Kama haujapitia changamoto yoyote kama kwenye hii movie katika mazingira tunayohishi na kwenye mahusiano tujuane kwa like na coment asante mungu ....❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂Malaika bana unajipa moyo kipindi umepewa mazito Candy nawe kimekuramba wesubiri utakosa yote utabaki tu na da Masuzi wako Saniya ka mukao wa kutuliya Tasha hakuowi ngo 😢
Mamake tasha mwaache mwanao amuoa mke anayempenda kwa maana majuto ni mjukuu huja baadaye iwapo utamchagulia mke wa kuoa hiyo haitakuwa ndoa yenye furaha bali ya mateso ❤❤ mola awajalie kwa kazi zenu.
😂😂nyinyi watu nitawapiga makonde kila Moja ni like hata Moja aaah mumezidi..anyway hongera sana Wana busati kwa kazi njema na mafunzo munatupea kwa hii film
Mr.tasha watu wanakugombania sana,ila mm naona ungemuoa yule bibi y chiko tumtie adabu chiko,alafu ukimuona tu mimba tayari😅😅😅😅😂😂ili chiko awe mtaka yote hukosa yote
Tuandikie maoni yako juu ya season 2 kupitia WhatsApp group 👇👇
chat.whatsapp.com/DXajkbjsqxq3u1cOcq3Brn
Zuu kabadilika havaikiheshima tena kwa nini 😢
@@MonnaPonda Mambo
Harus ya zuu ipo lin😊
Mnajua kunikosha wanabusati mnatoa ndani ya wakati muvi yenu muwe mnatoa hata 3 kwa siku😅
Sania akapumzishwe jamani anaharibu movie
TUnaoomba Tasha amuoe zatiti gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Point
@@user-wb2wp5pe9p tuko pamoja
@@user-wb2wp5pe9pnatamani Sana zatiti apate furaha jamani anatia uruma😢
Kumbuka akupewa talaka wallai so mm apo Kwa inawezekana bt bdo anapenda chiko Zatiti n kamkonde kazi kwenyu sasa
S🎉🎉🎉🎉 kweli
Jamani busati nawapa pongezi waliofurahi kupewa epsode ya tisa gonga like hata tano kutoka America❤❤❤❤❤❤
Wangapi twafurahishwa na mahusiano ya zatiti na tasha ...
Mr tasha hapa kashapata
Yatakuwa kam ya kilamba na mkewe
Mbna hawqtupostii ep 22 tangu juzi
Jmn tunaosubir ndoa ya kai na zuuu weka likee hapa😊😊😊😊wakanda forever from ghana😁😁
Nawapenda sana family ya busanTV,,na nawatakia kaz njema,, kama unapenda busanTV gonga like ata mbili
😂😂😂wakwaza hapa kutoka 🇰🇪 kenya,jamani naomba hata like 5
Wakenya hatuna ushamba wakuomba likes usituaibishe
Wakenya hatuna ushamba wakuomba likes usituaibishe
Zuu leo umependeza lile liwigi lilikua limekutoa vibaya lakini saa hii wee ni mke wa kai sasa❤❤❤❤from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
𝐋𝐞𝐨 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐢𝐥𝐞 𝐬𝐤𝐮 𝐭𝐚𝐬𝐡𝐚 𝐚𝐭𝐚𝐩𝐭𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐳𝐚𝐭𝐢𝐭𝐢❤❤❤❤❤
Umewaza km mm😊😂😂
Kwely kabs ❤❤❤waaaa
Mwenzio anatongoza mlume😂😂😂😂😂
@@SerenaKarembo 𝐒𝐲𝐰𝐞𝐳𝐢😂😂😂😂
Km umeongea point hv😅
Binafsi naamini kua tasha atakamatia toto zuri linang'aa kinoma mrembo mmoja matata bidada aitwaeeeeeeeeeeeeee ZATITI, twende pamoja like apa🎉🎉🎉
Yaaan nataman zatiti na Mr Tasha wapendane Alf waheshmiane na wapate watoto na Familia iwe nafurah, bas tu
Acha tu munyewe nataman
@@DoreenOmmy-gw3op et eeh, lkn n wao ndo unajua watuz wa story,ngoja tuone
Hapa kuna watu watajinyonga ikitokea hivo
@@abidandastanmaliyatabu1373 nan tena huyo atakae jnyonga
Kendy amekosa mwana na maji ya moto
Naona kabisa zatiti anaenda kuwa mchumba watasha na sio wengine hao ,😂😂🎉
Mashalla allah sinem inazid kuwa tam kamayot
hongeren kwa kazi yenu nzuri nawapenda sanaa🎉🎉🎉then naipenda kaz yenuu 🎉🎉🎉leo munipee like
Candy na bado hayo ndo malipo uliyokuwa ukimfanyia zuuu ona sasa mara mimba katoka mara chiko mara babu 😂😂😂😂😂😂
Wow hatimae tasha na zatiti wamekutana❤
Hongeren sawa wapendwa kiukwel mnatuletea buludan kwa wakat nawapenda sana wote ❤❤❤ginga like hapo jap 10 two
Busati nipen like bx at moja mn nakesh kusubir vipande vyen❤❤
Tulio kuwa tuna taman Tasha akutane na zatiti tujuwane
Nilikua nataman san wakutane❤❤❤
@@NajmahBebbsy-uw5iz ilipo fika utamu unaongezeka xaxa
Tasha unafaa kumuoa zatiti
jaman Tasha mbon hasira wanao amini Tasha hatamuoa Sania mpo wap like 5 tu
Sania sio taip ya tasha ila zatit
Awezi muowa sania kaah
Mwanzo akimuoa ataharibu utamu kabisa Zatiti ndio type yake
@@user-xo7ns7bc8c kabisaa yaani zatiti dio type yake sio sania akijalibu tu wamealibu movie yetu😔
Wao nime penda kukutana kwao uyo mke wa chiku
ZATITI ni MREMBO kuliko wote napenda sana jamani 💗
Candy Sasa Kila kitu ishaharibika 😢😢 utajua hujui meanwhile nangoja harusi 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Mungu amsaidie zatiti awe na kijana Tasha mtana shati amjali na kumpenda🙏
Aya nipeni like zangu na mm .. much love from Kenya 🇰🇪 yalah
Nilipo kuwa napasubikia Kwa ham nazani ep ya kumi itanipa majibu Tasha vs zatiti waoooo
Hii move ni nzuri sana hasa candy nakuaminia dadaangu hongera😂😂😂😂😂🎉❤
Yani kila kuchao mambo n moto,na mambo n mseto extra, big up busati tv nyumbani kwenye utamu na burudani.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
M nataka kipoch ch candy 😊😊
Wagapi wanao like juu ya zatit na Tasha watakuwa wapenz 🎉🎉🎉🎉
Eti utakua mkwe Wang kwakweli😂😂♥️♥️
Daaahh nahisi kama Zatiti anaenda kupata furaha ya moyo wake na Sania na dada yake Zuuuh watabaki hewani
Maombi yangu sasa yanaenda kutimia MR TASHA kumuoa ZATIITI 😂😂❤
Waooo jamaninkazi nzuri mr tasha mungu akupe unae mpenda ....
Kwan mama Ake Tasha anamatatizo gan amjui Sania eheee😂😂😂
Chisa kashakua mnafik ,khaa Bogun Kaboga😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
uyu Kai na zuu muliwapeleka wapi wadhiii 🤣🤣🤣
Safi kabisa Mwenyezi Mungu awazidishie
I said it Tasha will marry Zatiti now we are here come on guys woooow I really like this part, ❤❤❤❤❤
Teem zuu likes hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉from kenya
Wapenzi watamazaji ❤❤❤❤feel loved namwonea huruma Sania jamani
Leo Tasha umepata mazali kweli hongera yako timu mupo vizuri
Dadake Chiko anajuwa kudeka nakupenda bure dadaangu ❤❤
🎉Mrs.Tasha stand firm don't let them play with your feeling.or els you will lesson 🎉🎉🎉❤❤ Good work keep it up.I'm learning a lot from you ppl
Jaman tunao amini zatiti ataolewa na Mr Tasha gonga like
Du siy poa kipande cha leo nimekipenda sana
Nimekuwa wa 263 naomba like bac hata moja
Nimekuwa wa kwanza Leo jamani like zenu please
kazi nzuri ❤
Ila kazi nzuri sana nimeipenda
Jmn hii muv naipenda San
Kama haujapitia changamoto yoyote kama kwenye hii movie katika mazingira tunayohishi na kwenye mahusiano tujuane kwa like na coment asante mungu ....❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤
Sasa hivi mnatoa kwa wkt rakini mkifika mbere mnaboronga mambo🎉🎉
Show show
Wow asante sana zuu umetimiza ombi langu saivi ndo unapendeza lile wigi lilikua sio
Tunga xentensi kupitia neno (aaah) mfano: kuomba like tu kutoa maoni aaah.
Nimeelewa hii😂
Kuandika tu kuangalia move aaaaaaah😅😅😅😅
Kutombana tuu kubeba mimba aah
@@user-tb7zo1rx7f
😂😂😂😂 we umenipatia aixeeh
@@Naaah-cc3kq
🫣🫣🤔🤔🤔
Candy kakosa vyote jaman naomba like leo hata tano maana weeeh hatari
Wooow ss hapa Zuu umependeza sana maua yangu kwa Zuu Kai Tasha na Zatiti
Jaman watu wako mot❤❤❤😅
Dadayake zuu unazingua ss utamtongozaje bwana misita tasha😂😂
Cendy pole sana kutesa kwa zam utateseka kwa awamu ulimtesa kai na zu asa zam yako
wangap wanaami tanga ataowa zatiti🎉🎉❤
Yani mm wa kwanza jamani za titi aolew na tasha❤
Harus ya zuu ipo lin😊
Sijutii kuwa mwana busati kusema kweli naenjoy sana na kipande cha leo ndo❤❤❤❤❤
😍😍😍❤❤
Daaah sema mko chap nawapenda sana busat tv🥰
Gai 2mins ago safiii 🎉🎉❤❤
Mambo
Hapa zuri umeua umedamshi kinyamaa ❤❤❤❤❤
Wow jmn Mr taxha na zatitu, an Leo Busati tv mmeniacha patamu xan mfanye mapem jmn epsod ya 10 nawapendraaa🎉
Hongereni🎉🎉🎉
Mr tasha kazi unayo ,wadada wamechoka kudanga
Kazi zuri jamani nawapenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉
Kazi njema nawapenda tu nyote,, Alafu Dada zuuh hameamuwa kumwambia mwanaume hanamutaka waaaah Aya kazi hipo
hapo ndio imefika patamu sana ❤ tunaomba msiicheleweshe part 10 na 11, much love from Saudia tunawapenda sana🎉
Waoooo nimeipenda iyoooo tasha futa machozi ya zattt imependeza sana ukimuowa zatt tasha yule jambazi mfukuze pare natumkaribishe zatt tunakupa love zako❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zuli sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana Mr.Kai🎉🎉🎉
😂😂😂Malaika bana unajipa moyo kipindi umepewa mazito Candy nawe kimekuramba wesubiri utakosa yote utabaki tu na da Masuzi wako Saniya ka mukao wa kutuliya Tasha hakuowi ngo 😢
Hata masozi ipo siku atamtema maana hana jipya mjini
Huhuhu😂😂😂😂 candy
Eeeh Mr tasha mbona unatongozwa sana Na wanawake 😅 siku hizi unajaribiwa sana
🤣🤣🤣
hatimae nimekua wa 101😂😂😂😂😂
Wow leo mko sawa kabisha good luck ❤❤❤🎉🎉🎉 mmmmwwaaa hongera kwa kila mtu kazi nzuri
Movie ni nzuri sana,mbarikiwe sana,na mtafika mbali.
Mamake tasha mwaache mwanao amuoa mke anayempenda kwa maana majuto ni mjukuu huja baadaye iwapo utamchagulia mke wa kuoa hiyo haitakuwa ndoa yenye furaha bali ya mateso ❤❤ mola awajalie kwa kazi zenu.
😂😂nyinyi watu nitawapiga makonde kila Moja ni like hata Moja aaah mumezidi..anyway hongera sana Wana busati kwa kazi njema na mafunzo munatupea kwa hii film
Hiv hii ya tasha ni notebook au kitabu😢😅😅😅😅😅
Zatiti usijali utapata wakukufuta machozi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
chiiikoo chekaaaa unaninunia mpaka mm 😢😢😂😂❤❤
Naenjoy ichi kipindi na najifunza mengi ❤❤muendelee ivo kutupea burudani😊
Zuu umependeza sana❤
Leo nimewahi jamani nami naomba likes🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Nimewai jamani like zangu apa kutoka🇰🇪😭😭
Niyo hiyo chukua kipenzi
@@user-ic8mc3bd8l 🤣🤣tuliza komwe uko
Daaah mwanaume kama mr tasha ni wachache sana dunia ya asaiv hongera broo endelea kuwa na msimamo mauwa yako🎉🎉🎉❤❤❤
Bandika bandua episode ya 10 harakaaaaa
Hii movie inatufunza mambo mengi sana hongerini team busati Kwa kazi nzuri ❤ from 🇰🇪
Zuu umependeza
Mr.tasha watu wanakugombania sana,ila mm naona ungemuoa yule bibi y chiko tumtie adabu chiko,alafu ukimuona tu mimba tayari😅😅😅😅😂😂ili chiko awe mtaka yote hukosa yote
Leo nmewahi jaman naombeni like ❤
Yaani inazidi kunoga sana
Pole Kandy rafiki yangu mi nakupenda sana ❤ alafu huyu dada wa chiko ni mzuri sana nampenda pia
Nkajuaa wakwanza 😅😅😅
Hehe heee dada yake zuu na sonia kuweni makini maana nimeona mkono wa tasha huko😂😂😂😂