PROPHET IPM AIBUA MAPYA YA MREMBO ANAYEISHI NA NYOKA UTAJIRI WA NYOKA UPO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 05. 2024

Komentáře • 216

  • @EmanuelJoseph-cx3hz
    @EmanuelJoseph-cx3hz Před měsícem +10

    Huyu jamaa kafanana na j plus kama na ww umeona hivyo like zenu hapa

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 Před měsícem +18

    Mungu akulinde maisha ni kuchagua uchague ujinga au akili

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 Před měsícem +4

    Upo sawa Mollah mlezi akupe maisha marefu inshallah

  • @AsnatSaid-zp2kr
    @AsnatSaid-zp2kr Před měsícem +9

    Nmekuelewa sanaa IPM, maisha nikuchagua ila tuptte njia ndefu jamaan

    • @toor8984
      @toor8984 Před měsícem

      Maisha ni mafup unapo patia ndio hapo hapo pakuchumia

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu Před měsícem +5

    Allah is great for all people Allah will bless you insha-Allah ❤❤❤

  • @shaibukaskas9594
    @shaibukaskas9594 Před měsícem +8

    uyo dada ni msenge sana

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +6

    WABONGO MNAPEENDA😊,,KALE KADADA KACHAWI MUACHE NJAA

  • @johaivenkahabuka5870
    @johaivenkahabuka5870 Před měsícem +6

    Yule mwandishi aliemfanyia interview yule dada hatupo on point.Haiwezekani mtu ashauriwe kudanga akatae kwa sababu yeye ni mtu wa dini then usimuulize vipi ushirikina kwa upande wa imani yake imekaa vp?! I think point yake ilkua ni kupata headline kwenye CZcams na sio kupata details na info au anamfanyia mganga wa Muheza promo

    • @issakimvuli2099
      @issakimvuli2099 Před měsícem +1

      Ndio maana mm niliona ni upuuzi mtupu!

    • @user-xz8mm5kt5m
      @user-xz8mm5kt5m Před měsícem

      Upo sahihi kabisa. Anachokifanya huyo dada ni zaidi ya zinaa tena kwa mbali sana!. Kulingana na mafundisho ya kiislamu, kuzini ni katika madhambi makubwa lakini ushirikina ni mmbaya zaidi yake kwa kuwa ni katika madhambi saba yenye kuangamiza ambayo mtume (SAW) ametuamrisha kuyaepuka (Sahih Al-Bukhari 2766).
      Hiyo video ni matangazo ya uganga na ushirikina tu!

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Před měsícem +18

    Huyo nyoka ndie mume wake anakula vyombo kila siku nyoka anabalaa huyo

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q Před měsícem +1

      NA labda hatozaaga

    • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
      @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Před měsícem

      I was thinking the same mmm kumbe yaweza kuwa ni kweli

    • @TecklaLozi
      @TecklaLozi Před měsícem

      Pia mm nafikiri HVO kabsaa

    • @nikrahayubu-sz3pw
      @nikrahayubu-sz3pw Před měsícem

      Sio nyoka yule ni jini kwhy limevaa mwilin wa nyoka kwhy hyu analala na jini na nafanya nae mapenzi hata akizaaa watt sie binadam wakaiwada hawawez kumuona ila yy ndoo anawaona watt wake akifa mali zake hata ndg hawatoziona so zitapotea bika sababu hyu ni mume wake

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 Před měsícem

      Na alivyo mrefu sjui anapenya mpaka kwa kizazi😂

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před měsícem +7

    Nilicho jifunza ishi maisha Yako unacho tumia hauna tulia life to short

  • @MiriamOnesmo-uw3fy
    @MiriamOnesmo-uw3fy Před 26 dny

    Baba mtumishi Nina kkubar xna

  • @mussayusuph627
    @mussayusuph627 Před měsícem

    Masha'Allah 🎉🎉

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h Před měsícem +2

    Hata mimi nakupenda sana

  • @calvinmaro6445
    @calvinmaro6445 Před měsícem +4

    Ukweli ni kwamba viti hivo vipo...ila ya huyu dada ni mchongo umetengenezwa na waganga matapeli.

  • @Naziruhashiraf
    @Naziruhashiraf Před měsícem

    👏👏👏👏👏👏 uko sahihi lp

  • @angle3600
    @angle3600 Před měsícem +4

    Haya mambo hua yanatesa vizazi vijazo,kwa sababu hua ni madhabahu na hua nilazima yafuatiliwe msipoyafuatilia ndio unakuta watu kwa familia ambao wamezaliwa na hawafatilii hizi itikadi wanateseka kwa njia mbalimbali,Tutafute riziki zilizo za haki.ambazo hazitakuja tesa vizazi vyetu.

  • @fatumajuma8197
    @fatumajuma8197 Před měsícem +2

    Kweli shetsni hana rafiki atakutumia akikuchoka utajuta kuzaliwa

  • @MamasIslandKitchen
    @MamasIslandKitchen Před měsícem +2

    Kweli tuombeane kwa Mungu na tuvumiliane. Ya leo sio ya jana, ya kesho sio ya leo.

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 Před měsícem +1

    Nyoka asiyekula😂😂😂😂😂

  • @AbedUssi-fl4wg
    @AbedUssi-fl4wg Před měsícem

    Na mm pia nimependa majibu yako mashaalah

  • @ZaharaiHussein
    @ZaharaiHussein Před měsícem

    Allah ndie arazak.shirki haidumu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Wewe mwenaume usiseme chukua uk8taka huo si ushauri wa kuwaushauri si mzuri lazima kunakafara sio rahisi tu ukae na noka na unapata pesa masharati halafu kuna maisha ya watoto huzai huolewi na ukija ukiwa na watoto uk8ja ukifa watoto atawatafuna

  • @allexmathias3593
    @allexmathias3593 Před měsícem +5

    YAMEMSHINDA NA NDO MAANA AMEANZA KUONGEA HADHARANI 😂😂😂

    • @beatricesisso8885
      @beatricesisso8885 Před měsícem +2

      Kabisa sio rahisi haendi kwenye sherehe, Hana rafiki, Hana mpenzi yaani tafrani😢😢😢😢

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před měsícem

    Point

  • @toor8984
    @toor8984 Před měsícem +2

    Kweli kabisa nji unachagua

  • @bahariawalk
    @bahariawalk Před měsícem +68

    Dada wa nyoka ni Tapeli tu, hana lolote. Na hakuna utajiri hapo. Kumiliki nyumba ya milioni 30 na gari ya milioni 10 hio kawaida tu. Mbona watu wa utajiri wajuu wako tu tena mali zao halali. Jamani fanyeni kazi kwa bidii na muombeni Mungu

    • @vincentdaud9954
      @vincentdaud9954 Před měsícem +4

      Bro maneno yako ya hekima sana.

    • @khadija5761
      @khadija5761 Před měsícem +1

      Kweli kabsa

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před měsícem +2

      Amen Amen MUNGU akuballiki saana nijibu amina basi 🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍🥰🥰🥰🇿🇦

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry Před měsícem +3

      Kweli usemavyo lakini na wewe umepita short cut umekwenda kwenye pesa tafautiyenu dada anaabudu nyoka weye unaabudu sanamu. Mbwa na Jibwa are the same.

    • @bahariawalk
      @bahariawalk Před měsícem

      @@user-nb6yh2bn9y Amina

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb

    Amen 🙏🏼

  • @DuwaKassim
    @DuwaKassim Před měsícem

    Dah allah akbar ee mwenyezi mungu tunusuru na pepo huyo

  • @AngeKazege-sy1ok
    @AngeKazege-sy1ok Před měsícem +3

    Sasa Iyo Nyoka Inanyamba Mahela Wala Linatumika Sielewi Kbs Eh Mungu Wangu Duniya Kuna Mengi Sana Niko Rwanda

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem +12

    Masharti ya kulala chini na mali unazo sasa za kazi gani hizo pesa bora nioshe vyoo na vyote alivyonavyo yule dada ninavyo ujinga wa akili tu

  • @Bestboytzbackflip
    @Bestboytzbackflip Před měsícem

    Asate Sana prophet

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před měsícem +1

    Watanzania wajue hizo ni laana hao wanaojipatia pesa kwA uganga na uchawi na ufreemasoni wamelaaniwa ni laana Mungu yupo na kila alichokiamuru kitakuwa aliamuru laana.juu.ya.watu.hao .tuwaombee ila tuwambie ukweli watu kuwa.dhambi ya miungu mwingine mbele za Mungu ni.dhambi.ambayo kusamehewa.ni ngumu sana tusilahisishe mliopanga foleni kwA waganga msilahisishe hamtamuona Mungu akikusamehe

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 Před měsícem +3

    Mbona namba za ipm hutupatii??

  • @marymohammed-wf8tr
    @marymohammed-wf8tr Před měsícem +2

    Mungu ndie anakupa nandie anakunyanganya mungu awasame sababu hawajuwi walio yafaa huyo dada amefuraiya kuitwa tajiri duniani shetani hanarafiki

    • @ramakazina170
      @ramakazina170 Před měsícem

      Haya mambo ya kusikia sikia ndio yanayo tufikisha hapa kila mtu anasema nilisikia nilisikia lkn mtu kasikia lkn anathinitisha kua ni kweli ila kasikia tu lkn akija kwenye kuthibitisha anasema nikweli 😂😂😂😂😂

  • @OthnoShezume
    @OthnoShezume Před měsícem +4

    Hapa ni mapito lazm tuendane na mfumo wa mngu

  • @UmmuSallama-ej4eh
    @UmmuSallama-ej4eh Před měsícem

    daaa nimestahajabu sana

  • @mkariwanyota5222
    @mkariwanyota5222 Před měsícem +1

    Kweli maisha ni kuchanguwa

  • @DismasOguda
    @DismasOguda Před měsícem

    Prothet unajua kweli umeongea pwenti muda ndio utaongea

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y Před měsícem +1

    Aha kumbe nishajua kumbe hili lilikua tangazo la uyo mchungaji.........

  • @OmarAli-vj9kg
    @OmarAli-vj9kg Před měsícem +7

    Nakubali

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o Před měsícem +3

    Hiyo ashitakiwe dada huyo mchawi ngpja amgonge kwa utajiri gani nyumba yenyewe mashaka chizi huyo tapeli

    • @user-tg2mn3xu1y
      @user-tg2mn3xu1y Před měsícem

      Serikali ya jumua ya mungano Tanzania aiyamini uchawi

  • @marymohammed-wf8tr
    @marymohammed-wf8tr Před měsícem

    Tujuwe kama mungu ameumba tajiri na masikini kamawewe nimasikini kubali matokeo hauwogopi kamadunia imeisha ,shetani anaga rafiki kumbukailo😭😭

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823
    @hshshsshjdjejjejejejej9823 Před měsícem +2

    Maisha ni proses tukae kwenye proses tuache njia ya shot kati

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem +2

    Kaka nashukuru kwakua saut yako umesema kile nilichotamani kusema watu wasikie

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před měsícem +2

    Kweli Kabisa Akuna Mtu Yeyote Mwenye Amli Za Kusema Eti Wewe Kwanini Unasemea Dini Yetu Au Yangu Dini Ya Mungu Na Alieumba Moto Na Pepo Ni Mungu Nasio Mtu Kila Mtu Asome Dini Akuna Cheo Cha Ushee Wala Uchungaji Bali Kila Mtu Asome Kulinagana Na Uwezo Wake Shee Mchungaji Ni Watu Wanaenda Chooni Na Wanaoga Na Mataulo Uchafuka

  • @AnastaziaSayi
    @AnastaziaSayi Před měsícem +1

    Mie siamini kabisaaaaa😅😅😅😅

  • @user-ek7pb1bj1l
    @user-ek7pb1bj1l Před měsícem

    Kheri nifemasikini

  • @mistahkeytvkenya4211
    @mistahkeytvkenya4211 Před měsícem +1

    Ipm njoo chukua bro wako Truthwatchdog anatusumbua uku Kenya,amegeuka jicho pevu

  • @AlbertRemmy
    @AlbertRemmy Před měsícem +1

    Hakuna mtu anaye fuga nyoka akajitangaza hata siku moja haya mambo huwa ni siri na haitakiwi mtu yoyote kujua. kwahiyo huyu dada ni mwongo. huyo ni nyoka wa maonyesho.

  • @iddymatere5075
    @iddymatere5075 Před měsícem

    Jamaa anajua kujibu ila haya maisha hyatoka zaman hivyo ni vitu vya kurisi tu pia nashauri tu kuwa mungu aliumba vitu viwili tu Duniani heri na shari hivyo utaxhagua wewe kama alivyosema

  • @user-gw6zw2px7h
    @user-gw6zw2px7h Před měsícem +1

    Upo light mkuu Soma na itaje Qur an popote hiko ni kitabu cha uongofu kwa maisha ya bin Adam na we bin Adam...don't discourage

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 Před měsícem

    Kweli kabisa Nyoka sio kiumbe cha kawaida Ata km Sijui hana meno Huyo Mtangazaji alikuwa Kijasho chembamba kinamtoka IPM

  • @mosesmutharimi5837
    @mosesmutharimi5837 Před měsícem

    Dada ni muislamu

  • @laddymghana
    @laddymghana Před měsícem +1

    Kuna watu wanaishi na nyoka ndan na hujui ndii hao watu washirkina unasikiatuu kwa watu mtu anaishi na chatu mm nawaambia hii nikiki hapo hakuna nyoka wa utajir ndagu ya kisukuma hio mtu nyoka ana kaa kwenye gara au zizi la ng'ombe na humuan labda itokeetu kwa bahat mbaya yan hakuna kitunchaa maajab unaweza kukionyesha hazaran kwanza utajr utaondoka

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 Před měsícem

    Kweli maish kuchgua hata wew naon umechagua bila kujali kesho yako

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před měsícem +1

    utajiri naheshima zinatoka kwake MUNGU alie hai sio kwa nyoka mana huyoo kaumbwa MUNGU piaa

  • @sirvesterndahani5638
    @sirvesterndahani5638 Před měsícem +1

    Watoto Ana wapaje wakat Ana lala na nyoka?

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Si umpe muda no umshauri umkataze wengine kama huwaambi watazidi kufanya mabaya

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +4

    Jamanj ni utapeli hapo chukueni namba zake mtalia ni mchongo wa waganga tapeli

    • @esterMahenge
      @esterMahenge Před měsícem

      Mi mwenye naona ni mchongo tu yule dada😂😂

  • @ibrahimseif4631
    @ibrahimseif4631 Před měsícem

    Mungu hachoki bwege ww

  • @BenjaminKiza-mf1ki
    @BenjaminKiza-mf1ki Před měsícem +1

    Brown Nataka urudi tena kwa huile Kaka aliye kuwa napete kasema wana ita majini kwamba kivipi anaweza tufunza WhatsApp

  • @mamuamtoto
    @mamuamtoto Před měsícem +1

    Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh Mwandishi umejitahidi lakini kidogo ulopokosea Masuali uliyomuuliza,inaonyesha hukufanya utafiti wa kina huyu IPM,kwa kuangalia Clips zote alozungumza.IPM mwanzo alionyesha kupenda Uislamu baadae akasema yeye Alikua Muislamu akatoka na kuritadi yaani akawa Mkristo.Hapo Masheikh ndipo walipokuja juu.Allah akuepushe na Mabalaa na Kupenda Mali Mtangazaji wa Bongo Touch ili usivutike na huyo Dada alochukua kiumbe hatari akakiweka ndani kuna MAUTI jamani.!!!!Allah atupe Mwisho Mwema Na kila alopotea Allah amuongoe.

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Před měsícem +1

    Mimi.acha wa nyoka ata wa mende siutaki😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před měsícem

      😂😂😂,aaaaweeeeh ata mbu sitaki

  • @user-ot1ym4fy5o
    @user-ot1ym4fy5o Před měsícem

    Huyo Dada hana Dini ,walahajui kunakiama

  • @albertpike6208
    @albertpike6208 Před měsícem

    13:31
    Kuhusu Gaza na Israel kasome buda Israel bila Marekani wale vibwengo alafu kama kuna viumbe wapotofu hapa duniani na wachochezi Wayahudi wanaongoza

  • @abwooliajuna4204
    @abwooliajuna4204 Před měsícem +1

    Translate in English

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv7140 Před měsícem

    Prophet anaogopa nyoka 🤣🤣🤣🤣🤣 chitaki mimi

  • @aloycemabula8649
    @aloycemabula8649 Před měsícem

    Nyoks wana madhara sana

  • @makerebul3650
    @makerebul3650 Před měsícem +16

    Ipm kaka mm nakuombea kwa Allah urejee kwenye njia ilio nyooka,

  • @juliusbrush3202
    @juliusbrush3202 Před měsícem +1

    hawa nyoka huwa kila asubuhi wanalamba sehemu za siri, watu wa hvi ata waume hawana kbs.. kuna kisa kama hiki kilikuwepo ukisearch youtube "MWANAMKE ALIYEKUA ANAFANYA MAPENZI NA MAITI ALIYEOZA KWA MASHARTI YA MGANGA ILI APATE MALI" hiki kisa kinaelezea ao nyoka ni uchafu san

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před měsícem +1

    Kuna watu humu wataka kuunganishwa na yule Dada ya Raby😭🤔

  • @Cosmasmumba-gx6xq
    @Cosmasmumba-gx6xq Před měsícem

    Maisha nikuchagua

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Před měsícem

    IPM acha tamaa za maisha ya duniani. Tubu na urejee katika dini ya UISLAM.

    • @milakauli
      @milakauli Před měsícem

      Huyo atarudu elewa neno mpe mtu muda usihukumu haraka 🤣🤣🤣🤣

  • @user-nl7ob8pv9n
    @user-nl7ob8pv9n Před měsícem

    Siku moja iyo nyoka itamgeuka tu

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 Před měsícem

    Hiyo ni system yakuwavuta watu ili wafanye utapeli tuu nyoka wa michezo yulee ilaa wenye tamaa watamfata ili wapigwe pesaa jamani kuweni makini hizo ninjia za kitapeli

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před měsícem +2

    Yesu Alikuja Kuwaokoa Wenye Zambi Ukimuona Mdada Anauza Sambusa Yake Usimpe Lawama Usimuukumu Bali Mpe Neno Kama Aludi Njia Ipi Sio Kusema Oh Wewe Moto Moto Unamunyooshea Kidole Kimoja Kwako Vinaludi Vidole Vitatu Na Kimoja Kinacheki Mbinguni

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem

    Hata Mimi nakuelewa Sanaa Kwanza tushukulu MTU anaweza fundisha maneno ya mungu kuna nchi hata hawasikilizi maneno ya mungu wapo wapo kama mizombi unakuta inaweza jiuwa tu hawana Imani

  • @MariamMganga-ss9mm
    @MariamMganga-ss9mm Před měsícem

    Wanataka kumzuia Nini wakati wao wanakazi yakukashifu Kila siku,, mbona mazinge hawamzuiiiii, waache ubinafsi

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před měsícem

    Utajifananishaje namngu alivyo kwa unaweza kuymba ulimwengu na malimwengu na yaliomo ndani yake hata ujifananishe na yeye kwamba mngu kaumba na kupumzija kqani siku za mngu na zenu ni sawa usicganganye watu hapo sasa wachanganya watu

  • @ErastoKabuje
    @ErastoKabuje Před měsícem

    Unaeleweka sana IPM ila unafanana sa na J BULASI muigiza ila mazungumzo yako yamenyoka sana

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před měsícem

    Watu kwa macho yakawaida tunnaona nyoka lile nijini uyu dada nahilo jini niwapenI ndoma nyumba yote anaishi pekeyake

  • @scholasticashayo1728
    @scholasticashayo1728 Před měsícem

    Wale wale t

  • @EdnahMutindi
    @EdnahMutindi Před měsícem

    Hakuna utajiri hapo,,,,nitamaa anayo huyu dada.

  • @sesiliasalleko2013
    @sesiliasalleko2013 Před 25 dny

    Hapa ndio nasemaga ipm tapeli tuu kujieleza kote kwamba hukujua kwamba ile ilikua kiki

  • @berry4726
    @berry4726 Před měsícem +3

    Watu tunamiliki trillions of dollars na zote halali.

  • @Hawaa-cw6fl
    @Hawaa-cw6fl Před měsícem

    Sio wa kristo hata waislam shetani au jini hana rafiki

  • @albertpike6208
    @albertpike6208 Před měsícem

    9:53 eti Mungu alipumzika??? Mwenyezi Mungu hachoki wala hapumziki bali alitawala katika Himaya yake.Wacheni UBWEGE

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 Před měsícem

    Huyu pasta hajiamini kabisaa nimeanza kumshuku

  • @asmaalghafri449
    @asmaalghafri449 Před měsícem

    Eti mtu wa dini wakati anaenda kwenye shiriki dini ya islam haitaki shiriki na mtu wa daraja lajuu kuongia motoni ni mshirikina usidanganye watu

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u Před měsícem +4

    Huyo dada ana pepo likemewe sizani kama anajua kuna kifo

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před měsícem

      Hana pepo wala kinvuli 😂😂 matangazo yabiashara tu

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Před měsícem

      ​@@Mina.15😂😂upo

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před měsícem +1

      @@fathiyahmuzney7367 😂😂😂 wamekazana likemewe 😂😂 chupi kitenge ako kazini

  • @officialcandleboy6923
    @officialcandleboy6923 Před měsícem +1

    Huyo binti mwenyewe sioni hata huo utajiri alionao maana naona hana ganga njaa tu

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před měsícem

      Kamekondeana,huzuni...hana rorosi😂😂😂

  • @brownschmidt4532
    @brownschmidt4532 Před měsícem

    Hakuna kitu kama hicho. Huyo dada amepangwa afanye hivyo. Ni utapeli huo.

  • @sulumsalehebadulusaid1515
    @sulumsalehebadulusaid1515 Před měsícem +2

    Jamani nipeni namba ya yule dada namimi anipeleke

    • @NabosJuma
      @NabosJuma Před měsícem +1

      😂😂😂

    • @elijahchegere4974
      @elijahchegere4974 Před měsícem +2

      Kuwa makini na matapeli huwezi kupewa masharti ukayaongea hadharini kuna upigaji hela unataka kufanyika

    • @EvansGodfrey-tj5op
      @EvansGodfrey-tj5op Před měsícem +1

      😂😂😂😂😂😂😊

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před měsícem

    Siku za mwisho biblia inaonyesha roho ya Elia itajaa dunian ko tuangalie Elia alifanya nn nawambieni watanzania kama Elia alichukia uganga basi.uganga utazarauriwa sana Elia alisababisha njaa mvua haikunyesha miaka mitatu ilitukia njaa kubwa watu walikufa utajiri haukuwepo miundo mbinu iliharibika.watu Mungu katuandikia vita uni majaabu yake hatufulahishi anataka tukumbuke.tusilahisishe huyo dada wa nyoka ni vile hajui Mungu miungu mingine ni shida

  • @safiam5338
    @safiam5338 Před měsícem +1

    Miye nahisi ule nyoka kuna siku atamumeza

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před měsícem

    Chizi 😂😂

  • @sefunduwayo7388
    @sefunduwayo7388 Před měsícem

    Ulimwengu acha maneno yau escro

  • @FainessiMateasi
    @FainessiMateasi Před měsícem

    😂😂😂😂😂

  • @user-zq9cv3dm4u
    @user-zq9cv3dm4u Před měsícem

    Uyu dada anampa nini uyo nyoka maziwa,damu au mapenzi

  • @bokechacha9802
    @bokechacha9802 Před měsícem

    Duuuu huyu mdada hana lolote ni majini tu kayafuga humo ndani