko ni mzuri sana nampenda pia

  • @waridihemedi2521
    @waridihemedi2521 Před měsícem +1

    Nkajuaa wakwanza 😅😅😅

  • @zahraali5113
    @zahraali5113 Před měsícem +1

    Hehe heee dada yake zuu na sonia kuweni makini maana nimeona mkono wa tasha huko😂😂😂😂