Terry wa dandora: Nina Wanaume wawili, ninayempenda zaidi, hanipendi | Hali Ilivyo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 09. 2019
  • #AlexNaJalas
  • Zábava

Komentáře • 118

  • @doreennasike6298
    @doreennasike6298 Před 4 lety +9

    Chukua huyu anayekupenda na anampenda mwanao Terry...sababu baba mtoto yeye huja tu kusoma katiba lakini kwa akili yake au maisha ya badaye haupo kwchwani mwake kabisaa👌👌👌👌

  • @monicamichael8119
    @monicamichael8119 Před 4 lety +8

    Naipenda milele ifm japo nimtanzania 😘😘

  • @virginiawanjiru7253
    @virginiawanjiru7253 Před 4 lety +21

    Don't allow anyone to treat u like an option
    Baba mtoto my foot
    Abaki na huyu anayempenda...

  • @Girl_Maasai
    @Girl_Maasai Před 4 lety +2

    I will always be with a man that loves me not vice versa

  • @linetmokogoti7377
    @linetmokogoti7377 Před 4 lety +8

    I was in the same situation....to hell with the Babydaddy...he was my first love but I don’t care anymore....terry go to the person who loves you not the one you love

  • @zainablizi5816
    @zainablizi5816 Před 4 lety +8

    Kaa na mwenye anakupenda,mm nko n watoto wawili naata awajawahi ita mtu baba

  • @dengkusarah
    @dengkusarah Před 2 lety

    Achana na huyo mpuuzi dada yangu ona maisha yako

  • @raybrankxbalozi3684
    @raybrankxbalozi3684 Před 4 lety

    Balozi enjoying your channel all the way 974💪

  • @Kobita001
    @Kobita001 Před 4 lety +6

    A man who dosent appreciate you 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️ chukuwa aliye kupenda

  • @aggycherry9400
    @aggycherry9400 Před 4 lety +10

    Ba mtoto ni mjanjes and he's taking advantage of being loved unconditionally.Terry go to someone who loves you and your baby.....

  • @lilililian575
    @lilililian575 Před 4 lety +2

    Unaona unauliza hio swali tena😂😂 Alex waona jalas sana

  • @salomenyamache7437
    @salomenyamache7437 Před 4 lety +1

    Mpende akupendae, sana sana huyo anapenda mtoto wako.dada kuwa na msimamo moja.

  • @linetmudengan4988
    @linetmudengan4988 Před 4 lety +6

    Huyu baba mtoto ni kitombi mkubwa kuna vile anagawa huko inje mrembo kanyanga kubwa kubwa 🏃 🙌

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 Před 4 lety +7

    🤣🤣🤣🤣🤣yani mtu amekuzalisha akakutupa then unamrudia jesoooo kupende zaidi kuna madhara yake kumbuka huyo baba mtoto atakutia mimba ya pili uwachwe tena .....ni mwanamke ndio fake

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 Před 4 lety +18

    wah wanaume wengine wakijua wanapendwa huwa na kiburi sana huyo dem h aende na huyo anaye mpenda

  • @kaosaomari5888
    @kaosaomari5888 Před 4 lety +1

    Terry follow your heart....

  • @brendablessed1223
    @brendablessed1223 Před 4 lety +3

    Kwanza imagine mwenye anadate uyo baby daddy gai, mimi naogopa wanaume wako too close na their baby mamas

  • @puritykarimi6113
    @puritykarimi6113 Před 4 lety +30

    Marry a man who loves you not the man you love.

  • @ritanofear4634
    @ritanofear4634 Před 4 lety +1

    I wud rather go for a man who loves me than a man I love, most men take advantage the moment anajua u love him so much. Bby daddy is just toying around with u, dont waste ur time on someone who does not love u the way u do. We can only advice u but the decision is in ur hands Terry ,

  • @mursilmursal
    @mursilmursal Před 4 lety +2

    Terry huyo baba mtoto ata ku cost na aki waste mwisho uta regret stick na ule anakupenda for man to love you na akufanyie all those things ukiwa na mtoto sio rahisi wanasema if you get one stick with Him hii generation its really not easy

  • @paulasianway213
    @paulasianway213 Před 4 lety +4

    Huyo mwanamke anawazimu.hajielewi , Haelewi chenye anataka

  • @adhiambofm4475
    @adhiambofm4475 Před 4 lety +7

    Never allow baby daddy who to come and see your kid in your house never never never This is cheap business

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee Před 4 lety

      Eeeeh mwingine alikuja ati babamtoto nakuvua shati ati joto laniuliza chakunywa nikampa soda Moto akaenda kapsa mmmmmmcccchhhhwwweeeeee shenzi Type😎😎🏃🏃🏃🏃🏃

    • @mystyjakanyango4079
      @mystyjakanyango4079 Před 4 lety

      See how much of an idiot you are. That is his kid too. Her house is nothing special for the man, were it not for the logistics of moving around with such a little kid.

  • @sheilanatwati4098
    @sheilanatwati4098 Před 4 lety +4

    Msichana mwenyewe Amejichanganya itamponza. Sai anajifanya anampenda babake mtoto juu anaprovidiwa kwingine. Make decision girl mtaka yote......

  • @maurinekhasila3326
    @maurinekhasila3326 Před 4 lety +2

    kuna upusi nawanawake wangine hii kenya yetu

  • @daveyblaze435
    @daveyblaze435 Před 4 lety +1

    Singles mothers achana nao... Unless baba mtoto ni marehemu

  • @tobiasmumbo4588
    @tobiasmumbo4588 Před 4 lety +1

    Team youtube tuko rada every episode check

  • @andrewjuma2485
    @andrewjuma2485 Před 4 lety +2

    Kupachika mimba. Siyo kudunga

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 Před 4 lety +2

    Hapa kuna noma

  • @mursilmursal
    @mursilmursal Před 4 lety +2

    Bfore aendelee na mapenzi terry a make sure asi waste time ya huyu boy a stick place moja bure akifanya ile kitu haifai huyu boy mwenye sio buda mtoi ataeza fanya kitu mbaya sanaa

  • @wanjoki1
    @wanjoki1 Před 4 lety

    Mwakideu una maswali waaaa😃😃😃

  • @martinmuthoka7930
    @martinmuthoka7930 Před 4 lety +2

    Mnashtukia hamjaongelelea ndoa
    ]

  • @valentineasiko5228
    @valentineasiko5228 Před 3 lety +1

    Terry na mimi no different aki sijui mbona

  • @princessshamim6539
    @princessshamim6539 Před 4 lety +4

    Baba mtoto is just wasting ur time,using you.coz anakukol akikutaka,hana tyme yko,lakn ww unamuonyesha unampenda na amekusoma ujinga amejua uezi muacha.kwanza anaona mtoto kama nani wangapi wanalea bila baba songa mbele kama injili.usije ukajitia kitanzi

  • @annemuoria0893
    @annemuoria0893 Před 4 lety +2

    It's a bit tricky 👌

  • @andrewwafula5775
    @andrewwafula5775 Před rokem

    Hiyo ndo shida ya kupenda dem mwenye mtoto apo ziii

  • @shakejudy2744
    @shakejudy2744 Před 4 lety

    This is what we called Hera remoooo

  • @esthernzisa6284
    @esthernzisa6284 Před 4 lety

    Confused generation. GOD of the youth help them.

  • @graceblessings2113
    @graceblessings2113 Před 4 lety +1

    Mary please baki na mwenye anakupenda don't love wait to be loved

  • @mystyjakanyango4079
    @mystyjakanyango4079 Před 4 lety +2

    Young woman, go with the baby's dad, or remain single. You know why you parted ways with baby daddy. I sympathize with this other guy, because you are transferring all the baggage to him. He is like your emotional tampon, yet he won't even be able to discipline the kid without you nastily reminding him he isn't the daddy. The woman is playing the victim yet it is this dude who really is. Marrying single mothers is a disaster in this age. Man, I hope you open your eyes and run with your life intact.

  • @ochiengkenrazy9998
    @ochiengkenrazy9998 Před 4 lety

    Iyo ndo ubaya wa kupenda mke mwenye ana mtoi,

  • @akinyiokeyo4618
    @akinyiokeyo4618 Před 4 lety

    Terry follow your heart ,the heart is not smart...

  • @martinmuthoka7930
    @martinmuthoka7930 Před 4 lety +1

    Baridi ndio inachangia sana

  • @DanMlayah
    @DanMlayah Před 4 lety +4

    We are all sympathizing with that lady,which is justifiable. But what about that man mwenye anapenda huyo dem ilhali ako na mtoto na si wake,huyo jamaa akijua the lady is not into her,atafeel aje pia yeye ? Akijua katiba wanasoma wakiwa wawili ? Somethings though.

    • @ndondiafrika249
      @ndondiafrika249 Před 4 lety +3

      true.... Society often sympathizes with the woman. It's unfortunate that the man who loves a single mother often loses

    • @DanMlayah
      @DanMlayah Před 4 lety +1

      @@ndondiafrika249 Exactly Sir,my sentiments too. We should all explore the three sides of a coin.

    • @mystyjakanyango4079
      @mystyjakanyango4079 Před 4 lety +1

      @@DanMlayah The second man is already loosing big. Investing in the woman, yet sharing katiba with the baby's dad. Wait until it comes to disciplining the kid! The woman will spew hell on him. Sad. I wish he wakes up from his slumber and run for his dear life.

  • @mvranger
    @mvranger Před 4 lety

    1.Usiwai date mwanamke ambaye ana uhusiano wa karibu na baba mtoto.
    2.Usiwai kubali kuolewa na mwanamme hukuzaa naye kama kweli unampenda mtoto wako.. Atampenda mwanzo mwanzo lakini mwishowe utalia chooni.. Kama ni msichana hata huenda akaolewa na huyo mumeo ulimkimbilia ati ananipenda na mtoto wangu.. Chietha..

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 Před 4 lety +1

    Jalas bana Kuna tofauti Kati ya wagonjwa na wajinga, huyo Ni mjinga hata picha hapo aonii.. kuwa huyo jamaa wa mtoto Ni mkoraa... Aiii mtanzania jeuri hapa

  • @salomegoogle7207
    @salomegoogle7207 Před 4 lety +2

    abaki na huyele asiye baba mtoto

  • @floridaalega3844
    @floridaalega3844 Před 4 lety +2

    Mapenzi kizungu mkuti 😂😂😂

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 4 lety +2

    Mapenzi basi mnakwama wapi madem

  • @asnathtv8485
    @asnathtv8485 Před 4 lety

    hyo ndio iko sasa hvi mtu kaa hana time na ww huyo ako na wanawake wengi anamcheza Terry oleka kwa huyo jamaa anakupenda

  • @winnieodhiambo3511
    @winnieodhiambo3511 Před 4 lety +4

    Baba mtoto makachietha...!!

    • @mystyjakanyango4079
      @mystyjakanyango4079 Před 4 lety

      @winnie, are you a single mother? If you have a son, you will soon wish you had shown a little sympathy to the man you are referring to as '...chietha'. May be you won't.

    • @akinyiokeyo4618
      @akinyiokeyo4618 Před 4 lety +1

      @@mystyjakanyango4079 in what way?

    • @mystyjakanyango4079
      @mystyjakanyango4079 Před 4 lety +1

      @@akinyiokeyo4618 I see you have little experience and thus unable to see the stupidity frothing from Winnie's mind. We see all the time, how frustrated such carelessly talking women are all over the globe. Most of their sons wallow in the same harrowing disappointment which this caretaker guy is soon finding himself in. Where are the wise women these days!

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 Před 4 lety +2

    Penda anaye kupenda huyu baba mzazi is taking advantage of you just achana na yeye

    • @mystyjakanyango4079
      @mystyjakanyango4079 Před 4 lety +1

      @john mwangi, you mean you haven't matured yet as a man after the many years on CZcams!

  • @knamics
    @knamics Před 4 lety +3

    Go for the one you love Terry

    • @mursilmursal
      @mursilmursal Před 4 lety

      Don't cheat this girl that man will waste her atakua anamtumia tu upande ya sex

  • @solomonmuchori5111
    @solomonmuchori5111 Před 4 lety +3

    this must crazy you need to make the best decision of your life

  • @mosestsulai6163
    @mosestsulai6163 Před 4 lety

    It's just a love game, let the lady play her part by trying to ignore the babydady atapata anapendwa maybe kabla apewe ball alikua anasumbua uyo boy sana ndo maana na yeye anatendwa kidogo

  • @carolmuthoni9951
    @carolmuthoni9951 Před 4 lety +4

    Mapenzi🚮🚮

  • @kelvin746100
    @kelvin746100 Před 4 lety

    My advice hakuna siku mpira itaanza arsenal 1-0 man utd, always mpira huanza arsenal 0-0 man utd. Terry stick na babake mtoto wako kama kuna vile mnaweza sort issues zenyu mkue pamoja for the sake of mtoto wenyu kindly fanyeni hivo..hawa mababa wakukuja hukua unpredictable Sana..atakudanganya na ma_lovidavi mob ili uone anakupenda once atakuchukua muanza kuishi pamoja hapo ndo utaanza kuona true colours zake...better the devil you know than then angel you don't know..🙌🙌🙌

  • @shantellmuthoni4005
    @shantellmuthoni4005 Před 4 lety

    stop being an option luv urself first uwache kutumiwa and go for the one who luv u gal u are blinded with ur baby daddy luv open ur eyes

  • @estheralbrechtsen8999
    @estheralbrechtsen8999 Před 4 lety

    Baba watoto Kenya wanatakiwa wewe wanalipa ngalama ya watoto until watoto wawe 18yrs kila mtoto awa na ngalama yake.

  • @escapethecrowds5594
    @escapethecrowds5594 Před 4 lety

    haha jals unatoa lock ama ni hydrating?

  • @albeyaura1641
    @albeyaura1641 Před 4 lety

    Baki na mtu anayekupenda

  • @raylynewakimangoes4185
    @raylynewakimangoes4185 Před 4 lety +4

    Baba mtoto unakutumia tu just let him go.

  • @janegitau6857
    @janegitau6857 Před 4 lety

    Wachana na baba mtoto haja yake ni kukutumia

  • @fredmankaingu4172
    @fredmankaingu4172 Před 4 lety +2

    Kuro huyo, alikuacha saii unasema unampenda

  • @sylviaabuor9494
    @sylviaabuor9494 Před 4 lety

    Msichana ni zuzu.wanadada chukueni mwenye anakupenda Sio unaompenda

  • @King-Jack-ryan
    @King-Jack-ryan Před 4 lety +3

    Penda anaye kupenda wachana na unae mpenda wachana na yy atahurt

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 Před 4 lety +3

    huyo mwanaume red flag kwa mpigo

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 Před 4 lety

    Baba mtoto ni kitombi, Terry acha ujinga pia wewe hakusaidii na unamgawia nunu, marry the man that loves you

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee Před 4 lety +2

    Babamtoto akayange kubwa kubwa 🏃🏃🏃🏃

  • @everlynemulongo7004
    @everlynemulongo7004 Před 4 lety

    Aende kwa kijana BBY daddy ni wajinga

  • @olooetos8550
    @olooetos8550 Před 4 lety +2

    Mapenzi kizunguzungu😂😂😂